< Da:niele 11 >

1 Gode da Maigele amo na fidima: ne amola gaga: ma: ne e ilegei dagoi.
Nami katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Dario Mmedi, nilisimama kumsaidia na kumlinda.)
2 Na da waha dima olelemu liligi da dafawane.” A: igele da nama amane sia: i, “Hina bagade eno udiana da Besia soge amo ouligimu. Amo fa: no, hina bagade eno, amo ea muni amola liligi gagui hou da huluane musa: hina bagade dunu bagadewane baligibi ba: mu, amo da misunu. Ea gasa amola gagui hou da bagadewane heda: lebeba: le, e da Galigi fi ilima gegemusa: logemu.
“Sasa basi, ninakuambia kweli: Wafalme watatu zaidi watatokea Uajemi, kisha atatokea mfalme wa nne, ambaye atakuwa tajiri sana kuliko wengine wote. Wakati atakapokuwa amekwisha kujipatia nguvu kwa utajiri wake, atamchochea kila mmoja dhidi ya ufalme wa Uyunani.
3 Amalalu, hina bagade gesa: i gala eno da manebe ba: mu. E da fi bagadedafa amo ouligimu amola e da hi hanaiga hawa: hamonanumu.
Ndipo mfalme mwenye nguvu atatokea, ambaye atatawala kwa nguvu nyingi na kufanya anavyopenda.
4 Be ea gasa da bagadewane heda: i ba: lalu, ea fi da afafane, fi biyadu agoane ba: mu. Eno hina bagade (musa: gasa bagade hina bagade ea mano hame) ilia da ea sogebi lale, ouligimu. Be ea gasa ouligisu hou defele, ilia da hame lamu.
Baada ya kujitokeza, milki yake itavunjwa na kugawanyika katika pande nne za mbinguni. Hautakwenda kwa wazao wake, wala hautakuwa na nguvu alizotumia, kwa sababu milki yake itangʼolewa na kupewa wengine.
5 Idibidi hina bagade da gasa bagade ba: mu. Be ea dadi gagui ouligisu dunu afae, amo ea gasa da heda: le, Idibidi hina bagade amo ea gasa baligimu. E amola da fi bagade, Idibidi hina bagade ea fi amo baligisa, amo e da ouligimu.
“Mfalme wa Kusini atakuwa na nguvu, lakini mmoja wa majemadari wake atakuwa na nguvu zaidi kuliko mfalme, naye atatawala ufalme wake mwenyewe kwa nguvu nyingi.
6 Ode mogili da gidigili, Idibidi hina bagade da Silia hina bagadema gousa: su hamomu. E da ea idiwi amo Silia hina bagade lama: ne, ema imunu. Be amo gousa: su da fisi dagoi ba: mu. Amola Idibidi hina ea idiwi amola ea egoa amola ea mano amola hawa: hamosu dunu amo da e sigi asi, ilia da medole legei dagoi ba: mu.
Baada ya miaka kadha, wataungana. Binti wa mfalme wa Kusini ataolewa kwa mfalme wa Kaskazini ili kuimarisha mapatano, lakini huyo binti nguvu zake hazitadumu; hata mfalme hatadumu wala nguvu zake. Katika siku hizo atafukuzwa, pamoja na hao wasindikizaji wake wa kifalme, watoto wake, na yeyote aliyemuunga mkono.
7 Fa: no, amo uda ea fi dunu da Idibidi amoga hina bagade ba: mu. E da Silia hina bagade amo ea dadi gagui dunu ilima doagala: musa: masunu. E da ilia gasa bagade gagoi amo ganodini golili sa: ili, Silia dunu hasalasimu.
“Mmoja kutoka jamaa ya huyo binti atainuka na kuchukua nafasi yake. Atashambulia majeshi ya mfalme wa Kaskazini na kuingia katika ngome yake; atapigana dhidi yao naye atashinda.
8 Amalalu, e da loboga hamoi ogogole ‘gode’ liligi, gouli, silifa, amoga hamoi liligi amo ilia ogogosu ‘gode’ amoma nodomusa: ilegei, amo e da Idibidi sogega gaguli masunu. Amalalu, ode mogili amoga, olofosu da ba: mu.
Tena ataitwaa miungu yao, vinyago vyao vya chuma, na vitu vyao vya thamani vya fedha na dhahabu, na kuvichukua hadi Misri. Kwa miaka kadha atamwacha mfalme wa Kaskazini bila kumsumbua.
9 Be amo ode da gidigisia, Silia hina bagade da Idibidi fi doagala: musa: masunu. Be Idibidi dadi gagui wa: i da bu gasawane dabe gegenanu, Silia hina bagade da ea sogega buhagimu.
Kisha mfalme wa Kaskazini atashambulia nchi ya mfalme wa Kusini, lakini atarudi nyuma hadi kwenye nchi yake.
10 Silia hina bagade amo ea mano huluane mafia: le, dunu lidilalu dadi gagui dunu osea: idafa ba: mu. Amo dadi gagui dunu osea: idafa da hano leda: lala agoane osobo huluane dedeboiwane doagala: musa: asili, Idibidi hina bagade amo ea gasa bagade gagili sali amoga doaga: mu.
Wana wa mfalme wa Kaskazini watajiandaa kwa vita na kukusanya jeshi kubwa, ambalo litafagia nchi kama mafuriko yasiyozuilika na kuendelea na vita hadi kwenye ngome ya mfalme wa Kusini.
11 Amo hou ba: beba: le, Idibidi hina bagade da ougi bagade heda: le, Silia hina bagade ema gegemusa: masunu. Amola ea dadi gagui wa: i bagade da asili, Silia dunu huluane gagulaliligi, huluane da udigili hawa: hamosu dunu hamoi dagoi ba: mu.
“Kisha mfalme wa Kusini atatoka kwa ghadhabu na kupigana dhidi ya mfalme wa Kaskazini, ambaye ataunda jeshi kubwa, lakini litashindwa.
12 Amalalu, Idibidi hina bagade da hahawane ba: mu. Bai e da Silia dadi gagui dunu bagohamedafa medole legei dagoi. Be ea hasalasisu hou da hame dialumu.
Wakati jeshi litakapokuwa limechukuliwa, mfalme wa Kusini atajawa na kiburi na atachinja maelfu mengi, hata hivyo hatabaki na ushindi.
13 Silia hina bagade da sinidigili, dadi gagui osea: idafa, amo ea musa: gilisi bagadewane baligima: ne, e da gagadomu. Ode mogili da gidigisia, ea dadi gagui dunu gilisisu bagadedafa gegesu liligi noga: idafa gaguiwane, da bu Idibidi fi ilima doagala: musa: masunu.
Kwa maana mfalme wa Kaskazini atakusanya jeshi jingine kubwa kuliko lile la kwanza; na baada ya miaka kadha, atasonga mbele na jeshi kubwa mno lililoandaliwa vizuri.
14 Amo esoga, dunu bagohame da sinidigili, Idibidi hina bagade ema odoga: mu. Amola dia fi dunu, Da: niele, mogili nimi bagade dunu da simasi eno ba: i dagoiba: le, da Idibidi hina bagadema odaga: ne gegemu. Be Idibidi hina bagade da ili hasalasimu.
“Katika nyakati hizo wengi watainuka dhidi ya mfalme wa Kusini. Watu wenye ghasia miongoni mwa watu wako mwenyewe wataasi ili kutimiza maono, lakini bila mafanikio.
15 Amalalu, Silia hina bagade da moilai bai bagade amo da gasawane gagili sali gala, amoga gegenanu lamu. Amola Idibidi dadi gagui dunu da bu gegemu hamedeiwane ba: mu. Bai ilia noga: i dadi gagui dunu ilia gasa huluane fisi dagoi ba: mu.
Ndipo mfalme wa Kaskazini atakuja na kuuzunguka mji kwa majeshi, na kuuteka mji wa ngome. Majeshi ya Kusini yatakosa nguvu za kuyazuia; naam, hata vikosi vyao vya askari vilivyo bora zaidi, havitakuwa na nguvu ya kuwakabili.
16 Ilia bu gegemu da hamedeiba: le, Silia hina bagade da ilima ea hanaiga hamomu. E da soge amo Gode da Ea fi dunuma imunu ilegelesia: i, amo ganodini e da lelumu amola ea gasaga dafawane amo soge gagumu.
Huyo mvamia nchi atafanya apendavyo; hakuna yeyote atakayeweza kumpinga. Atajiimarisha katika Nchi ya Kupendeza, na atakuwa na uwezo wa kuiangamiza.
17 Amalalu, Silia hina bagade da bu gegemusa: dawa: mu. E da ea dadi gagui huludafa gilisimu. E da Idibidi hina bagade ema gousa: su hamoma: ne, ea idiwi amo Idibidi hina bagade amo lama: ne, ema imunusa: sia: mu. Be amo ilegesu da didili hame hamoi ba: mu.
Ataamua kuja na nguvu za ufalme wake wote na kufanya mapatano ya amani na mfalme wa Kusini. Naye atamtoa binti yake aolewe naye ili kuuangusha ufalme, lakini mipango yake haitafanikiwa wala kumsaidia.
18 Amo fa: no, Silia hina bagade da fifi asi gala amo hano bagade bega: esala, amo doagala: lalu, e da mogili hasalasimu. Be ga fi ouligisu dunu da ema gegenanu, e hasalimu. Amalalu, ea gasa fi hou hedofai dagoi ba: mu. Ga fi dunu da Silia hina bagade amo ea gasa fi hou hedofamu, amola e sefasimu.
Ndipo atabadili nia yake kupigana na nchi za pwani na ataziteka nyingi, lakini jemadari mmoja atakomesha ufidhuli wake na kurudisha ufidhuli wake juu yake.
19 Silia hina bagade da hi soge ganodini, moilai bai bagade gagili sali dagoi, amoga buhagimu. Be e da enoga hasalasili, gugunufinisi dagoi ba: mu.
Baada ya hili atazigeukia ngome za nchi yake mwenyewe, lakini atajikwaa na kuanguka, wala hataonekana tena.
20 Fa: no, hina bagade eno da Silia hina bagade ea sogebi lamu. E da eagene ouligisu dunu amo eagene su (da: gisi) muni lama: ne asunasimu. Amo hou da doaga: lalu, ea dunu fi da se bagade nabimu. Be e da ode bagahame fawane hina hou hamonanu, bogomu. Ea bogosu da gegesu ganodini hame, amola ea bogosu amo dunu huluane da hame ba: mu.”
“Atakayetawala baada yake atamtuma mtoza ushuru ili kudumisha fahari ya kifalme. Hata hivyo, baada ya miaka michache ataangamizwa, lakini si katika hasira wala katika vita.
21 A: igele dunu da eno amane sia: i, “Hina bagade eno da Silia soge ouligimusa: misunu. E da dunu wadela: idafa ba: mu. E da hina bagade hou hame hamomu galu, be e da eno ea sogebi lamu. Be e da ogogolewane, hedolowane hina bagade hamomusa: , gasa fiwane hina bagade hou gagumu.
“Atakayetawala baada yake atakuwa mtu wa kudharauliwa ambaye hajapewa heshima ya kifalme. Atauvamia ufalme wakati watu wake wanapojiona wako salama, naye atautwaa kwa hila.
22 Nowa da ema gegemusa: dawa: lalu, e da ilima hasalasili wadela: lesimu. Gode Ea gobele salasu Ouligisu dunu amola da ema sia: nanea, e da amo osa: la heda: mu.
Ndipo jeshi kubwa litafagiliwa mbele yake; jeshi pamoja na mkuu mmoja wa agano wataangamizwa.
23 E da eno fi dunuma ogogole gousa: su hou hamomu. E da fi fonobahadi fawane amo ganodini hina bagade esalebe ba: mu. Be e da ogogosu hou hamomuba: le, e da gasa bagade heda: lalebe ba: mu.
Baada ya kufanya mapatano naye, atatenda kwa udanganyifu, na akitumia watu wachache tu ataingia madarakani.
24 E da sisasu mae iawane, muni bagade gagui soge fi amoga doagala: lalu, lamu. Amo soge ganodini e da hou amo ea aowalalia da hame hamoi, amo hamomu. Amalalu, e da liligi amola soge amo e da gegesu ganodini lai, amo fifili, ema fa: no bobogesu dunu ilima imunu. E da gasa bagade gagili sali moilaiga doagala: musa: , amo ilegemu. Be ea gasa fi hamosu da hedolo dagomu.
Wakati majimbo yaliyo tajiri sana yanajiona salama, atayavamia, naye atafanikisha kile ambacho baba zake wala babu zake hawakuweza. Atagawa nyara, mateka na utajiri miongoni mwa wafuasi wake. Atafanya hila ya kupindua miji yenye maboma, lakini kwa muda mfupi tu.
25 E da mae beda: iwane, dadi gagui wa: i bagadedafa amo Idibidi hina bagadema doagala: musa: , gagadomu. Idibidi hina bagade amola da bu gegemusa: dadi gagui dunu bagohamedafa gagadomu. Be eno dunu da Idibidi hina bagade ema ogogobeba: le, e da dafamu.
“Pamoja na jeshi kubwa atachochea nguvu zake na ushujaa wake dhidi ya mfalme wa Kusini. Mfalme wa Kusini atafanya vita na jeshi lenye nguvu sana, lakini hataweza kusimama kwa sababu ya kwa hila zilizofanywa dhidi yake.
26 Idibidi hina bagade ea eagene fidisu dunu (amo da e gadenene fidisu hou olelesa) ilia da hohonomuba: le, e da wadela: lesi dagoi ba: mu. Ea dadi gagui dunu bagohame da ilima ha lai dunu amoga medole legei dagoi ba: mu. Ea dadi gagui wa: i da wadela: lesi dagole, hamedafa ba: mu.
Wale wanaokula kutoka kwenye ruzuku za mfalme watajaribu kumwangamiza; jeshi lake litafagiliwa mbali, nao wengi watakufa vitani.
27 Amalalu, amo hina bagade aduna ela da gilisili ha: i manusa: fimu. Be ela asigi dawa: su ganodini da wadela: i fawane ba: mu. Amola ela da sia: dalu, bagadewane ogogomu. Ela hanai amo ela da hame ba: mu. Bai Gode da amo eso hame ilegei.
Wafalme hawa wawili, mioyo yao ikiwa imekusudia mabaya, wataketi kwenye meza moja na kudanganyana wao kwa wao, lakini pasipo faida, kwa sababu bado mwisho utakuja katika wakati ulioamriwa.
28 Silia hina bagade da liligi huluane e da gegesu ganodini lai, amo gaguiwane hi sogega buhagimu. E da Gode Ea fi dunu amola uda ilia Godema nodone sia: ne gadosu hou amo wadela: musa: bagadewane dawa: lalumu. E da hi hanaiga hamonanu, hi sogega buhagimu.
Mfalme wa Kaskazini atarudi katika nchi yake na utajiri mwingi, lakini atakuwa ameukaza moyo wake kinyume na agano takatifu. Atachukua hatua dhidi ya hilo agano, kisha atarudi nchi yake.
29 Fa: no e da Idibidi amoma bu doagala: mu amola Idibidi soge ganodini golili sa: imu. Be amo esoga hou hisu da ba: mu.
“Wakati ulioamriwa, atavamia tena Kusini, lakini wakati huu matokeo yake yatakuwa tofauti na yale ya wakati wa kwanza.
30 Louma dadi gagui dunu da dusagai bagade amo ganodini ema doagala: musa: misunu. E da bagadewane beda: mu. Amalalu, e da ougi bagade ba: mu. E da sinidigili, Gode Ea fi dunu ilia Godema sia: ne gadosu hou wadela: lesimusa: gegemu. E da nowa dunu ilia Gode Ea hou lalegaguli yolesi, amo ilia sia: nabalu, Gode Ea fi wadela: musa: dawa: mu.
Meli za nchi ya Kitimu zitampinga, naye atavunjika moyo. Ndipo atarudi nyuma na kutoa wazi hasira yake dhidi ya agano takatifu. Atarudi na kuonyesha fadhili kwa wale waliachao agano takatifu.
31 Ea dadi gagui mogili ilia da Debolo diasu ganodini ledo liligi ligisili, wadela: lesimu. Ilia eso huluane gobele salasu hou, amo hedofamu. Amola ilia da liligi amo ea dio da Wadela: idafa Liligi, amo Debolo diasu ganodini sagasimu.
“Majeshi yake yenye silaha yatainuka ili kunajisi ngome ya Hekalu, na kuondolea mbali sadaka ya kuteketezwa ya kila siku. Ndipo watalisimamisha chukizo la uharibifu lisababishalo ukiwa.
32 Silia hina bagade da ilima ogogobeba: le, dunu mogili ilia da Gode Ea hou lalegagui yolesili, amo ilia da ema fa: no bobogemu. Be Godema dafawane fa: no bobogesu dunu da ilima bu gegemu.
Kwa udanganyifu atapotosha wale walionajisi agano, lakini watu wanaomjua Mungu wao watampinga kwa uthabiti.
33 Gode Ea fi bagade dawa: su ouligisu dunu da ilia dawa: su amo ilia fi dunu eno ilima olelemu. Be mogili ilia medole legei dagoi ba: mu. Mogili ilia da laluga nei dagole, bogoi dagoi ba: mu. Mogili ilia liligi da enoga wamolai dagoi ba: mu amola mogili da udigili hawa: hamonanebe ba: mu.
“Wenye hekima watawafundisha wengi, ingawa kwa kitambo watauawa kwa upanga au kuchomwa moto, au kukamatwa au kufanywa mateka.
34 Amo medole legesu hou da hamonanoba, eno dunu da Gode Ea fi dunu fonobahadi fidimu. Be mogili da ilisu ilia hou fidima: ne da ogogolewane Gode Ea fi ilima gilisimu.
Watakapoanguka, watapokea msaada kidogo, nao wengi ambao si waaminifu wataungana nao.
35 Gode Ea fi bagade dawa: su ouligisu dunu amo mogili ilia da fane legei dagoi ba: mu. Be amo hou ganodini, Gode da Ea fi dunu adoba: lalu, fofoloamu. Amo hou da ba: lalu, Gode Ea ilegei eso amo doaga: lalu fawane yolesimu.
Baadhi ya wenye hekima watajikwaa, ili waweze kusafishwa, kutakaswa na kufanywa wasio na waa mpaka wakati wa mwisho, kwa maana bado litakuja kwa wakati ulioamriwa.
36 Be Silia hina bagade da hi hanaiga hawa: hamonanumu. Amola e da gasa fi heda: le, hina: dio gaguia gadomusa: , e da ‘gode’ liligi huluane baligi dagoi, amane sia: mu. Amola e da Baligili Bagade Godedafa amo amola baligisa e da lasogole sia: mu. E da amo hou bagade hamomu. Be Gode Ea ilegei eso amoga, Gode da ema se imunu. Bai adiga Gode da hamomusa: dawa: lalu, E da dafawane hamomu.
“Mfalme atafanya apendavyo. Atajikweza na kujitukuza juu ya kila mungu, naye atasema mambo ambayo hayajasikiwa dhidi ya Mungu wa miungu. Atafanikiwa hadi wakati wa ghadhabu utimie, kwa maana kile kilichokusudiwa lazima kitokee.
37 Amo hina bagade da ‘gode’ liligi ilima ea aowalalia da hawa: hamosu, amo e da higamu. Amola ogogosu ‘gode’ ema uda da hanane ba: sa, amo amola e da higamu. E da ‘gode’ huluanedafa hame dawa: mu. Bai hi fawane da oda huluane amo baligisa dawa: mu galebe.
Hataonyesha heshima kwa miungu ya baba zake au kwa yule aliyetamaniwa na wanawake, wala hatajali mungu yeyote, bali atajikweza mwenyewe juu yao wote.
38 Be e da ‘gode’ afadafa ema bagade dawa: mu. Amo ‘gode’ da ea dunu osobo dogone fi amo gasa bagade gagili sali diasu amo ouligisa e da dawa: mu. Ea aowalalia da amo ‘gode’ ema hame nodone sia: ne gadosu. Be e da amo ‘gode’ma gouli, silifa, igi ida: iwane amola eno noga: idafa liligi, ema imunu.
Badala ya kuwajali miungu, ataheshimu mungu wa ngome; mungu ambaye hakujulikana na baba zake ndiye atamheshimu kwa dhahabu na fedha, kwa vito vya thamani na zawadi za thamani kubwa.
39 E da ea moilai gagili sali amo gaga: musa: gini, ga fi hawa: hamosu dunu amo da ga fi ilia ogogosu ‘gode’ma sia: ne gadolala, amo lamu. E da nowa dunu da ea ouligisu hou hahawane lalegagusia, ilima e da ilia dio gaguia gadomu amola ouligisu hou amola soge ilima imunu.
Atashambulia ngome zenye nguvu mno kwa msaada wa mungu wa kigeni naye atawaheshimu sana wale watakaomkubali yeye. Atawafanya watawala juu ya watu wengi, na atagawa nchi kwa gharama.
40 Be Silia hina bagade dunu ea wadela: mu eso da gadenenana, Idibidi hina bagade da ema doagala: musa: misunu. Silia hina bagade da ema bu gasawane gegemu. E da sa: liode amola hosi amola dusagai bagade bagohame amoga bagade gegemu. E da fi soge bagohame amoga gegemusa: golili sa: imu. Amola gasa bagade gegemuba: le, ea dadi gagui da hano leda: lalebe defele osobo bagade dedebomu.
“Katika wakati wa mwisho, mfalme wa Kusini atapigana naye vita, naye mfalme wa Kaskazini atamshambulia kwa magari ya vita, askari wapanda farasi, na idadi kubwa ya meli. Atavamia nchi nyingi na kuzikumba nchi hizo kama mafuriko.
41 Amola e da soge amo Gode da Ea fi ilima imunu ilegele sia: i (Isala: ili soge) amoga gegene, dunu osea: idafa medole lelegemu. Be Idome soge, Moua: be soge amola A: mone soge la: idi diala amo soge ganodini e da gegemusa: hame golili sa: imu.
Pia ataivamia Nchi ya Kupendeza. Nchi nyingi zitapinduliwa, bali Edomu, Moabu na viongozi wa Amoni wataokolewa kutoka mkono wake.
42 Amo esoga amola, e da Idibidi soge amoga gegenanu, golili sa: imu.
Atapanua mamlaka yake juu ya nchi nyingi; hata Misri haitaepuka.
43 E da Idibidi fi ilia noga: i liligi wamolegei (silifa amola gouli amola eno noga: i liligi) amo lale hi sogega gaguli masunu. E da Libia soge amola Sudane soge amo hasalasimu.
Atamiliki hazina za dhahabu, fedha na utajiri wote wa Misri, pamoja na Walibia na Wakushi kwa kujisalimisha.
44 Amalalu, sia: da eso mabedi heda: su amoga amola ga (north) amoga e da nabalu, e da bagadewane beda: mu. Beda: iba: le, e da bu gasa bagadewane ludulalu, dunu eno osea: idafa medole legemu.
Lakini taarifa kutoka mashariki na kaskazini zitamshtua, naye ataondoka kwa ghadhabu nyingi ili kuangamiza na kuharibu kabisa wengi.
45 E da ea abula diasu bagadedafa amo sogebi da hano wayabo bagade la: idi amola eno la: idi da goumi amo da: iya Debolo diasu da gagui sogebi dogoa gala amoga ea da ea abula diasu gagumu. Be e da bogomu amola fidisu dunu afae hamedafa ba: mu.”
Atasimika hema zake za ufalme kati ya bahari na mlima mtakatifu wa kupendeza. Hata hivyo, atafikia mwisho wake, wala hakuna yeyote atakayemsaidia.

< Da:niele 11 >