< A:imose 3 >

1 Isala: ili dunu! Nabima! Dunu fi amo Ea Idibidi soge ganodini esalu amo lale guda: i. Goe sia: amo Hina Gode Ea dilia hou olelema: ne sia: i, amo nabima!
Sikilizeni neno hili alilosema Bwana dhidi yenu, enyi watu wa Israeli, dhidi ya jamaa nzima niliowapandisha toka Misri:
2 Osobo bagade dunu fifilai huluane ganodini, Na da dilia fi amo fawane dawa: amola dili fawane ouligisa. Amaiba: le dilia wadela: i hou da bagadedafa ba: sa amola Na da dilima se dabe imunu amo yolesimu da hamedei. Bai eno fifilai dunu ilia ba: ma: ne.
“Ni ninyi tu niliowachagua kati ya jamaa zote za dunia; kwa hiyo nitawaadhibu kwa ajili ya dhambi zenu zote.”
3 Ma dunu aduna da sogega ahoasea ela da sogebi amogai ela da gousa: mu amo hidadea hame ilegesala: ?
Je, watu wawili hutembea pamoja wasipokubaliana kufanya hivyo?
4 Be laione wa: me bagade ea da udigili hala halaia gegesabela: , ea ohe mae ba: le da? Abuliba: le da waha debe laione wa: me ea diasu ganodini, amomane ea ohe amo mima: bela: ?
Je, simba hunguruma katika kichaka wakati hana mawindo? Aweza kuvuma katika pango wakati ambao hajakamata chochote?
5 Ma sio sani amo ganodini isu hame gasa: le legesea, sani ganodini diagoma da dasabela: ? Ma sani ganodini da dilisi amo da udigili fada: ne dabela: ?
Je, ndege aweza kuanguka kwenye mtego ulio ardhini ambapo hajategewa chambo? Je, mtego unaweza kufyatuka toka ardhini wakati ambapo hakuna chochote cha kunasa?
6 Gegesea dusu galamudi (dalabede) amo moilai bai bagade fi amo ganodini udigili dubi nabima: bela: ? Ma moilai bai bagade fi amogai ha: i o esoi doaga: sea da Hina Gode iaguda: iba: le fawane maha.
Je, tarumbeta inapopigwa mjini kujulisha hatari, watu hawatetemeki? Mji upatwapo na maafa, je, si Bwana amesababisha?
7 Ouligisudafa Hina Gode Ea da liligi hamomusa: ilegesea, E da hidadea Ea hamomu liligi amo Ea hawa: hamosu dunu amo balofede dunu ilima olelesa.
Hakika Bwana Mwenyezi hatafanya neno lolote bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake.
8 Be laione wa: me bagade ea hala halaia masea, nowa da hame beda: ma: bela: ? Amola Ouligisudafa Hina Gode Ea sia: sea da nowa da Ea sia: hame sisia: sala: ?
Simba amenguruma: je, ni nani ambaye hataogopa? Bwana Mwenyezi ametamka: je, ni nani awezaye kukosa kutoa unabii?
9 Sia: goe Idibidi soge amola Asiedode soge hina bagade ilia diasulali amo ganodini dunu esalebe huluane ilima olelema, “Dilia huluane Samelia gafulu amodili gilisima. Bidi hamosu amola wadela: i hou ilia da amogawi hamonanebe amo ba: ma.
Tangazeni katika ngome za Ashdodi na katika ngome za Misri: “Kusanyikeni juu ya milima ya Samaria; angalieni wingi wa wasiwasi ulio ndani yake, na uonevu ulio miongoni mwa watu wake.”
10 Hina Gode da amane sia: sa, “Samelia dunu fi ilia da wadela: i hou bagade hamosu amola wamolasu hou amola gegesu hou. Ilia hou noga: idafa da afae agoane da hame hamosa, amola moloi dunu fi hame.
Bwana asema: “Hawajui kutenda lililo jema, wale ambao hujilundikia nyara na vitu vilivyotekwa katika ngome zao.”
11 Amaiba: le, ha lai dunu da ilia soge amo huluane sisiga: le dagole amola ilia gagoi amo mugulumu amola liligi huluane amo ganodini dialebe amo lidimu.”
Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi: “Adui ataizingira nchi; ataangusha chini ngome zenu na kuteka nyara maboma yenu.”
12 Hina Gode da amane sia: sa, “Laione wa: me bagade ea sibi afae fane nasea, amo ouligisu dunu da amo sibi ea emo aduna o ge afae fawane amo bu lidisa. Amaiba: le, amo defele, Samelia osobo dogone fi dunu wali da noga: le diaha, be fa: no bagahamedafa fawane ba: mu.
Hili ndilo asemalo Bwana: “Kama vile mchungaji aokoavyo kinywani mwa simba vipande viwili tu vya mfupa wa mguu au kipande cha sikio, hivyo ndivyo Waisraeli watakavyookolewa, wale wakaao Samaria kwenye kingo za vitanda vyao, na katika Dameski kwenye viti vyao vya fahari.”
13 Nabima! Ya: igobe egaga fi ilima sisasu olelema!” Ouligisudafa Hina Gode Bagadedafa da amane sia: sa.
“Sikia hili na ushuhudie dhidi ya nyumba ya Yakobo,” asema Bwana, Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote.
14 “Isala: ili dunu da wadela: i hou bagade hamobeba: le, Na da ilima se dabe imunu. Amo esoga Na da Bedele oloda huluane wadela: lesimu. Oloda huluane ilia hegomai hono huluane da fadegale fasili, osoboga ha: digi dagoi ba: mu.
“Siku nitakapomwadhibu Israeli kwa sababu ya dhambi zake, nitaharibu madhabahu za Betheli; pembe za madhabahu zitakatiliwa mbali na kuanguka chini.
15 Na da anegagisu eso diasu amola dogolosu eso diasu amola wadela: lesimu. Diasu noga: le nenemene gagui amola ‘aifoli’ amoga nina: hamoi, amo huluane amola diasu bagade Na da mugululi dagomu.”
Nitabomoa nyumba ya wakati wa masika, pamoja na nyumba ya wakati wa kiangazi; nyumba zilizonakshiwa kwa pembe za ndovu na majumba makubwa ya fahari yatabomolewa,” asema Bwana.

< A:imose 3 >