< A:imose 1 >
1 A: imose da sibi ouligisu dunu galu. Ea moilai dio da Degoua. Gode da ema amo fa: no misunu hou da Isala: ili dunuma doaga: mu, amo olelei. Amo eso galu Asaia da Yuda fi ilima hina bagade esalu amola Yelouboua: me (Yihoua: se egefe) ea da Isala: ili fi amo ea hina bagade hamone ouligibi. Gode da amo sia: ema olelelalu, ode aduna ha: digili, bebeda: nima bagade misi.
Maneno ya Amosi, mmoja wa wachunga wanyama wa Tekoa: yale aliyoyaona kuhusu Israeli miaka miwili kabla ya tetemeko la ardhi, wakati Uzia alikuwa mfalme wa Yuda, na Yeroboamu mwana wa Yehoashi alikuwa mfalme wa Israeli.
2 A: imose da amane sia: i, “Hina Gode da Saione goumi amogai esala. Ea sia: da laione wa: me ea sia: defele naba amola gugelebe agoai amo E Yelusaleme moilai bai bagade ganodini husa esalebe. Ohe fofole nasu soge da biosa amola gisi Gamele goumi ganodini heda: lu amo osobo soa: golome agoane afadenene biosa.”
Alisema: “Bwana ananguruma toka Sayuni, pia ananguruma kutoka Yerusalemu; malisho ya wachunga wanyama yanakauka, kilele cha Karmeli kinanyauka.”
3 Hina Gode da amane sia: sa, “Dama: sagase fi dunu ilia da wadela: i hou amo bu hamone, bu hamone agoane hamobeba: le, Na da dafawane ilima se dabe imunu. Ilia da Gilia: de dunu ilima dodona: giwane se bagade iasu.
Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Dameski, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu aliipura Gileadi kwa vyombo vya chuma vyenye meno.
4 Amaiba: le, Na da hina bagade dunu Hasa: iele amo ea diasu nema: ne, lalu sanasimu, amola hina bagade dunu Beneha: ida: de ea gasa bagade gagili sali moilai nema: ne, lalu sanasimu. Huluane da nene dagoi ba: mu.
Nitatuma moto juu ya nyumba ya Hazaeli ambao utateketeza ngome za Ben-Hadadi.
5 Na da Dama: sagase gagoi logo ga: i amo huluane dusa: le dagoma. Amola Na da dunu fi huluane A: ifene umi soge ganodini esalebe amo huluane sefasimu amola Bedidini soge ea hina bagade dunu amo huluane sefasimu. Amola ga fi dunu ilia Silia fi dunu huluane Ge sogega se iasu diasu ganodini sanasima: ne, Na da logo doasimu.”
Nitalivunja lango la Dameski; nitamwangamiza mfalme aliyeko katika Bonde la Aveni, na yeye ambaye anaishika fimbo ya utawala katika Beth-Edeni. Watu wote wa Aramu watakwenda uhamishoni huko Kiri,” asema Bwana.
6 Hina Gode da amane sia: sa, “Ga: isa osobo dogone fi dunu da wadela: i hou amo bu hamone, bu hamone, agoane hamobeba: le, Na da dafawane ilima se dabe imunu. Ilia da dunu fi afae amo afugili, bidi mae lale udigili hawa: hamomusa: , Idome sogega esalebe dunuma bidi lai.
Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Gaza, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu walichukua mateka jumuiya nzima na kuwauza kwa Edomu,
7 Amaiba: le, Na Ga: isa moilai bai bagade gagoi dobea amoga lalu ulagili salimu, amola ilia gagili sasali diasu huluane amola liligi huluane da nene dagoi ba: mu.
nitatuma moto juu ya kuta za Gaza ambao utateketeza ngome zake.
8 Na da A: siedode amola A: siegelone moilai bai bagade elea hina bagade huluane fadegale sefasimu. Na da Egelone moilai bai bagade fi ilima se dabe imunu, amola Filisidini dunu oda esafulubi, amo ilia da bogogia: mu.”
Nitamwangamiza mfalme wa Ashdodi na yeye aishikaye fimbo ya utawala katika Ashkeloni. Nitaugeuza mkono wangu dhidi ya Ekroni, hadi Mfilisti wa mwisho atakapokufa,” asema Bwana Mwenyezi.
9 Hina Gode da amane sia: sa, “Daia dunu fi ilia da wadela: i hou amo bu hamone, bu hamone, agoane hamobeba: le, Na da dafawane ilima se dabe imunu. Ilia da dunu fi afae ilia dunu huluane afugili Idome sogega afugili asi. Ilia musa: gousa: su sia: ilegele hamoi amo hohonone wadela: lesi dagoi.
Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Tiro, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu ameuza jumuiya nzima ya mateka kwa Edomu, na kutokujali mapatano ya undugu,
10 Amaiba: le, Na Daia moilai bai bagade amo ea gagoi nema: ne, lalu bidi imunu. Amola ea gagili sali diasu huluane laluga nemu.”
Nitatuma moto kwenye kuta za Tiro ambao utateketeza ngome zake.”
11 Hina Gode da amane sia: sa, “Idome fi ilia da wadela: i hou amo bu hamone, bu hamone agoane hamobeba: le, Na da dafawane ilima se dabe imunu. Ilia da yolalali (Isala: ili dunu) amo medole legemusa: , benea ahoasu. Ilia da nimi bagade hamoi amola hame yolei.
Hili ndilo Bwana asemalo: “Kwa dhambi tatu za Edomu, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu alimfuatia ndugu yake kwa upanga, alikataa kuonyesha huruma yoyote, kwa sababu hasira yake kali iliendelea kupanda wakati wote na ghadhabu iliwaka bila kuzuiliwa.
12 Amaiba: le Na da Dima: ne moilai bai bagadega lalu iasimu, amola Bosela gagili sali moilai bai bagade amo laluga ulagisimu.”
Nitatuma moto juu ya Temani ambao utateketeza ngome za Bosra.”
13 Hina Gode da amane sia: sa, “A: mone fi ilia da wadela: i hou amo bu hamone, bu hamone agoane hamobeba: le, Na da dafawane ilima se dabe imunu. Ilia ha lai gegei bagade soge eno lamusa: amo ganodini abula agui uda Gilia: de esalu amo dadamuni fane dagoi.
Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Amoni, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu aliwatumbua wanawake wajawazito wa Gileadi ili kuongeza mipaka yake.
14 Amaiba: le, Na La: ba moilai bai bagade fi ilima amola gagoi dobea laluga nema: ne lalu imunu, amola ilia gagili Sali diasu huluane laluga ulagimu. Amalu gegesa bulubulubi amo nabimu, amola gegebe amo da isu bagade mabe agoai ba: mu.
Nitatuma moto kwenye kuta za Raba ambao utateketeza ngome zake katikati ya vilio vya vita katika siku ya mapigano, katikati ya upepo mkali katika siku ya dhoruba.
15 Ilia hina bagade dunu amola ea dadi gagui ouligisu dunu ilia da ga sogega udigili hawa: hamomusa: gini mugululi asi dagoi ba: mu.”
Mfalme wake atakwenda uhamishoni, yeye pamoja na maafisa wake,” asema Bwana.