< 2 Sa:miuele 23 >

1 Gode da Da: ibidi (Yesi egefe) amo ea hou bagalesi. Ya: igobe ea Gode da Da: ibidi hina bagade hamoma: ne ilegei. Da: ibidi da Isala: ili dunu ilia hea: ma: ne, gesami noga: idafa hamosu. Da: ibidi ea fada: i sia: amola gagadasu sia: da goea.
Haya ni maneno ya mwisho ya Daudi-Daudi mwana wa Yese, mtu aliyeheshimiwa sana, aliyetiwa mafuta na Mungu wa Yakobo, mwandishi mzuri wa zaburi wa Israeli.
2 “Hina Gode Ea A: silibu da na lafidili sia: sa. Ea adole iasu da na lafi gadofo da: iya gala.
“Roho ya Yahwe alisema nami, na neno lake lilikuwa ulimini mwangu.
3 Isala: ili Gaga: su Dunu da nama amane sia: i, `Hina bagade amo da moloidafa ouligisu hou hamosea, amola Gode Ea Sia: nabawane defele ouligisia,
Mungu wa Israeli alinena, Mwamba wa Israeli aliniambia, “Atawalaye kwa haki juu yangu, atawalaye katika hofu ya Mungu.
4 e da eso amo gibu dalu hahabe mu mobi hamedeiya eso da gisi da: iya digagala: sea gigidudabe amo defele ba: sa.’
Atakuwa kama nuru ya asubuhi jua linapochomoza, asubuhi isiyo na mawingu, wakati mche mwororo unapochipua kutoka ardhini kupitia mwangaza wa mng'ao wa jua baada ya mvua.
5 Amola Gode da amaiwane nagaga fi ilima hahawane dogolegele hamomu. Bai E da nama eso huluane dialoma: ne gousa: su hamoi. Amo gousa: su fimu da hamedei, amola Ea ilegesu amo da afadenemu hame gala. Na hanai da amo fawane. Na hasalasu da goea. Amola Gode da amo hasalasu dafawane nama imunu.
Hakika, je familia yangu haiko hivi mbele za Mungu? Je hajafanya nami agano la milele, taratibu la uhakika kwa kila njia? Je yeye haongezi wokovu wangu na kutimiza kila hitaji langu?
6 Be Gode hame dawa: dunu da aya: gaganomei amo ilia udigili ha: digibi agoai gala. Dunu da amo loboga udigili digili ba: mu da hamedei.
Lakini yasiyofaa yote yatakuwa kama miiba na kutupwa mbali, kwa maana haiwezekani kukusanywa kwa mikono.
7 Be digili ba: musa: dawa: sea, ouli hawa: hamosu liligi o goge agei, amoga fawane digili ba: mu da defea. Be Gode hame dawa: wadela: i dunu da laluga nei dagoi ba: mu.”
Ayagusaye ni lazima atumie chombo cha chuma au au fumo la mkuki. Ni lazima yachomwe mahali yalipo.
8 Da: ibidi ea gasa bagade dadi gagui dunu ilia dio da amo, - bisi da Yousebe Basiebede (Da: gimoune dunu). E da “Dunu Udiana” gilisisu amoga ouligisu esalu. E da gegesu ganodini ea goge ageiga gegei. Amola e da gegesu afae amo ganodini dunu 800 agoane fane legei.
Haya ni majina ya askari wa Daudi: Yashobeamu Mhakmoni alikuwa kiongozi wa mashujaa. Aliua watu mia nne wakati mmoja.
9 E bagia “Dunu Udiana” gilisisu ganodini da Elia: isa (Ahou fi dunu Doudou amo egefe). Eso afaega, e amola Da: ibidi da Filisidini dunu ilima gegemusa: momagele gilisili, ilima dabemusa: logei. Isala: ili dunu oda ilia da hagai,
Baada yake alikuwa Elieza mwana wa Dodo, mwana wa mwahohi, mmoja wa mashujaa watatu wa Daudi. Alikuwepo walipowashinda Wafilisti waliokuwa wamekusanyika kwa vita, na wakati watu wa Israeli walipokuwa wamekimbia.
10 be Elia: isa da hame hagai. E da Filisidini dunuma gegenanu, gegenanawane ea lobo da gadaya: iba: le, e da ea gegesu gobihei gagui fadegamu gogole ba: i. Amo esoha, Hina Gode da hasalasu bagade hamoi. Gegenanu, Isala: ili dunu da Elia: isa ea lelu sogebi amoga buhagili, bogoi dunu ilia da: igene ga: su liligi gigisa: i.
Elieza akasimama na kuwapiga Wafilisti mpaka mkono wake ukachoka, mpaka mkono wake ukang'ang'ania mpini wa upanga wake. Siku hiyo Yahwe akatoa ushindi mkuu. Jeshi likarejea kwa ajili ya kuteka tu nyara za waliouawa na Elieza.
11 Dunu osoda “Dunu Udiana” gilisisu ganodini da Sia: ma (Hala soge dunu, A:igi amo egefe). Filisidini dunu da Lihai soge (amoga da: iyene bugisu soge ba: i) amoga gilisibi ba: i. Isala: ili dunu da Filisidini dunuba: le hobea: i.
Baada yake alikuwa Shama mwana wa Agee, Mharari. Wafilisti wakajikusanya pamoja palipokuwa na shamba la dengu, na jeshi likawakimbia.
12 Be Sia: ma da mae hagale, bugili nasu soge ganodini lelu. E da amo sogebi gaga: le, Filisidini dunu fane legei. Amo esoha, Hina Gode da hasalasu bagade hamoi.
Lakini Shama akasimama katikati ya shamba na kulitetea. Aliwauwa Wafilisti, na Yahwe akaleta ushindi mkuu.
13 Bugi da muni gamimu gadenebe galu, dunu udiana amo “Dunu 30” gilisisu amo yolesili, asili, Adala: me magufu gelaba, Da: ibidi ea esalebe sogebi, amoga doaga: i. Filisidini gilisisu afae da Lefa: ime Fago ganodini wa: i fi esalebe ba: i.
Watatu kati ya askari thelathini walishuka kwa Daudi nyakati za mavuno, katika pango la Adulamu. Jeshi la Wafilisti lilikuwa limepiga kambi katika bonde la Mrefai.
14 Amo esoha, Da: ibidi da agologa gagili sali ba: i. Amola, Filisidini dunu gilisisu eno da Bedeleheme moilai gesowale lale, amogawi esalebe ba: i.
Wakati huo Daudi alikuwa katika ngome yake, pangoni, wakati Wafilisti walikuwa wanaimilk Bethlehemu.
15 Da: ibidi da hi diasudafa fofagiba: le, amane sia: i, “Na da na hano hanai gala. Na hanai bagade da dunu afae da hano nasu uli dogoi Bedeleheme logo holei bega: gala, amoga na manusa: hano dili gaguli misia: be.”
Daudi alitamani maji na akasema, “Kama ingekuwa mtu mmoja angenipa maji ya kunywa kutoka kisima kilichopo Bethlehemu, kisima kilichopo langoni!”
16 Gasa bagade dadi gagui dunu udiana da Filisidini dunu ilia wa: i fi amodili fodomane fasili, hano nasu uli dogoi amoga hano dili, Da: ibidima gaguli misi. Be Da: ibidi da amo hame mai. Be e da Hina Godema iasu hamoma: ne, osoba sogadigi.
Hivyo mashujaa hawa watatu wakapita kati ya jeshi la Wafilisti na kuchota maji katika kisima cha Bethlehemu, kilichopo langoni. Wakachukua maji na kuyaleta kwa Daudi, lakini yeye akakataa kuyanywa. Badala yake akayamwaga mbele za Yahwe.
17 E amane sia: i, “Hina Gode! Amo hano na manu da hamedeidafa! Bai amo da, amo dunu ilia maga: me nabe defele ba: mu. Ilia da ilia esalusu fisima: ne agoane lala asi.” Amaiba: le, e da amo hano hame manu sia: i. Amo gasa bagade gesa: i dadi gagui dunu udiana da amo hou huluane hamosu. 30
Kisha akasema, “Iwe mbali nami, Yahwe, kwamba niyanywe haya. Je ninywe damu ya watu waliohatarisha maisha yao?” Hivyo akakataa kuyanywa. Haya ni mambo yaliyofanywa na mashujaa watatu.
18 Youa: be ea eya Abisia: i (ilia ame da Selouaia) da “Gasa Bagade Dunu30” gilisisu ilia ouligisu dunu. E da ea goge agei amoga dunu 300 ilima gegenanu, ili huluane medole legei. Amalalu, dunu huluane da e da gasa bagade dunu, amo sia: lalaba asi.
Abishai, nduguye Yoabu na mwana wa Seruya, alikuwa akida wa watatu. Alipigana kwa mkuki wake na watu mia tatu na akawauwa wote mara. Mara kwa mara alitajwa kati ya mashujaa watatu.
19 E da “Gasa Bagade Dunu 30” gilisisu amo ganodini baligili gasa bagade dunuba: le e da ilia ouligisu dunu hamoi. Be “Dunu Udiana” gilisisu amo ilia nodoma: ne gasa bagade hou da ea hou baligisu amo lalaba asi.
Hakuwa maarufu kuliko wale watatu? Alifanywa akida wao. Lakini, umaarufu wake haukulingana na umaarufu wa wale mashujaa watatu.
20 Gabasili moilai bai bagade dunu Bina: ia (Yihoiada egefe) da nodoma: ne gasa bagade dadi gagui dunu eno galu. E da gesa: i hou bagohame hamoi. Afae da e da Moua: be gasa bagade gegesu dunu aduna fane legei. Anegagi eso afaega, e da uli dogoi bagade amo gudu sa: ili, laione wa: me medole legei.
Benaya kutoka Kabseeli mwana wa Yehoyada; alikuwa mtu hodari aliyefanya matendo makuu. Aliwauwa wana wawili wa Arieli wa Moabu. Pia alishuka shimoni na kuuwa simba wakati wa theruji.
21 Amola e da Idibidi dunu afae bagade amo goge agei gagui, amo fane legei. Bina: ia da ogoma gaguli, Idibidi dunu amo doagala: le, ea loboga goge agei gagui amo suguli amogawane hina: fane legei.
Na alimwua Mmisri aliyekuwa mtu mnene sana. Mmisri alikuwa na mkuki mkononi, lakini Benaya alipigana naye kwa fimbo tu. Aliuchukua mkuki mkononi mwa Mmisri na kisha kumwua nao.
22 Bina: ia ea gesa: i hou da agoai galu. E da “Gasa Bagade Dunu 30” gilisisu amo ganodini baligisu dunu agoane ba: i, be “Dunu Udiana” gilisisu dunu eno da ea hou baligisu. Da: ibidi da Bina: ia amo ea da: igene sosodo aligisu dunu ouligisu hamoi.
Benaya mwana wa Yehoyada alifanya matendo haya, naye alitajwa kati ya mashujaa watatu.
Alikuwa na heshima kuliko mashujaa thelathini kwa ujumla wao, lakini hakuwa na heshima kama wale mashujaa watatu. Hata hivyo Daudi alimweka kuwa mlinzi wake.
24 Dunu eno amo “Gasa Bagade Dunu 30” gilisisu ganodini da amo: - A: sahele (Youa: be ea eya) Eleha: ina: ne (Bedeleheme dunu amola Doudou egefe) Sia: ma amola Ilaiga (Ha: ilode soge dunu) Hilese (Bilaide dunu) A: ila (Degoua dunu Igesie amo egefe) A: ibisa (A: nadode dunu) Mibunai (Hiusia dunu) Sa: lamoune (Ahou dunu) Maha: la: iai (Nidoufa dunu) Hilebe (Nidoufa moilai bai bagade dunu Ba: iana amo egefe) Idai (Bediamini soge moilai Gibia dunu ea dio amo Laibai amo egefe) Bina: ia (Biladone dunu) Hida: iai (e da fago soge Ga: ia: se gadenene amoga misi) Abaia: lebone (A: laba amoga misi) A: sama: ifede (Bahiulimi moilai dunu) Ilaiaba (Sia: ialebone moilai dunu) Ya: isiene egefelali Yonada: ne Sia: ma (Ha: ila moilai dunu) A: ihaia: me (Ha: ila moilai dunu Sia: ila amo egefe) Ilifelede (Ma: iaga soge dunu Aha: sabai amo egefe) Ilaia: me (Gailou moilai dunu Ahidoufele egefe) Hisalou (Gamele dunu) Ba: ialai (A: la: be dunu) Aiga: le (Souba soge dunu Na: ida: ne amo egefe) Ba: ini (Ga: de moilai dunu) Silege (A: mone fi dunu) Na: ihalai (e da Bialode sogega misi amola e da Youa: be ea da: igene ga: su liligigaguli ahoasu) A: ila amola Ga: ilebe (ela da Ya: da moilaiga misi) Iulaia (Hidaide dunu) Huluane da gasa bagade dadi gagui dunu37 agoane ba: i.
Wafuatao ni wale watu thelathini: Asaheli nduguye Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo kutoka Bethlehemu,
Shama Mharodi, Elika Mharodi,
Helesi Mpeloni, Ira mwana wa Ikeshi Mtekoi,
Abi Ezeri Mwanathothi, Mebunai Mhushathi,
Salmoni Mhahoi, Maharai Mnetofathi;
Helebu mwana wa Baana, Mnetofathi, Itai mwana wa Rabai kutoka Gibea ya Wabenjamini,
Benaya Mpirathoni, Hidai wa mabonde ya Gaashi.
Abieliboni Mwarbathi, Azmawethi Mbarhumi,
Eliaba Mshalboni, wana wa Yasheni, Yonathani mwana wa Shama Mharari;
Ahiamu mwana wa Sharari Mharari,
Elifeleti mwana wa Ahasbai Mmaakathi, Eliamu mwana wa Ahithofeli Mgiloni,
Hezro Mkarmeli, Parai Mwarbi,
Igali mwana wa Nathani kutoka Soba, Bani kutoka kabila la Gadi,
Zeleki Mwamoni, Naharai Mbeerothi, mbeba silaha wa Yoabu mwana wa Seruya,
Ira Mwithri, Garebu Mwithri,
Uria Mhiti - jumla yao thelathini na wanane.

< 2 Sa:miuele 23 >