< Da:niele 9 >

1 Da: liase (Segesisi egefe, e da Midia fi dunu) amo da Ba: bilone fi amoga hina bagade esalu.
Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Dario mwana wa Ahasuero (mzaliwa wa Umedi), ambaye alifanywa mtawala juu ya ufalme wa Babeli,
2 Ea ouligisu hou ode bisili amoga na da Gode Ea sia: buga ganodini dedei amo idilalu. Amo ganodini, Hina Gode da balofede dunu Yelemaiama agoane olelei. Yelusaleme moilai bai bagade da wadela: lesi dagoi amola ode 70amoga amaiwane mugului agoane dialebe ba: mu. Amo sia: na idi amola na da dadawa: lalu.
katika mwaka wa kwanza wa utawala wake, mimi Danieli nilielewa kutokana na Maandiko, kulingana na neno la Bwana alilopewa nabii Yeremia, kwamba ukiwa wa Yerusalemu ungetimizwa kwa miaka sabini.
3 Amola na da ha: giwane Hina Godema sia: ne gadosu. Na da wadela: i eboboi abula salawane, ha: i mae nawane amola nasubu ganodini fili, ha: giwane Ema adole ba: i.
Kwa hiyo nikamgeukia Bwana Mungu na kumsihi katika maombi na dua, katika kufunga, na kuvaa nguo ya gunia na kujipaka majivu.
4 Na da na Hina Godema sia: ne gadole, na fi dunu amola uda ilia wadela: i hou Ema olelei. Na da amane sia: ne gadoi, “Hina Gode! Dia hou da bagadedafa amola hadigidafa. Ninia da Dima nodosa. Dia da Dia gousa: su hamoi amoma mae fisili, ouligisa. Nowa dunu da Dima asigi galea amola Dia sia: noga: le nabasea, amo dunuma Di da mae fisili asigilala.
Nikamwomba Bwana Mungu wangu na kutubu: “Ee Bwana, Mungu mkuu na unayetisha, anayeshika agano lake la upendo kwao wanaompenda na kutii maagizo yake,
5 Ninia da wadela: idafa fi. Ninia da wadela: i hou bagadedafa hamonanu. Ninia da Dia hamoma: ne sia: i amola sema higale yolesi dagoi. Dia da ninima moloidafa hou olelei, be ninia da amo hou higale yolesi dagoi.
tumetenda dhambi na kufanya mabaya. Tumekuwa waovu na tumeasi; tumegeuka mbali na maagizo yako na sheria zako.
6 Dia hawa: hamosu dunu amo balofede dunu, ilia Dia Dioba: le, hina bagade, ouligisu dunu, ninia aowalalia amola ninia fi huluane ilima sia: olelei. Be ninia da ilia sia: hame nabi.
Hatukuwasikiliza watumishi wako manabii, ambao kwa jina lako walisema na wafalme wetu, wakuu wetu, baba zetu, na watu wote wa nchi.
7 Di, Hina Gode, da eso huluane moloidafa hou hamonana. Be ninia da eso huluane ninisu gogosiama: ne, wadela: i hou hamonana. Ninia huluanedafa agoane hamosa. Mogili da Yuda soge amola Yelusaleme moilai bai bagade amo ganodini esala. Mogili da Dia sia: hame nababeba: le, Di da ili soge gadenene amola sedagadafa, amo soge hisu hisu amo ganodini esaloma: ne sefasi dagoi. Be huluanedafa da Dia sia: hame nabasu dunu.
“Bwana, wewe ni mwenye haki, lakini siku hii ya leo tumefunikwa na aibu: tukiwa wanaume wa Yuda, na watu wa Yerusalemu, na Israeli yote, wote walio karibu na walio mbali, katika nchi zote ulikotutawanya kwa sababu ya kukosa uaminifu kwako.
8 Hina Gode! Dafawane! Ninia hina bagade huluane, ninia ouligisu dunu amola ninia aowalalia da Dima wadela: i hou bagade hamonanu.
Ee Bwana, sisi na wafalme wetu, wakuu wetu na baba zetu tumefunikwa na aibu kwa sababu tumefanya dhambi dhidi yako.
9 Ninia da Dima fa: no bobogesu yolesi dagoi. Be Di da ninima asigisa amola Di da gogolema: ne olofosu dawa:
Bwana Mungu wetu ni mwenye rehema na anayesamehe, hata ingawa tumefanya uasi dhidi yake.
10 Di da nini amo sema Di da Dia hawa: hamosu dunu amo balofede dunu ilia lafidili ninima olelei, amo sema defele esaloma: ne ninima sia: i. Be ninia da Dia sia: hame nabi.
Hatukumtii Bwana Mungu wetu wala kuzishika sheria alizotupa kupitia kwa watumishi wake manabii.
11 Isala: ili fi huluane da Dia sema wadela: lesi dagoi amola Dia sia: nabimu higalalu. Amaiba: le, gagabusu aligima: ne amo da Dia hawa: hamosu dunu Mousese ea sema buga ganodini dedei, amoga Di da ninima se iasu.
Israeli yote imekosea sheria yako na kugeuka mbali, nao wamekataa kukutii. “Kwa hiyo laana na viapo vya hukumu vilivyoandikwa katika Sheria ya Mose, mtumishi wa Mungu, vimemiminwa juu yetu, kwa sababu tumefanya dhambi dhidi yako.
12 Di da musa: Yelusaleme moilai bai bagadega hamomu sia: i, amo Di da hamoi dagoi. Di da Yelusaleme amoma se iasu. Amola amo se iasu da Dia se iasu amo moilai bai bagade eno osobo bagadega diala Di da ilima i, amo da bagadewane baligisu.
Umetimiza maneno uliyosema dhidi yetu na dhidi ya watawala wetu, kwa kuleta maafa makubwa juu yetu. Chini ya mbingu yote kamwe hapajatendeka kitu kama kile kilichotendeka kwa Yerusalemu.
13 Di da se iasu huluane Mousese ea sema buga ganodini dedei, amo huluane ninima iasu. Be amo mae dawa: le, ninia Di hahawane ba: ma: ne, Dia dafawane hou hame fa: no bobogesa amola ninia wadela: i hou hame yolesiagai.
Kama vile ilivyoandikwa katika sheria ya Mose, misiba hii yote imekuja juu yetu, lakini hatujaomba fadhili kwa Bwana Mungu wetu kwa kugeuka kutoka dhambi zetu na kuwa wasikivu katika kweli yake.
14 Ninia Hina Gode! Di da ninima se imunusa: dawa: i dagoi amola Dia da se iasu ninima i. Bai Di da eso huluane moloidafa hou fawane hamosa, amola ninia da Dia sia: hame nabi.
Bwana hakusita kuleta maafa juu yetu, kwa maana Bwana Mungu wetu ni mwenye haki katika kila afanyalo; lakini hata hivyo hatujamtii.
15 Ninia Hina Gode! Dia gasa bagade hou, di da dunu fifi asi gala ilima olelei dagoi. Dia fi dunu Idibidi sogega udigili hawa: hamonanu, amo Di da fadegale ga oule asi. Amo gasa hou, ninia da hame gogolei. Be ninia da wadela: le hamoi dagoi.
“Sasa, Ee Bwana Mungu wetu, ambaye uliwatoa watu wako Misri kwa mkono wenye nguvu, na ambaye umejifanyia Jina linalodumu mpaka leo, tumetenda dhambi, tumefanya mabaya.
16 Di da musa: nini gaga: i dagoi. Amaiba: le, Di Yelusaleme amola ea fi ilima bu ougimusa: mae dawa: ma. Yelusaleme da Dia moilai bai bagadedafa amola Dia Hadigi Agolo gala. Na: iyado dunu fi huluane da wali Yelusaleme amo higale ba: sa. Bai nini amola ninia aowalalia da ledo bagade amola wadela: i hou bagade hamonanu.
Ee Bwana, wewe kwa kadiri ya matendo yako ya haki, ondoa hasira yako na ghadhabu yako juu ya Yerusalemu, mji wako, mlima wako mtakatifu. Dhambi zetu na maovu ya baba zetu yameifanya Yerusalemu na watu wako kitu cha kudharauliwa kwa wale wote wanaotuzunguka.
17 Hina Gode! Di na sia: ne gadosu amola na ha: giwane edegesu Dia nabima! Ninia Debolo mugului amo bu hahamoma. Dunu huluanedafa da Di da Godedafa amo dawa: ma: ne, Debolo bu hahamoma.
“Basi Mungu wetu, sasa sikia maombi na dua ya mtumishi wako. Ee Bwana, kwa ajili yako angalia kwa huruma ukiwa wa mahali pako patakatifu.
18 Hina Gode! Ninia sia: nabima! Dia ninia hou ba: ma! Yelusalemega da Dia Dio asuli dagoi. Be amo ganodini, se nabasu amola da: i diosu amo fawane ba: sa. Ninia hou moloidafa hamobeba: le, Dima hame sia: ne gadosa. Bai ninia da moloidafa hou hamedafa hamosu. Be Di da asigi bagadedafa, amo dawa: beba: le, ninia Dima sia: ne gadosa.
Ee Mungu, tega sikio na ukasikie; fumbua macho yako ukaone ukiwa wa mji ule wenye Jina lako. Hatukutolei maombi yetu kwa sababu sisi tuna haki, bali kwa sababu ya rehema zako nyingi.
19 Hina Gode! Ninia sia: nabima! Amola ninia wadela: i hou gogolema: ne olofoma. Dafawane! Mae aligima! Ninia edegesu nabima amola hedolodafa amo hahamoma. Amalalu, dunu huluane da Di da Godedafa, amo ilia da noga: le dawa: mu. Amo moilai bai bagade amola amo dunu fi huluane da Dia: fawane!”
Ee Bwana, sikiliza! Ee Bwana, samehe! Ee Bwana, sikia na ukatende! Kwa ajili yako, Ee Mungu wangu, usikawie, kwa sababu mji wako na watu wako wanaitwa kwa Jina lako.”
20 Na da mae fisili, sia: ne gadolalu. Na wadela: i hou amola na fi Isala: ili ilia wadela: i hou na da Godema olelelalu. Amola na Hina Gode amoma E da Ea hadigi Debolo Diasu amo bu hahamoma: ne, na da Ema ha: giwane edegelalu.
Basi, nilipokuwa bado nikinena na kuomba, nikiungama dhambi yangu na dhambi ya watu wangu Israeli, na nikifanya maombi yangu kwa Bwana Mungu wangu kwa ajili ya mlima wake mtakatifu,
21 Na sia: ne gadosa esaloba, a:igele dunu Ga: ibaliele (amo na da musa: simasi amo ganodini ba: i), e da hagili misini, na esalebe sogebi amoga doaga: i. E doaga: lalu, daeya gobele salasu hou hamomusa: agoane ba: i.
wakati nilipokuwa bado katika maombi, Gabrieli, yule mtu niliyekuwa nimemwona katika maono hapo awali, alinijia kwa kasi karibu wakati wa kutoa dhabihu ya jioni.
22 E da nama amane sia: i “Da: niele! Na da dima amo musa: ba: la: lusu liligi di idi, amo dima noga: le olelemusa: dima misi.
Akanielimisha na kuniambia, “Danieli, sasa nimekuja kukupa akili na ufahamu.
23 Di da muni Godema ha: giwane edegesu hemonanu, E da dima adole imunusa: dawa: i galu. E da dima bagade asigisa. Amaiba: le, na amo ba: la: lusu liligi ea bai dima olelela misi. Amaiba: le, noga: le nabima.
Mara ulipoanza kuomba, jibu lilitolewa, ambalo nimekuja kukupasha habari, kwa maana wewe unapendwa sana. Kwa hiyo, tafakari ujumbe huu na uelewe maono haya:
24 Ode 70 amo fesuale agoane gidigisia (huluane da ode 490), amo ode idi Gode da ilegei dagoi. Ode 490 da gidigisia, Yelusaleme amola dia fi dunu da wadela: i hou amola ledo dialebe hame ba: mu. Wadela: i hou huluane da gogolema: ne olofoi dagoi ba: mu amola eso huluane moloidafa hou amola dafawane hou ba: mu. Amalalu, esala ba: i amola ba: la: lusu liligi huluane da dafawaneyale hamoi ba: mu, amola Gode Ea hadigi Debolo Diasu bu ilegele ligiagale doasi dagoi ba: mu.
“Majuma sabini yameamriwa kwa ajili ya watu wako na kwa ajili ya mji wako mtakatifu, ili kumaliza makosa, kukomesha dhambi, kufanya upatanisho kwa ajili ya uovu, kuleta haki ya milele, kutia muhuri maono na unabii, na pia kumtia mafuta yeye aliye mtakatifu sana.
25 Amo huluane noga: le dawa: ma. Ilia da Yelusaleme amo bu gagumusa: sia: mu. Amalalu ode fesu amo fesuale agoane da gidigimu. Amoga gilisili, ode fesu gala 62 agoane amola da gidigimu (huluane da ode 483 da gidigimu). Ilia da Yelusaleme amo gasa bagade bu hiougimu amola ea logo amola gagoi gasa bagade gagumu. Be amo ode ganodini, ilia da se bagade nabimu. Be ode 483 da gidigisia, Gode Ea ilegei Hina Dunu (Mesaia) da doaga: i dagoi ba: mu.
“Ujue na kuelewa hili: Tangu kutolewa kwa amri ya kuutengeneza na kuujenga upya Yerusalemu mpaka kuja kwa Mpakwa mafuta, aliye mtawala, kutakuwako majuma saba na majuma sitini na mawili. Barabara zitajengwa tena pamoja na mahandaki, lakini katika wakati wa taabu.
26 Amo ode huluane da gidigisia, Gode Ea ilegei Hina dunu da udigili medole legei dagoi ba: mu. Yelusaleme amola Debolo da ga fi dadi gagui gilisisu amola ilia hina bagade amoga mugululi, wadela: lesi dagoi ba: mu. Yelusaleme amola Debolo amo wadela: mu eso da hano bagade neda: i amo ea hou defele ba: mu. Be Gode da amo gegesu amola soge wadela: mu eso ilegei dagoi.
Baada ya majuma sitini na mawili, Mpakwa Mafuta atakatiliwa mbali, wala hatabaki na kitu. Watu wa mtawala atakayekuja watauharibu mji pamoja na mahali patakatifu. Mwisho utakuja kama mafuriko: Vita vitaendelea mpaka mwisho, nao ukiwa umeamriwa.
27 Amo ga fi dadi gagui ilia hina da Isala: ili soge amo ouligisia, e da dunu bagohame ilima ode fesuale amoga gousa: su amola sema hamomu. Be ode osodayale gidigili amola oubi eno gafeyale da udusia, amo esoga, amo hina bagade da Godema gobele salasu amola hahawane iasu amo logo hedofamu. Amola, e da Wadela: idafa Liligi amo Debolo ea gadodafa sogebi amoga ligisimu. Amo liligi da amaiwane diala, amogainini Gode da amo ouligisu dunu wadela: lesimusa: ilegei eso doaga: mu,” Ga: ibaliele da amane sia: i.
Mtawala huyo atathibitisha agano na watu wengi kwa juma moja. Katikati ya juma hilo atakomesha dhabihu na sadaka. Mahali pa dhabihu katika Hekalu atasimamisha chukizo la uharibifu, hadi mwisho ulioamriwa utakapomiminwa juu yake yeye aletaye uharibifu.”

< Da:niele 9 >