< 2 Sa:miuele 4 >

1 Solo egefe ea dio amo Esiabousiede, e da Youa: be da Hibalone moilai bai bagadega A: bena fane legei, amo sia: nababeba: le, e da beda: i galu. Isala: ili dunu huluane amola da beda: gia: i.
Ish-Boshethi mwana wa Sauli aliposikia kwamba Abneri amekufa huko Hebroni, akakosa ujasiri, nayo Israeli yote wakatiwa hofu kuu.
2 Esiabousiede ea ouligisu dunu aduna da ha wa: i ahoasu dunu gilisisu amoga bisilua hina galu. Elea dio da Ba: iana amola Liga: be (Limone egefela), ela da Bialode moilai Bediamini fi ilia soge ganodini esalu. Bialode da Bediamini moilaiga gilisili idi dagoi sia: i.
Basi mwana wa Sauli alikuwa na watu wawili waliokuwa viongozi wa vikundi vya uvamizi. Mmoja aliitwa Baana na mwingine Rekabu, waliokuwa wana wa Rimoni, Mbeerothi, kutoka kabila la Benyamini. Beerothi alihesabiwa kuwa sehemu ya Benyamini,
3 Bialode musa: fi dunu da hobeale, Gida: ime moilaiga asi. Amogawi ilia da gebewane esafulu.
kwa sababu watu wa Beerothi walikimbilia huko Gitaimu na wameishi huko kama wageni mpaka siku hii ya leo.
4 Solo egaga fi dunu eno da Yonada: ne egefe ea dio amo Mifibousiede. E da lalelegele, ode biyale gidigili, fa: no Solo amola Yonada: ne ela bogoi sia: be ea nabi. Solo amola Yonada: ne ela bogoi sia: da Yeseliele amoga misi nabaloba, Mifibousiede ea ouligisu uda da e gaguli hobea: i. Be e da hedolowane hobealala, mano gagui habonane sa: i. Amalalu, e da gasuga: igi hamoi.
(Yonathani mwana wa Sauli alikuwa na mwana aliyekuwa mlemavu miguu yote miwili. Alikuwa na miaka mitano wakati habari kuhusu Sauli na Yonathani zilipofika kutoka Yezreeli. Yaya wake akambeba ili kukimbia, lakini yaya alipokuwa anaharakisha kuondoka, mtoto alianguka akawa kiwete. Jina lake aliitwa Mefiboshethi.)
5 Liga: be amola Ba: iana da Esiabousiede ea diasuga doaga: musa: ahoana, esomogoa doaga: i. Esiabousiede da esomogoa helefimusa: golai dialebe ba: i.
Basi Rekabu na Baana, wana wa Rimoni Mbeerothi wakaenda nyumbani kwa Ish-Boshethi, nao walifika huko wakati alipokuwa kwenye mapumziko yake ya mchana.
6 Ea logo holei ouligisu uda da widi hodo gisi amoga afafananu, da feloaiba: le golai dialebe ba: i. Amaiba: le, Liga: be amola Ba: iana da diasu ganodini golili sa: i.
Wakaingia kwenye chumba cha ndani kana kwamba wanachukua ngano, wakamchoma Ish-Boshethi mkuki wa tumboni. Ndipo Rekabu na Baana nduguye wakatoroka.
7 Ganodini ahoana, ela da Esiabousiede ea sesei amoga asili, Esiabousiede golai dialoba, e fane legei. Amalalu, ela da ea dialuma damuni fasili, amo gaguli, Yodane Fago gududili amo gasia ahoanu.
Walikuwa wameingia ndani ya nyumba wakati alipokuwa amelala kitandani chumbani kwake. Baada ya kumchoma mkuki na kumuua, walikata kichwa chake. Wakiwa wamekichukua, walitembea usiku kucha kwa njia ya Araba.
8 Ela da Hibalone moilai bai bagadega doaga: le, Esiabousiede ea dialuma amo hina bagade Da: ibidi igili i. Ela da ema amane sia: i, “Dia ha lai dunu Solo da di medole legemusa: logo hogoi helei. Egefe ea dialuma da goea. Wali eso, Hina Gode da di Solo amola egaga fi ilima dabe ima: ne, dima logo doasi dagoi.
Wakamletea Daudi kichwa cha Ish-Boshethi huko Hebroni, wakamwambia mfalme, “Hiki hapa kichwa cha Ish-Boshethi mwana wa Sauli, adui yako, aliyejaribu kuondoa uhai wako. Siku hii ya leo Bwana amemlipia kisasi mfalme bwana wangu dhidi ya Sauli na mzao wake.”
9 Da: ibidi da elama bu adole i, “Esalebe Hina Gode da se nabasu nama manebe amo hidadea ba: beba: le, Ea da eso huluane na gaga: lalu. Ea Dioba: le, na da sia: ilegesa.
Daudi akawajibu Rekabu na Baana nduguye, wana wa Rimoni, Mbeerothi, akasema, “Hakika kama Bwana aishivyo, ambaye ameniokoa kutoka taabu zote,
10 Musa: sia: adola ahoasu dunu afae da Sigela: ge moilai bai bagadega nama misini amola Solo ea bogoi amo nama adobeba: le, e da nama hahawane sia: adomusa: mabeyale dawa: i. Be na da amo dunu gagulaligili, e fane legema: ne sia: i. E da nama hahawane sia: adola misi dawa: i galu. Be amo sia: da na higa: i. Amaiba: le, na da e fane legei. Na da ema dabe agoane i.
yule mtu aliponiambia, ‘Sauli amekufa,’ akadhani ananiletea habari njema, nilimkamata, nikamuua huko Siklagi. Hiyo ndiyo zawadi niliyompa kwa ajili ya taarifa yake!
11 Be wadela: i hamosu dunu da dunu eno wadela: le hame hamosu, amo e golai dialea fane legei amo na da alima baligili dabe imunu. Alia da amo dunu fane legeiba: le, na da alima dabe imunu. Alia odagi da osobo bagadega bu hamedafa ba: mu.”
Je, ni mara ngapi zaidi wakati watu waovu wamemuua mtu asiye na hatia akiwa ndani ya nyumba yake mwenyewe na kwenye kitanda chake mwenyewe? Je, sasa nisidai damu yake mikononi mwenu na kuwaondoa duniani?”
12 Amalalu, Da: ibidi da sia: beba: le, ea dadi gagui dunu da Liga: be amola Ba: iana fane legele, elea lobo amola emo dadamuni fasili, ela da: i hodo Hibalone hano wayabo gadenene hegoa: nesi. Ilia da Esiabousiede ea dialuma lale, A:bena ea uli dogoi gelabo Hibalone moilai bai bagadega dialu, amo ganodini sali.
Kwa hiyo Daudi akawaamuru watu wake, wakawaua. Wakakata mikono yao na miguu, na kutundika viwiliwili vyao kando ya dimbwi huko Hebroni. Lakini wakakichukua kichwa cha Ish-Boshethi na kukizika katika kaburi la Abneri huko Hebroni.

< 2 Sa:miuele 4 >