< A:imose 1 >
1 A: imose da sibi ouligisu dunu galu. Ea moilai dio da Degoua. Gode da ema amo fa: no misunu hou da Isala: ili dunuma doaga: mu, amo olelei. Amo eso galu Asaia da Yuda fi ilima hina bagade esalu amola Yelouboua: me (Yihoua: se egefe) ea da Isala: ili fi amo ea hina bagade hamone ouligibi. Gode da amo sia: ema olelelalu, ode aduna ha: digili, bebeda: nima bagade misi.
Haya ni mambo yanayoihusu Israeli ambayo Amosi, mmoja wa wachungaji katika Tekoa, aliyapokea katika ufunuo. Alipokea haya mambo katika siku za Uzia mfalme wa Yuda, na pia katika siku za Yeroboamu mwana wa Yoashi mfalme wa Israeli, miaka miwili kabla ya tetemeko la aridhi.
2 A: imose da amane sia: i, “Hina Gode da Saione goumi amogai esala. Ea sia: da laione wa: me ea sia: defele naba amola gugelebe agoai amo E Yelusaleme moilai bai bagade ganodini husa esalebe. Ohe fofole nasu soge da biosa amola gisi Gamele goumi ganodini heda: lu amo osobo soa: golome agoane afadenene biosa.”
Alisema, “Yahwe atanguruma kutoka Sayuni; atainua sauti yake kutoka Yerusalemu. Malisho ya wachungaji yatanyamaza kimya; kilele cha Karmeli kitanyauka.”
3 Hina Gode da amane sia: sa, “Dama: sagase fi dunu ilia da wadela: i hou amo bu hamone, bu hamone agoane hamobeba: le, Na da dafawane ilima se dabe imunu. Ilia da Gilia: de dunu ilima dodona: giwane se bagade iasu.
Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Damaskasi, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu wameipura Gileadi kwa vyombo vya chuma.
4 Amaiba: le, Na da hina bagade dunu Hasa: iele amo ea diasu nema: ne, lalu sanasimu, amola hina bagade dunu Beneha: ida: de ea gasa bagade gagili sali moilai nema: ne, lalu sanasimu. Huluane da nene dagoi ba: mu.
Nitapeleka moto kwenye nyumba ya Hazaeli, na utaiteketeza ngome za Ben Hadadi.
5 Na da Dama: sagase gagoi logo ga: i amo huluane dusa: le dagoma. Amola Na da dunu fi huluane A: ifene umi soge ganodini esalebe amo huluane sefasimu amola Bedidini soge ea hina bagade dunu amo huluane sefasimu. Amola ga fi dunu ilia Silia fi dunu huluane Ge sogega se iasu diasu ganodini sanasima: ne, Na da logo doasimu.”
Nitazivunja komeo za Damaskasi na kumkatilia mbali mtu ambaye aishiye katika Biqati Aveni, na pia yule mtu ashikaye fimbo ya kifalme katika Beth Edeni. Na watu wa shamu watakwenda utumwani hata Kiri,” asema Yahwe.
6 Hina Gode da amane sia: sa, “Ga: isa osobo dogone fi dunu da wadela: i hou amo bu hamone, bu hamone, agoane hamobeba: le, Na da dafawane ilima se dabe imunu. Ilia da dunu fi afae amo afugili, bidi mae lale udigili hawa: hamomusa: , Idome sogega esalebe dunuma bidi lai.
Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Gaza, hata nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu waliwachukua mateka watu wote, kuwaweka juu ya mkono wa Edomu.
7 Amaiba: le, Na Ga: isa moilai bai bagade gagoi dobea amoga lalu ulagili salimu, amola ilia gagili sasali diasu huluane amola liligi huluane da nene dagoi ba: mu.
Nitatuma moto kwenye kuta za Gaza, na kuziteketeza ngome zake.
8 Na da A: siedode amola A: siegelone moilai bai bagade elea hina bagade huluane fadegale sefasimu. Na da Egelone moilai bai bagade fi ilima se dabe imunu, amola Filisidini dunu oda esafulubi, amo ilia da bogogia: mu.”
Nitamkatilia mbali yule mtu aishiye katika Ashdodi na mtu ashikaye fimbo ya kifalme kutoka Ashkeloni. Nitaugeuza mkono wangu dhidi ya Ekroni, na mabaki ya Wafilisti wataangamia,” asema Bwana Yahwe.
9 Hina Gode da amane sia: sa, “Daia dunu fi ilia da wadela: i hou amo bu hamone, bu hamone, agoane hamobeba: le, Na da dafawane ilima se dabe imunu. Ilia da dunu fi afae ilia dunu huluane afugili Idome sogega afugili asi. Ilia musa: gousa: su sia: ilegele hamoi amo hohonone wadela: lesi dagoi.
Hivi ndivyo Yhawe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Tiro, hata kwa nne, sintobadili adhabu, kwa sababu waliwapelekea watu wote wa Edomu, na wamevunja agano lao la undugu.
10 Amaiba: le, Na Daia moilai bai bagade amo ea gagoi nema: ne, lalu bidi imunu. Amola ea gagili sali diasu huluane laluga nemu.”
Nitapeleka moto kwenye kuta za Tiro, nao utaziteketeza ngome zake.”
11 Hina Gode da amane sia: sa, “Idome fi ilia da wadela: i hou amo bu hamone, bu hamone agoane hamobeba: le, Na da dafawane ilima se dabe imunu. Ilia da yolalali (Isala: ili dunu) amo medole legemusa: , benea ahoasu. Ilia da nimi bagade hamoi amola hame yolei.
Hivi ndivyo Yahwe asemavyo, “Kwa dhambi tatu za Edomu, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu alimfuatilia ndugu yake kwa upanga na kutupilia mbali huruma zote. Hasira yake ikaendelea kuwa kali, na ghadhabu yake ikabaki milele.
12 Amaiba: le Na da Dima: ne moilai bai bagadega lalu iasimu, amola Bosela gagili sali moilai bai bagade amo laluga ulagisimu.”
Nitapeleka moto juu ya Temani, na utaziteketeza nyumb a za kifalme za Bozra.”
13 Hina Gode da amane sia: sa, “A: mone fi ilia da wadela: i hou amo bu hamone, bu hamone agoane hamobeba: le, Na da dafawane ilima se dabe imunu. Ilia ha lai gegei bagade soge eno lamusa: amo ganodini abula agui uda Gilia: de esalu amo dadamuni fane dagoi.
Hivi ndivyo Yahwe asemavyo, “Kwa dhambi tatu za watu wa Amoni, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu wamewapasua wanawake wa Gileadi wenye mimba, ili waweze kupanua mipaka yao.
14 Amaiba: le, Na La: ba moilai bai bagade fi ilima amola gagoi dobea laluga nema: ne lalu imunu, amola ilia gagili Sali diasu huluane laluga ulagimu. Amalu gegesa bulubulubi amo nabimu, amola gegebe amo da isu bagade mabe agoai ba: mu.
Nitawasha moto katika kuta za Raba, nao utaziteketeza nyumba za kifalme, pamoja na kupiga kelele katika siku ya vita, pamoja na dhoruba katika siku ya kimbunga.
15 Ilia hina bagade dunu amola ea dadi gagui ouligisu dunu ilia da ga sogega udigili hawa: hamomusa: gini mugululi asi dagoi ba: mu.”
Mfalme wao ataenda utumwani, yeye na maafisa wake pamoja,” asema Yahwe.