< Asunasi Dunu Ilia Hou 27 >
1 Fesadase da nini huluane Idali sogega foga ahoasu dusagai amo ganodini asunasimusa: dawa: beba: le, ilia da Bolo amola se dabe iasu diasu esalebe dunu eno, ili amo Yuliase (Louma dadi gagui gilisisu amo ea dio amo “Louma ouligisudafa amoea Dadi Gagui Gilisisu,” amo ganodini ouligisu esala), amo ili ouligima: ne, ema i.
Walipokwisha amua tusafiri mpaka Italia, walimweka Paulo pamoja na wafungwa wengine chini ya ulinzi wa Yulio aliyekuwa ofisa wa jeshi katika kikosi kiitwacho “Kikosi cha Augusto.”
2 Ninia da foga ahoasu dusagai (amo da A: dalamidiame moilai bai bagadega misi) amo fila heda: le, amo dusagai da A: isia soge bega: moilaiga masunuba: le, ninia Sesalia moilai yolesili asi. A: lisadagase (Ma: sidounia fi dunu musa: Desalounia moilai bai bagade esalu) da nini sigi asi.
Tulipanda meli ya Adiramito iliyokuwa inasafiri na kupitia bandari kadhaa za mkoa wa Asia, tukaanza safari. Aristarko, mwenyeji wa Makedonia kutoka Thesalonika, alikuwa pamoja nasi.
3 Golale hahabe, ninia Saidone moilaiga doaga: i. Yuliase da Boloma asigi galu. Amaiba: le e da Bolo ea na: iyado gousa: musa: masa: ne amola liligi lamusa: , logo doasi dagoi.
Kesho yake tulitia nanga katika bandari ya Sidoni. Yulio alimtendea Paulo vizuri kwa kumruhusu awaone rafiki zake na kupata mahitaji yake.
4 Saidone yolesili asili, ninima fo bagade mabeba: le, ninia Saibalase oga ea la: ididili, amo da fo hame mabe la: idi, amoga asi.
Kutoka huko tuliendelea na safari, lakini kwa kuwa upepo ulikuwa unavuma kwa kasi kutujia kwa mbele, tulipitia upande wa kisiwa cha Kupro ambapo upepo haukuwa mwingi.
5 Oga be yolesili, hano degele, ninia hano amo ea bega: Silisia amola Ba: mafilia dialu, amo hanoga asili, Maila moilai Lisia soge ganodini amoga doaga: i.
Halafu tulivuka bahari ya Kilikia na Pamfulia, tukatia nanga Mura, mji wa Lukia.
6 Amo moilaiga, Yuliase da dusagai eno A: legesa: nadalia moilai bai bagadega misi, Idali sogega masunu, amo ba: beba: le, e da nini amoga fila heda: ma: ne oule asi.
Hapo yule ofisa alikuta meli moja ya Aleksandria iliyokuwa inakwenda Italia, na hivyo akatupandisha ndani.
7 Ninia gebewane foga ahoanu, logo gasawane ba: i. Amalalu ninia Naidase moilai bai bagade gadenenewane doaga: i. Be fo bagade da ninia logo damubiba: le, ninia Galidi oga amo fo hame mabe la: ididili asili, Sa: lamouni goa baligi.
Kwa muda wa siku nyingi tulisafiri polepole, na kwa shida tulifika karibu na Nido. Kwa sababu upepo ulikuwa bado unatupinga, tuliendelea mbele moja kwa moja tukapitia upande wa Krete karibu na rasi Salmone ambapo upepo haukuwa mwingi.
8 Be gadenene, logo gasa bagade ba: lu, ninia soge ea dio amo Dusagai Gaga: i Sogebi, Lasia moilai (dusagai aligisu sogebi) gadenene, amo sogega fi galu.
Tulipita kando yake polepole tukafika mahali paitwapo “Bandari Nzuri”, karibu na mji wa Lasea.
9 Eso bagohame ouesalu, Gousa: su Eso da baligi dagoi ba: i. Fo bagade eso da doaga: beba: le, bu masunu da hamedei agoane ba: i. Bolo da Yuliase amola dusagai genonesisu dunu, ilima fada: i sia: amane olelei,
Muda mrefu ulikuwa umepita, na hata siku ya kufunga ilikuwa imekwisha pita. Sasa ilikuwa hatari sana kusafiri kwa meli. Basi, Paulo aliwapa onyo:
10 “Dilia! Ninia wali bu masunu logo da ga: nasidafa ba: mu, na dawa: ! Ninia bu ahoasea, liligi bagohame fisili, amola dunu bagohame bogoi dagoi ba: mu!”
“Waheshimiwa, nahisi kwamba safari hii itakuwa ya shida na hasara nyingi si kwa shehena na meli tu, bali pia kwa maisha yetu.”
11 Be Yuliase da Bolo ea sia: mae nabawane, dusagai gagui dunu amola dusagai ouligisu dunu, ela sia: fawane nabi.
Lakini yule ofisa alivutiwa zaidi na maoni ya nahodha na ya mwenye meli kuliko yale aliyosema Paulo.
12 Dusagai Gaga: i Sogebi da dusagai fisu noga: i hame galu. Amogawi, anegagi oubiga dialumu da defea hame ba: i. Amaiba: le, dunu huluane mogili, bagohame ilia amo sogebi fisili, Finigisi sogebi doaga: musa: asili, anegagi oubi amoga Finigisi amoga fimusa: dawa: i galu. Finigisi da dusagai aligisu sogebi Galidi oga ganodini diala. Amo ea midadi da ga (north) amola ga (south) ba: sa.
Kwa kuwa bandari hiyo haikuwa mahali pazuri pa kukaa wakati wa baridi, wengi walipendelea kuendelea na safari, ikiwezekana mpaka Foinike. Foinike ni bandari ya Krete inayoelekea kusini-magharibi na kaskazini-magharibi; na huko wangeweza kukaa wakati wa baridi.
13 Fo asaboi gala da ga (south) muni mabeba: le, dusagai ouligisu dunu da ilia hanai amo hamomusa: dawa: i galu. Ilia ‘a: go’ (dioi liligi efega la: gi, dusagai mae masa: ne hanoga salasu liligi) duga: le, dusagai da foga ahoanu, Galidi oga bega: gadenenewane ahoasu.
Basi, upepo mzuri wa kusi ulianza kuvuma, nao wakadhani wamefanikiwa lengo lao; hivyo wakang'oa nanga, wakaiendesha meli karibu sana na pwani ya Krete.
14 Be fo bagade heda: le (amo fo da “Fo da Ga (north) Misi” ilia da sia: su) oga amo la: ididili amoga misi.
Lakini haukupita muda, upepo mkali uitwao “Upepo wa Kaskazi” ulianza kuvuma kutoka kisiwani.
15 Amo fo da dusagai amoga doaga: le, dusagai da yaguguli, masunu gogolei. Amaiba: le, ninia hanaiga fisili, dusagai da sinidigili, foga udigili ahoasu.
Upepo uliipiga ile meli, na kwa kuwa hatukuweza kuukabili, tukaiacha ikokotwe na huo upepo.
16 Oga ea dio amo Gouda amoga doaga: le, ninia amoea fo hame mabe la: ididili ahoanu, dusagai bagade ea mano (dusagai fonobahadi) amo wadela: sa: besa: le, ninia gasawane hawa: hamobeba: le, la: gi dagoi.
Kisiwa kimoja kiitwacho Kanda kilitukinga kidogo na ule upepo; na tulipopita kusini mwake tulifaulu, ingawa kwa shida, kuusalimisha ule mtumbwi wa meli.
17 Amalalu, hiougili, gaguia gadole, amo dusagai fonobahadi ninia dusagai bagade amo da: iya ligisili, dusagai bagade da hanoga fabeba: le, fudagala: sa: besa: le, ninia efe haguduga ligisili, la: gi dagoi. Dusagai genonesisu dunu dusagai da sa: ibaso bi Libia be gadenene amoga fasa: besa: le, foga ahoasu abula fadegai dagoi. Amalalu, dusagai da hisu foga fabeba: le asi.
Wale wanamaji waliuvuta mtumbwi ndani, kisha wakaizungushia meli kamba na kuifunga kwa nguvu. Waliogopa kwamba wangeweza kukwama kwenye ufuko wa bahari, pwani ya Libya. Kwa hiyo walishusha matanga na kuiacha meli ikokotwe na upepo.
18 Isu gibula bobodoi bagade da hame yolei. Amaiba: le, golale hahabe, dusagai da magufasa: besa: le, ilia liligi ganodini sali amo mogili gadili ha: digi.
Dhoruba iliendelea kuvuma na kesho yake wakaanza kutupa nje shehena ya meli.
19 Golale hahabe, ilia da dusagai genonesisu liligi amo mogili gadili ha: digi. Bai amo liligi da dioi bagade ba: i.
Siku ya tatu, wakaanza pia kutupa majini vifaa vya meli kwa mikono yao wenyewe.
20 Eso bagohame amoga ninia eso amola gasumuni hamedafa ba: su. Fo da mae fisili manu. Ninia da dafawane hamoma: beyale dawa: lusu fisili, bogoma: beale dawa: i galu.
Kwa muda wa siku nyingi hatukuweza kuona jua wala nyota; dhoruba iliendelea kuvuma sana, hata matumaini yote ya kuokoka yakatuishia.
21 Dunu huluane da eso bagohame ha: i mae nawane hawa: hamonanu, Bolo da ilia gilisisu amo ganodini lelu, amane sia: i, “Dilia da na sia: nabawane, Galidi soge hame yolesimu da defea galu. Agoane hamoi ganiaba, ninia dusagai wadela: lesi amola liligi huluane fisi dagoi hame ba: la: loba.
Baada ya kukaa muda mrefu bila kula chakula, Paulo alisimama kati yao, akasema, “Waheshimiwa, ingalikuwa afadhali kama mngalinisikiliza na kuacha kusafiri kutoka Krete. Kama mngalifanya hivyo tungaliiepuka shida hii na hasara hizi zote.
22 Be wali na dilima ha: giwane sia: sa. Dilia dogo denesima! Dunu afae da hamedafa bogomu. Be dusagai fawane fisi dagoi ba: mu.
Lakini sasa ninawaombeni muwe na moyo; hakuna hata mmoja wenu atakayepoteza maisha yake; meli tu ndiyo itakayopotea.
23 Gasi ganodini, Gode (na da Ea mano amola Ema nodone sia: ne gadosa), amo Ea a: igele dunu da nama misini, amane sia: i,
Kwa maana jana usiku malaika wa yule Mungu ambaye mimi ni wake na ambaye mimi ninamwabudu alinitokea,
24 ‘Bolo! Di mae beda: ma! Di da Louma gamane ouligisudafa dunu ba: mu. Gode Ea hou da ida: iwane. E da dunu huluane di amola gilisili dusagai ganodini ahoasu dunu huluane ilia bogomu logo ga: i dagoi.’
akaniambia: Paulo usiogope! Ni lazima utasimama mbele ya Kaisari; naye Mungu, kwa wema wake, amekufadhili kwa kuwaokoa wote wanaosafiri nawe wasiangamie.
25 Amaiba: le, dilia dogo denesima! Na da Gode Ea sia: dafawaneyale dawa: be! Ninia Ea nama adoi defele ba: mu, na dawa: !
Hivyo, waheshimiwa, jipeni moyo! Maana ninamwamini Mungu kwamba itakuwa sawa kama nilivyoambiwa.
26 Be fo da gasa bagade mabeba: le, ninia dusagai da oga bega: somu.”
Lakini ni lazima tutatupwa ufukoni mwa kisiwa fulani.”
27 Fo da degabo heda: le, hi aduna aligili, ninia dusagai da Medidela: inia Hano Waiyabo Bagade amo ganodini foga fabeba: le lalu. Gasimogoa, dusagai genonesisu dunu da ninia da bega: doaga: mu gadeneidafa dawa: i galu.
Usiku wa siku ya kumi na nne, tulikuwa tunakokotwa huku na huku katika bahari ya Adria. Karibu na usiku wa manane wanamaji walijihisi kuwa karibu na nchi kavu.
28 Amaiba: le, hano ea lugudu defei dawa: ma: ne, ilia dioi liligi efe bidiga la: gili, hanoga galadigili, igi fa: iga doaga: i. Defei da 40 mida agoane ba: i. Fonobahadi ouesalu, bu hamone, lugudu defei 30 mida ba: i.
Hivyo walitafuta kina cha bahari kwa kuteremsha kamba iliyokuwa imefungiwa kitu kizito, wakapata kina cha mita arobaini. Baadaye wakapima tena wakapata mita thelathini.
29 Dusagai da igiga fasa: besa: le, genonesisu dunu da ‘a: go’ biyaduyale gala, dusagai ea baligiga hanoga sali. Hadigi da hedolo misa: ne, ilia sia: ne gadoi.
Kwa sababu ya kuogopa kukwama kwenye miamba, waliteremsha nanga nne nyuma ya meli; wakaomba kuche upesi.
30 Amalalu, genonesisu dunu ilia da dusagai fisimusa: dawa: i galu. Ilia dusagai mano hanoga gududili sanasili, ilia ogogole ‘a: go’ eno dusagai ea hagomodini amoga ligisimusa: sia: i.
Wanamaji walitaka kutoroka, na walikwisha kuteremsha ule mtumbwi majini, wakijisingizia kwamba wanakwenda kuteremsha nanga upande wa mbele wa meli.
31 Be Bolo da dadi gagui ouligisu amola dadi gagui dunu, ilima amane sia: i, “Dusagai genonesisu dunu da dusagai fisisia, dunu huluane da bogogia: mu!”
Lakini Paulo alimwambia yule ofisa wa jeshi na askari wake, “Kama wanamaji hawa hawabaki ndani ya meli, hamtaokoka.”
32 Amaiba: le, dadi gagui dunu da efe amoga dusagai fonobahadi da dusagaidafaga la: gi, amo hedofabeba: le, dusagai fonobahadi da udigili fisi.
Hapo wale askari walizikata kamba zilizokuwa zimeshikilia ule mtumbwi, wakauacha uchukuliwe na maji.
33 Eso misunu gadenene ba: loba, Bolo da ilima ha: i moma: ne ha: giwane sia: i, amane, “Dilia da hi aduna ha: i mae nawane ouesalu.
Karibu na alfajiri, Paulo aliwahimiza wote wale chakula: “Kwa siku kumi na nne sasa mmekuwa katika mashaka na bila kula; hamjala kitu chochote.
34 Amaiba: le, dilia mae bogoma: ne, ha: i moma: ne, na da dilima ha: giwane sia: sa. Dilia da se hamedafa nabimu.”
Basi, ninawasihi mle chakula kwa maana mnakihitaji ili mweze kuendelea kuishi. Maana hata unywele mmoja wa vichwa vyenu hautapotea.”
35 Amo sia: nanu, Bolo da agi lale, Godema nodone sia: ne gadole, fifili, ilima i.
Baada ya kusema hivyo, Paulo alichukua mkate, akamshukuru Mungu mbele yao wote, akaumega, akaanza kula.
36 Amalalu, ilia dogo denesini, dunu huluane da ha: i mai.
Hapo wote wakapata moyo, nao pia wakala chakula.
37 Dunu huluane da 276 amo dusagai ganodini sali.
Jumla tulikuwa watu mia mbili na sabini na sita katika meli.
38 Ilia sadini mai dagoloba, ilia dusagai hagima: ne, widi ha: i manu huluane ganodini sali, amo hanoga galadigi.
Baada ya kila mmoja kula chakula cha kutosha, walipunguza uzito wa meli kwa kutupa nafaka baharini.
39 Hahabe doaga: loba, dusagai da soge be gadenene dialebe ba: i. Be dusagai genonesisu dunu da amo soge dio hame dawa: i. Be ilia da soge bega: bosada: i umiwane dialebe ba: beba: le, dusagai genonesili amo bega: somusa: ilegei galu.
Kulipokucha, wanamaji hawakuweza kuitambua nchi ile, ila waliona ghuba moja yenye ufuko; wakaamua kutia nanga huko kama ikiwezekana.
40 Amaiba: le, ‘a: go’ liligi hanoga fisimusa: , efe damui dagole, eno efe logo olelesu sua: su amoga bagelesi fadegai. Amalalu, dusagai da hagomodini masa: ne, ilia dusagai abula dusagai hagomodini gala gaguia gadole, dusagai da bega: doaga: musa: ahoanu.
Hivyo walikata nanga na kuziacha baharini, na wakati huohuo wakazifungua kamba zilizokuwa zimeufunga usukani, kisha wakatweka tanga moja mbele kushika upepo, wakaelekea ufukoni.
41 Be dusagai da sa: i boso bi fai dagoi. Dusagai hagomodini da bai bagadeba: le, masunu gogolei. Be dusagai ea baligi da hano gafului amoga fananebeba: le, mugulumu agoai ba: i.
Lakini walifika mahali ambapo mikondo miwili ya bahari hukutana, na meli ikakwama. Sehemu ya mbele ilikuwa imezama mchangani bila kutikisika. Sehemu ya nyuma ya meli ilianza kuvunjika vipandevipande kwa mapigo ya nguvu ya mawimbi.
42 Dadi gagui dunu ilia da se dabe iasu hamosu dunu huluane dasisa: ili, bega: doaga: le udigili hobea: sa: besa: le, amo logo damumusa: huluane medole legemusa: ilegei galu.
Askari walitaka kuwaua wafungwa wote kwa kuogopa kwamba wangeogelea hadi pwani na kutoroka.
43 Be dadi gagui ouligisu dunu, e da Bolo gaga: musa: dawa: beba: le, ili logo hedofai. E sia: beba: le, dasi dasu dawa: su dunu da hidadea dusagai fisili hanoga soagala: le, bega: dasi sa: i.
Lakini kwa vile yule ofisajeshi alitaka kumwokoa Paulo, aliwazuia wasifanye hivyo. Aliamuru wale waliojua kuogelea waruke kutoka melini na kuogelea hadi pwani,
44 Eno da fa: no bobogele, ifa da: fe amola dusagai mugului liligi, amo gaguiwane bega: doaga: musa: asi. Amaiba: le, ninia huluane hahawane bega: doaga: i.
na wengine wafuate wakijishikilia kwenye mbao au kwenye vipande vya meli iliyovunjika. Ndivyo sisi sote tulivyofika salama pwani.