< Asunasi Dunu Ilia Hou 12 >
1 Amo esoha, Louma gamane hina bagade amo da Isala: ili soge ouligisu, ea dio amo Helode, e da Yesu Ea fa: no bobogesu fi dunu mogili ilima bai muni se dabe iasu.
Wakati huo mfalme Herode akanyosha mkono wake kwa baadhi ya wale wanaotoka kwenye kusanyiko ili kuwatesa.
2 Ea sia: beba: le, ea dadi gagui dunu da Ya: mese (Yone ea ola) gobihei bagadega medole legei.
Akamwuua Yakobo nduguye Yohana kwa upanga.
3 Yu dunu da amo hou hahawane ba: i. Ilia da ema hahawane ba: loba, Helode da Bida afugili se dabe iasu diasu ganodini salima: ne sia: i. (Amo eso da Yu dunu ilia Yisidi Hame Agi Nasu eso amoga hamoi.)
Baada ya kuona kuwa inawapendeza Wayahudi, akamkamata na Petro tena. Hii ilikuwa wakati wa mikate isiyochachwa.
4 Ilia Bida se dabe iasu diasu ganodini sali. Ea se dabe iasu diasu sosodo aligisu dunu da gilisisu biyaduyale gala amola amo gilisisu afae afae biyaduyale gala amo ganodini da dadi gagui biyaduyale gala. Baligisu Lolo Nasu na dagoloba, Helode da dunu huluane ba: ma: ne Bidama fofada: musa: , dawa: i galu.
Alipomkamata, akamweka gerezani na akaweka vikosi vinne vya askari ili kumlinda, alikuwa akitarajia kumpeleka kwa watu baada ya Pasaka.
5 Amaiba: le, ilia Bida se dabe iasu diasu ganodini ouligi. Be Yesu Ea fa: no bobogesu dunu ilia Godema ha: giwane sia: ne gadolalu.
Petro akawekwa gerezani, lakini maombi yakafanywa kwa bidii na kusanyiko kwa ajili yake kwa Mungu.
6 Bida da aya fofada: mu, amo gasi ganodini, Bida da sosodo aligisu dunu aduna, Bida dogoa, sosodo aligisu dunu la: ididili esalu. Bida da golai. E da ea ouligisu dunu ilima sa: inega la: gi. Se dabe iasu diasu logoga eno sosodo aligisu dunu esalebe ba: i.
Siku kabla Herode hajaenda kumtoa, Usiku huo Petro alikuwa amelala katikati ya maaskari wawili, akiwa amefungwa na minyororo miwili, na walinzi mbele ya mlango walikuwa wakilinda gereza.
7 Hedolowane, Gode Ea A: igele dunu misini lelebe ba: i. Se dabe iasu diasu ganodini hadigi bagade ba: i. A: igele da Bida ea gidaia gaguli, uguguli, didilisili, amane sia: i, “Hedolo! Wa: legadoma!” Amalalu, sia: ine Bida ea loboga la: gi da udigili fadegale fasili, osoboga sa: i.
Tazama, malaika wa Bwana ghafla akamtokea na nuru ikang'aa ndani. Akampiga Petro ubavuni na kumwamsha akisema, “Amka haraka.”ndipo minyororo aliyokuwa amefungwa ikafunguka kutoka mikononi mwake.
8 Amalalu, a:igele dunu da amane sia: i, “Dia bulu fegoma! Dia emo salasu salima!” Bida da amo hamonoba, a:igele da amane sia: i, “Dia abula idiniginisili, nama fa: no bobogema!”
Malaika akamwambia, “Vaa nguo zako na vaa viatu vyako.” Petro akafanya hivyo. Malaika akamwambia, “Vaa vazi lako na unifuate.”
9 Bida da se dabe iasu diasuga fisimusa: , ema fa: no bobogei. Be amo hou da a: igele da dafawane hamobebayale e da hame dawa: i galu. Amabela: ? e da simasia ba: bela: ? e agoane dawa: i galu.
Hivyo Petro akamfuata Malaika na akatoka nje. Hakuamini kilichofanywa na malaika kama ni cha kweli. Alidhani anaona maono.
10 Ela da se dabe iasu diasu sosodo aligisu dunu afadafa baligilalu, eno amola baligili, ela da gasa bagade ouli se dabe iasu diasu logo ga: su, amoga doaga: i. Ela masa: ne, logo ga: su hisu udigili doasili, ela gadili asi. Ela da logoga ahoanoba, a:igele da Bida hedolo yolesili, alalolesi.
Baada ya kupita lindo la kwanza na la pili, wakafika kwenye geti la chuma la kuingilia kwenda mjini, likafunguka lenyewe kwa ajili yao. Wakatoka nje wakashuka kwenye mtaa, mara Malaika akamwacha.
11 Amalalu, Bida da ema doaga: i hou dawa: i galu. E amane sia: i, “Dafawane! Amo hou da dafawane. Helode da ea gasaga na wadela: musa: dawa: i galu amola Yu dunu amo hou ba: musa: dawa: i galu. Be Hina Gode da Ea a: igele dunu na gaga: ma: ne asunasi dagoi.”
Petro alipojitambua, akasema, “Sasa nimeamini kuwa Bwana alimtuma Malaika wake ili kunitoa katika mikono ya Herode, na kwa matarajio ya watu wote wa uyahudi.”
12 E da ea hou noga: le dawa: beba: le, asili, Meli (Yone Maga amo ea ame) amo ea diasuga doaga: i. Amo diasuga dunu bagohame gilisili Godema sia: ne gadolalebe ba: i.
Baada ya kujua haya, akaja kwenye nyumba ya Mariamu mama yake Yohana ambaye ni Marko; Wakristo wengi walikusanyika wakiomba.
13 Bida da logoga lulufigibiba: le, hawa: hamosu a: fini ea dio amo Louda da logo doasimusa: misi.
Alipobisha kwenye mlango wa kizuizi, mtumishi mmoja msichana anayeitwa Roda akaja kufungua.
14 Be e da Bida ea sia: nababeba: le, hahawane bagade hamone, logo duimu gogolei. E da bu ganodini hehenane, ‘Bida da gadili lela’ eno dunuma sia: i.
Alipotambua ni sauti ya Petro, kwa furaha akashindwa kuufungua mlango; badala yake, akakimbia ndani ya chumba; na kuwajulisha kuwa Petro amesimama mbele ya Mlango.
15 Fofogadigili, ilia ema amane sia: i, “Di da dadousa!” Be e da mae yolesili amo da dafawaneyale sia: beba: le, ilia bu amane sia: i, “Amabela: ? Ea a: igele da misibala: ?”
Hivyo, Wakasema kwake, “Wewe ni mwendawazimu” lakini alikazia kuwa ni kweli ni yeye. Wakasema “Huyo ni malaika wake.”
16 Be Bida da mae yolesili, logoga lulufigisa lelu. Oualigilalu, ilia logo doasili, Bida ba: beba: le, bagadewane fofogadigi.
Lakini Petro aliendelea kubisha, na walipofungua mlango, wakamwona na wakashangaa sana. Petro akawanyamazisha kwa mkono kimya kimya na akawaambia jinsi Bwana alivyomtoa kutoka Gerezani. akasema,
17 Ilia ouiya: ma: ne, Bida da ea lobo gaguia gadole, amo hou Hina Yesu Gelesu da e gadili masa: ne se dabe iasu diasu logo doasi, amo hou olelei. E amane sia: i, “Dilia amo hou Ya: mese amola eno fa: no bobogesu dunuma, olelema.” Amalalu, yolesili, e eno sogega asi.
“Wajulishe haya mambo Yakobo na ndugu zake.” Kisha akaondoka akaenda sehemu nyingine.
18 Hahabe doaga: le, se dabe iasu diasu sosodo aligisu dunu da fofogadigiba: le, udigili hehenane lalu. Bida da habi asiyale bagadewane dawa: i galu.
Kulipokuwa mchana, kukawa na huzuni kubwa kati ya askari, kuhusiana na kilichotokea kwa Petro.
19 Helode ea sia: beba: le, ilia bagadewane hogole ba: loba: hamedei galu. Amaiba: le, Helode ea sia: beba: le, eno dadi gagui dunu da Bida ea sosodo aligisu dunuma bagadewane fofada: nanu, fane legei dagoi. Fa: no, Helode da Yudia soge yolesili, Sesalia sogega fonobahadi fimusa: asi.
Baada ya Herode kumtafuta na hakumwona akawauliza walinzi na akaamuru wauawe. Akaenda kutoka uyahudi mpaka Kaisaria na kukaa huko.
20 Helode da Daia amola Saidone, amo dunu fi ilima ougi galu. Amaiba: le, ilia gilisili ema fofada: musa: asi. Ilia hidadea, Helode ea diasu ouligisu dunu ea dio amo Bala: sadase amoma ilima fidima: ne sia: i. Amalalu, Helodema doaga: le, e da ilima olofosu olelema: ne, ilia ha: giwane edegei. Ilia ha: i manu ilia eso huluane Helode ea sogega fawane lasu, amaiba: le olofomusa: dawa: i.
Herode alikuwa na hasira juu ya watu wa Tiro na Sidoni. Wakaenda kwa pamoja kwake. Wakawa na urafiki na Blasto msaidizi wa mfalme, ili awasaidie. Kisha wakaomba amani, kwa sababu nchi yao ilipokea chakula kutoka katika nchi ya mfalme.
21 Eso afadafa ilegei amoga, Helode da ea hina bagade abula salawane, ea Fisu amoga fila heda: le, dunu huluanema sia: ne iasu i.
Siku iliyokusudiwa Herode alivaa mavazi ya kifalme na kukaa kwenye kiti chake cha kifalme, na akawahutubia.
22 Ilia da ea sia: nababeba: le, amane wele sia: i, “Amo sia: da dunu ea sia: hame. Amo da ‘gode’ ea sia: agoane!”
Watu wakapiga kelele, “Hii ni sauti ya mungu wala si sauti ya mwanadamu!”
23 Amogaluwane, Gode Ea a: igele dunu da Helode fane legei. Bai Helode da dunuma Godema nodoma: ne hame sia: beba: le, hi gasa fi hou fawane hidale dawa: beba: le, a:igele dunu da e fane legei. Helode da ifidiga na dagoiba: le, bogoi.
Mara ghafla malaika akampiga, kwa sababu alikuwa hakumpa Mungu utukufu; akaliwa na chango na akafa
24 Be dunu eno bagohame da Gode Ea sia: nababeba: le, Yesu Ea fa: no bobogesu fi ilia idi da bu heda: su.
Lakini neno la Mungu likakua na kusambaa.
25 Banaba: se amola Solo, ela hawa: hamoi dagoiba: le, Yelusaleme moilai bai bagade yolesili bu A: dioge moilaiga misi. Ela Yone Maga oule asi.
Baada ya Barnaba na Sauli kukamilisha huduma yao wakatoka pale wakarejea Yerusalemu, wakamchukua na Yohana ambaye jina la kuzaliwa ni Marko.