< Asunasi Dunu Ilia Hou 6 >
1 Fa: no, asili, Yesu Ea fa: no bobogesu fi ilia idi da heda: beba: le, Galigi sia: dawa: su Yu dunu amola Yu sia: dawa: su dunu, sia: ga gegei. Galigi sia: dawa: su Yu dunu ilia didalo uda da labe muni eso huluane hame ba: su, ilia da sia: su.
Sasa katika siku hizi, wakati idadi ya wanafunzi ilipokuwa inaongezeka, lalamiko la Wayahudi wa Kiyunani lilianza dhidi ya Waebrania, kwa sababu wajane wao walikuwa wanasahaulika katika mgao wa kila siku wa chakula.
2 Amaiba: le, asunasi dunu fagoyale da Yesu Ea fa: no bobogesu fi huluane gilisima: ne sia: beba: le, ilia gilisi. Ilia da ilima amane sia: i, “Ninia da eso huluane muni hou ouligima: ne, Gode Ea Sia: olelesu hou yolesimu da defea hame galebe.
Mitume kumi na wawili waliwaita kusanyiko lote la wanafunzi na kusema, “Siyo sahihi kwetu kuliacha neno la Mungu na kuhudumia mezani.
3 Amaiba: le, ninia fi dunu! Dilia dunu fesuale gala, - bagade dawa: su dunu, Gode Ea A: silibu Hadigidafa Gala amoga ilia dogo nabai dunu, amo dunu ilegema. Ilia muni amola eno osobo bagade hou ouligima: ne sia: ma!
Kwa hiyo, ndugu, chagueni, wanaume saba, kutoka miongoni mwenu, watu wema, waliojaa Roho na hekima, ambao tunaweza kuwakabidhi huduma hii.
4 Amasea, ninia da amo hou yolesili, Godema sia: ne gadosu amola Gode Ea sia: olelesu hou, amo fawane hamomu.”
Na sisi, tutaendelea daima katika kuomba na katika huduma ya neno.”
5 Amo sia: nababeba: le, dunu huluane da hahawane ba: i. Amaiba: le, ilia dunu fesuale gala ilegei. Amo da Sidibene - (e da dafawaneyale dawa: su hou bagade lalegagui amola ema Gode Ea A: silibu Hadigidafa da hinawane esalu), Filibe, Balogoulase, Naiga: ino, Daimone, Bamina: se, Nigoula: iase. Nigoula: iase da Dienadaile dunu musa: A:dioge moilai bai bagadega esalu. E da sinidigili, Yu fi ganodini misi.
Hotuba yao ikaupendeza mkutano wote. Hivyo, wakamchagua Stefano, mtu aliyejaa imani na Roho Mtakatifu, na Filipo, Prokoro, Nikanori, Timoni, Parmena, na Nikolao, mwongofu kutoka Antiokia.
6 Amo dunu da gilisili, asunasi dunu ilima doaga: i. Asunasi dunu da ilia lobo ilia dialuma da: iya ligisili, ilia hou fidima: ne Godema sia: ne gadoi.
Waumini waliwaleta watu hawa mbele ya mitume, walioomba na badaye wakawawekea mikono yao.
7 Amalalu Gode Ea Sia: da hehenai. Yesu Ea fa: no bobogesu fi Yelusaleme moilai bai bagade amo ganodini bagade heda: lalu. Amola gobele salasu dunu bagohame da Yesu Ea hou lalegagui.
Hivyo, neno la Mungu lilienea; na idadi ya wanafunzi ilizidi kuongezeka huko Yesrusalem; na idadi kubwa ya makuhani wakaitii imani.
8 Gode da Sidibenema hahawane bagade. Sidibene da gasa bagade ba: i amola gasa bagade musa: hame ba: su dawa: digima: ne olelesu dunu huluane ba: ma: ne hamoi.
Na Stefano, aliyejaa neema na nguvu, alikuwa akifanya maajabu na ishara kubwa miongoni mwa watu.
9 Be ema ha lai dunu wa: legadoi. Amo dunu da Yu fi ganodini esalu, ilia fi da Halegai (musa: udigili hawa: hamosu dunu esalu wali halegai). Ilia musa: moilai bai bagade da Sailini amola A: legasa: dalia. Eno Yu dunu, Silisia amola A: isia fi dunu da ilima gilisili, ilia Sidibenema sia: ga gegei.
Lakini hapo wakainuka baadhi ya watu wafuasi wa Sinagogi liitwalo Sinagogi la Mahuru, na la Wakirene na la Waeskanderia, na baadhi kutoka Kilikia na Asia. Watu hawa walikuwa wakihojiana na Stefano.
10 Be Gode Ea A: silibu Hadigidafa Gala da Sidibenema bagade dawa: su hou baligili iabeba: le, ilia Sidibene ea sia: hedofamu gogolei galu.
Lakini, hawakuweza kushindana na hekima na Roho ambayo Stefano alikuwa akitumia katika kuzungumza.
11 Amaiba: le, ilia da ogogosu dunuma muni i dagoi. Amo dunu ilia ogogole amane sia: i, “Ninia nabi da Sidibene da Mousese ea hou wadela: musa: amola Gode Ea hou wadela: musa: , lasogole sia: nana.”
Kisha waliwashawishi baadhi ya watu kwa siri kusema, “Tumesikia Stefano akizungumza maneno ya kufuru dhidi ya Musa na dhidi ya Mungu.”
12 Dunu huluane, asigilai amola Sema olelesu dunu, amo sia: nababeba: le, ougi bagade ba: i. Ilia Sidibene afugili hiougili, Gasolo dunu ilima fofada: musa: hiouginana asi.
Waliwashurutisha watu, wazee, na waandishi, na kumwendea Stefano, wakamkamata, na kumleta mbele ya baraza.
13 Amalalu, ilia da ogogosu dunu, Sidibenema ogogole fofada: ma: ne, oule misi. Ilia amane sia: i, “Eso huluane amo dunu da ninia hadigi Debolo Diasu amola Mousese ea Sema, amo wadela: musa: lasogole sia: sa.
waliwaleta mashahidi wa uongo, waliosema, “mtu huyu haachi kunena maneno mabaya dhidi ya eneo hili takatifu na sheria.
14 Na: salede dunu Yesu da Debolo Diasu mugululi amola hou huluane Mousese da ninima olelei liligi e da huluane afadenemu, amane sia: be ninia nabi.”
Kwani tumemsikia akisema kwamba huyu Yesu wa Nazareti atapaharibu mahali hapa na kuzibadili desturi tulizokabidhiwa na Musa.”
15 Gasolo dunu huluane ilia Sidibene ea odagi ha: giwane ba: i. Ba: beba: le, ea odagi da hadigi a: igele dunu ea odagi defele ba: i.
Kila mmoja aliyekuwa katika baraza, akaelekeza macho yake kumwangalia Stefano, nao wakauona uso wake ulikuwa kama uso wa malaika.