< 2 Sa:miuele 9 >

1 Eso afaega, Da: ibidi da amane adole ba: i, “Solo ea sosogo fi dunu afae da esalabala? Amai galea, na da Yonada: nema asigiba: le, ema asigi hou olelemu hanai gala.”
Daudi akauliza, “Je, hakuna mtu hata mmoja wa nyumba ya Sauli aliyebaki ambaye naweza kumtendea wema kwa ajili ya Yonathani?”
2 Solo ea sosogo fi hawa: hamosu dunu afae amo ea dio Siba da esalebe ba: i. Ilia da e Da: ibidima masa: ne sia: i. Da: ibidi da ema amane adole ba: i, “Di da Sibala: ?” E bu adole i, “Ma! Hina noga: idafa! Na da dia hawa: hamosu dunu!”
Basi palikuwepo mtumishi wa nyumba ya Sauli aliyeitwa Siba. Wakamwita aje mbele ya Daudi, naye mfalme akamwambia, “Wewe ndiwe Siba?” Akamjibu, “Naam, mimi ndiye mtumishi wako.”
3 Hina bagade Da: ibidi da ema amane adole ba: i, “Solo ea sosogo fi dunu afae esalabala? Na da na Godema ilegei defele, agoai dunuma asigi hou olelemusa: dawa: lala.” Siba da bu adole i, “Yonada: ne egefe afadafa fawane da esala. E da gasuga: igi gala.”
Mfalme akauliza, “Je, hakuna yeyote ambaye amebaki wa nyumba ya Sauli ninayeweza kumwonyesha wema wa Mungu?” Siba akamjibu mfalme, “Bado yupo mwana wa Yonathani, yeye ni kiwete miguu yote.”
4 Da: ibidi da adole ba: i, “E da habidili esalabala?” Siba da adole i, “E da Loudiba sogega, Ma: ige (A: miele egefe) amo ea diasua esala.”
Mfalme akauliza, “Yuko wapi?” Siba akajibu, “Yuko nyumbani kwa Makiri mwana wa Amieli huko Lo-Debari.”
5 Amaiba: le, Da: ibidi da Mifibousiede ema misa: ne sia: si.
Basi Mfalme Daudi akamtaka aletwe kutoka Lo-Debari, kutoka nyumbani kwa Makiri mwana wa Amieli.
6 Mifibousiede (Yonada: ne egefe amola Solo ea aowa) da doaga: loba, e da Da: ibidima nodoma: ne, e midadi begudui. Da: ibidi da amane sia: i, “Mifibousiede!” E bu adole i, “Hina noga: idafa! Na da dia hawa: hamosu dunu!”
Mefiboshethi mwana wa Yonathani, mwana wa Sauli, alipofika kwa Daudi, akainama kumpa mfalme heshima. Daudi akamwita, “Mefiboshethi!” Mefiboshethi akajibu, “Ndimi mtumishi wako.”
7 Da: ibidi da amane sia: i, “Mae beda: ma! Na da dia ada Yonada: ne dawa: beba: le, dima asigiwane hamomu. Na da soge huluane amo dia aowa ea gagui, amo dima bu imunu. Amola di da eso huluane na diasuga ha: i manu da defea.”
Daudi akamwambia, “Usiogope, kwa maana hakika nitakutendea wema kwa ajili ya baba yako Yonathani. Nitakurudishia ardhi yote iliyokuwa mali ya Sauli baba yako, nawe daima utakula chakula mezani pangu.”
8 Mifibousiede da bu beguduli, amane sia: i, “Hina noga: idafa! Na hou da wa: me bogoi amo ilia hou hame baligisa. Nama da noga: i hou agoai da hame hamomu galu.”
Mefiboshethi akasujudu akasema, “Mimi mtumishi wako ni nini hata uangalie mbwa mfu kama mimi?”
9 Amalalu, Da: ibidi da Solo ea hawa: hamosu dunu, Siba, amo ema misa: ne wele sia: ne, ema amane sia: i, “Na da dia hina ea aowa amo Mifibousiede, ema liligi huluane amo Solo amola ea sosogo ilia musa: gagui liligi, amo ema bu imunu.
Ndipo mfalme akamwita Siba mtumishi wa Sauli na kumwambia, “Nimempa mwana wa bwana wako kila kitu kilichokuwa mali ya Sauli na jamaa yake.
10 Di amola diagofelali amola dia hawa: hamosu dunu da Solo ea sosogo fi ilima ha: i manu ima: ne, ea soge amoga ha: i manu bugimu amola dadamini gaguli misa. Be Mifibousiede e fawane da eso hulu nina: ha: i nasu fafai amogai nasu hamomu.” (Siba egefelali da15agoane ba: i, amola ea hawa: hamosu dunu da 20 agoane esalu).
Wewe, wanao na watumishi wako mtamlimia mashamba Mefiboshethi na kumletea mavuno, ili kwamba mwana wa bwana wako apate mahitaji yake. Naye Mefiboshethi mwana wa bwana wako atakula chakula mezani pangu daima.” (Siba alikuwa na wana kumi na watano, na watumishi ishirini.)
11 Siba da bu adole i, “Hina noga: idafa! Na da dia hamoma: ne sia: i huluane amo defele hamomu!” Amaiba: le, Mifibousiede da hina bagade egefelali defele, Da: ibidi ea ha: i nasu fafai amoga fili, ha: i nasu.
Ndipo Siba akamwambia mfalme, “Mtumishi wako atafanya chochote bwana wangu mfalme atakachoagiza mtumishi wake kufanya.” Basi Mefiboshethi akala chakula mezani pa Daudi kama mmoja wa wana wa mfalme.
12 Mifibousiede da goi mano ea dio Maiga esalu. Siba ea sosogo huluane da Mifibousiede ea hawa: hamosu lai.
Mefiboshethi alikuwa na mwanawe mdogo aliyeitwa Mika, nao watu wote wa nyumba ya Siba walikuwa watumishi wa Mefiboshethi.
13 Amalalu, Mifibousiede (ea emo aduna da gasuga: igi galu) e da Yelusaleme moilai bai bagadega esalu. E da ea ha: i manu huluane amo hina bagade ea ha: i nasu fafai amoga nasu.
Naye Mefiboshethi akaishi huko Yerusalemu, kwa sababu daima alikula mezani pa mfalme, naye alikuwa kiwete miguu yote.

< 2 Sa:miuele 9 >