< 2 Sa:miuele 6 >

1 Da: ibidi da bu Isala: ili dadi gagui dunu noga: i amo gilisimusa: bu wele sia: i. Ilia idi da dunu 30,000 agoane.
Tena Daudi akakusanya watu 30,000 wa Israeli waliochaguliwa.
2 E da ili bisili, Ba: ila agolo, Yuda soge ganodini, amoga oule asi. Ilia da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili (amoga da Hina Gode Bagadedafa Ea Dio gala. Ea Fisu da `selabimi’ amoga gadodili ba: sa, ) amo bu gaguli misa: ne asi.
Yeye na watu wake wote wakatoka Baala ya Yuda kulipandisha Sanduku la Mungu kutoka huko, linaloitwa kwa Jina, naam, jina la Bwana Mwenye Nguvu Zote, ambaye anaketi katika kiti cha enzi kati ya makerubi walioko juu ya hilo Sanduku.
3 Ilia da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili amo Abinada: be ea diasu agolo da: iya galu amoga lale, gaguli fula ahoasu gaheabolo bulamagauga hiougima: ne, amo da: iya ligisi. Asa amola Ahaiou (Abinada: be egefela) da amo gaguli fula ahoasu ea ahoabe amo adonana ahoanu.
Wakaweka hilo Sanduku la Mungu juu ya gari jipya la kukokotwa na kulileta kutoka nyumba ya Abinadabu, iliyokuwa juu ya kilima. Uza na Ahio, wana wa Abinadabu, walikuwa wakiongoza hilo gari jipya la kukokotwa
4 Ahaiou da bisili ahoanu.
likiwa na Sanduku la Mungu juu yake, naye Ahio alikuwa anatembea akiwa mbele yake.
5 Da: ibidi amola Isala: ili dunu huluane da Hina Gode Ea nodoma: ne, gogosa: amola gesami hea: sa ahoanebe ba: i. Ilia da sani baidama, ilibu, gesolo dabi, amola gisanidulu amo dudududaha ahoasu.
Daudi na nyumba yote ya Israeli walikuwa wanacheza mbele za Bwana kwa nguvu zao zote, kwa nyimbo, vinubi, zeze, matari, kayamba na matoazi.
6 Ilia da Na: igone widi dadabisu sogebi doaga: loba, bulamagau da didigaboi. Asa da ea lobo ligiagale, Gousa: su Sema Gagili mae sa: ima: ne banene gagui.
Walipofika kwenye uwanja wa kupuria nafaka wa Nakoni, Uza akanyoosha mkono na kulishika Sanduku la Mungu kwa sababu maksai walijikwaa.
7 Amogaluwane hedolo, Hina Gode da Asama ougi. E da Asa fane legei. Bai e da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili amoma nodoiba: le, e da hame beda: i. Asa da amogawi Gousa: su Sema Gagili dafulili bogoi dagoi.
Hasira ya Bwana ikawaka dhidi ya Uza kwa sababu ya kitendo chake cha kukosa heshima, kwa hiyo Mungu akampiga akafia papo hapo kando ya Sanduku la Mungu.
8 Amaiba: le, amogainini amo sogebi ea dio da `Bilese Asa’ dialu. (Amo ea dawa: loma: ne da “Asa ea se Iasu”). Hina Gode da ougili Asa medole legeiba: le, Da: ibidi amola da ougi bagade ba: i.
Ndipo Daudi akakasirika kwa sababu ghadhabu ya Bwana ilifurika dhidi ya Uza, hivyo hadi leo mahali hapo panaitwa Peres-Uza.
9 Amalalu, Da: ibidi da Hina Godeba: le beda: i galu. E da amane sia: i, “Na da habodane Gousa: su Sema Gagili amo bu gaguli masa: bela: ?”
Daudi akamwogopa Bwana siku ile, akasema, “Ni jinsi gani Sanduku la Bwana litakavyoweza kunijia?”
10 Amaiba: le, e da amo Yelusaleme moilai bai bagadega hame gaguli masunu dawa: i. E da logo yolesili, dunu ea dio amo Oubede Idome (Ga: de moilai bai bagade dunu) amo ea diasuga Gousa: su Sema Gagili gaguli asi.
Hakuwa radhi kulichukua Sanduku la Bwana kwake katika Mji wa Daudi. Badala yake akalipeleka kwenye nyumba ya Obed-Edomu, Mgiti.
11 Gousa: su Sema Gagili amo da amogawi oubi udiana dialu. Amola Hina Gode da Oubede Idome amola ea sosogo fi ilima hahawane dogolegele hamoi.
Sanduku la Bwana likabaki katika nyumba ya Obed-Edomu, Mgiti, kwa miezi mitatu, naye Bwana akambariki pamoja na nyumba yake yote.
12 Hina Da: ibidi da Oubede Idome amola ea sosogo fi da Gousa: su Sema Gagili ouligibiba: le, Hina Gode Ea ilima amola ilia gagui amoma hahawane dogolegele hamosu, amo nabi. Amaiba: le, e da gilisisu bagade hamone, Gousa: su Sema Gagili amo Oubede Idome ea diasuga lale, bu Yelusaleme moilai bai bagadega gaguli asi.
Kisha Mfalme Daudi akaambiwa, “Bwana ameibariki nyumba ya Obed-Edomu pamoja na kila alicho nacho, kwa sababu ya Sanduku la Mungu.” Basi Daudi akateremka na kulipandisha Sanduku la Mungu kutoka nyumba ya Obed-Edomu hadi Mji wa Daudi kwa shangwe.
13 Da: ibidi da dunu amo da Gousa: su Sema Gagili gaguli ahoasu, ilia da emo gafeyale osa: le gale aligima: ne sia: i. Amalalu, e da bulamagau gawali amola sefena bulamagau mano Godema gobele sali.
Wale waliokuwa wamebeba Sanduku la Bwana walipokuwa wametembea hatua sita, Daudi alitoa dhabihu fahali na ndama aliyenoneshwa.
14 Da: ibidi da ahea: iai abula buluale gale banene idiniginisi. E da Hina Godema nodone, ea gasa defele bagadewane giginisa lai.
Daudi, akiwa amevaa kisibau cha kitani, alicheza mbele za Bwana kwa nguvu zake zote,
15 Amola e amola Isala: ili dunu huluane ilia da nodone wele sisa: ne amola `dalabede’ fulabolalu, ilia da Gousa: su Sema Gagili Yelusaleme moilai bai bagadega gaguli asi.
wakati yeye na nyumba yote ya Israeli walipopandisha Sanduku la Bwana kwa shangwe na sauti za tarumbeta.
16 Ilia da Gousa: su Sema Gagili amo Yelusaleme ganodini gaguli ahoanoba, Solo idiwi Maiga: le da fo misa: ne agenesi amoga gadili ba: lu, hina bagade Da: ibidi giginisa lalebe amola soagala: ga gadolalebe ba: beba: le, e higale ba: i.
Ikawa Sanduku la Bwana lilipokuwa linaingia katika Mji wa Daudi, Mikali binti Sauli akachungulia dirishani. Naye alipomwona Mfalme Daudi akirukaruka na kucheza mbele za Bwana, akamdharau moyoni mwake.
17 Ilia da Gousa: su Sema Gagili amo gaguli misini, abula diasu amo Da: ibidi ea hamoi, amo ganodini ligisi. Amalalu, Da: ibidi da Hina Godema gobele salasu amola Hahawane Gilisili olofole Iasu amo hamoi.
Wakaleta Sanduku la Bwana na kuliweka mahali pake ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamisha kwa ajili yake, naye Daudi akatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani mbele za Bwana.
18 E da gobele salasu hamoi dagoloba, e da Hina Gode Bagadedafa Ea Dioba: le, ea fi dunuma hahawane dogolegele sia: i.
Baada ya kumaliza kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, Daudi akawabariki watu katika jina la Bwana Mwenye Nguvu Zote.
19 Amola e da ili huluane ilima ha: i manu sagoi. E da Isala: ili dunu amola uda huluane afae afae ilima agi ga: gi afae amola hu damui gobele gala: i afae amola fofogai waini fage mogili ilima sagoi. Amalalu, dunu huluane da ilia diasuga buhagi.
Kisha akatoa mkate, andazi la tende na andazi la zabibu kavu kwa kila mtu katika mkutano wote wa Waisraeli, wanaume kwa wanawake. Nao watu wote wakaenda nyumbani kwao.
20 Amogalu fa: no, Da: ibidi da hi diasu ea sosogo fi gousa: musa: ahoanoba, Maiga: le da gadili e ba: la misi. E amane sia: i, “Isala: ili hina bagade da wali eso ea dio gaguia gadoma: ne hidale bagade hamoi! E da gagaoui dunu agoane, ea ouligisu dunu ilia hawa: hamosu a: fini ba: ma: ne, ea abula gisa: le fasi!”
Daudi aliporudi ili kuwabariki watu wa nyumbani mwake, Mikali binti Sauli akatoka nje kumlaki, akamwambia, “Tazama jinsi mfalme wa Israeli alivyojibainisha mwenyewe leo kwa kuvua mavazi yake machoni pa vijakazi wa watumishi wake, kama vile ambavyo mtu asiye na adabu angelifanya!”
21 Da: ibidi da bu adole i, “Na da Hina Godema nodone gigini. Bai E da dia ada, ea sosogo amo fisili, na Ea fi Isala: ili ouligima: ne ilegei dagoi. Amola na da mae yolesili, Hina Godema nodoma: ne bu gigininimu.
Daudi akamwambia Mikali, “Nilifanya hivyo mbele za Bwana ambaye alinichagua mimi badala ya baba yako au mwingine yeyote kutoka nyumba yake wakati aliponiweka niwe mtawala juu ya Israeli, watu wa Bwana. Kwa hiyo nitacheza mbele za Bwana.
22 Amola bu gogosiasu ba: mu. Di da na da hamedei dunu dawa: mu. Be amo ouligisu dunu ilia hawa: hamosu a: fini da na nodone ba: mu.”
Nitakuwa asiye na heshima zaidi kuliko sasa, nami nitajishusha machoni pangu mwenyewe. Lakini kwa hawa vijakazi uliosema habari zao nitaheshimiwa.”
23 Solo idiwi Maiga: le da gebewane aligime esalu.
Naye Mikali binti Sauli hakuwa na watoto mpaka siku ya kufa kwake.

< 2 Sa:miuele 6 >