< Mousese Ea Malasu 25 >

1 Dunu da sia: ga gegesea, ilia da amo gegesu fofada: musa: fofada: su sogebi amoga ahoasea amola fofada: su dunu da fofada: lalu, wadela: i hame hamosu dunu hahawane halegale masa: ne sia: sea be wadela: i hamosu dunu amo se imunusa: sia: sea,
Watu wanapokuwa na ugomvi, wapeleke mahakamani na waamuzi wataamua shauri hilo; watawaachia wasio na kosa na kuwahukumu wenye hatia.
2 fofada: sea, wadela: i hamosu dunu da fegasuga famusa: ilia da ilegesea, fofada: su dunu da amo dunu diasa: imusa: sia: sea, e da fegasu fasu idi ea wadela: i hou amo defele lamu.
Kama mtu mwenye hatia anastahili kuchapwa, mwamuzi atamwamuru alale chini ili achapwe mbele yake idadi ya viboko kulingana na kosa lake,
3 Be fofada: su dunu da amo dunuma efegasuga fasu idi amo 40baligi hame imunu. E da fegasuga fasu 40baligi lasea, dilia fi dunu da dunu huluane ba: ma: ne, gugunufinisi dagoi ba: mu.
lakini kamwe asichapwe zaidi ya viboko arobaini. Ikiwa atachapwa zaidi ya viboko arobaini, nduguyo atadhalilika machoni pako.
4 Bulamagau da gagoma oso fadegama: ne, gagoma fai amoma osa: la ahoasea, amo e da gagoma mae moma: ne, ea lafi mae la: gilisima.
Usimfunge maksai kinywa anapopura nafaka.
5 Olalali aduna da soge afae amoga esalea, afae da dunu mano mae lalelegele bogosea, ea didalo da sosogo fi eno dunu amoga hame fima: mu. Be egoa ola o eya da amo didalo lale ea esoa: ea hou ema hamomu.
Ikiwa ndugu wanaishi pamoja na mmoja wao akafa bila kuacha mwana, kamwe mjane wake asiolewe nje ya jamaa hiyo. Ndugu wa mumewe atamchukua, amwoe na kutimiza wajibu wa shemeji kwake.
6 Amasea, ea magobo mano da egoa bogoi amo ea dio lale, ea dio da Isala: ili fi amoga hame fisimu.
Mwana wa kwanza atakayemzaa atapewa jina la ndugu aliyekufa ili jina lake lisifutike katika Israeli.
7 Be dunu da yolalali didalo amo lamu higasea, amo didalo da asigilai dunu moilai logo holeiga esala amoga asili amane sia: mu, ‘Nagoa yolaliya da yolalali amo ea dio Isala: ili fi amo ganodini dialumu higasa. E da nama bae sia: mu higasa.’
Hata hivyo, ikiwa ndugu huyo wa mume hataki kuoa huyo mke wa nduguye, mjane atawaendea wazee kwenye lango la mji na kusema, “Ndugu wa mume wangu anakataa kuendeleza jina la nduguye katika Israeli. Hataki kutimiza wajibu wa shemeji kwangu.”
8 Amasea, moilai asigilai da amo dunu ilima misa: ne sia: sea, ema sia: mu. Be e da amo hou mae fisili, ‘Amo uda na da hame lamu,’ sia: sea,
Ndipo wazee wa mji wake watamwita na kuzungumza naye. Kama atashikilia kukataa akisema, “Sitaki kumwoa,”
9 Yolalalia didalo da asigilai dunu ba: ma: ne, ea emo salasu afae fadegale, ea odagi amoga defo aduga: le, amane sia: mu, ‘Ninia da dunu da yolalali fi hame hamosa ilima agoane hamosa.’
mjane wa nduguye atamwendea mbele ya wazee, atamvua kiatu kimoja na kumtemea mate usoni, na kusema, “Hivi ndivyo ambavyo hufanywa kwa mtu ambaye atakataa kuendeleza jamaa ya ndugu yake.”
10 Amasea, amo dunu ea fi Isala: ili soge amo ganodini ilia da ‘Emo Salasu Fadegai Fi’ ilima sia: mu.
Jamaa ya mtu huyo itafahamika katika Israeli kama Jamaa ya Aliyevuliwa Kiatu.
11 Dunu aduna da gegesea amola dunu afae ea uda da egoa fidimusa: , eno dunu ea gulusu gaguba: sea,
Ikiwa watu wawili wanapigana na mke wa mmoja wao akaja kumwokoa mumewe na yule anayemshambulia, naye mke huyo akifika na kumkamata sehemu za siri,
12 ema mae asigima. Ea lobo damuni fasima.
huyo mwanamke utamkata mkono wake. Usimhurumie.
Usiwe na mawe ya kupimia ya aina mbili katika mkoba wako, moja zito na jingine jepesi.
14 Dilia da dioi ilegei o hano defei ilegei hamosea, mae ogogoma.
Usiwe na vipimo viwili tofauti katika nyumba yako, kimoja kikubwa, kingine kidogo.
15 Be moloidafa defei amola ilegei hamoma. Bai agoane hamosea, dilia da ode bagohame soge amo dilia Hina Gode da dilima iaha amo ganodini esalumu.
Ni lazima uwe na uzito na vipimo sahihi na vya haki, ili upate kuishi maisha marefu katika nchi anayokupa Bwana Mungu wako.
16 Dilia Hina Gode da nowa dunu da ogogosu o moloihame hou hamosea, bagadewane higasa.
Kwa maana Bwana Mungu wako humchukia yeyote ambaye hufanya mambo kama haya, yeyote anayetenda kwa udanganyifu.
17 Musa: dilia da Idibidi soge yolesili, logoga ahoanoba, A:malege dunu da dilima wadela: le hamosu. Amo bu dawa: ma!
Kumbuka kile Waamaleki walichowatendea mlipokuwa njiani mkitoka Misri.
18 Dilia da da: i dioi amola bagade helei galea, ilia da dunu helebeba: le fa: no bobogei, amo hedofai. Ilia da Godema beda: su hou hame dawa: i.
Wakati mlipokuwa mmechoka na kuishiwa nguvu kwa safari yenu, wakawapiga wale wote waliokuja nyuma. Waamaleki hawakumwogopa Mungu.
19 Mae gogolema! Dilia Hina Gode da soge E da dili gesowale fima: ne iaha, amo ganodini dilima ha lai huluane hasali dagoiba: le, dilia helefisu ba: sea, amo A: malege dunu huluane fane legema. Amasea, fa: no dunu fi da ilia dio hamedafa dawa: mu.
Bwana Mungu wako atakapokupa pumziko mbali na adui zako wote wanaokuzunguka katika nchi akupayo kuimiliki kuwa urithi, utafutilia mbali kumbukumbu lote la Waamaleki chini ya mbingu. Usisahau!

< Mousese Ea Malasu 25 >