< Asunasi Dunu Ilia Hou 4 >

1 Bida amola Yone, ela da dunu huluanema sia: nanoba, gobele salasu dunu, Debolo Diasu sosodo aligisu dunu amola eno Sa: diusi dunu doaga: i.
Wakati Petro na Yohana walipokuwa wakisema na watu, makuhani, mkuu wa walinzi wa Hekalu na Masadukayo wakawajia,
2 Bida amola Yone, da Yesu da bogole bu uhini wa: legadoi, amo hou olelebeba: le, ilia ougi ba: i. Amo hou da bogoi dunu ilia da hobea bu wa: legadomu olelebeba: le, ilia ougi.
huku wakiwa wamekasirika sana kwa sababu mitume walikuwa wanawafundisha watu na kuhubiri kwamba kuna ufufuo wa wafu ndani ya Yesu.
3 Amaiba: le, ilia da Bida amola Yone gagulaligili, se dabe iasu diasu ganodini sali. Eso da dabeba: le, aya esoga fofada: musa: , ilia se dabe iasu diasu ganodini sali.
Wakawakamata Petro na Yohana na kuwatia gerezani mpaka kesho yake kwa kuwa ilikuwa jioni.
4 Be dunu bagohame, Bida amola Yone ela sia: nabi dagoiba: le, dafawaneyale dawa: i galu. Lalegagui dunu ilia idi da heda: le, 5000 agoane ba: i.
Lakini wengi waliosikia lile neno waliamini, idadi yao ilikuwa yapata wanaume 5,000.
5 Golale hahabe, Yu ouligisu dunu, asigilai dunu amola Sema olelesu dunu, ilia Yelusaleme moilai bai bagade amoga gagadoi.
Kesho yake, viongozi wa Kiyahudi, wazee na walimu wa sheria wakakusanyika Yerusalemu.
6 Ilia da gobele salasu hina dunu (A: nase), Gaiabase, Yone, A:legesa: nede, amola gobele salasu hina dunu ea sosogo fi dunu eno, Bida amola Yone elama fofada: musa: gilisi.
Walikuwepo kuhani mkuu Anasi, Kayafa, Yohana, Iskanda, na wengi wa jamaa ya kuhani mkuu.
7 Ilia da asunasi dunu elama amane sia: i, “Ninima fofada: musa: , misini leloma.” Ilia da elama amane adole ba: i, “Alia da habodane amo hou hamobela: ? Adi gasaga hamobela: ? Nowa ea Dioba: le alia amo hou hamobela: ?”
Baada ya kuwasimamisha Petro na Yohana katikati yao, wakawauliza, “Ni kwa uwezo gani au kwa jina la nani mmefanya jambo hili?”
8 Amalalu, Gode Ea A: silibu Hadigidafa Gala amo Ea gasa da Bida ea dogo nabaiba: le, e bu adole i, “Dilia! Isala: ili dunu ilia ouligisu amola asigilai dunu!
Petro, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akajibu, “Enyi watawala na wazee wa watu,
9 Dilia da anima waha amo gasuga: igi dunu ea uhinisisu hou amola ema hahawane hou hamoi ea bai anima adole ba: sa.
kama leo tukihojiwa kwa habari ya mambo mema aliyotendewa yule kiwete na kuulizwa jinsi alivyoponywa,
10 Amaiba: le, dilia huluane amola Isala: ili fi dunu huluane, noga: le dawa: mu da defea. Yesu Gelesu, Na: salede dunu, amo Ea gasa bagade Dioba: le amo musa: gasuga: igi dunu da wali uhini dagoiwane, hahawane dilia huluane ba: ma: ne lela. Dilia da Yesu Gelesu bulufalegeiga medole legei, be Gode da E bu uhini wa: lesi dagoi.
ijulikane kwenu nyote na kwa watu wote wa Israeli kwamba: Ni kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, ambaye ninyi mlimsulubisha lakini Mungu akamfufua kutoka kwa wafu, kwa jina hilo mtu huyu anasimama mbele yenu akiwa mzima kabisa.
11 Yesu Gelesu Ea hou olelema: ne, Gode Sia: da agoane dedei diala, ‘Diasu gagusu dunu da igi afae higa: i. Be amo igi da mimogo hamone, igi eno huluane baligi dagoi.’
Huyu ndiye “‘jiwe ambalo ninyi wajenzi mlilikataa, ambalo limekuwa jiwe kuu la pembeni.’
12 Yesu Gelesu Hi fawane da Gaga: su dunu. Osobo bagade ganodini eno hame, Hi fawane Gode da ninia Gaga: su dunu ilegei dagoi!”
Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hakuna jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo.”
13 Gasolo dunu da Bida amola Yone, ela gasa bagade mae beda: iwane hou ba: beba: le, fofogadigi. Ela da sugulu hame hamoi amo dawa: beba: le, ilia baligiliwane fofogadigi. Ilia da ela hou ba: beba: le, ela da Yesu amola gilisili lalu dawa: i.
Wale viongozi na wazee walipoona ujasiri wa Petro na Yohana na kujua ya kuwa walikuwa watu wa kawaida, wasio na elimu, walishangaa sana, wakatambua kwamba hawa watu walikuwa na Yesu.
14 Be elama gagabole sia: musa: logo hame ba: i. Bai musa: emo gasuga: igi dunu da bu uhini hahawane e amola Bida amola Yone, gilisili lelebe ba: beba: le, ilia bu sia: mu gogolei.
Lakini kwa kuwa walikuwa wanamwona yule kiwete aliyeponywa amesimama pale pamoja nao, hawakuweza kusema lolote kuwapinga.
15 Amasea elama Gasolo diasu gadili masa: ne sia: nu, Gasolo dunu ilisu da gilisili amane sia: dasu,
Wakawaamuru watoke nje ya Baraza la Wayahudi wakati wakisemezana jambo hilo wao kwa wao.
16 “Amo dunu ilia hawa: hamobeba: le, ninia adi hamoma: bela: ? Ela da musa: hame ba: i gasa bagade hawa: hamoi, amo Yelusaleme fi dunu huluane da dawa: Ela da hame hamoi amo ninia sia: mu da hamedei.
Wakaulizana, “Tuwafanyie nini watu hawa? Hatuwezi kukanusha muujiza huu mkubwa walioufanya ambao ni dhahiri kwa kila mtu Yerusalemu.
17 Be dunu huluane ilia amo hou baligiliwane nabasa: besa: le, amo dunu ilia eno dunuma bu Yesu Ea Dioba: le bu mae sia: ma: ne, amo ninia gagabole sia: mu da defea.”
Lakini ili kuzuia jambo hili lisiendelee kuenea zaidi kwa watu, ni lazima tuwaonye watu hawa ili wasiseme tena na mtu yeyote kwa jina la Yesu.”
18 Amasea, ilia Yone amola Bida, elama bu misa: ne sia: noba, amane sia: i, “Defea! Alia Yesu Ea Dioba: le, maedafa bu sia: ma amola Ea hou maedafa olelema!”
Kisha wakawaita tena ndani na kuwaamuru wasiseme wala kufundisha kamwe kwa hili jina la Yesu.
19 Be Bida amola Yone da bu adole i, “Defea! Dilia fawane dawa: ma? Dilia sia: ani nabawane hamoma: bela: ? O Gode Ea adosu ninia nabawane hamoma: bela: ?
Lakini Petro na Yohana wakajibu, “Amueni ninyi wenyewe iwapo ni haki mbele za Mungu kuwatii ninyi kuliko kumtii Mungu.
20 Ania da hou huluane ania siga ba: beba: le amola ania gega nababeba: le, ouiya: le esalumu da hamedei galebe!”
Lakini sisi hatuwezi kuacha kusema yale tuliyoyaona na kuyasikia.”
21 Amaiba: le, Gasolo dunu da elama bu baligiliwane gagabole sia: nanu, elama udigili masa: ne sia: i. Dunu huluane da Gode musa: hame ba: i hou hamoi, amoma Godema nodone dawa: lalebeba: le, ilia da elama se dabe iasu imunu beda: i.
Baada ya vitisho vingi, wakawaacha waende zao. Hawakuona njia yoyote ya kuwaadhibu, kwa sababu ya watu, kwa kuwa watu wote walikuwa wakimsifu Mungu kwa kile kilichokuwa kimetukia.
22 Musa: gasuga: igi bu uhi dagoi dunu da lalelegeloba ode 40 baligili esalu.
Kwa kuwa umri wa yule mtu aliyekuwa ameponywa kwa muujiza ulikuwa zaidi ya miaka arobaini.
23 Bida amola Yone, ela se dabe iasu diasu logo doasibiba: le, ela gilisisu ilima bu asili, doaga: le, gobele salasu ouligisu dunu amola asigilai dunu ilia hou elama, amo elea fi ilima olelei.
Punde Petro na Yohana walipoachiliwa, walirudi kwa waumini wenzao wakawaeleza waliyoambiwa na viongozi wa makuhani na wazee.
24 Yesu Ea fa: no bobogesu dunu huluane elea sia: nababeba: le, ilia gilisili Godema amane sia: ne gadoi, “Hina Gode! Hebene, moi bagade, hano bagade amola liligi huluane Hahamosu Dunu Di!
Watu waliposikia hayo, wakainua sauti zao, wakamwomba Mungu kwa pamoja, wakisema, “Bwana Mwenyezi, uliyeziumba mbingu na nchi na bahari, na vitu vyote vilivyomo.
25 Dia A: silibu Hadigidafa da olelebeba: le, Dia hawa: hamosu dunu Da: ibidi da amane sia: i, ‘Gode Ea fi hame dunu da abuliba: le ougibala: ? Hamedeiba: le, ilia abuliba: le hamedei ilegesu hamosala: ?
Wewe ulisema kwa Roho Mtakatifu kupitia kwa kinywa cha baba yetu Daudi, mtumishi wako, ukasema: “‘Mbona mataifa wanaghadhibika, na kabila za watu zinawaza ubatili?
26 Osobo bagade hina bagade dunu ilia Godema gegemusa: dawa: beba: le gegesu liligi momagei. Ilia gilisili, Godema amola Ea Mesaia Ema gegemusa: gilisi dagoi!’
Wafalme wa dunia wamejipanga, na watawala wanakusanyika pamoja dhidi ya Bwana na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.’
27 Dafawane! Helode, Bodiase Bailade, Gode Ea fi hame dunu amola Isala: ili dunu, ilia da Yelusaleme moilai bai bagade ganodini, Dia hawa: hamosu Dunu Ida: iwane Dima Mesaia ilegei, amo medomusa: dawa: i galu.
Ni kweli Herode na Pontio Pilato pamoja na watu wa Mataifa na Waisraeli, walikusanyika katika mji huu dhidi ya mwanao mtakatifu Yesu uliyemtia mafuta.
28 Ilia ilisu amo hou hamomusa: dawa: i galu. Be Di da amo hou ilia loboga hamomusa: musa: hemonega ilegei galu.
Wao wakafanya yale ambayo uweza wako na mapenzi yako yalikuwa yamekusudia yatokee tangu zamani.
29 Be wali Hina Gode! Ilia badugui hou Di ba: ma. Ninia da Dia hawa: hamosu dunu. Amaiba: le, ninia Dia sia: ida: iwane gasawane olelema: ne, Di fidima.
Sasa, Bwana angalia vitisho vyao na utuwezeshe sisi watumishi wako kulinena neno lako kwa ujasiri mkuu.
30 Dia oloi dunu uhima: ne, Dia lobo moloma. Ninia gasa bagade musa: hame ba: su dawa: digima: ne olelesu Yesu Dia hawa: hamosu Dunu ida: iwane gala Ea Dioba: le hamoma: ne, nini logo Dia fodoma!”
Nyoosha mkono wako ili kuponya wagonjwa na kutenda ishara na miujiza kwa jina la Mwanao mtakatifu Yesu.”
31 Sia: ne gadoi dagoloba, diasu amo ganodini ilia gilisi, amo da bebeda: nima hamobe agoane ugugui. Amalalu, ilia huluane Gode Ea A: silibu Hadigidafa Gala ea gasaga nabaiba: le, Gode Ea sia: mae beda: iwane gasawane olelesu.
Walipokwisha kuomba, mahali walipokuwa wamekutanika pakatikiswa, wote wakajazwa na Roho Mtakatifu, wakanena neno la Mungu kwa ujasiri.
32 Yesu Ea fa: no bobogesu fi da gilisili na: iyado amola asigi dawa: su afadafa fawane hamoi. Dunu afae ea liligi, “Goe da na: ,” hamedafa sia: i. Be ilia liligi huluane yolesili, amo liligi huluane ilia gilisili gagui galu.
Wale walioamini wote walikuwa na moyo mmoja na nia moja. Wala hakuna hata mmoja aliyesema chochote alichokuwa nacho ni mali yake mwenyewe, lakini walishirikiana kila kitu walichokuwa nacho.
33 Asunasi dunu da Hina Yesu Gelesu Ea bu wa: legadosu hou, amo gasawane olelesu. Amalalu, Gode da hahawane bagade hou ilima iasu.
Mitume wakatoa ushuhuda wa kufufuka kwa Bwana Yesu kwa nguvu nyingi na neema ya Mungu ilikuwa juu yao wote.
34 Ilia gilisisu ganodini, hame gagui agoane dunu da hame ba: i. Osobo gagui dunu amola diasu gagui dunu, ilia amo liligi bidi lale, muni amo gaguli misini,
Wala hapakuwepo mtu yeyote miongoni mwao aliyekuwa mhitaji, kwa sababu mara kwa mara wale waliokuwa na mashamba na nyumba waliviuza, wakaleta thamani ya vitu vilivyouzwa,
35 asunasi dunuma iasu. Amalalu, ilia da amo muni mogili, hame gagui dunuma ilia esalusu liligi lama: ne sagosu.
wakaiweka miguuni pa mitume, kila mtu akagawiwa kadiri ya mahitaji yake.
36 Lifai fi dunu Saibalase sogega lalelegei ea dio amo Yousefe, e da agoane hamoi. Amo dunuma, asunasi dunu da eno dio asuli amo Banaba: se (dawa: loma: ne da “asigi fidisu dunu.”)
Yosefu, Mlawi kutoka Kipro, ambaye mitume walimwita Barnaba (maana yake Mwana wa Faraja),
37 Banaba: se da soge ea gagui amo bidi lale, muni gaguli misini, eno hame gagui dunu fidimusa: amo asunasi dunuma i.
aliuza shamba alilokuwa nalo, akaleta hizo fedha alizopata na kuziweka miguuni pa mitume.

< Asunasi Dunu Ilia Hou 4 >