< 2 Sa:miuele 22 >
1 Hina Gode da Da: ibidi amo Solo amola ea ha lai eno amoga gaga: loba, Da: ibidi da Hina Godema amane gesami hea: i.
Daudi akamwimbia Yahwe maneno ya wimbo huu siku ile Yahwe alipomwokoa katika mkono wa adui zake wote na katika mkono wa Sauli.
2 “Hina Gode da na gaga: sudafa. E da nama gasa bagade gagili salasu agoane.
Akaomba hivi, “Yahwe ni mwamba wangu, ngome yangu, aliyeniokoa.
3 Na Gode da na gaga: sudafa. E da na gasa bagade gagoi dialebe. E da na gaga: sa amola na da E guga esalea, enoga wadela: mu da hamedei. E da gaga: su liligi agoaiga na gaga: sa.
Mungu ni mwamba wangu. Yeye ni kimbilio langu. Ngao yangu, pembe ya wokovu wangu, ngome yangu na kimbilio langu, aniokoaye na mabaya yote.
4 Na da Hina Godema wele sia: sea, E da na ha lai ilima na gaga: sa. Hina Godema nodoma!
Nitamwita Yahwe, astahiliye kutukuzwa, nami nitaokolewa kutoka kwa adui zangu.
5 Na bogomu gadenenewane ba: i. Wadela: su liligi hano fugala: i agoane da na dedebomu galu.
Maana mawimbi ya mauti yalinizunguka, mafuriko ya maji ya uharibifu yakanishinda.
6 Na bogomu da gadenenewane ba: i. Bogoi uli dogoi da sani agoane dili dialu. (Sheol )
Vifungo vya kuzimu vilinizunguka; kamba za mauti zikaninasa. (Sheol )
7 Na da se nababeba: le, Hina Godema wele sia: i dagoi. Na da E na fidima: ne wele sia: i. E da Ea Debolo diasu ganodini na fidima: ne wele sia: su nabi dagoi.
Katika shida yangu nalimwita Yahwe; nilimwita Mungu wangu; akaisikia sauti yangu katika hekalu lake, na kilio changu cha msaada kikafika masikioni mwake.
8 Amalalu, osobo bagade da fofogoi. Goumi ilia bai amola da igugui. Bai Gode da ougi bagade ba: i.
Ndipo nchi ilipotikisika na kutetemeka. Misingi ya mbingu ikatetemeka na kutikiswa, kwa kuwa Mungu alikasirika.
9 Ea mi gelabo amoga lalu mobi ahoanebe ba: i. Ea lafidili, lalu sawa: amola nasubu su nenanebe gilisili ahoanebe ba: i.
Moshi ukatoka katika pua yake, na miale ya moto ikatoka katika kinywa chake. Makaa yakawashwa nayo.
10 E da mu alalo gadelai amola mu mobi gasimiginisi gala amo da: iya osoboga Ea emo hagudu dialebe ba: i.
Alizifungua mbingu akashuka, na giza totoro lilikuwa chini ya miguu yake.
11 E da liligi hedofo galebe amoga fila heda: le hehenaia ahoanebe ba: i. E da fedege agoane fo da hedofo galebe amoga fila heda: le ahoanebe ba: i.
Alipanda juu ya kerubi na kuruka. Alionekana katika mawingu ya upepo.
12 E da gasimigi amoga uligi ba: i. Mu mobi gadugagi amo da hanoga nabai, amoga E sisiga: i dagoi.
Naye akalifanya giza kuwa hema kumzunguka, akakusanya mawingu makubwa ya mvua angani.
13 Muge igi agoai amola lalu gona: su digagala: su amola da ha: ha: na bagade amoga misini mu mobi gasimigi amo dugagale dalebe ba: i.
Makaa ya moto yalidondoka mbele zake kutoka katika radi.
14 Amalalu, Hina Gode Ea sia: da muagado gugelebe agoane nabi. Dunu huluane da Gode Gadodafa Ea sia: nabi.
Yahwe alishuka kutoka katika mbingu. Aliyejuu alipiga kelele.
15 E da Ea dadi dili fisiagagai. E da ea ha lai dunu huluane afagogoi. E da ha: ha: na digagala: su amoga gala: beba: le, ilia da hobea: i dagoi.
Alipiga mishale na kuwatawanya adui zake—miale ya radi na kuwasambaratisha.
16 Hina Gode! Di da Dima ha lai ilima gagabole sia: noba amola ilima ougiba: le gasa bagade sia: noba, hano wayabo bagade da hale hafoga: i dagoi ba: i. Osobo bagade ea bai huluane ba: i dagoi.
Kisha njia za maji zikaonekana; misingi ya dunia ikawa wazi katika kilio cha vita ya Yahweh, katika sauti za pumzi ya pua zake.
17 Hina Gode da ea lobo gudu da: le guduli, na gagulaligi, amola hano lugudu bagade amoga na hiougili gadoi.
Kutoka juu alifika chini; akanishikilia! Aliniondoa katika vilindi vya maji.
18 Na ha lai dunu da gasa bagade. Ilia da na bagade higasa. Be ilia da nama doagala: loba, Hina Gode da na gaga: i.
Aliniokoa kutoka kwa adui zangu wenye nguvu, kwao walionichukia, kwa maana walikuwa na nguvu sana kwangu.
19 Na da se nabaloba, ilia da na doagala: musa: misi, be amomane Hina Gode da na gaga: i.
Walikuja kinyume changu siku ya shida yangu, lakini Yahwe alikuwa msaada wangu.
20 E da nama hahawaneba: le, na gaga: i.
Pia aliniweka mahali panapo nafasi. Aliniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.
21 Na da moloidafa hou fawane hamobeba: le, amola na da wadela: i hou hame hamobeba: le, amola nama bidi ida: iwane iaha.
Yahwe amenituza kwa kipimo cha haki yangu; amenirejesha kwa kiwango cha usafi wa mikono yangu.
22 Na da Gode Ea sema dedei amoma fa: no bobogesu amola Godema fa: no bobogei na da hame buhagi.
Kwa maana nimezishika njia za Yahwe na sijafanya uovu kwa kugeuka kutoka kwa Mungu.
23 Na da Ea hamoma: ne sia: i huluane nabawane hamosu amola Ea sia: nababeba: le hame nabasu hou hame hamosu.
Kwa kuwa maagizo yake yote ya haki yamekuwa mbele yangu; kwa kuwa sheria zake, sikujiepusha nazo.
24 Na da afuda: le hame hamoi amola moloi hou fawane hamonanu. Hina Gode da na hou dawa:
Nimekuwa bila hatia mbele zake pia, na nimejiepusha na dhambi.
25 Amo na hou dawa: beba: le, E da nama bidi ida: iwane iaha. Bai na da wadela: le hamedafa hamosa, amo E dawa:
Kwa hiyo Yahwe amenirejesha kwa kiasi cha uadilifu wangu, kwa kipimo cha usafi wangu mbele zake.
26 Hina Gode! Nowa dunu da Dima mae fisili, Dia hou dafawaneyale dawa: iwane hamonanea, Di da amo dunu amola hamedafa yolesimu. Di da nowa dunu moloidafa ba: sea, amo dunu hahawane fidisa.
Kwa mwaminifu, unajionesha kuwa mwaminifu; kwake asiye na hatia; unajionesha kuwa hauna hatia.
27 Di da ledo hamedei fofoloi dunu ilima fofoloi ba: sa. Be wadela: i hamosu dunu Di higasa.
Kwa usafi unajionesha kuwa msafi, lakini kwa wakaidi unajionesha kuwa mkaidi.
28 Nowa dunu amo ea hou hi fonobosea, Di da amo dunu gaga: sa. Be nowa da ilila: hou hidale gaguia gadobe, amo Di da banenesisa.
Unaokoa walioteswa, lakini macho yako ni kinyume cha wenye kiburi, unawashusha chini.
29 Hina Gode! Di da nama hadigi iaha. Amola gasimigi Dia fadegale fasisa.
Kwa maana wewe ni taa yangu, Yahwe. Yahwe huangaza katika giza langu.
30 Di da nama gasa amo na ha lai dunuma ili doagala: ma: ne defele gala, amo iaha. Amola gasa amo ha lai dunu ilia gagoi amo muguluma: ne defele gala, Dia da nama iaha.
Maana kwa ajili yake ninaweza kupita vipingamizi; kwa msaada wa Mungu wangu naweza kuruka juu ya ukuta.
31 Gode Ea hou da noga: idafa amola moloidafa. Ea adi hamomusa: sia: sea, E da hamosa. Nowa dunu da Ea gaga: su Ema lala masea, E da da: igene gaga: su liligi defele, amo dunu ea ha lai dunuma gaga: sa.
Maana njia za Mungu ni kamilifu. Neno la Yahwe ni safi. Yeye ni ngao yao wanaomkimbilia.
32 Hina Gode Hi fawane da Godedafa. Hi fawane da ninia gaga: su dunu.
Maana ni nani aliye Mungu isipokuwa Yahwe? Na ni nani aliyemwamba isipokuwa Mungu?
33 Gode Hi fawane da nama gasa iaha amola na da logoba: le ahoasea, E da na noga: le ouligisa.
Mungu ni kimbilio langu, na umwongoza katika njia yake mtu asiye na hatia.
34 E da na goumiba: le noga: le heda: ma: ne, na emo amo ‘dia’ gebo ea emo defele hamosa. Amola na da goumiga ahoasea, E da na mae dafama: ne noga: le ouligisa.
Huifanya myepesi miguu yangu kama kurungu na kuniweka katika vilima virefu.
35 E da gegesu hou nama olelesa. Na da gasa bagade oulali amoga gegema: ne, E da nama gasa iaha.
Huifundisha mikono yangu kwa vita, na viganja vyangu kupinda upinde wa shaba.
36 Hina Gode! Di da na gaga: lala. Dia ouligisu hou da na fidibiba: le, eno dunu da nama nodosa. Dia gasa fawane da na gaga: i dagoi.
Umenipa ngao ya wokovu wako, na matakwa yako yamenifanya mkuu.
37 Dia fidibiba: le, na da na ha lai amoga hame gagulaligi ba: i. Na da hamedafa dafai.
Umeitengenezea miguu yangu nafasi chini yangu, hivyo miguu yangu haikujikwaa.
38 Na da na ha lai dunu sefasili, gagulaligisa. Amasea, gegesu mae fisili, ilia da wadela: lesi dagoi ba: sea fawane yolesisa.
Niliwafuatia adui zangu na kuwaangamiza. Sikurudi nyuma hadi walipoangamizwa.
39 Na da ili fane legesea, ilia da bu wa: legadomu gogolesa. Ilia da na emo gadenene dafasea, hasalasi dagoi ba: sa.
Niliwararua na kuwasambaratisha; hawawezi kuinuka. Wameanguka chini ya miguu yangu.
40 Di fawane da na gegema: ne nimi iaha amola na ha lai dunuma hasalasima: ne gasa iaha.
Unaweka nguvu ndani yangu kama mkanda kwa vita; unawaweka chini yangu wanaoinuka kinyume changu.
41 Dia hamobeba: le, na ha lai da naba: le hobeasa. Nowa da nama higasa, na da gugunufinisisa.
Ulinipa migongo ya shingo za adui zangu; niliwaangamiza kabisa wale wanaonichukia.
42 Ilia da fidima: ne diginiwane wele sia: sa. Be gaga: su dunu hame ba: sa. Ilia da Hina Godema wele sia: sa, be E da hame alofesa.
Walilia kwa msaada, lakini hakuna aliyewaokoa; walimlilia Yahwe, lakini hakuwajibu.
43 Na da ili gagoudane amola ilia gulu dou hamone da fo misini doga: le fasisa. Ilia da fafu logoga dialebe agoane ba: sa amola na da ilima ososa: gisa.
Niliwaponda katika vipande kama mavumbi juu ya ardhi, niliwakanyaga kama matope mitaani.
44 Hame nabasu dunu da nama hasalimusa: dawa: i. Be Di da na gaga: i. Di da na fifi asi gala ilima hina bagade hamoi. Amola dunu fi na da musa: hame dawa: i, amo na da ouligisa.
Umeniokoa pia kutoka katika mashutumu ya watu wangu. Umeniweka kama kichwa cha mataifa. Watu nisiowajua wananitumikia.
45 Ga soge fi dunu da nama beguduli, na sia: nabawane fa: no bobogesa.
Wageni walishurutishwa kuniinamia. Mara waliposikia kuhusu mimi, walinitii.
46 Ilia da beda: ga ilia gasa bagade gagoi amo fisili yaguguiwane gadili maha.
Wageni walikuja wakitetemeka kutoka katika ngome zao.
47 Hina Gode da esala. Na Gaga: su dunuma nodoma! Na Gaga: su Gode amo Ea gasa bagade hou amo dunu huluanema olelema.
Yahwe anaishi! Mwamba wangu atukuzwe. Mungu na ainuliwe, mwamba wa wokovu wangu.
48 Ea da na ha lai ilima hasalasimusa: nama gasa iaha. Na da dunu fi ilima hasalasimusa: , E da amo dunu fi banenesisa.
Huyu ndiye Mungu anilipiaye kisasi, awawekaye watu chini yangu.
49 E da na gaga: sa. Hina Gode! Na da nama ha lai ilima hasalasimusa: Dia da hamosa. Amola nimi bagade dunu nama mae doagala: ma: ne, Dia da na gaga: sa.
Uniweka huru mbali na adui zangu. Hakika, uliniinua juu yao walioinuka kinyume changu. Uliniokoa kutoka kwa watu wenye ghasia.
50 Amaiba: le, na da dunu fifi asi gala amo ganodini Dima nodosa. Na da Dima nodone gesami hea: sa.
Kwa hiyo nitakushukuru, Yahwe, kati ya mataifa; nitaliimbia sifa jina lako.
51 Gode da Ea hina bagade ilegei ema hasalasu hou bagade iaha. Hina bagade dunu amo E da ilegei, ema Ea asigidafa hou da mae fisili diala. E da Da: ibidi amola egaga fi ilima Ea asigidafa hou mae fisili eso huluane olelelalumu.
Mungu hutoa ushindi mkuu kwa mfalme wake, na uonesha uaminifu wake wa kiagano kwa mtiwa mafuta wake, kwa Daudi na uzao wake daima.”