< Da:niele 3 >

1 Nebiuga: denese da sia: beba: le, ea ouligisu dunu da dununa amo gouliga hamone, Dula umi sogebi Ba: bilone soge bagade ganodini bugisi. Amo ea sedade defei da27mida amola ea ba: de defei da3mida agoane ba: i.
Mfalme Nebukadneza alitengeneza sanamu ya dhahabu ambayo ilikuwa na urefu wa dhiraa sitini na upana dhiraa sita. Aliiweka katika uwanda wa Dura katika jimbo la Babeli.
2 Ilia amo ligisi dagolalu, Nebiuga: denese da eagene ouligisu dunu huluane gilisila misa: ne sia: i. Amola ouligisu dunu bisilua amola amo baligia aligisu da: i, dunu muni ouligisu, fofada: su dunu eno amola diasu fi eno, amo dunu huluane gilisi. Ilia da Nebiuga: denese ea dununa hamoi liligi bagade amo ilegemusa: gilisi.
Kisha Nebukadneza alituma ujumbe wa kuwaita pamoja magavana wote wa majimbo, magavana wa mikoa, na magavana wa vijiji, pamoja na na washauiri, wahazini, waamuzi, mahakimu, na maafisa wengine wakuu wa majimbo ili waje kwa ajili ya uzinduzi wa sanamu aliyokuwa ameiweka.
3 Amola goe dunu bagade dawa: su amola eagene amola amo dunu ilia dununa hamoi amo modale ligiagamusa: , ea midadi aligi lelea,
Ndipo magavana wa majimbo, magavana wa mikoa, na magavana wa vijiji, pamoja na washauri, wahasibu, waamuzi, mahakimu, na maafisa wa juu wa majimbo walikusanyika kwa pamoja katika uzinduzi wa sanamu ambayo Nebukadneza aliyokuwa ameiweka. Walisimama mbele yake.
4 sisia: su dunu afae da ha: giwane amane wei, “Dilia fifi asi gala dunu huluane amola sia: hisu hisu dunu amola dunu amola uda huluane noga: le nabima!
Kisha mtangazaji alipiga kelele, “Enyi watu, mataifa, na lugha mmeamriwa
5 Dilia da dalabede dubi nabimu. Amalalu, dilia da gesami hea: lalu dusu liligi bagohame amola amo dubi nabimu. Amo dilia nabalu, defea, dilia beguduli, amo dununa hamoi Nebiuga: denese ea bugi, amoma nodone sia: ne gadoma.
kwamba mtakaposikia sauti za pembe, filimbi, ala za muziki, zeze, vinubi na zumari na aina zote za muziki, ni sharti kuanguka na kuisujudia ninyi wenyewe sanamu ya dhahabu ambayo Mfalme Nebukadneza alikuwa ameiweka.
6 Nowa da amoma hame sia: ne gadosea, dadi gagui da amo dunu hedolodafa lale, lalu bubugi sawa: bagade amo ganodini galadigimu!”
Na yeyote asiyeanguka na kuiabuda, kwa wakati huo huo atatupwa katika tanuru la moto.”
7 Amaiba: le, fifi asi gala dunu amola sia: hisu hisu dunu huluane da gesami hea: sa dusu liligi amo ea ga: lalabolalu, ilia da beguduli, amo dununa hamoi Nebiuga: denese ea bugi, amoma ilia da sia: ne gadoi.
Basi watu walilposikia sauti za pembe, filimbi, ala za muziki, zeze, vinubi na zumari na aina zote za muziki, watu wote, mataifa na lugha walianguka na kuisujudia wao wenyewe sanamu ya dhahabu ambayo Nebukadneza mfalme alikuwa ameiweka.
8 Amogalu, Ba: bilone dunu mogili amo da Yu dunu higasu, ilia da Yu dunuma diliwaneya udidima: ne logo doasi dagoi ba: i.
Wakati huu baadhi ya Walkadayo walikuja na kuleta mashitaka kinyume na Wayahudi.
9 Ilia da hina bagade Nebiuga: denesema amane sia: i, “Hina bagade! Di da eso huluane mae bogole fifi ahoanumu da defea!”
Walimwambia mfalme Nebukadneza, “mfalme aishi milele!
10 “Hina bagade dia sema ligi amo da amane sia: i. Gesami hea: lalu liligi ga: nabalalu, dunu huluane da dununa dia loboga gouliga hamone bugi amoma beguduli sia: ne gadoma: ne sia: i dagoi galu.
Ewe mfalme, umeweka amri kwamba kila mtu aisikiye sauti ya pembe, filimbi, ala za muziki, zeze, vinubi na zumari, na aina zote za muziki, lazima kuanguka na kuisujudia sanamu ya dhahabu.
11 Be nowa dunu da amoga hame beguduli sia: ne gadolalea, dia dadi gagui da amo dunu lale, lalu bubugi sawa: bagade amo ganodini galagamu sia: i galu.
Mtu yeyote asiyeanguka na kuiabudu sharti atupwe katika tanuru linalowaka moto.
12 Be Yuda dunu udiana amo ilia da Ba: bilone soge ouligima: ne di sia: i. Ilia dio da Sia: dala: ge, Misia: ge amola Abedenigou. Amola ilia da dia hamoma: ne sia: i amo hame nabi. Ilia da dia ‘gode’ ema hame sia: ne gadosa, amola dununa dia hamoi amoma ilia hame beguduli sia: ne gadoi!”
Sasa kuna baadhi ya Wayahudi ambao umewaweka juu masuala ya jimbo la Babeli; majina yao ni Shadraka, Meshaki, na Abednego. Mfalme, hawa watu hawakutii wewe. Hawataiabudu, kuitumikia wala kuisujudia wenyewe sanamu ya dhahabu ambayo umeiweka.”
13 Hina bagade da amo sia: nababeba: le, ougi bagadedafa ba: i. E amane sia: i, “Amo dunu udiana nama oule misa!”
Ndipo Nebukadneza alijawa na hasira na ghadhabu, aliagiza kwamba Shadraka, Meshaki na Abednego waletwe kwake. Hivyo, waliwalete hawa watu mbele ya mfalme.
14 Ilia da hina bagadema misini doaga: loba, e da ilima amane adole ba: i,” Sia: dala: ge, Misia: ge amola Abedenigou! Dilia da na ‘gode’ amola na dununa hamoi amoma dilia da sia: ne gadomusa: higasa na da nabi. Amo ilia da sia: dalebe da dafawanela: ?
Nebukadneza aliwaambia, “Je mmejipanga katika akili zenu, enyi Shadraka, Meshaki na Abedinego, kwamba hamtaiabudu miungu yangu wala kuisujudia wenyewe sanamu ile ya dhahabu ambayo nimeiweka?
15 Be wali dilia da gesami hea: lalu liligi amo ilia ga: eno nabalalu, dilia beguduli amola dununa hamoi amoma nodone sia: ne gadoma. Be dilia na sia: hame nabasea, dadi gagui da dili lale, lalu bubugi sawa: bagade amo ganodini galadimu. Amola nowa ‘gode’ da dili laluga mae nema: ne fidima: bela: ?” Nebiuga: denese da amane sia: i.
Basi sasa kama mko tayari - mtakaposikia sauti pembe, filimbi, ala za muziki, zeze, vinumbi na zumari, aina zote za muziki - kuanguka chini na kuisujudia wenyewe sanamu ile ambayo nimeitengeneza, mambo yote yatakuwa mazuri. Lakini kama hamtaiabudu, mtatupwa mara katika tanuru la moto. Ni mungu gani atakayeweza kuwaokoa katika mikono yangu?”
16 Sia: dala: ge, Misia: ge amola Abedenigou da amane sia: i, “Hina bagade! Ninisu da ninia hou hame gaga: mu. Dia ninima adi liligi hamomusa: dawa: sea hamoma.
Shadraka, Meshaki, na Abednego wakamjibu mfalme, “Nebukadneza, hatuhitaji kukujibu wewe katika jambo hili.
17 Ninia da Godedafa Ema hawa: hamosa. E da nini lalu bubugi sawa: bagade amola dia gasa amoga gaga: musa: defele esala. E da amo hamomusa: dawa: sea, E da amo hamomu.
Kama kuna jibu, ni kwamba Mungu wetu ambaye tunamtumikia anaweza kutuhifadhi sisi salama katika katika tanuru la moto, na atatuokoa sisi katika mkono wako, mfalme.
18 Be E da nini hame gaga: sea, defea, ninia da hame dawa: mu. Be ninia da dia ‘gode’ goma ninia hame sia: ne gadomu. Amola ninia da dia dununa gouliga hamoi amoma hamedafa begudumu.”
Kama sivyo, na ijulikane kwako, wewe mfalme, kwamba hatutaiabudu miungu yako, na wala hatutaisujudia wenyewe sanamu ya dhahabu uliyoiweka.
19 Nebiuga: denese da amo sia: nababeba: le ougi bagade ba: i. E da Sia: dala: ge, Misia: ge amola Abedenigou ilia hou dawa: beba: le, ea si da hea: le dagoidafa ba: i. E da ea hawa: hamosu dunuma ilia da lalu ea gasa bagade fesuale agoane bu hahamoma: ne sia: i.
Ndipo Nebukadneza alijawa na ghadhabu; mwonekano wa uso wake ulibadilika kinyume na Shadraka, Meshaki na Abedinego. Aliagiza kuwa tanuru lichochewe ukali mara saba zaidi kuliko lilivyokuwa kawaida.
20 Amola e da baligili gasa bagade dadi gagui dunu ilima ilia da Sia: dela: ge, Misia: ge amola Abedenigou ili oule asili, lalu bubugi sawa: bagade ganodini galadagima: ne sia: i.
Kisha aliwaamuru baadhi ya watu wenye nguvu katika jeshi lake kuwafunga Shadraka, Meshaki na Abednego na kuwatupa katika tanuru liwakalo moto.
21 Amalalu, ilia da amo udiana la: gili, amola ilia abula gilisili la: gili, lalu bubugi sawa: bagade amo ganodini galagai.
Walifungwa akali wakiwa wamevaa nguo zao, kanzu, kilemba, na mavazi mengine, na walitupa katika tanuru liwakalo moto.
22 Hina bagade da ea fidisu dunu ilima lalu dogolo bagade heda: ma: ne sia: i dagoi. Amaiba: le, dadi gagui sosodo aligisu dunu ilia Yuda dunu udiana amo gaguli asili lalu ganodini galagai. Lalu da dogolo bagadeba: le, sosodo aligisu dunu amo nei dagoi ba: i.
Kwasababu ya agizo la mfalme lilifuatwa na tanuru lilikuwa na joto sana, miali ya moto iliwaua watu waliowatupa Shadraka, Meshaki, na Abedinego.
23 Be Sia: dela: ge, Misia: ge amola Abedenigou ili da efega lala: gili, lalu dogoa amodili muwane sa: i.
Hawa wanaume watatu, Shadraka, Meshaki, na Abednego, waliangukia katika tanuru liwakalo moto wakali wamefungwa.
24 Nebiuga: denese da ili ba: beba: le hedolodafa wa: legadole lelu. E da ea fidisu dunu ilima amane sia: i, “Ninia dunu udiana ninia la: la: gili amola lalu bubugi sawa: amoga galagai o hame galagaila: ? Ilia amane adole i,” Ma! Ninia da dunu udiana galagai.”
Kisha Nebukadneza mfalme alishangazwa na alisimam haraka. Aliwauliza washauri wake, “Je hatukutupa watu watatu wakiwa wamefungwa katika moto?” Nao walimjibu mfalme, “Hakika mfalme.”
25 Nebiuga: denese da amane sia: i, “Amaiba: le, na da abuliba: le dunu biyaduyale amo lalu ganodini lalalebe ba: sala: ? Amola ilia da mae la: la: gili lalebe. Amola lalu amoga ili da hame nei. Amola dunu biyadu e da ‘gode’ ea mano agoai ba: sa.
Alisema, “Lakini ninaona watu wanne ambao hawajafungwa wakizunguka katika moto, na hawajaumizwa. Mng'ao wa mtu wa nne ni kama mwana wa miungu.”
26 Amanoba, Nebiuga: denese da asili, lalu logo ga: su amo gadenene aligili, amane wei, “Sia: dela: ge, Misia: ge amola Abedenigou! Dilia da Gode Gadodafa amo Ea hawa: hamosu dunu. Dili gadili misa!” Amalalu, ilia da lalu amo yolesili gadili asi dagoi.
Ndipo Nebukadneza aliposogea karibu na mlango wa tanuru liwakalo moto na akaaita, “Shadraka, Meshaki na Abednego, watumishi wa Mungu Aliye Juu, tokeni nje! Njooni hapa! Ndipo Shadraka, Meshaki na Abednego walitoka nje ya moto.
27 Amola hina bagade ea eagene ouligisu dunu mimogo amo ili gadenene misini, Yuda dunu udiana amo ba: i. Be ba: loba da ili da laluga hame nei ba: i. Amola ili ba: loba da laluga da ilia abula amola ilia hinabo da laluga hame nei. Amola ilia da: i hodo amoga da lalu mobi gaha agoai da hamedafa nabi.
Magavana wa majimbo, magavana wengine, na washauri wa mfalme waliokuwa wamekusanyika kwa pamoja waliwaona watu hawa. Moto haukuunguza miili yao; nywele katika vichwa vyao hazikuungua; mavazi yao yalikuwa hayajaharibiwa; na hawakuwa na harufu ya moto.
28 Amola hina bagade da amane sia: i, “Sia: dela: ge, Misia: ge amola Abedenigou ilia Gode Ea Dio nodone gaguia gadoma! E da a: igele dunu asunasili, dunu udiana ili gaga: i dagoi. Bai ilia da Ema dafawaneyale dawa: be amola Ema hawa: hamonana. Amola ilia da eno ‘gode’ liligi amoma beguduli sia: ne gadomu higa: iba: le, ilia da na sia: hame nabi, amola ilia da bogomuba: le hame beda: su.
Nebukadneza alisema, “Na tumsifu Mungu wa Shadraka, Meshaki na Abedinego, ambaye amemtuma mjumbe wake na amewapa ujumbe watumishi wake. Walimtumaini yeye wakati walipoikana amri yangu, na waliitoa miili yao badala ya kuabudu au kusujudia mungu mwingine isipokuwa Mungu wao.
29 Wali na da sema eno ilegesa. Nowa dunu fifi asi gala sia: hisu dunu huludafa amo afae da Sia: dela: ge, Misia: ge amola Abedenigou ilia Gode Ea hou lasogole sia: sea, na dadi gagui dunu da amo dunu ea emo amola lobo huluane hiougili dagagala: ma: mu. Amola ea diasu mugululi, isu salasu agoane hamomu. Gode Bagadedafa da Gaga: su dunudafa. Eno ‘gode’ agoaiwane da hamedafa gala.”
Hivyo basi ninaagiza kwamba watu wote, taifa au lugha ambayo itazungumza kitu chochote kinyume na Mungu wa Shadraka, Meshaki na Abedinego lazima wakatwe vipande, na ya kwamba nyumba zao lazima zifanywe kuwa vichuguu vya uchafu kwasababu hakuna mungu mwingine anayeweza kuokoa kama hivi.”
30 Hina bagade da adoi dagoi. Amola e da Sia: dela: ge, Misia: ge amola Abedenigou ilima hawa: hamosu amo da ilia musa: hawa: hamosu baligi, Ba: bilone soge ganodini ilima i.
Ndipo mfalme aliwapandisha cheo Shadraka, Meshaki na Abednego katika jimbo la Babeli.

< Da:niele 3 >