< Asunasi Dunu Ilia Hou 8 >

1 Solo da Sidibene ea medole legesu hou hahawane ba: i. Amo esoga, Yelusaleme sese fi dunu huluane da eno dunu ilia loboga se bagade nabalu. Asunasi dunu hame, be eno lalegagui dunu huluane da beda: iba: le, Yelusaleme yolesili, afafale Yudia amola Samelia, amo sogega fila asi.
Naye Sauli alikuwepo pale, akiridhia kuuawa kwa Stefano. Siku ile kukatukia mateso makuu dhidi ya kanisa huko Yerusalemu, waumini wote isipokuwa mitume wakatawanyika, wakakimbilia Uyahudi na Samaria.
2 Gasa bagade lalegagui dunu da Sidibene ea da: i hodo lale, ha: giwane dinanuwane uli dogone sali.
Watu wacha Mungu wakamzika Stefano na kumwombolezea sana.
3 Be Solo da Yesu Ea fa: no bobogesu fi gugunufinisimusa: dawa: i galu. E da moilai eno amola moilai eno, amoga doaga: le, Yesu Ea hou lalegagui dunu amola uda, gasawane hiouginana se dabe iasu diasu ganodini sali.
Lakini kwa habari ya Sauli alikuwa analiharibu kanisa, akiingia nyumba kwa nyumba, akiwaburuta wanawake na wanaume na kuwatupa gerezani.
4 Dafawaneyale dawa: su dunu huluane da afagogobeba: le, ilia da sogebi huluane amoma Gode Ea sia: olelela asi.
Kwa hiyo wale waliotawanyika wakalihubiri neno la Mungu kila mahali walipokwenda.
5 Filibe da Samelia sogega asili, amo soge bisili moilai bai bagade amo ganodini, Gode Ea ilegei dunu (Mesaia) da misi dagoi, amo sia: olelei.
Filipo akateremkia mji mmoja wa Samaria akawahubiria habari za Kristo
6 E da musa: hame ba: su gasa bagade hou hamobeba: le amola sia: moloiwane olelebeba: le, dunu bagohame da noga: le nabi.
Watu walipomsikia Filipo na kuona ishara na miujiza aliyofanya, wakasikiliza kwa bidii yale aliyosema.
7 Fio liligi bagohame dunu ilia dogo ganodini esalu da bagadewane welalu fadegai dagoi. Dunu gadoi hamoi amola emo gasuga: igi dunu bagohame, e da Gode Ea gasaga uhinisi.
Pepo wachafu wakawa wakiwatoka watu wengi huku wakipiga kelele na wengi waliopooza na viwete wakaponywa.
8 Amaiba: le, amo diasu ganodini dunu huluane da hahawane bagade ba: i.
Hivyo pakawa na furaha kuu katika mji huo.
9 Amo diasu ganodini dunu afadafa esalu ea dio amo Saimone. E da sema nabi dunu galu. Ea gasa hou hamobeba: le, Samelia dunu da fofogadigisu. E da bagade dawa: su dunu, hisu da sia: i galu.
Basi mtu mmoja jina lake Simoni alikuwa amefanya uchawi kwa muda mrefu katika mji huo akiwashangaza watu wote wa Samaria. Alijitapa kwamba yeye ni mtu mkuu,
10 Diasu ganodini, dunu huludafa beda: iba: le, ea hou dawa: lalu. Ilia amane sia: i, “Amo dunu da Gode Ea gasa gagui dunu, Baligili Gasa Gagui!”
nao watu wote wakubwa kwa wadogo wakamsikiliza na kumaka, wakisema “Mtu huyu ndiye uweza wa Mungu ujulikanao kama ‘Uweza Mkuu.’”
11 E da eso bagohame gasa bagade nabi hou hamobeba: le, ilia da ema fa: no bobogelalu.
Wakamfuata kwa sababu kwa muda mrefu alikuwa amewashangaza kwa uchawi wake.
12 Be Filibe da Gode Ea Hinadafa Hou amola Yesu Gelesu Ea Sia: Ida: iwane Gala, amo ilima olelei galu, ilia dafawaneyale dawa: beba: le, dunu amola uda, huluane hanoga fane sali dagoi.
Lakini watu walipomwamini Filipo alipohubiri habari njema za Ufalme wa Mungu na jina la Yesu Kristo, wakabatizwa wanaume na wanawake.
13 Amola Saimone hi da dafawaneyale dawa: i galu. E da hanoga fane sali dagoloba, Filibe ea baligiga aligili, musa: hame ba: su gasa bagade hou ba: beba: le, bagadewane fofogadigi.
Simoni naye akaamini na akabatizwa. Akamfuata Filipo kila mahali, akistaajabishwa na ishara kuu na miujiza aliyoiona.
14 Asunasi dunu Yelusaleme moilai bai bagade amo ganodini esalu, ilia da Samelia dunu da Gode Ea hou lalegagui amo nababeba: le, amo dunu fidima: ne, Bida amola Yone asunasi.
Basi mitume waliokuwa Yerusalemu waliposikia kuwa Samaria wamelipokea neno la Mungu, wakawatuma Petro na Yohana waende huko.
15 Bida amola Yone da Samelia moilai afadafa amoga doaga: le, ilia da Samelia dunu amo da Gode Ea hou lalegagui, ilia dogo ganodini Gode Ea A: silibu Hadigidafa Gala da aligila sa: ima: ne sia: ne gadoi.
Nao walipofika wakawaombea ili wampokee Roho Mtakatifu,
16 Amo esoga, Samelia dunu ilia Hina Yesu Gelesu Ea Dioba: le amo fawane ba: bodaise hamoi dagoiba: le, ilia dogo ganodini Gode Ea A: silibu Hadigidafa da hame aligila sa: i.
kwa sababu Roho Mtakatifu alikuwa bado hajawashukia hata mmoja ila wamebatizwa tu katika jina la Bwana Yesu.
17 Amalalu, Bida amola Yone, ela lobo ilima ligisili, Gode Ea A: silibu Hadigidafa Gala ilia dogo ganodini aligila sa: i.
Ndipo Petro na Yohana wakaweka mikono yao juu ya wale waliobatizwa, nao wakapokea Roho Mtakatifu.
18 Ela da amo lalegagui dunu ilima lobo ligisiba: le, Gode da ilima Ea A: silibu i dagoi, amo hou Saimone ba: i. Amaiba: le, e da Bida amola Yone, elama muni imunusa: sia: i.
Simoni alipoona kuwa watu wanapokea Roho Mtakatifu mitume walipoweka mikono juu yao, akataka kuwapa fedha
19 E amane sia: i, “Na da dunu ilima na lobo ligisili, ilia Gode Ea A: silibu Hadigidafa Gala lama: ne, amo gasa hou alia nama bidi lama.”
akisema, “Nipeni na mimi uwezo huu ili kila mtu nitakayeweka mikono yangu juu yake apate kupokea Roho Mtakatifu.”
20 Be Bida bu adole i, “Di da giadofale Gode Ea hahawane dogolegele iasu muniga bidi lamu dawa: beba: le, di amola dia muni, gilisili Helo sogega sa: imu da defea.
Petro akamjibu, “Fedha yako na iangamie pamoja nawe, kwa sababu ulidhani unaweza kununua karama ya Mungu kwa fedha!
21 Dia dogo da Gode ba: ma: ne noga: i hameba: le, di da ninia hawa: hamosu amoga gilisimu da hamedeidafa.
Wewe huna sehemu wala fungu katika huduma hii kwa kuwa moyo wako si mnyofu mbele za Mungu.
22 Di gogosiane, dia wadela: i hamomu dawa: su yolesili, di da amo wadela: le dawa: beba: le Gode da gogolema: ne olofoma: ne, Godema sia: ne gadoma.
Kwa hiyo tubu kwa uovu huu wako na umwombe Bwana. Yamkini aweza kukusamehe mawazo uliyo nayo moyoni mwako.
23 Dia dogo ganodini da gamogai mudasu hou amola wadela: i hou da di gasa bagadewane gagulaligisa.”
Kwa maana ninaona kwamba wewe umejawa na uchungu na ni mfungwa wa dhambi.”
24 Amalalu, Saimone da Bida amola Yone, elama sia: i, “Amo hou di waha sia: i liligi nama mae doaga: ma: ne, ali da Godema sia: ne gadoma: ne na da ha: giwane edegesa!”
Ndipo Simoni akajibu, “Niombeeni kwa Bwana, ili hayo mliyosema lolote yasinitukie.”
25 Bida amola Yone, da Gode Ea hou elama hamoi amo olelelalu, amola Gode Ea Sia: olelelalu, Yelusaleme moilai bai bagade amoga buhagi. Logoga ahoanoba, ela da Gode Sia: Ida: iwane Gala Samelia moilai gagai bagohame amo ganodini olelei.
Nao walipokwisha kutoa ushuhuda na kuhubiri neno la Bwana, wakarudi Yerusalemu wakihubiri Injili katika vijiji vingi vya Samaria.
26 Gode Ea a: igele dunu da Filibema amane sia: i, “Dia liligi gilisili, di ga (south) asili, logo da Yelusaleme yolesili Gasa moilai bai bagadega doaga: sa, amo logoga masa. (Dunu da wali eso amo logoga hame ahoa.)
Basi malaika wa Bwana akamwambia Filipo, “Nenda upande wa kusini kwenye ile barabara itokayo Yerusalemu kuelekea Gaza ambayo ni jangwa.”
Hivyo akaondoka. Akiwa njiani akakutana na towashi wa Kushi, aliyekuwa afisa mkuu, mwenye mamlaka juu ya hazina zote za Kandake, Malkia wa Kushi. Huyu towashi alikuwa amekwenda Yerusalemu ili kuabudu,
28 Amalalu, Filibe ea liligi momagele, asi. Amo logoga, Idioubia Gamane eagene dunu (gulusu danai dunu) amo ahoanebe ba: i. Amo dunu da Idioubia ouligisu uda ea muni ouligisu dunu. E da Godema sia: ne gadomusa: , Yelusaleme moilai bai bagade amoga asili dagole, bu ea sa: liode amo ganodini hi diasuga doaga: musa: ahoanu. E da sa: liode fila heda: le ahoanu, e da Aisaia Gode Sia: Dedei Buga idilalu.
naye akiwa njiani kurudi nyumbani alikuwa ameketi garini mwake akisoma kitabu cha nabii Isaya.
29 Gode Ea A: silibu Hadigidafa Gala da Filibe ea dogo amoma amane olelei, “Di da amo sa: liode gadenenewane aligila masa!”
Roho Mtakatifu akamwambia Filipo, “Nenda kwenye lile gari ukae karibu nalo.”
30 Filibe da hehenane, sa: liode gadenenewane aligila asili, Idioubia dunu da Aisaia Gode Sia: Dedei idilalebe nabi. E da ema amane adole ba: i, “Dia waha idilala bai di noga: le dawa: bela: ?”
Ndipo Filipo akakimbilia lile gari na kumsikia yule mtu anasoma kitabu cha nabii Isaya. Filipo akamuuliza, “Je, unaelewa hayo usomayo?”
31 Amalalu, Idioubia dunu da Filibema amane sia: i, “Dunu eno da nama hame olelebeba: le na da habodane dawa: ma: bela: ?” E da Filibe amo ema dafulili sa: liode ganodini fila heda: ma: ne sia: i.
Yule towashi akasema, “Nitawezaje kuelewa mtu asiponifafanulia?” Hivyo akamkaribisha Filipo ili apande na kuketi pamoja naye.
32 Ilia da sibi mano medole legesea o sibi ea hinabo dadamusia, sibi da hame sia: sa. Amo defele, ilia Gode Ea Hawa: Hamosu Dunu famusa: oule ahoanoba, E da ouiya: le esalu.
Huyu towashi alikuwa anasoma fungu hili la Maandiko: “Aliongozwa kama kondoo aendaye machinjoni, kama mwana-kondoo anyamazavyo mbele yake yule amkataye manyoya, hivyo hakufungua kinywa chake.
33 Ilia da E afugili Ema fofada: nanu, E medole legemusa: oule asi. Amola Ea esalebe eso amoga, esalebe dunu huluane da Ea bogobe asigiwane hame dawa: i galu. E da ninia fi dunu ilia wadela: i hou hamoiba: le, medole legei dagoi ba: i.
Katika kufedheheshwa kwake alinyimwa haki yake. Nani awezaye kueleza juu ya kizazi chake? Kwa maana maisha yake yaliondolewa kutoka duniani.”
34 Idioubia eagene dunu da Filibema adole ba: i, “Nama adoma! Nowa dunu ea hou amo balofede sia: dedei olelesa? Amo da hisu hi hou dedei, o eno dunu ea hou olelemusa: dedebela: ?”
Yule towashi akamuuliza Filipo, “Tafadhali niambie, nabii huyu anena habari zake mwenyewe au habari za mtu mwingine?”
35 Amalalu, Filibe da amo sia: dedei ea bai huluane ema olelei. E da Yesu Gelesu Ea sia: Ida: iwane Gala huluane ema olelei.
Ndipo Filipo akaanza kutumia fungu lile la Maandiko, akamweleza habari njema za Yesu.
36 Logoga bu ahoanu, ilia hano sogebi amoga doaga: i. Amalalu Idioubia dunu da amane sia: i, “Defea! Hano dialebeba: le, na da ba: bodaise hamomu da defeala: ?”
Walipokuwa wakiendelea na safari wakafika mahali palipokuwa na maji, yule towashi akamuuliza Filipo, “Tazama, hapa kuna maji. Kitu gani kitanizuia nisibatizwe?” [
37 Filibe da amane sia: i, “Di da dia dogoga noga: le dafawaneyale dawa: galea, ba: bodaise hamomu da defea.” Idioubia dunu da amane bu adole i, “Na da dafawaneyale dawa: be! Yesu Gelesu da Gode Ea Manodafa amo na da dafawaneyale dawa: be.”
Filipo akamwambia, “Kama ukiamini kwa moyo wako wote unaweza kubatizwa.” Akajibu, “Naamini kuwa Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu.”]
38 E da sa: liode genonesisu dunuma ouligima: ne sia: noba, e amola Filibe, da hanoga gudu sa: ili, Filibe da Idioubia dunu hanoga fane sanasi dagoi.
Naye akaamuru lile gari lisimamishwe. Wakateremka kwenye maji wote wawili, yule towashi na Filipo, naye Filipo akambatiza.
39 Ela bu bega: heda: le, Gode Ea A: silibu Hadigidafa da Filibe oule asi. Idioubia Gamane dunu da Filibe bu hame ba: i. Be ea dogo ganodini hahawane bagade ba: laluwane logoga bu asi.
Nao walipopanda kutoka kwenye maji, ghafula Roho wa Bwana akamnyakua Filipo, naye towashi hakumwona tena, lakini akaenda zake akifurahi.
40 Filibe da A: silibuga oule asili, A:sadode moilai bai bagadega doaga: i dagoi ba: i. Amalalu, amo moilai yolesili, Sesalia moilaiga doaga: musa: asili, logoga ahoanu, moilai huluane amo ganodini, e da Gode Ea Sia: Ida: iwane Gala olelelalu.
Filipo akajikuta yuko Azoto, akasafiri akihubiri Injili katika miji yote mpaka alipofika Kaisaria.

< Asunasi Dunu Ilia Hou 8 >