< 2 Sa:miuele 5 >

1 Amalalu, Isala: ili fi huluane da Hibalone moilai bai bagadega Da: ibidima misini, ema amane sia: i, “Ninia da di defele maga: me amola hu afadafa fawane gala.
Makabila yote ya Israeli yakamjia Daudi huko Hebroni na kumwambia, “Sisi tu nyama yako na damu yako hasa.
2 Musaga, Solo da ninia hina bagade esaloba, di da Isala: ili dunu oule gegena ahoasu. Amola, Hina Gode da di Ea fi bisilua amola ouligisu hamoma: ne, ilegei dagoi.”
Zamani, wakati Sauli alikuwa mfalme juu yetu, wewe ndiwe uliyeiongoza Israeli vitani. Naye Bwana alikuambia, ‘Wewe utawachunga watu wangu Israeli, na utakuwa mtawala wao.’”
3 Amaiba: le, Isala: ili ouligisu dunu huluane da Hibalone moilai bai bagadega Da: ibidima misi. E amola ilia da gousa: su sema hamoi. Ilia da Da: ibidima susuligi sogagala: le, e Isala: ili hina bagade hamoma: ne ilegei.
Wazee wote wa Israeli wakamwendea Mfalme Daudi huko Hebroni, mfalme akafanya mapatano nao huko Hebroni mbele za Bwana, nao wakamtia Daudi mafuta kuwa mfalme wa Israeli.
4 Da: ibidi da lalelegele, ode30agoane gidigili esalu, hina bagade hawa: hamosu bai muni hamoi. E da ode 40 agoane Isala: ili fi ouligilalu.
Daudi alikuwa na miaka thelathini alipoanza kutawala, naye akatawala Israeli miaka arobaini.
5 E da Hibalone moilai bai bagadega esalu, Yuda soge ode fesuale amola oubi gafeyale agoane ouligi. Amola e da Yelusaleme moilai bai bagade amoga esalu, ode33 agoane Isala: ili amola Yuda gilisili ouligisu.
Huko Hebroni alitawala Yuda kwa miaka saba na miezi sita, na katika Yerusalemu alitawala Israeli yote na Yuda kwa miaka thelathini na mitatu.
6 Hina Da: ibidi amola ea dunu da Yelusaleme moilai bai bagade doagala: musa: asi. Yebiusaide dunu da amogawi esalu. Ilia da Da: ibidi da ilima hasalimu da hamedei agoane dawa: i. Ilia da ema amane sia: i, “Di da ninia moilaiga doagala: le golili sa: imu da hamedeidafa. Si dofoi dunu amola gasuga: igi dunu da dia nini mae hasalima: ne gaga: mu da defele ba: mu.”
Mfalme na watu wake wakaenda Yerusalemu kuwashambulia Wayebusi walioishi humo. Wayebusi wakamwambia Daudi, “Wewe hutaingia humu, kwani hata vipofu na viwete wanaweza kukufukuza.” Walidhani, “Daudi hawezi kuingia humu.”
7 (Be Da: ibidi da ilia gagili sali moilai amo Saione amoma gegenanu fedele lai. Fa: no ilia da amo moilai dio “Da: ibidi ea Moilai Bai Bagade” asuli.)
Hata hivyo, Daudi akaiteka ngome ya Sayuni, Mji wa Daudi.
8 Amo esoha, Da: ibidi da ea dunuma amane sia: i, “Dunu mogili amo da na defele Yebiusaide dunuma higabeba: le, ili fuga: musa: hanabela: ? Amai galea, amo hano osobaha golili ahoasu logo amoga heda: le, amo hahani si dofoi amola gasuga: igi dunu doagala: ma.” (Amaiba: le, dunu da wali agoane sia: sa, “Si dofoi amola gasuga: igi dunu da Hina Gode Ea diasu ganodini golili sa: imu hamedei gala.”)
Siku ile, Daudi akasema, “Yeyote ambaye atawashinda Wayebusi, atatumia huo mfereji kuwafikia hao ‘viwete na vipofu’ ambao ni adui za Daudi.” Ndiyo sababu wanasema, “‘Vipofu na viwete’ hawataingia kwenye jumba la ufalme.”
9 Da: ibidi da gagili sali moilai doagala: le fefedei dagolalu, e da amo ganodini esalusu. E da amo moilai dio “Da: ibidi ea Moilai Bai Bagade” asuli. E da sogebi amo da agolo gusudili dialebe (amoga ilia da osobo dogone fa: su) amogai muni sisiga: le moilai bai bagade diasu gagui.
Ndipo Daudi akafanya makao ndani ya ngome na kuiita Mji wa Daudi. Akajenga eneo linalozunguka kuanzia Milo kuelekea ndani.
10 Ea gasa da heda: lalu. Bai Hina Gode Bagadedafa da e fidisu.
Daudi akazidi kuwa na nguvu zaidi na zaidi, kwa sababu Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote alikuwa pamoja naye.
11 Daia soge hina bagade amo Haila: me, da Da: ibidima bidi lasu dunu asunasi. E da Da: ibidima dolo ifa bagohame i. Amola e da Da: ibidi fidima: ne, diasu gagusu dunu amola gelega diasu gagusu dunu ema asunasi.
Basi Hiramu mfalme wa Tiro akawatuma wajumbe kwa Daudi, wakiwa na magogo ya mierezi, maseremala na waashi, nao wakajenga jumba la kifalme kwa ajili ya Daudi.
12 Amaiba: le, Da: ibidi da amane dawa: i. Hina Gode da ema hina bagade hou hahamoi dagoi. Amola Hina Gode da Ea fi ilima asigiba: le, Da: ibidi e hina bagade hou amoga hasalima: ne amola bagade gagusu dunu fi esaloma: ne hamoi.
Naye Daudi akafahamu kuwa Bwana amemwimarisha kuwa mfalme juu ya Israeli na ameinua ufalme wake kwa ajili ya Israeli, watu wake.
13 Da: ibidi da Hibalone moilai bai bagade amo yolesili, Yelusaleme moilai bai bagadega fimusa: asi. Amogalu, e da gidisedagi uda enoenoia amola udadafa enoenoia lai. Amola e da dunu mano amola uda mano enoenoia lalelelegei.
Baada ya Daudi kuondoka Hebroni, akajitwalia masuria zaidi na wake huko Yerusalemu, nao wana na binti wengi walizaliwa kwake.
14 E da Yelusaleme moilai bai bagadega esaloba, mano dedei goelali lalelelegei, ilia dio da Sia: miua, Sioubabe, Na: ida: ne, Soloumane, Ibaha, Elisiua, Nifege, Yafaia, Ilisiama, Ilaiada amola Ilifelede.
Haya ndiyo majina ya watoto waliozaliwa kwake huko: Shamua, Shobabu, Nathani, Solomoni,
Ibihari, Elishua, Nefegi, Yafia,
Elishama, Eliada na Elifeleti.
17 Filisidini dunu da Da: ibidi Isala: ili hina bagade hamoi, amo sia: nabi. Amaiba: le, ilia dadi gagui wa: i da Da: ibidi suguli lamusa: muni ahoanu. Da: ibidi da amo hou nababeba: le, gagili sali sogebi amoga asi.
Wafilisti waliposikia kuwa Daudi ametiwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli, wakapanda na jeshi lao lote kwenda kumsaka, lakini Daudi akapata habari hizo, naye akateremka kwenye ngome.
18 Filisidini dunu da Lifa: ime Fago amoga misini gesowai.
Basi Wafilisti walikuwa wamekuja na kusambaa kwenye Bonde la Warefai,
19 Da: ibidi da Hina Godema amane adole ba: i. “Na da Filisidini dunu doagala: ma: bela: ? Di da nama hasalasu hou ima: bela: ? Hina Gode da ema bu adole i, “Defea! Doagala: ma! Na da dia ili hasalima: ne hamomu.”
kwa hiyo Daudi akamuuliza Bwana, “Je, niende kuwashambulia Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?” Bwana akamjibu, “Nenda, kwa maana hakika nitawatia Wafilisti mikononi mwako.”
20 Amaiba: le, Da: ibidi da Ba: ile Bila: isimi sogega asili, Filisidini dunu hasali dagoi. E amane sia: i, “Hina Gode da hano heda: le fugagala: be amo defele, na ha lai ili hasali dagoi.” Amaiba: le, ilia da amo sogebi amoga dio “Ba: ile Bila: isimi” asuli. (Amo dawa: loma: ne da “Hasalasu dawa: hina”)
Ndipo Daudi akaenda mpaka Baal-Perasimu, na huko akawashinda Wafilisti. Akasema, “Kama mafuriko yafurikavyo, Bwana amewafurikia adui zangu mbele yangu.” Kwa hiyo mahali hapo pakaitwa Baal-Perasimu.
21 Filisidini dunu da hobea: iba: le, ilia da ilia loboga hamoi ogogosu ‘gode’ amo fisili, hobea: i. Da: ibidi amola ea dunu da amo gaguli asi.
Wafilisti wakaiacha miungu yao huko, naye Daudi na watu wake wakaichukua.
22 Amalalu, Filisidini dunu da Lifa: ime Fagoga bu heda: le, amoga bu gesowale fi dagoi.
Wafilisti walikwea kwa mara nyingine na kusambaa katika Bonde la Warefai.
23 Da: ibidi da bu Hina Godema adole ba: i. Amola Hina Gode da ema bu amane adole i, “Guiguda: amoga ili mae doagala: ma! Be na: iyadodili asili, `bolosa: me’ ifa labo aliligi amo gadenene sogebi amoga doagala: musa: momagema.
Kwa hiyo Daudi akamuuliza Bwana, naye akamjibu, “Usipande moja kwa moja, bali wazungukie kwa nyuma na uwashambulie mbele ya miti ya miforosadi.
24 Di da ifa balu amoga mogodigisu emo goba gala: be nabasea, doagala: ma. Bai Na da dilima bisili, Filisidini dadi gagui wa: i amo hasalimusa: mogodigili hidadea asi ba: mu.”
Mara utakaposikia sauti ya kutembea kutoka kwenye vilele vya miti ya miforosadi, nenda haraka, kwa sababu hiyo itamaanisha kuwa Bwana ametangulia mbele yako kupiga jeshi la Wafilisti.”
25 Da: ibidi da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele hamoi. E da Filisidini dunu amo Giba moilai bai bagadega muni sefasili, Gisa moilaiga sefasi dagoi.
Basi Daudi akafanya kama Bwana alivyomwagiza, naye akawaangusha Wafilisti njia yote kuanzia Geba hadi Gezeri.

< 2 Sa:miuele 5 >