< Da:niele 7 >

1 Ode age amoga Belesia: sa da Ba: bilone amoga hina bagade esalu, na, Da: niele, na da gasia simasi amo ganodini ba: i. Na da amo simasi ea hou dedei dagoi. Amo simasi na da agoane ba: i.
Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Belshaza mfalme wa Babeli, Danieli aliota ndoto, nayo maono yakapita mawazoni yake alipokuwa amelala kitandani mwake. Akayaandika mambo aliyoyaona katika ndoto yake.
2 Fo bagade da gusudili, guma: dini, gadili amola ganodini amoga manebe ba: i. Foga fabeba: le, hano wayabo bagade da hano gafului bagade ba: i.
Danieli akasema: “Katika maono yangu usiku nilitazama, na hapo mbele yangu kulikuwepo na upepo kutoka pande nne za mbingu, ukivuruga bahari kuu.
3 Amalalu, ohe fi hisu biyaduyale gala bagadedafa da hano bagade amo ganodini gado agoane manebe ba: i.
Wanyama wanne wakubwa, kila mmoja tofauti na mwenzake, wakajitokeza kutoka bahari.
4 Ohe bisili age da agoane. E da laione wa: me amo da ougia bagade buhiba ougia agoane ba: i. Amola na ba: loba da ea ougia amo hiougili, fadegai dagoi ba: i. Amalalu, amo ohe da wa: lesili dunu agoane lelebe ba: i dagoi. Amola dunu ea dawa: su defele ema i dagoi ba: i.
“Mnyama wa kwanza alifanana na simba, naye alikuwa na mabawa kama ya tai. Nikatazama mpaka mabawa yake yalipongʼolewa, naye akainuliwa katika nchi, akasimama kwa miguu miwili kama mwanadamu, naye akapewa moyo wa binadamu.
5 Amola na ba: loba, ohe fi ageyadu amo bea amo dunu agoane lelebe ba: i. Amo bea ohe da didifi gasa udiana amo ea lafi ganodini ba: i. Amola sia: afae da ema misi agoane nabi, “Defea! Dia hanaiga defele hu moma,” amo sia: nabi.
“Hapo mbele yangu kulikuwa na mnyama wa pili, ambaye alionekana kama dubu. Upande wake mmoja ulikuwa umeinuka, na alikuwa na mbavu tatu katika kinywa chake kati ya meno yake. Akaambiwa, ‘Amka, ule nyama mpaka ushibe!’
6 Amola na bu sosodoloba, ohe fi osoda eno ba: i. Amo ohe da lebade agoane ba: i. Be ea baligiga sio ougia agoane ba: i. E da busa: gi biyaduyale gala amola ea hou da ouligisu bagade ea hou agoane ba: i.
“Baada ya huyo, nilitazama, na mbele yangu kulikuwa na mnyama mwingine, aliyefanana na chui. Juu ya mgongo wake alikuwa na mabawa manne kama ya ndege. Mnyama huyu alikuwa na vichwa vinne, naye akapewa mamlaka ya kutawala.
7 Na bu sosodoloba, ohe biyadu ba: i. Amo ohe da gasa bagade amola nimi bagade ba: i. Amola amoba: le na da beda: i. E da bese bagadedafa amola liligi gasa bagade amo nana manebe ba: i. Amola e da liligi huluane wadela: lesila manebe ba: i. Ohe fi oda da agoai hame ba: i. Amola ea busa: gia hono nabuane agoane ba: i.
“Baada ya huyo, katika maono yangu usiku nilitazama, na mbele yangu kulikuwa na mnyama wa nne, mwenye kutisha na kuogofya, tena mwenye nguvu nyingi. Alikuwa na meno makubwa ya chuma; akapondaponda na kuangamiza wahanga wake, na kukanyaga chini ya nyayo zake chochote kilichosalia. Alikuwa tofauti na wanyama wote waliotangulia, naye alikuwa na pembe kumi.
8 Na da bu ha: giwane sosodolalu, amo hono nabuane amo ganodini, hono afae fonobahadi heda: lebe ba: i. Goe hono fonobahadi da hono udiana eno amo hiougili, fadegale fasi dagoi. Amo hono ganodini da dunu ea si defele ba: i amola e da lafi gala, amoga gasa fi sia: bagade manebe nabi.
“Wakati nilipokuwa ninafikiri kuhusu pembe hizo, mbele yangu kulikuwa na pembe nyingine, ambayo ni ndogo, iliyojitokeza miongoni mwa zile kumi; pembe tatu za mwanzoni zilingʼolewa ili kuipa nafasi hiyo ndogo. Pembe hii ilikuwa na macho kama ya mwanadamu, na mdomo ulionena kwa majivuno.
9 Amola na da sosodoloba, ilia da fisu amo gaguli misini ligisi. Amola Hemonega Esalu Dunu, amo da fisu afae da: iya amogai fibi ba: i. Ea abula da ahea: yaidafa amola anegagi hano agoane ba: i. Amola Ea busa: gi hinabo amo da ahea: yai, sibi ea hinabo agoai ba: i. Goe fisu da wagebei emo (da: i sia: da wili [wheel]) legebe ba: i amola fisu amoga lalu gona: su da: gini ga: ga: la: lebe ba: i.
“Nilipoendelea kutazama, “viti vya enzi vikawekwa, naye Mzee wa Siku akaketi. Mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji; nywele za kichwa chake zilikuwa nyeupe kama sufu. Kiti chake cha enzi kilikuwa kinawaka kwa miali ya moto, nayo magurudumu yake yote yalikuwa yanawaka moto.
10 Lalu bagade da fisu amoga ga ahoanebe ba: i. Dunu amola uda osea: idafa da Hina Gode Ea hawa: hamomusa: gini lelu. Amola dunu amola uda osea: idafa baligili da Ea midadini lelu. Amalalu, fofada: su gilisisu da fili, fofada: su Buga huluane amo houga: i dagoi ba: i.
Mto wa moto ulikuwa unatiririka, ukipita mbele yake. Maelfu elfu wakamhudumia; kumi elfu mara kumi elfu wakasimama mbele zake. Mahakama ikakaa kuhukumu, na vitabu vikafunguliwa.
11 Na ba: laloba, hono fonobahadi amo da gasa fi sia: bagade sia: dalebe na da nabi. Amalalu, ilia da ohe biyadu amo lale medole legele, ea da: i huluane lalu ganodini galagale, ea da: i huluane laluga gugunufinisi dagoi ba: i.
“Kisha nikaendelea kutazama kwa sababu ya yale maneno ya majivuno yaliyosemwa na ile pembe. Nikaendelea kuangalia mpaka yule mnyama alipouawa, na mwili wake ukaharibiwa na kutupwa katika ule moto uliowaka.
12 Be Gode da ohe udiana eno, ilia bu fonobahadi fawane bu esaloma: ne, hame fane lelegei. Be E da ilia gasa bagade ouligisu hou amo fadegai dagoi.
(Wanyama wengine walikuwa wamevuliwa mamlaka yao, lakini waliruhusiwa kuishi kwa muda fulani.)
13 Amola na simasi ganodini liligi amo da osobo bagade dunu agoane ba: i. E da nama doaga: musa: manebe ba: i. Mu mobi da Ea da: i amo sisiga: i. E da Hemonega Esalu Dunu amoga asili, gousa: i.
“Katika maono yangu ya usiku nilitazama, na mbele yangu nikamwona anayefanana na mwanadamu, akija pamoja na mawingu ya mbinguni. Akamkaribia huyo Mzee wa Siku, na akaongozwa mbele zake.
14 Gode da amo Dunuma gasa bagade ouligisu sogebi i. Bai fifi asi gala sia: hisu hisu amola fi hisu hisu huluane da amo Dunuma nodone hawa: hamomu, Gode da hanai galu. Ea Hinadafa Hou da eso huluane mae fisili, dialalalumu.
Akapewa mamlaka, utukufu na ufalme wenye nguvu; nao watu wa kabila zote, mataifa, na watu wa kila lugha wakamwabudu. Utawala wake ni utawala wa milele ambao hautapita, nao ufalme wake ni ule ambao kamwe hautaangamizwa.
15 Na da goe simasi ba: beba: le, bagade fofogadigili, da: i dioi nabi.
“Mimi, Danieli, nilipata mahangaiko rohoni, nayo maono yale yaliyopita ndani ya mawazo yangu yalinisumbua.
16 Na da asili, dunu afae gadenene lelu ema simasi ea ba: i nama olelema: ne sia: i. Amalalu, e da bai amo nama olelei.
Nikamkaribia mmoja wa wale waliosimama pale na kumuuliza maana halisi ya haya yote. “Basi akaniambia na kunipa tafsiri ya vitu hivi:
17 E amane sia: i, “Goe ohe fi biyaduyale bagade amo da osobo dogone fi biyaduyale gala amo gasa bagade ilia da osobo bagadega heda: mu.
‘Hao wanyama wanne wakubwa ni falme nne zitakazoinuka duniani.
18 Amola Gadodafa Gode amo Ea fi dunu da Ea gasa lale, amo gasa ilia da mae fisili, eso huluane gagui dialumu!”
Lakini watakatifu wa Yeye Aliye Juu Sana watapokea ufalme na kuumiliki milele: naam, milele na milele.’
19 Amalalu, na da ohe biyadu amo ea hou ema adole ba: i. Amo ohe da eno ohe agoai hame. Na da ema bagade beda: i. Ea ifi da balasega hamoi amola ea bese da ouliga hamoi. Amoga e da dunu goudasu amola ilima osa: gisu.
“Kisha nilitaka kufahamu maana ya kweli ya mnyama yule wa nne, ambaye alikuwa tofauti na wale wengine wote, tena wa kutisha sana, na meno yake ya chuma na makucha ya shaba: mnyama ambaye alipondaponda na kuangamiza wahanga wake, na kukanyaga chochote kilichosalia.
20 Amola na da eno liligi dawa: mu hanai galu. Amo da ohe ea dialuma da: iya hono nabuane heda: lebe ba: i, amola hono afae da fa: no heda: le, hono udiana eno duga: le fasi. Amo hono da si amola lafi gala. Ea lafidili, e da gasa fi sia: bagade sia: dalu. Amoga, dunu huluane da bagade beda: i.
Pia mimi nilitaka kujua kuhusu zile pembe kumi juu ya kichwa chake, na pia kuhusu ile pembe nyingine iliyojitokeza, ambayo mbele yake zile tatu za mwanzoni zilianguka, ile pembe ambayo ilionekana kuvutia macho zaidi kuliko zile nyingine, na ambayo ilikuwa na macho na kinywa kilichonena kwa majivuno.
21 Na da ba: laloba, amo hono da Gode Ea fi dunu ilima gegenanu, ili hasali.
Nilipoendelea kutazama, pembe hii ilikuwa inapigana vita dhidi ya watakatifu na kuwashinda,
22 Amalalu, Hemonega Esalu Dunu amo da misini, fofada: nanu, E da Gode Gadodafa amo Ea fi da bisilua fi E da sia: i dagoi. Gode Ea fi dunu ilia gasadafa lamu eso da doaga: i dagoi.
mpaka huyo Mzee wa Siku alipokuja na kutamka hukumu kwa kuwapa ushindi watakatifu wa Yeye Aliye Juu Sana, na wakati ukawadia walipoumiliki ufalme.
23 Dunu amoma na da simasi bai adole ba: i, e da amo bai nama olelei, amane, “Ohe biyadu amo ea bai da osobo dogone fi misunu. Amo fi da osobo dogone fi eno amoga hisu ba: mu. Amo fi da osobo bagade fifi asi gala amo huluane goudane, amoga osa: la heda: mu.
“Alinipa maelezo haya: ‘Mnyama wa nne ni ufalme wa nne ambao utatokea duniani. Utakuwa tofauti na falme nyingine zote, nao utaharibu dunia nzima, ukiikanyaga chini na kuipondaponda.
24 Hono nabuane da hina bagade nabuane ilia da amo osobo dogone fi ouligimu. Amalalu, hina bagade afae eno (e da musa: hina bagade ema hisu ba: mu) amo da misini, eno hina bagade udiana amo huluanema osa: la heda: mu.
Zile pembe kumi ni wafalme kumi watakaotokana na ufalme huu. Baada yao mfalme mwingine atainuka, ambaye atakuwa tofauti na wale waliotangulia, naye atawaangusha wafalme watatu.
25 E da Gadodafa Godema lasogole sia: ga gegemu amola e da Gode Ea fi dunu ilima banenesimu. E da ilia Godema nodomusa: Lolo Nabe amola Gilisisu, amo afadenene amola ga: simusa: dawa: mu. Amo hina bagade da ode udiana amola oubi gafeyale amoga Gode Ea fi dunu ilima nimi bagade hinawane esalumu.
Atanena maneno kinyume cha Yeye Aliye Juu Sana na kuwaonea watakatifu wake, huku akijaribu kubadili majira na sheria. Watakatifu watatiwa chini ya mamlaka yake kwa wakati, nyakati mbili, na nusu wakati.
26 Amalalu, Hebene ganodini gasolo da gilisili fofada: nanu, amo hina bagade ea gasa fadegale, e amola gugunufinisimudafa.
“‘Lakini mahakama itakaa kuhukumu, nayo mamlaka yake yataondolewa na kuangamizwa kabisa milele.
27 Amalalu, Baligili Gadodafa Gode da osobo bagade fifi asi gala huluane ilia hadigi amola ilia gasa amo samogene, Ea fi dunu ilima imunu. Amalalu, ilia gasa da hame dagole, eso huluane amaiwane dialalalumu. Osobo bagade hina dunu huluane da Gode Ea fi dunu ilia sia: nabimu amola ilia hawa: hamosu hamonanumu!”
Ndipo ufalme, mamlaka na ukuu wa falme chini ya mbingu yote utakabidhiwa kwa watakatifu, watu wa Yeye Aliye Juu Sana. Ufalme wake utakuwa ufalme wa milele, nao watawala wote watamwabudu na kumtii yeye.’
28 Defea! Amo simasia ba: i ea bai olelesu da dagoi. Na da bagade beda: iba: le, na odagi da haliga: i bagade ba: i amola na da eno dunuma mae adole, nisu da dadawa: lalu.
“Huu ndio mwisho wa jambo lile. Mimi Danieli nilitaabika sana katika mawazo yangu, nao uso wangu ukabadilika, lakini nililiweka jambo hilo moyoni mwangu.”

< Da:niele 7 >