< 2 Sa:miuele 8 >

1 Amogalu fa: no, hina bagade Da: ibidi da bu Filisidini dunu doagala: le, ili hasali. Amasea, Filisidini dunu ilia Isala: ili sogega ouligisu hou da ne gumi ba: i.
ikawa baada ya haya Daudi aliwashambulia Wafilisti na kuwashinda. Hivyo Daudi akaichukua Gathi na vijiji vyake kutoka katika mamlaka ya wafilisti.
2 Amasea, Da: ibidi da Moua: be dunu hasali. E da Moua: be dunu amo Isala: ili ilia gagulaliligi, amalu osoba diasisima: ne sia: i. Amalu udiana hidadea diasisi, amoga e da aduna fane legei. Amaiba: le, e da Moua: be fi dunu ilima ouligisu hamoi, amola ilima su lidisu.
Kisha akaishinda Moabu na akawapima watu wake kwa mstari kwa kuwafanya walale chini juu ya ardhi. Alipima mistari miwili ya kuua, na mstari mmoja kamili kuwahifadhi hai. Hivyo Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi na wakaanza kumlipa kodi.
3 Amasea, e da Ha: da: disa (Lihoube egefe. E da Silia soge fonobahadi amo Souba amoga hina bagade galu) amo hasali. Ha: da: disa da soge Iufala: idisi Hano gusudili ouligilalu. Be mafua dunu da lelebeba: le, e da amoga ouligisu yolesi. E da amo sogega ouligisu hou bu lamusa: ahoanoba, Da: ibidi da e doagala: i.
Kisha Daudi akamshinda Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba, Hadadezeri aliposafiri kuurudisha ufalme wake katika mto Frati.
4 Da: ibidi da ea dadi gagui dunu hosi da: iya fila heda: i 1700 agoane gagulaligi, amola emoga ahoasu dadi gagui dunu 20,000 gagulaligi. E da hosi idi, amo da sa: liode 100 agoane hiougima: ne defele gala, amo gagulaligi. E da hosi eno huluane mae masa: ne, ilia emo dina: fe dadamunisisi.
Daudi aliteka magari 1, 700 ya farasi na askari ishirini elfu waendao kwa miguu. Daudi akawakata miguu farasi wa magari, lakini akahifadhi wakutosha magari mia moja.
5 Silia fi dunu Dama: sagase moilai bai bagadega esalu da hina bagade Ha: da: disa fuligala: ma: ne, dadi gagui wa: i asunasi. Be Da: ibidi da amo wa: i doagala: le, 22,000 dunu fanelegei.
Wakati Washami wa Dameski walipokuja kumsaidia Hadadeziri mfalme wa Soba, Daudi akaua katika Washami watu ishirini na mbili elfu.
6 Amasea, e da ilia soge ganodini ha wa: i fisu diasu gilisisu gaguli gagai. E da ili ouligibiba: le, ilima su lidisu. Hina Gode da Da: ibidi fidibiba: le, e da habi ahoanoba, hasalasu hou fawane ba: su.
Daudi akaweka ngome huko Shamu ya Dameski, na Washami wakawa watumishi wake na wakaleta kodi. Yahwe akampa Daudi ushindi kila alikokwenda.
7 Da: ibidi da gouliga hamoi da: igene ga: su amo Ha: da: disa ea eagene ouligisu dunu ilia gaguli ahoasu, amo samogene, Yelusaleme moilai bai bagadega gaguli asi.
Daudi akachukua ngao za dhahabu walizokuwa nazo watumishi wa Hadadezeri naye akazileta Yerusalemu.
8 Amola e da `balase’ bagadedafa Bida amola Biloudai (amo moilai bai bagade aduna Ha: da: disa ea ouligisu) amoga samogei.
Mfalme Daudi akachukua shaba nyingi kutoka Beta na Berosai, miji ya Hadadezeri.
9 Ha: ima: de soge hina bagade ea dio amo Doui, e da Da: ibidi amo Ha: da: disa ea dadi gagui wa: i hasali, amo sia: nabi.
Wakati Tou, mfalme wa Hamathi, aliposikia kwamba Daudi amelishinda jeshi lote la Hadadezeri,
10 Amaiba: le, e da egefe Youla: me amo Da: ibidima nodone sia: ma: ne asunasi. Bai Da: ibidi da Ha: da: disa hasali, amola Doui da eso bagohame Ha: da: disama gegenanusu. Youla: me da gouli, silifa amola balase amoga hamoi liligi Da: ibidima gaguli asili, ema hahawane i.
Tou akamtuma Hadoramu mwanawe kwa mfalme Daudi kumpa salamu na kumbariki, kwa kuwa Daudi alikuwa amepigana na Hadadezeri na kumshinda, maana Hadadezeri alikuwa amepiga vita dhidi ya Tou. Hadoramu akaja pamoja na vitu vya fedha, dhahabu, na shaba.
Mfalme Daudi akaviweka wakfu vitu hivi kwa ajili ya Yahwe, pamoja na fedha na dhahabu kutoka katika mataifa yote aliyokuwa ameyashinda-
12 Hina bagade Da: ibidi da amo liligi amola eno silifa amola gouli e da fifi asi eno amo hasili (Idome amola Moua: be, A:mone, Filisidini, A:malege) amoga samogei, amo gilisili, Hina Godema sia: ne gadoma: ne ilegei. Amola e da liligi amo e da Ha: da: disa amoma samogei, mogili Hina Godema ima: ne ilegei.
kutoka Shamu, Moabu, Waamoni, Wafilist, Waamaleki, pamoja na nyara zote alizoziteka kutoka kwa Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba.
13 Da: ibidi da Deme Fago ganodini amo Idome dunu 18,000 agoane fane legei. E da amo gegenanu buhagisia, dunu da ea dio bu baligili gaguia gadosu.
Jina la Daudi likajulikana sana alipowashinda washami katika bonde la Chumvi, pamoja na watu wao wapatao elfu kumi na nane.
14 E da Idome soge ganodini, dadi gagui fisisu diasu gilisisu gaguli gagai, amola e da Idome dunu ouligisu. Hina Gode da Da: ibidi fidibiba: le, e da habidili ahoanu, hasalasisu hou fawane ba: i.
Akaweka ngome katika Edomu yote, na Waedomu wote wakawa watumishi wake. Yahwe akampa Daudi ushindi kila alipokwenda.
15 Da: ibidi da Isala: ili soge huluanedafa ouligisu. E da ouligibiba: le, ea fi dunu da moloidafa hou fawane ba: i.
Daudi akatawala juu ya Israeli yote, naye akatenda kwa haki na usawa kwa watu wote.
16 Youa: be (ea ame da Selouaia) e da dadi gagui wa: i ilia hina galu. Yihosiafa: de (Ahailade egefe) da sia: dedei ouligisu galu.
Yoabu mwana wa Seruya alikuwa mkuu wa jeshi, na Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mwenye kuandika taarifa.
17 Sa: idoge (Ahaidabe egefe) amola Ahimelege (Abaia: da egefe) da gobele salasu dunu esalu. Hina bagade fi sia: dedesu dunu da Sila: ia galu.
Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Seraya alikuwa mwandishi.
18 Bina: ia (Yihoiada egefe) da Da: ibidi ea da: igene sosodo aligisu dunuma ouligisu galu. Amola Da: ibidi egefelali da gobele salasu dunu hamoi.
Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa juu ya Wakerethi na Wapelethi, na wana wa Daudi walikuwa washauri wa mfalme.

< 2 Sa:miuele 8 >