< 2 Sa:miuele 3 >

1 Isala: ili dunu mogili da Da: ibidi ea fi fuligala: su. Mogili da Solo egaga fi fuligala: su. Amaiba: le, gegesu da bagade heda: i. Da: ibidima fuligala: su fi ilia gasa da heda: lalu, be ea ha lai ilia gasa da gududafa sa: i.
Vita kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi vilidumu kwa muda mrefu. Daudi akaendelea kuwa imara zaidi na zaidi, wakati nyumba ya Sauli iliendelea kudhoofika zaidi na zaidi.
2 Da: ibidi egefelali gafeyale gala da Hibalone moilai bai bagade amo ganodini lalelelegei. Magobo mano da A: manone (ea: me da Yeseliele uda amo ea dio amo Ahinoua: me).
Wana walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Amnoni mwana wa Ahinoamu wa Yezreeli;
3 Amo baligia da Gilia: be (ea: me da Gamele uda, Na: iba: le ea didalo, ea dio amo A: biga: ile). Amo baligia da A: basalome (ea: me da Gisie hina bagade Da: lama: i ea idiwi, amo Ma: iaga).
mzaliwa wake wa pili alikuwa Danieli mwana wa Abigaili, mjane wa Nabali wa Karmeli; wa tatu, Absalomu mwana wa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri;
4 Amo baligia da Adounaidia (ea: me da Ha: gide). Amo baligia da Siefada: ia (ea: me da Abaida: le).
wa nne, Adoniya mwana wa Hagithi; wa tano, Shefatia mwana wa Abitali;
5 Ufidafa da Idilia: me (ea: me da Egela). Amo dunu mano huluane da Hibalone moilai bai bagadegamusu lalelelegei galu.
wa sita, Ithreamu mwana wa Egla, mkewe Daudi. Hawa ndio waliozaliwa kwa Daudi huko Hebroni.
6 Da: ibidima fuligala: su dunu amola Solo ea sosogo fi fuligala: su dunu ele gegenanu. A: bena da Solo ea sosogo fi fuligala: su fi amo ganodini gasawane heda: lebe ba: i.
Wakati wa vita kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi, Abneri alikuwa anajiimarisha katika nafasi yake kwenye nyumba ya Sauli.
7 Eso afaega, Esiabousiede (Solo egefe) e da A: bena da Solo ea gidisedagi uda Lisiba (A: ia ea mano) amola gilisili golaiba: le, diwaneya udidi.
Basi Sauli alikuwa amekuwa na suria, jina lake Rispa binti wa Aiya. Naye Ish-Boshethi akamwambia Abneri, “Kwa nini umekutana kimwili na suria wa baba yangu?”
8 Amoga, A:bena da ougi bagade ba: i. E amane sia: i, “Di da dawa: loba na da Soloma baligi fa: ma: bela: ? Di da dawa: loba na da Yuda dunu ilia hawa: hamobe hamosala: ? Na da muni amogainini dia ada Solo amola yolalali amola ea sama huluane, ili fawane fuligala: su. Amola Da: ibidi da dili mae hasalima: ne, na da hamosu. Be wali di da ogogole na da udama doaga: i sia: sa.
Abneri akakasirika sana kwa sababu ya kile Ish-Boshethi alichosema, naye akamjibu, “Je, mimi ni kichwa cha mbwa, kwa upande wa Yuda? Siku hii ya leo mimi ni mtiifu kwa nyumba ya baba yako Sauli, kwa jamaa yake na rafiki zake. Sijakukabidhi kwa Daudi, lakini bado unanilaumu kwa kosa la kuhusika na huyu mwanamke!
9
Mungu na amshughulikie Abneri, tena kwa ukali, ikiwa sitafanya kwa ajili ya Daudi kile Bwana alichomwahidi kwa kiapo,
10 Hina Gode da Da: ibidima, E da Isala: ili hina bagade hou Solo amola egaga fi amoga fadegale, Da: ibidi da Isala: ili amola Yuda soge huluanedafa ouligima: ne hina bagade hamomu ilegei. Wali, na da amo hou dafawanedafa ba: ma: ne hame hamosea, Gode da na fane legemu da defea.”
na kuuhamisha ufalme kutoka kwenye nyumba ya Sauli na kuimarisha kiti cha ufalme cha Daudi juu ya Israeli na Yuda kuanzia Dani mpaka Beer-Sheba.”
11 Esiabousiede da A: benaba: le bagadewane beda: i. E da bu adole imunu hamedei ba: i.
Ish-Boshethi hakuthubutu kusema neno jingine kwa Abneri, kwa sababu alimwogopa Abneri.
12 Amogalu, Da: ibidi da Hibalone moilai bai bagadega esalu. A: bena da ema adola ahoasu dunu ema amane sia: na masa: ne asunasi, “Nowa da ninia soge ouligima: bela: ? Nama gousa: su hamoma. Amasea, Isala: ili dunu huluane di fuligala: ma: ne, na da di fidimu.”
Ndipo Abneri akatuma wajumbe kwa niaba yake kwa Daudi, kumwambia, “Nchi hii ni ya nani? Fanya mapatano na mimi, nami nitakusaidia kuiweka Israeli yote juu yako.”
13 Da: ibidi da bu adole i, “Defea! Dia liligi afae fawane hamosea, na da ani gousa: su hamomu. Di da na ba: la masea, Solo idiwi Maiga: le, amo nama oule misa.”
Daudi akasema, “Vyema, nitafanya mapatano nawe. Lakini nahitaji jambo moja kwako: Usije mbele yangu mpaka umemleta Mikali binti Sauli wakati utakapokuja kuniona.”
14 Amola Da: ibidi da sia: adola ahoasu dunu Esiabousiede ema amane sia: ma: ne sia: si, “Na uda Maiga: le nama bu ima. Na da Filisidini dunu 100 ilia ewa gadofo amo uda lama: ne dabe i galu.”
Kisha Daudi akapeleka wajumbe kwa Ish-Boshethi mwana wa Sauli, kudai, “Nipe Mikali mke wangu, ambaye nilimposa mwenyewe kwa mahari ya magovi 100 ya Wafilisti.”
15 Amaiba: le, Esiabousiede da Maiga: le amo ea egoa Ba: ladiele (La: ise egefe) amo ea lai amo sugui.
Kwa hiyo Ish-Boshethi akatoa amri kwamba Mikali achukuliwe kutoka kwa Paltieli mumewe, mwana wa Laishi.
16 Ba: ladiele da diginiwane Maiga: lema fa: no bobogele, Bahiulimi moilaiga doaga: i. Amalalu, A:bena da ema amane sia: i, “Di diasua buhagima!” Amanobamone, e da buhagi.
Hata hivyo, mumewe alikwenda pamoja naye, akilia nyuma ya mkewe njia yote hadi Bahurimu. Ndipo Abneri akamwambia Paltieli, “Rudi nyumbani!” Kwa hiyo akarudi.
17 A: bena da Isala: ili ouligisu dunu ilima asili, amane sia: i, “Dilia da eso bagohame amoga Da: ibidi dilia hina bagade hamoma: ne hananusu.
Abneri akafanya shauri pamoja na wazee wa Israeli, akasema, “Muda mrefu mmetaka kumfanya Daudi mfalme wenu.
18 Wali, amo hamoma! Hina Gode Ea sia: i bu dawa: ma! E amane sia: i, `Na da na hawa: hamosu dunu Da: ibidi amo ea loboga, Na fi Isala: ili dunu amo Filisidini dunu amola ilia ha lai dunu huluane ili mae hasalima: ne gaga: mu.’”
Sasa fanyeni hivyo! Kwa maana Bwana alimwahidi Daudi akisema, ‘Kwa kupitia Daudi mtumishi wangu nitawaokoa watu wangu Israeli kutoka mikononi mwa Wafilisti na kutoka mikononi mwa adui zako wote.’”
19 Amola A: bena da amanewane Bediamini fi dunuma sia: i. Amalalu, e da Hibalone amoga asili, e da Bediamini amola Isala: ili dunu ilia hamomu sia: i, amo Da: ibidima olelei.
Pia Abneri mwenyewe akazungumza na kabila la Benyamini. Kisha akaenda mpaka Hebroni kumwambia Daudi kila kitu ambacho Israeli na nyumba yote ya Benyamini walichotaka kufanya.
20 A: bena amola ea dunu 20 agoane da Hibalone moilai bai bagadega Da: ibidima misi. Da: ibidi ili aowama: ne lolo nasu hamoi.
Wakati Abneri aliyekuwa na watu ishirini pamoja naye, alipokuja kwa Daudi huko Hebroni, Daudi akamwandalia karamu pamoja na watu wake.
21 A: bena da Da: ibidima amane adole i, “Hina noga: idafa! Na da wali asili, Isala: ili dunu huluane di fuligala: ma: ne hamomu. Amasea, ilia huluane da di hina bagade hamoma: ne sia: mu. Amola dia hanai defele, di da Isala: ili soge huluanedafa ouligima: mu.” Da: ibidi da A: bena da se hamedafa nabima: ne, gaga: su sia: ilegei.
Ndipo Abneri akamwambia Daudi, “Niache niende mara moja nikakusanye Israeli yote kwa ajili ya mfalme bwana wangu, ili waweze kufanya mapatano na wewe, ili kwamba uweze kutawala juu ya yote yale ambayo moyo wako unaonea shauku.” Basi Daudi akamuaga Abneri, naye akaenda kwa amani.
22 Amalu fa: no, Youa: be amola Da: ibidi ea ouligisu dunu eno da ha wa: i asili, liligi lai bagadedafa gagaguli buhagi. Be ilia da A: bena Hibalone amoga esalebe hame ba: i. Bai Da: ibidi da A: benama e da se hamedafa nabima: ne, gaga: su sia: ilegele, hi diasua masa: ne asunasi.
Wakati huo huo, watu wa Daudi na Yoabu walirudi kutoka kwenye kushambulia, nao wakarudi na nyara nyingi mno. Lakini Abneri hakuwa tena pamoja na Daudi huko Hebroni, kwa sababu Daudi alikuwa amemruhusu aende zake, naye akaenda kwa amani.
23 Youa: be amola ea dunu da doaga: le nabagaloba, A:bena da Da: ibidima misini amola Da: ibidi da e se mae nabima: ne ilegelalu hi diasua masa: ne asunasi, amo ilia nabi.
Yoabu na askari wote aliokuwa nao walipowasili, aliambiwa kwamba Abneri mwana wa Neri alikuwa amekuja kwa mfalme na kwamba mfalme alikuwa amemruhusu aende zake, na kwamba alikwisha ondoka kwa amani.
24 Amaiba: le, Youa: be da hina bagade ema asili amane sia: i, “Di da adi hamobela: ? A: bena da dima misi. Dia abuliba: le e udigili masa: ne logo doasibala: ?
Basi Yoabu alikwenda kwa mfalme na kumwambia, “Ni nini hiki ulichofanya? Tazama, Abneri alikuja kwako. Kwa nini ukamwacha aende? Sasa amekwenda!
25 E da dima ogogomusa: misi. Amola dia hamobe amola ahoabe huluane abedemusa: misi. Di da ea hou dawa: !”
Wajua Abneri mwana wa Neri alikuja kukudanganya na kuchunguza nyendo zako na kupata kila kitu unachokifanya.”
26 Youa: be da Da: ibidi yolesilalu, sia: adola ahoasu dunu, amo A: bena bu misa: ne sia: ma: ne asunasi. Ilia da A: bena amo Sila si hano esalebe ba: loba, e bu oule misi. Be Da: ibidi da amo hou hame dawa: i galu.
Ndipo Yoabu akamwacha Daudi na kutuma wajumbe wamfuate Abneri, nao wakamrudisha kutoka kisima cha Sira. Lakini Daudi hakufahamu jambo hili.
27 A: bena da Hibalone logo holeiga doaga: loba, Youa: be da logo bega: ema ogogole wamo sia: sia: musia: ne oule aliagale, e gobiheiga hagomo sone legei. Amola A: bena da medole legei dagoi ba: i. Bai e da Youa: be eya A: sahele fane legei.
Basi Abneri aliporudi Hebroni, Yoabu akamchukua kando ndani ya lango, kama vile kuzungumza naye faraghani. Ili kulipiza kisasi damu ya nduguye Asaheli, Yoabu akamchoma mkuki tumboni palepale, naye akafa.
28 Da: ibidi da amane hamoi sia: nababeba: le, e da amane sia: i, “Hina Gode da dawa: ! Na amola na baligia aligi dunu huluane, ninia da A: bena e hamedafa fane legei.
Baadaye, Daudi aliposikia kuhusu jambo hili, akasema, “Mimi na ufalme wangu kamwe hatuna hatia mbele za Bwana kuhusu damu ya Abneri mwana wa Neri.
29 Gode da Youa: be amola ea sosogo fi huluane ilima amo hou ea dabe se iasu ilima imunu da defea. Egaga fifi misunu amo ganodini, dunu afae da gadofo olo bagade o wadela: i uda lasu olo bagade o dunu da gasa hameba: le uda ea hawa: fawane hamomu dawa: o dunu da gegesu ganodini fane legei o dunu da ha: i bagade, agoaiwane dunu ba: mu da defea. Gode da Youa: be fi ilima amane se dabe imunu da defea.”
Damu yake na iwe juu ya kichwa cha Yoabu na juu ya nyumba yote ya baba yake! Kamwe asikosekane yeyote katika nyumba ya Yoabu mwenye kidonda chenye usaha, au ukoma au mwenye kuegemea fimbo au aangukaye kwa upanga au kupungukiwa na chakula.”
30 Youa: be amola eaeya Abisia: i da amanewane A: bena dabe i. Bai e da ela eya A: sahele amo Gibione gegesu ganodini fane legei.
(Yoabu na Abishai ndugu yake walimuua Abneri kwa sababu alikuwa amemuua Asaheli ndugu yao katika vita huko Gibeoni.)
31 Amalalu, Da: ibidi da Youa: be amola ea dunu ilia da abula gagadelale, amola abula wadela: i ebobolesi sasalili, A:benaha fofagini didigia: ma: ne sia: i. Bogoi uli dogomusa: gilisisu amoga, hina bagade Da: ibidi da bogoi doufa da: iya gisa ahoabe amoga fa: no bobogei.
Kisha Daudi akamwambia Yoabu na watu wote aliokuwa pamoja nao, “Rarueni nguo zenu na mvae nguo za gunia na mtembee mkiomboleza mbele ya Abneri.” Mfalme Daudi mwenyewe akatembea nyuma ya jeneza.
32 Ilia da A: bena amo Hibalone moilai bai bagadega uli dogoi. Da: ibidi amola dunu huluane da uli dogoi bega: didigia: sa esafulu.
Wakamzika Abneri huko Hebroni, naye mfalme akalia kwa sauti kwenye kaburi la Abneri. Pia watu wote wakalia.
33 Da: ibidi da A: benaha asigili fofagi gesami amane hea: i, “A: bena da abuliba: le gagaoui dunuga bogosu defele bagobela: ?
Mfalme akaimba ombolezo hili kwa ajili ya Abneri: “Je, ilipasa Abneri afe kama afavyo mpumbavu?
34 Ea lobo da hame la: gi ba: i. Ea emo da hame la: gi ba: i. E da dunu amo wadela: i hamosu dunuga medole legei, amo defele bogoi.” Amalalu, dunu huluane eha da bu didiga: i.
Mikono yako haikufungwa, miguu yako haikufungwa pingu. Ulianguka kama yeye aangukaye mbele ya watu waovu.” Nao watu wote wakamlilia tena.
35 Amo esoha, dunu da gebewane Da: ibidi e ha: i moma: ne sia: i. Be e da dafawane amane ilegele sia: i, “Na da wali eso amoga ha: i nasea, Gode da na fane legemu da defea.”
Kisha watu wote wakaja kumsihi Daudi ale chochote kulipokuwa kungali bado mchana; lakini Daudi akaapa, akisema, “Mungu na anishughulikie, tena kwa ukali, kama nikionja mkate au kitu kingine chochote kabla ya jua kutua!”
36 Ilia da amo hou ba: lalu, hahawane ba: i. Dafawane! Ilia da hina bagade Da: ibidi ea hamobe huluane hahawane ba: i.
Watu wote wakaona hilo nao ikawapendeza; naam, kila kitu mfalme alichofanya kiliwapendeza.
37 Da: ibidi ea fi dunu huluane, amola Isala: ili fi dunu huluane da hina bagade da A: bena fane legei amo hamedafa fidi, amo noga: le dawa: i galu.
Kwa hiyo siku ile watu wote na Israeli yote wakajua kwamba mfalme hakushiriki katika mauaji ya Abneri mwana wa Neri.
38 Hina bagade da ea eagene ouligisu dunuma amane sia: i, “Dilia! Noga: le dawa: ma! Wali eso, Isala: ili soge ouligisu dunu bagade da bogoi dagoi.
Kisha mfalme akawaambia watu wake, “Je, hamfahamu kwamba mkuu na mtu mashuhuri ameanguka katika Israeli leo?
39 Gode da na hina bagade hamoma: ne ilegei dagoi. Be wali eso na da gasa hamedene gogaya: i ba: sa. Selouaia egefelali da baligili bidi hamobeba: le, na higasa. Hina Gode da ilia wadela: i hamoi defele, se dabe ilima imunu da defea.”
Nami leo ingawa ni mfalme mpakwa mafuta, mimi ni dhaifu, nao hawa wana wa Seruya wananizidi nguvu. Bwana na amlipize mtenda maovu sawasawa na matendo yake maovu!”

< 2 Sa:miuele 3 >