< A:imose 9 >
1 Na da Hina Gode oloda dafulili lelebe ba: i. E da amane hamoma: ne sia: i, “Debolo duni bugi amo gadodili, amo Debolo ea bai yaguguma: ne fama! Ilia da mugululi, dunu ilia dialumaga sa: ima: ne, fima! Na da dunu hame bogoi amo huluane gegesu ganodini fane legemu! Dunu afae da hobea: i dagoi hame ba: mu.
Nilimwona Bwana amesimama karibu na madhabahu, na akasema, “Vipige vichwa vya nguzo ili kwamba misingi itikisike. Vivunje vipande vipande juu ya vichwa vyao vyote, nami nitamwua kwa upanga wa mwisho wao. Hakuna hata mmoja wao atakaye kimbia, hakuna hata mmoja wao atakayekimbia.
2 Ilia da uli dogone, gudu sa: ili, bogoi sogega doaga: sea, Na da ili hogole ba: mu. Ilia da muagado heda: sea, Na da ili ba: mu. (Sheol )
Hata kama watachimba kwenye Sheoli, kuna mkono wangu utawachukua. Hata kama watapanda juu kwenda mbingunu, huko nitawaleta chini. (Sheol )
3 Ilia da Gamele Goumi gadodili da: iya wamoaligisia, Na da ili hogoi helele lamu. Ilia da hano wayabo bagade hagududafa amoga Na ili mae ba: ma: ne, wamoaligisia, Na da gasonasu ohe bagade hano wayabo bagade ganodini esala, amo ili gasomoma: ne sia: mu.
Hata kama watajificha juu ya Karmeli, nitawatafuta huko na kuwachukua. Hata kama watajificha kwenye vilindi vya bahari nisiwaone, nimwagiza joka, na atawang'ata.
4 Ilima ha lai da ili ga sogega mugululi ahoasea, Na da amo dunu ili fane legema: ne sia: mu. Na da ili mae fidili, udigili wadela: lesimu fawane ilegei dagoi.
Hata kama wataenda kwenye utumwa, watabanwa na maadui zao mbele yao, nitauagiza upanga huko, na utawau. Nitaelekeza macho yangu juu yao kwa ubaya sio kwa uzuri.”
5 Ouligisudafa Hina Gode Bagadedafa da osobo bagade digili ba: sea, osobo bagade da yagugusa. Dunu huluane amogai esala da didigia: mu. Osobo bagade da Naile Hano defele, gado heda: sa amola gudu daha.
Bwana Mungu wa majeshi ndiye agusaye nchi na ikayeyuka; wote waishio humo wataomboleza; yote yatainuka kama Mto, na itadidimia tena kama mto wa Misri.
6 Hina Gode da Ea diasu muagado ganodini gagusa. E da mu dedebosu agoane osobo bagadega figisisa. E da hano wayabo bagade amo ea hano misa: ne sia: sea, osobo bagade da: iya sogadigisa. Ea Dio da Hina Godedafa!
Ni yeye ndiye avijengaye vyumba vyake mbinguni, na kuanzisha kuba yake juu ya dunia. Yeye huita maji ya bahari, na kuyamwaga juu ya uso wa dunia, Yahwe ndiye jina lake.
7 Hina Gode da amane sia: sa, “Isala: ili fi dunu! Na da Suda: ne dunu ilima asigisa, dilima asigisu defele. Na da dili Idibidi sogega oule misi, amo defele Na da Filisidini dunu Galidi sogega gadili oule misi amola Na da Silia dunu Ge sogega gadili oule misi.
“Je ninyi sio kama watu wa Kushi kwangu, wana wa Israeli? -hivi ndivyo Yahwe asemavyo. Je sikuwapandisha Israeli kutoka nchi ya misri, Wafilisti kutoka Krete, na Washami kutoka Kiri?
8 Na, Ouligisudafa Hina Gode, da wadela: i hamosu Isala: ili dunu fi amo ba: lala. Na da ili osobo bagadega bu hame ba: ma: ne dafawanedafa ili wadela: lesimu. Be Ya: igobe ea fi huluanedafa Na da hame wadela: lesimu. Dunu eno bagahame da esalumu.
Tazama, macho ya Bwana Yahwe yako juu ya ufalme wenye dhambi, na nitauharibu kutoka kwenye uso wa dunia, isipokuwa kwamba sintoiharibu kabisa nyumba ya Yakobo -hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
9 Na da wadela: musa: sia: ne, na da Isala: ili dunu amo gagoma gasa: le legesu ganodini igugusa amo defele ili igugumu. Na da wadela: i dunu fadegamusa: , ili fifi asi gala huluane amo ganodini Isala: ili dunu igugumu.
Tazama, nitaamuru, na nitaipepeta nyumba ya Israeli miongoni mwa mataifa yote, kama mtu apepetaye ngano kwenye ungo, hivyo basi hakuna hata chembe ya jiwe itakayoanguka kwenye aridhi.
10 Wadela: i hamosu dunu Na fi amo ganodini huluane da gegesu ganodini fane legei dagoi ba: mu. Amo wadela: i dunu da mae dawa: iwane amane sia: sa, “Hina Gode da ninia se nabasu mae ba: ma: ne, eso huluane nini gaga: mu.”
Watenda dhambi wote katika watu wangu watakufa kwa upanga, wale wasemao, 'Majanga hayatatupita au kukutana nasi.'
11 Hina Gode da amane sia: sa, “Eso da misunu, amoga Na da Da: ibidi ea hina bagade hou amola ea fi (wali amo da diasu mugului dagoi agoane ba: sa) amo bu hahamomu. Na da ea dobea bu hahamomu amola amo fi da ilia musa: hou defele ba: mu.
Katika siku hiyo nitainua hema ya Daudi iliyokuwa imeanguka, na kuyafunga matawi yake. Nitayainua magofu yake, na kuijenga tena kama katika siku za zamani,
12 Amasea, Isala: ili dunu da Idome soge la: di diala amo hasalimu amola soge fi musa: Na gagui amoga hasalasimu,” Hina Gode E da amo hamomusa: amane sia: sa.
Kwamba wamiliki mabaki ya Edomu, na mataifa yote ambayo yameitwa kwa jina langu -hivi ndivyo Yahwe asemavyo-afanyayo haya.
13 Hina Gode da amane sia: sa, “Eso da misunu amoga widi amola gagoma amola ha: i manu huluane da hedolowane heda: le, yoi hamobeba: le, huluane faimu da hamedei ba: mu. Waini fage da hedolowane legele, yoi hamobeba: le, huluane amoga waini hamomu da hamedei ba: mu. Goumiga waini hano ea hedai da ula agoane dadadisa ahoanebe ba: mu. Agologa waini hano da hano nawa: li agoane ahoanebe ba: mu.
Tazama, siku zitakuja-hivi ndivyo Yahwe asemavyo-wakati mlimaji atampita mvunaji, na akanyagaye zabibu atampita yeye apandaye mbegu. Milima itadondosha divai tamu, na milima yote itabubujika kwa nayo.
14 Na da Na fi dunu ilia sogega bu oule misunu. Ilia moilai bai bagade wadela: lesi amo ilia da bu hahamomu. Amola ilia da amo ganodini esalumu. Ilia da waini efe sagamu amola amoga waini hamoi manu. Ilia da ifabia sagamu amola amo ea ha: i manu fai manu.
Nitawarudisha kutoka utumwani watu wangu Israeli. Watajenga magofu ya miji na kuishi humo, watapanda bustani za mizabibu na kunywa divai, na watafanya bustani na kula matunda yao.
15 Na da Na fi amo soge Na da ilima i, amoga Na da Na fi bu bugimu. Enoga bu fadegamu da bu hamedafa ba: mu.” Dilia Hina Gode da sia: i dagoi. Sia: ama dagoi
Nitaipanda hadi kwenye nchi yao, na hawataing'oa tena kutoka kwenye nchi ambayo niliyowapatia,” asema Yahwe Mungu wako.