< Golosia 4 >

1 Dilia ouligisu dunu! Dilia hawa: hamosu dunu ilima asigiwane hamoma. Mae gogolema! Dilia amola da Hina esala. E da Hebene ganodini esala.
Ninyi mabwana, watendeeni watumwa wenu yaliyo haki na yanayostahili, mkitambua ya kwamba ninyi pia mnaye Bwana mbinguni.
2 Mae fisili, Godema sia: ne gadoma. Sia: ne gadosea, mae golale Godema nodone sia: ma.
Dumuni sana katika maombi, mkikesha katika hayo pamoja na kushukuru.
3 Dilia sia: ne gadosea, nini fidima: ne, Godema sia: ne gadoma. Gode Ea Sia: da Yesu Gelesu Ea wamolegei hou olelesa. Gode da nini amo sia: olelemusa: ninima logo doasima: ne, Godema sia: ne gadoma. Bai na da Gode Ea Sia: olelebeba: le, wali se iasu diasu ganodini esala.
Pia tuombeeni na sisi ili Mungu atufungulie mlango wa kunena, ili tupate kuitangaza siri ya Kristo, ambayo kwa ajili yake pia mimi nimefungwa.
4 Amaiba: le, dunu eno noga: le nabima: ne amola na da moloiwane Gode Sia: olelema: ne, amo Gode fidima: ne Ema sia: ne gadoma.
Ombeni ili nipate kuitangaza Injili kwa udhahiri kama ipasavyo kunena.
5 Hame lalegagui dunu da dilia hou ba: lalebeba: le, dawa: iwane hamoma. Olelemu logo ba: sea, defea, eso huluane olelema.
Enendeni kwa hekima mbele yao walio nje, mkiukomboa wakati.
6 Dilia sia: da eso huluane hahawane amola noga: iwane nabimu da defea. Amola dunu da dilima adole ba: sea, dilia da ilima bu adole ima: ne eso huluane defele esalumu da defea.
Maneno yenu yawe yamejaa neema siku zote, yanayofaa, ili mjue jinsi iwapasavyo na inavyofaa kumjibu kila mtu.
7 Ninia sama Digigase, e da mae yolesili, ida: iwane hawa: hamosu dunu. Ania gilisili Hina Gode Ea hawa: hamonana. Digigase da na hou huluane dilima olelemu.
Tikiko atawaambia habari zangu zote. Yeye ni ndugu mpendwa, mtendakazi mwaminifu na mtumishi mwenzangu katika Bwana.
8 Dilia da ninia hou nabasea, dogo denesini hahawane ba: mu. Amaiba: le na da e dilima asula ahoa.
Nimemtuma kwenu kwa madhumuni haya ili mpate kufahamu hali yetu, na pia awatie moyo.
9 Ounisimase da dilia fi dunu amola na dogolegei hahawane hawa: hamosa sama. E amola da Digigase sigi masunu. Ela da gui hamonana hou huluane dilima olelemu.
Anakuja pamoja na Onesimo, ndugu yetu mpendwa na mwaminifu, ambaye ni mmoja wenu. Watawaambia mambo yote yanayotendeka hapa kwetu.
10 A: lisadagase, ani gilisili se iasu diasu ganodini esala, dilima asigi sia: olelesa. Maga (Banaba: se gawiya) e da dilima asigi sia: adosisa. (Na musa: olelei agoane, Maga da dilima doaga: sea, hahawane yosia: ma.)
Aristarko aliye mfungwa pamoja nami anawasalimu, vivyo hivyo Marko, binamu yake Barnaba. (Mmeshapata maagizo yanayomhusu; akija kwenu, mpokeeni.)
11 Yosiua (eno dio Yasadase), ea asigi sia: dilima olelesa. Amo dunu udiana ilia fawane da Yu fi ilia dafawaneyale dawa: su yolesili, Yesu Gelesu Ea hou lalegaguli, na gilisili Gode Ea Hinadafa Hou misa: ne hamonana. Ilia da na noga: le fidisu.
Yesu, yeye aitwaye Yusto, pia anawasalimu. Hawa peke yao ndio Wayahudi miongoni mwa watendakazi wenzangu kwa ajili ya Ufalme wa Mungu, nao wamekuwa faraja kwangu.
12 Dilia fi dunu eno ea dio amo Eba: fala: se, Yesu Gelesu Ea hawa: hamosu dunu, da dilima asigi sia: olelesa. Dilia da Gode fidibiba: le noga: le leloma: ne amola dafawaneyale dawa: beba: le asigilaiwane Gode Ea hanai hou eso huluane hamonanoma: ne, e da eso huluane ha: giwane sia: ne gadolala.
Epafra, ambaye ni mmoja wenu na mtumishi wa Kristo Yesu, anawasalimu. Yeye siku zote anawaombea kwa bidii kwamba msimame imara katika mapenzi yote ya Mungu, mkiwa wakamilifu na thabiti.
13 Na da dafawane sia: sa. E da dili amola La: ioudisia dunu amola Haila: bolisi dunu fidima: ne, gasa bagade hawa: hamosa.
Ninashuhudia kumhusu kwamba anafanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu, na kwa ajili ya ndugu wa Laodikia na wale wa Hierapoli.
14 Luge, ninia dogolegei manoma legesu dunu amola Dima: se, ela asigi sia: dilima adosisa.
Rafiki yetu mpenzi Luka yule tabibu, pamoja na Dema, wanawasalimu.
15 Ninia fi dunu huluane La: ioudisia moilai bai bagade ganodini esala, ilima ninia asigi sia: adosima. Uda ea dio amo Nimifa: , (Gode Ea fa: no bobogesu dunu ilia ea diasuga sia: ne gadomusa: gilisisa), ema ninia asigi sia: olelema.
Wasalimuni ndugu wote wa Laodikia, na pia Nimfa, pamoja na kanisa linalokutana katika nyumba yake.
16 Wali meloa dedei dilia idi dagoiba: le, La: ioudisia Yesu Ea fa: no bobogesu fi dunu idima: ne iasima. Amola dilia meloa dedei amo ninia La: ioudisia fi dunuma i, amo ilia da dilima iasisia, idima.
Baada ya barua hii kusomwa kwenu, hakikisheni kwamba inasomwa pia katika kanisa la Walaodikia. Nanyi pia msome barua inayotoka Laodikia.
17 Agiba: sema olelema, “Dia hawa: hamosu amo Gode da dima olelei liligi, amo mae yolesili dagolesima!”
Mwambieni Arkipo hivi: “Hakikisha kuwa unakamilisha ile huduma uliyopokea katika Bwana.”
18 Amo meloa na loboga nisu dedesa. Na, Bolo, dilima asigi sia: adosisa. Na se iasu diasu ganodini sia: inega lala: gi esala, mae gogolema. Gode Ea hahawane dogolegele iasu dilima dialumu da defea. Sia: Ama Dagoi
Mimi, Paulo, naandika salamu hizi kwa mkono wangu mwenyewe. Kumbukeni minyororo yangu. Neema iwe nanyi. Amen.

< Golosia 4 >