< 2 Sa:miuele 22 >

1 Hina Gode da Da: ibidi amo Solo amola ea ha lai eno amoga gaga: loba, Da: ibidi da Hina Godema amane gesami hea: i.
Daudi alimwimbia Bwana maneno ya wimbo huu wakati Bwana alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli.
2 “Hina Gode da na gaga: sudafa. E da nama gasa bagade gagili salasu agoane.
Akasema: “Bwana ni mwamba wangu, ngome yangu na mwokozi wangu,
3 Na Gode da na gaga: sudafa. E da na gasa bagade gagoi dialebe. E da na gaga: sa amola na da E guga esalea, enoga wadela: mu da hamedei. E da gaga: su liligi agoaiga na gaga: sa.
Mungu wangu ni mwamba wangu, ambaye kwake ninakimbilia, ngao yangu na pembe ya wokovu wangu. Yeye ni ngome yangu, kimbilio langu na mwokozi wangu, huniokoa kutoka kwa watu wenye jeuri.
4 Na da Hina Godema wele sia: sea, E da na ha lai ilima na gaga: sa. Hina Godema nodoma!
Ninamwita Bwana, anayestahili kusifiwa, nami ninaokolewa kutoka kwa adui zangu.
5 Na bogomu gadenenewane ba: i. Wadela: su liligi hano fugala: i agoane da na dedebomu galu.
“Mawimbi ya mauti yalinizunguka, mafuriko ya maangamizi yalinilemea.
6 Na bogomu da gadenenewane ba: i. Bogoi uli dogoi da sani agoane dili dialu. (Sheol h7585)
Kamba za kuzimu zilinizunguka, mitego ya mauti ilinikabili. (Sheol h7585)
7 Na da se nababeba: le, Hina Godema wele sia: i dagoi. Na da E na fidima: ne wele sia: i. E da Ea Debolo diasu ganodini na fidima: ne wele sia: su nabi dagoi.
Katika shida yangu nalimwita Bwana, nilimlilia Mungu wangu. Kutoka Hekaluni mwake alisikia sauti yangu, kilio changu kikafika masikioni mwake.
8 Amalalu, osobo bagade da fofogoi. Goumi ilia bai amola da igugui. Bai Gode da ougi bagade ba: i.
“Dunia ilitetemeka na kutikisika, misingi ya mbingu ikatikisika, vilitetemeka kwa sababu alikuwa amekasirika.
9 Ea mi gelabo amoga lalu mobi ahoanebe ba: i. Ea lafidili, lalu sawa: amola nasubu su nenanebe gilisili ahoanebe ba: i.
Moshi ukapanda kutoka puani mwake, moto uteketezao ukatoka kinywani mwake, makaa ya moto yawakayo yakatoka ndani mwake.
10 E da mu alalo gadelai amola mu mobi gasimiginisi gala amo da: iya osoboga Ea emo hagudu dialebe ba: i.
Akazipasua mbingu akashuka chini, mawingu meusi yalikuwa chini ya miguu yake.
11 E da liligi hedofo galebe amoga fila heda: le hehenaia ahoanebe ba: i. E da fedege agoane fo da hedofo galebe amoga fila heda: le ahoanebe ba: i.
Alipanda juu ya kerubi akaruka, akapaa juu kwa mbawa za upepo.
12 E da gasimigi amoga uligi ba: i. Mu mobi gadugagi amo da hanoga nabai, amoga E sisiga: i dagoi.
Alifanya giza hema lake la kujifunika: mawingu meusi ya mvua ya angani.
13 Muge igi agoai amola lalu gona: su digagala: su amola da ha: ha: na bagade amoga misini mu mobi gasimigi amo dugagale dalebe ba: i.
Kutokana na mwanga wa uwepo wake mawingu yalisogea, ikanyesha mvua ya mawe na umeme wa radi.
14 Amalalu, Hina Gode Ea sia: da muagado gugelebe agoane nabi. Dunu huluane da Gode Gadodafa Ea sia: nabi.
Bwana alinguruma kutoka mbinguni, sauti ya Aliye Juu Sana ilisikika.
15 E da Ea dadi dili fisiagagai. E da ea ha lai dunu huluane afagogoi. E da ha: ha: na digagala: su amoga gala: beba: le, ilia da hobea: i dagoi.
Aliipiga mishale na kutawanya adui, umeme wa radi na kuwafukuza.
16 Hina Gode! Di da Dima ha lai ilima gagabole sia: noba amola ilima ougiba: le gasa bagade sia: noba, hano wayabo bagade da hale hafoga: i dagoi ba: i. Osobo bagade ea bai huluane ba: i dagoi.
Mabonde ya bahari yalifunuliwa, na misingi ya dunia ikawa wazi kwa kukaripia kwake Bwana, kwa uvumi wa pumzi kutoka puani mwake.
17 Hina Gode da ea lobo gudu da: le guduli, na gagulaligi, amola hano lugudu bagade amoga na hiougili gadoi.
“Alinyoosha mkono kutoka juu na kunishika; alinitoa kutoka kilindi cha maji makuu.
18 Na ha lai dunu da gasa bagade. Ilia da na bagade higasa. Be ilia da nama doagala: loba, Hina Gode da na gaga: i.
Aliniokoa kutoka adui wangu mwenye nguvu nyingi, kutoka adui zangu waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.
19 Na da se nabaloba, ilia da na doagala: musa: misi, be amomane Hina Gode da na gaga: i.
Walinikabili siku ya msiba wangu, lakini Bwana alikuwa msaada wangu.
20 E da nama hahawaneba: le, na gaga: i.
Alinileta nje mahali penye nafasi tele, akaniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.
21 Na da moloidafa hou fawane hamobeba: le, amola na da wadela: i hou hame hamobeba: le, amola nama bidi ida: iwane iaha.
“Bwana alinitendea sawasawa na uadilifu wangu; sawasawa na usafi wa mikono yangu amenilipa.
22 Na da Gode Ea sema dedei amoma fa: no bobogesu amola Godema fa: no bobogei na da hame buhagi.
Kwa maana nimezishika njia za Bwana; sijatenda ubaya nikamwacha Mungu wangu.
23 Na da Ea hamoma: ne sia: i huluane nabawane hamosu amola Ea sia: nababeba: le hame nabasu hou hame hamosu.
Sheria zake zote zi mbele yangu, wala sijayaacha maagizo yake.
24 Na da afuda: le hame hamoi amola moloi hou fawane hamonanu. Hina Gode da na hou dawa:
Nimekuwa sina hatia mbele zake, nami nimejilinda nisitende dhambi.
25 Amo na hou dawa: beba: le, E da nama bidi ida: iwane iaha. Bai na da wadela: le hamedafa hamosa, amo E dawa:
Bwana amenilipa sawasawa na uadilifu wangu, sawasawa na usafi wangu machoni pake.
26 Hina Gode! Nowa dunu da Dima mae fisili, Dia hou dafawaneyale dawa: iwane hamonanea, Di da amo dunu amola hamedafa yolesimu. Di da nowa dunu moloidafa ba: sea, amo dunu hahawane fidisa.
“Kwa yeye aliye mwaminifu unajionyesha kuwa mwaminifu, kwa asiye na hatia unajionyesha kutokuwa na hatia,
27 Di da ledo hamedei fofoloi dunu ilima fofoloi ba: sa. Be wadela: i hamosu dunu Di higasa.
kwa aliye mtakatifu unajionyesha kuwa mtakatifu, lakini kwa aliyepotoka unajionyesha kuwa mkaidi.
28 Nowa dunu amo ea hou hi fonobosea, Di da amo dunu gaga: sa. Be nowa da ilila: hou hidale gaguia gadobe, amo Di da banenesisa.
Wewe huwaokoa wanyenyekevu, lakini macho yako ni juu ya wenye kiburi ili uwashushe.
29 Hina Gode! Di da nama hadigi iaha. Amola gasimigi Dia fadegale fasisa.
Wewe ni taa yangu, Ee Bwana. Bwana hulifanya giza langu kuwa mwanga.
30 Di da nama gasa amo na ha lai dunuma ili doagala: ma: ne defele gala, amo iaha. Amola gasa amo ha lai dunu ilia gagoi amo muguluma: ne defele gala, Dia da nama iaha.
Kwa msaada wako naweza kushinda jeshi, nikiwa pamoja na Mungu wangu nitaweza kuruka ukuta.
31 Gode Ea hou da noga: idafa amola moloidafa. Ea adi hamomusa: sia: sea, E da hamosa. Nowa dunu da Ea gaga: su Ema lala masea, E da da: igene gaga: su liligi defele, amo dunu ea ha lai dunuma gaga: sa.
“Kuhusu Mungu, njia yake ni kamilifu; neno la Bwana halina dosari. Yeye ni ngao kwa wote wanaokimbilia kwake.
32 Hina Gode Hi fawane da Godedafa. Hi fawane da ninia gaga: su dunu.
Kwa maana ni nani aliye Mungu zaidi ya Bwana? Ni nani aliye Mwamba isipokuwa Mungu wetu?
33 Gode Hi fawane da nama gasa iaha amola na da logoba: le ahoasea, E da na noga: le ouligisa.
Mungu ndiye anivikaye nguvu na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.
34 E da na goumiba: le noga: le heda: ma: ne, na emo amo ‘dia’ gebo ea emo defele hamosa. Amola na da goumiga ahoasea, E da na mae dafama: ne noga: le ouligisa.
Huifanya miguu yangu kama miguu ya kulungu, huniwezesha kusimama mahali palipo juu.
35 E da gegesu hou nama olelesa. Na da gasa bagade oulali amoga gegema: ne, E da nama gasa iaha.
Huifundisha mikono yangu kupigana vita; mikono yangu inaweza kupinda upinde wa shaba.
36 Hina Gode! Di da na gaga: lala. Dia ouligisu hou da na fidibiba: le, eno dunu da nama nodosa. Dia gasa fawane da na gaga: i dagoi.
Hunipa ngao yako ya ushindi, unajishusha chini ili kuniinua.
37 Dia fidibiba: le, na da na ha lai amoga hame gagulaligi ba: i. Na da hamedafa dafai.
Huyapanua mapito yangu, ili miguu yangu isiteleze.
38 Na da na ha lai dunu sefasili, gagulaligisa. Amasea, gegesu mae fisili, ilia da wadela: lesi dagoi ba: sea fawane yolesisa.
“Niliwafuatia adui zangu na nikawaseta, sikurudi nyuma mpaka walipoangamizwa.
39 Na da ili fane legesea, ilia da bu wa: legadomu gogolesa. Ilia da na emo gadenene dafasea, hasalasi dagoi ba: sa.
Niliwaseta kabisa, nao hawakuweza kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.
40 Di fawane da na gegema: ne nimi iaha amola na ha lai dunuma hasalasima: ne gasa iaha.
Ulinivika nguvu kwa ajili ya kupigana vita; uliwafanya adui zangu wasujudu miguuni pangu.
41 Dia hamobeba: le, na ha lai da naba: le hobeasa. Nowa da nama higasa, na da gugunufinisisa.
Uliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia, nami nikawaangamiza adui zangu.
42 Ilia da fidima: ne diginiwane wele sia: sa. Be gaga: su dunu hame ba: sa. Ilia da Hina Godema wele sia: sa, be E da hame alofesa.
Walipiga yowe, lakini hapakuwepo na yeyote wa kuwaokoa; walimlilia Bwana, lakini hakuwajibu.
43 Na da ili gagoudane amola ilia gulu dou hamone da fo misini doga: le fasisa. Ilia da fafu logoga dialebe agoane ba: sa amola na da ilima ososa: gisa.
Niliwaponda kama mavumbi ya nchi; niliwaponda na kuwakanyaga kama tope barabarani.
44 Hame nabasu dunu da nama hasalimusa: dawa: i. Be Di da na gaga: i. Di da na fifi asi gala ilima hina bagade hamoi. Amola dunu fi na da musa: hame dawa: i, amo na da ouligisa.
“Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya watu wangu; umenihifadhi mimi kama kiongozi wa mataifa. Watu ambao sikuwajua wananitumikia,
45 Ga soge fi dunu da nama beguduli, na sia: nabawane fa: no bobogesa.
nao wageni huja wakininyenyekea, mara wanisikiapo, hunitii.
46 Ilia da beda: ga ilia gasa bagade gagoi amo fisili yaguguiwane gadili maha.
Wote wanalegea, wanatoka katika ngome zao wakitetemeka.
47 Hina Gode da esala. Na Gaga: su dunuma nodoma! Na Gaga: su Gode amo Ea gasa bagade hou amo dunu huluanema olelema.
“Bwana yu hai! Sifa ni kwa Mwamba wangu! Atukuzwe Mungu, Mwamba, Mwokozi wangu!
48 Ea da na ha lai ilima hasalasimusa: nama gasa iaha. Na da dunu fi ilima hasalasimusa: , E da amo dunu fi banenesisa.
Yeye ndiye Mungu anilipiziaye kisasi, ayawekaye mataifa chini yangu,
49 E da na gaga: sa. Hina Gode! Na da nama ha lai ilima hasalasimusa: Dia da hamosa. Amola nimi bagade dunu nama mae doagala: ma: ne, Dia da na gaga: sa.
aniwekaye huru toka kwa adui zangu. Uliniinua juu ya adui zangu; uliniokoa toka kwa watu wajeuri.
50 Amaiba: le, na da dunu fifi asi gala amo ganodini Dima nodosa. Na da Dima nodone gesami hea: sa.
Kwa hiyo nitakusifu, Ee Bwana, katikati ya mataifa; nitaliimbia sifa jina lako.
51 Gode da Ea hina bagade ilegei ema hasalasu hou bagade iaha. Hina bagade dunu amo E da ilegei, ema Ea asigidafa hou da mae fisili diala. E da Da: ibidi amola egaga fi ilima Ea asigidafa hou mae fisili eso huluane olelelalumu.
Humpa mfalme wake ushindi mkuu; huonyesha fadhili zake kwa mpakwa mafuta wake, kwa Daudi na wazao wake milele.”

< 2 Sa:miuele 22 >