< A:imose 2 >

1 Hina Gode da amane sia: sa, “Moua: be fi ilia da wadela: i hou amo bu hamone bu hamone agoane hamobeba: le, Na da dafawane ilima se dabe imunu. Ilia da Idome hina bagade dunu ea gasa amoma hihi hou hamoi. Ilia da amo gobele sali amola nasubu hamoi.
Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Moabu, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu alichoma mifupa ya mfalme wa Edomu, ikawa kama chokaa.
2 Na da Moua: be soge amola Giliode moilai bai bagade gagoi gagili sali amo laluga nema: ne lalu bidi imunu. Moua: be dunu ilia da gegenanawane dadi gagui da bubusa amola dalabede da fulabosa, amo gegesu ganodini ilia da bogoigia: i ba: mu.
Nitatuma moto juu ya Moabu ambao utateketeza ngome za Keriothi. Moabu ataanguka kwa ghasia kubwa katikati ya vilio vya vita na mlio wa tarumbeta.
3 Na da Moua: be hina bagade amola amo sogebi ouligisu dunu huluane amo medole legemu.
Nitamwangamiza mtawala wake na kuwaua maafisa wake wote pamoja naye,” asema Bwana.
4 Hina Gode da amane sia: sa, “Yuda fi ilia da wadela: i hou amo eso huluane hamonana. Ilia da afae agoane hele hame fisa. Ilia Na sia: fa: no hame bobogesa amola Na hamoma: ne sia: i amo dafawaneyale hame fa: no bobogesa. Ilia wadela: lesi dagoi amola Nama fa: no hame bobogesa. Ilia da ilia aowalalia hou defele, ogogosu ‘gode’ma fa: no bobogesa. Amaiba: le, Na da dafawane ilima se dabe imunu.
Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Yuda, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu wameikataa sheria ya Bwana na hawakuzishika amri zake, kwa sababu wamepotoshwa na miungu ya uongo, miungu ambayo babu zao waliifuata.
5 Amaiba: le Na lalu bidi Yelusaleme moilai bai bagade gagili sali diasu huluane amo nene dagoma: ne lalu imunu.”
Nitatuma moto juu ya Yuda ambao utateketeza ngome za Yerusalemu.”
6 Hina Gode da amane sia: sa, “Isala: ili fi ilia da wadela: i hou amo eso huluane hamonana. Ilia da afadafa hame helefisa. Amaiba: le, Na da dafawane ilima se dabe imunu. Ilia da dunu noga: i be dabe imunu hame dawa: , amo dunu ilia da udigili hawa: hamomusa: gini bidi lasa. Amo dunu da hame gaguidafa. Ilia da emo salasu ea dabe bu imunu hame dawa: Be Isala: ili dunu da ilima hame asigisa.
Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Israeli, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Wanawauza wenye haki kwa fedha, na maskini kwa jozi ya viatu.
7 Ilia da hou wadela: lesi dagoi amola ili da gasa hame amola fidisu hame. Ilia da liligi hame gagui dunu ilima banenesisa. Dunu amola ea ada ela da udigili hawa: hamosu uda afae ema gilisili golasa. Ilia da wadela: i hou hamomusa: afufusa amola ilia da Na Dio Hadigidafa Gala amo wadela: lesisa.
Wanakanyaga juu ya vichwa vya maskini, kama vile juu ya mavumbi ya nchi, na kukataa haki kwa walioonewa. Baba na mwanawe hushiriki msichana mmoja, kwa hivyo hulinajisi Jina langu takatifu.
8 Sia: ne gadosu diasu ganodini ilia da abula hame gagui enoma dabelai, amo sosone diaha. Gode Ea diasu ganodini ilia da waini amo ilia da dunu da ilima dabe imunu amoga lale naha.
Watu hulala kando ya kila madhabahu juu ya nguo zilizowekwa rehani. Katika nyumba ya mungu wao hunywa mvinyo ulionunuliwa kwa fedha walizotozwa watu.
9 Be Na dunu fi! Na da dilima asigiba: le A: moulaide dunu wadela: lesi dagoi. Ilia da dunu sedade dolo ifa agoane ba: i amola gasa bagade ‘ouge’ ifa agoane ba: i.
“Nilimwangamiza Mwamori mbele yao, ingawa alikuwa mrefu kama mierezi, na mwenye nguvu kama mialoni. Niliyaangamiza matunda yake juu na mizizi yake chini.
10 Na dili Idibidi soge ganodini esalu amo lale guda: i, amola soge esoi bagade amo ifa hame heda: amola gibu hame daha, amoga ode40agoanega dili oule asi. Amola Na da A: moulaide dunu ilia soge amo dilima i amo da dia: fawane.
“Niliwapandisha toka Misri, na nikawaongoza miaka arobaini jangwani niwape nchi ya Waamori.
11 Na da dilia mano oda da balofede dunu hamoma: ne sia: si dagoi, amola oda dilia goi ayeligi da Na: salaide hamoma: ne sia: si dagoi. Goe sia: da dafawanela: ? Isala: ili fi dunu? Na, Hina Gode, Na da sia: i dagoi.
Pia niliinua manabii kutoka miongoni mwa wana wenu na Wanadhiri kutoka miongoni mwa vijana wenu. Je, hii si kweli, enyi watu wa Israeli?” asema Bwana.
12 Be amomane dilia Na: salaide fi amo waini hano moma: ne logei, amola balofede dunu ilima Na sia: mae olelema: ne gasa bagade sia: i.
“Lakini mliwafanya Wanadhiri kunywa mvinyo na kuwaamuru manabii wasitoe unabii.
13 Amola waha Na da dili osobo lale gagoudabe agoane hamomu. Amola dilia da se bagade nababeba: le, gaguli fula ahoasu gagoma amoga nabai defele liligi dioi bagade gisa ahoabe agoai gogonomamu.
“Sasa basi, nitawaponda kama gari lipondavyo wakati limejazwa nafaka.
14 Dunu hehenasu dawa: ilia da hobeale masunu: hamedeiwane ba: mu. Gasa gala dunu ilia da gasa hame ganumu. Amola dadi gagui dunu ilia da ilisu esalusu gaga: mu hamedei ba: mu.
Mkimbiaji hodari hatanusurika, wenye nguvu wataishiwa nguvu zao, na shujaa hataweza kuokoa maisha yake.
15 Dadia gegesu dawa: ea da ea soge amo hi gene ouligimu hamedei ba: mu. Hehenasu dawa: dunu da hehenane hobeale masunu hamedeiwane ba: mu. Dunu hosi da: iya fila heda: le ahoasu dawa: huluane da bogogia: mu.
Mpiga upinde atakimbia, askari wapiga mbio hawataweza kutoroka, na mpanda farasi hataokoa maisha yake.
16 Amo esoga, nowa gasala dadi gagui gegesu dawa: ilia da ilia dadi amo ligiaguduli amola hehenaia hobeale masunu.” Hina Gode da amane sia: i dagoi.
Hata askari walio mashujaa sana siku hiyo watakimbia uchi,” asema Bwana.

< A:imose 2 >