< 2 Sa:miuele 17 >

1 Amogalu, Ahidoufele da A: basalomema amane sia: , “Na da dunu 12,000 agoane ilegele, wali gasia Da: ibidima doagala: musa: bobogema: ne sia: ma.
Ahithofeli akamwambia Absalomu, “Nipe ruhusa niwachague watu kumi na mbili elfu na waanze safari usiku huu huu kumfuatia Daudi.
2 E da helebeba: le amola da: i dioiba: le, na da hedolo ema doagala: le, ea dunu huluane da hobeamu. Amasea, na da hina bagade fawane fane legemu.
Nitamshambulia wakati akiwa amechoka na ni dhaifu. Nitampiga na hofu, na kisha watu wote walio pamoja naye watakimbia. Nitampiga mfalme peke yake
3 Amasea, na da ea dunu huluane dima oule misunu. Ilia da uda hobeale asili bu fila mabe amo defele bu manebe ba: mu. Dunu afae fawane fane legemu da defea. Eno huluane da gaga: i dagoi ba: mu.”
na kuwarudisha watu wote kwako. Kifo cha mtu yule unayemtafuta kitamaanisha kurudi kwa wote, hakuna hata mtu mmoja atakayeumizwa.”
4 A: basalome amola Isala: ili ouligisu dunu huluane da amo fada: i sia: hahawane nabi.
Mpango huu ulionekana mzuri kwa Absalomu na kwa wazee wote wa Israeli.
5 A: basalome da amane sia: i, “Wali Hiusiai amo misa: ne wele sia: ma. Ninia da ea sia: nabimu.”
Lakini Absalomu akasema, “Pia mwiteni Hushai, Mwariki, ili tuweze kusikia anachokisema.”
6 Hiusiai da doaga: loba, A:basalome da ema amane sia: i, “Ahidoufele da ninima amo fada: i sia: sia: i. Ninia amo sia: fa: no bobogema: bela: ? O amai hame galea, dia ninima logo olelema.”
Hushai alipokuja, Absalomu akasema, “Ahithofeli ametoa shauri hili. Je, tufanye anavyosema? Kama sivyo, tupe maoni yako.”
7 Hiusiai da bu adole i, “Fada: i sia: amo Ahidoufele da wali dilima i, amo da noga: i hame.
Hushai akamjibu Absalomu, “Shauri la Ahithofeli alilotoa halifai kwa wakati huu.
8 Dilia dawa: ! Da: ibidi amola ea dunu da nimi bagade gegesu dunu. Dunu da ‘bea’ emega ea mano wamolasea, ‘bea’ da ougi bagade ba: sa. Amo defele, Da: ibidi amola ea dunu da ougi bagade gala. Dia ada da bagade dawa: su dadi gagui dunu. E da gasia ea dunu amo gilisili hame ouesala.
Unamfahamu baba yako na watu wake, ni wapiganaji hodari, nao ni wakali kama dubu mwitu aliyepokonywa watoto wake. Zaidi ya hayo, baba yako ni mpiganaji jasiri, usiku hatalala pamoja na vikosi.
9 Amabela: ? E da wahadafa magufu gelabo o eno sogebi amo ganodini wamo aligili esalabala? Da: ibidi da dia dunu doagala: sea, amola nowa da amo sia: nabasea, Da: ibidi da dia dunu hasali dagoi, amo sia: mu.
Hata sasa, amefichwa ndani ya pango au mahali pengine. Kama atatangulia kushambulia vikosi vyako, yeyote asikiaye habari hii atasema, ‘Kuna machinjo makubwa miongoni mwa vikosi vinavyomfuata Absalomu.’
10 Amasea, Isala: ili nimi bagade gegesu dunu, amo da laione wa: me defele beda: su hame dawa: , ilia amola da beda: igia: mu. Bai Isala: ili dunu huluanedafa da dia ada da dadi gagui dunu noga: idafa, amola ea dunu da nimi bagade gegesu dunu, amo ilia da dawa: mu.
Basi hata yule askari hodari kuliko wengine wote, ambaye moyo wake ni kama wa simba, atayeyuka kwa hofu, kwa maana Israeli yote wanajua kwamba baba yako ni mpiganaji na kwamba wale walio pamoja naye ni watu hodari.
11 Na fada: i sia: da agoane. Di Isala: ili dunu huluanedafa, soge bega: asili eno bega: doaga: le, huluane lidili gegedoma. Ilia da sa: i hano wayabo bagade bega: gala, amo ea su idi agoane ba: mu. Amola disu bisili, ilima gegemusa: oule masa.
“Kwa hiyo nakushauri: Israeli wote na wakusanyikie kwako, kuanzia Dani hadi Beer-Sheba, katika wingi wao jinsi walivyo kama mchanga wa ufuoni mwa bahari, wewe mwenyewe ukiwaongoza vitani.
12 Ninia Da: ibidi ea esalebe sogebi hogolalu, e da nini mabe ea mae ba: le, e doagala: mu. E amola ea dunu huluanedafa da fane legei dagoi ba: mu.
Ndipo tutakapomshambulia popote atakapoonekana, nasi tutamwangukia kama umande unavyoshuka juu ya ardhi. Yeye mwenyewe wala watu wake hakuna atakayeachwa hai.
13 E da hobeale, moilai bai bagade ganodini golili dasea, ninia dunu da amoga efe gaguli asili, amo moilai bai bagade, fago hagudu gala amoga hiougili gudumu. Amo moilai bai bagade ea musa: dialebe sogebi agolo da: iya, amoga igi afae dialebe hame ba: mu.”
Kama atakimbilia katika mji wowote, basi Israeli wote watazungushia mji ule kamba, nasi tutauburuta mji huo mpaka bondeni hadi isionekane hata changarawe ya huo mji.”
14 A: basalome amola Isala: ili dunu huluane da amane sia: i, “Hiusiai ea fada: i sia: i da noga: i amola Ahidoufele ea sia: i baligisa.” Hina Gode da A: basalome amola Isala: ili dunu ilia da Ahidoufele ea fada: i sia: noga: i amoma mae fa: no bobogema: ne ilegei. Bai E da A: basalome dafama: ne logo hamoi.
Absalomu na watu wote wa Israeli wakasema, “Shauri la Hushai, Mwariki, ni jema zaidi kuliko lile la Ahithofeli.” Kwa maana Bwana alikuwa amekusudia kupinga shauri nzuri la Ahithofeli, ili kuleta maafa juu ya Absalomu.
15 Amalalu, Hiusiai da gobele salasu dunu Sa: idoge amola Abaia: da elama fada: i sia: e da A: basalome amola Isala: ili ouligisu dunuma i, amola fada: i sia: amo Ahidoufele ea i, amo elama olelei.
Hushai akawaambia makuhani Sadoki na Abiathari, “Ahithofeli amemshauri Absalomu na wazee wa Israeli kufanya kadha wa kadha, lakini mimi nimewashauri wao kufanya kadha wa kadha.
16 Hiusiai da eno amane sia: i, “Hadiga! Da: ibidima sia: sia: sima. E da gasia hano degesu hafoga: i sogega galu, amoga mae ouesaloma: ne sia: ma. Be e amola ea dunu da A: basalome ea dadi gagui dunuga gagulaligili fane legesa: besa: le, e wahadafa Yoda: ne Hano degema: ne sia: ma.”
Sasa tumeni ujumbe haraka na kumwambia Daudi, ‘Usiku huu usilale kwenye vivuko katika jangwa; vuka bila kukosa, la sivyo, mfalme pamoja na watu wote waliofuatana naye watamezwa.’”
17 Abaia: da egefe Yonada: ne amola Sa: idoge egefe Ahima: ia: se ela da Enelougele hano nasu uli dogoi Yelusaleme bega: galu amoga ouesalebe ba: i. Bai ela da se nabasa: besa: le, molai bai bagade golili sa: imu da hamedei ba: i. Hawa: hamosu a: fini da eso huluane Yelusalemega hamobe hou elama olelemusa: ahoasu. Amalalu, ela da Da: ibidima alofele adomusa: ahoasu.
Yonathani na Ahimaasi walikuwa wakingoja huko En-Rogeli, naye mtumishi mmoja wa kike akawa anakwenda kuwapasha habari nao wakawa wanakwenda kumwambia Mfalme Daudi, kwa maana wasingetaka kujihatarisha kuonekana wakiingia mjini.
18 Be eso afaega, goi afae da ela ba: le, A:basalomema adoi. Amaiba: le, ela da hehenane Bahiulimi dunu ea diasu ganodini wamoaligi. Ea diasu gadenene da hano uli dogoi dialebe ba: i. Ela da amo ganodini sa: ili, wamoaligi.
Lakini kijana mmoja mwanaume akawaona, naye akamwambia Absalomu. Basi wote wawili wakaondoka haraka, wakaenda mpaka kwenye nyumba ya mtu mmoja huko Bahurimu. Mtu huyo alikuwa na kisima katika ua wa nyumba yake, nao Yonathani na Ahimaasi wakateremka ndani ya kisima hicho.
19 Bahiulimi dunu ea idua da amo uli dogoi dedeboi. Amola dunu da amo mae ba: ma: ne, dedebosu abulaga figisili, amo da: iya gagoma afagogolesi.
Mkewe akachukua kifuniko, akakiweka kwenye mdomo wa kile kisima na kuanika nafaka juu yake. Hakuna mtu yeyote aliyefahamu chochote kuhusu jambo hilo.
20 A: basalome ea eagene ouligisu dunu da amo diasuga misini, udama amane adole ba: i, “Ahima: ia: se amola Yonada: ne da habila: ?” E bu adole i, “Ela da hano degei dagoi.” A: basalome ea dunu da ela hogoi, be hame ba: i. Amaiba: le, ilia da Yelusalemega buhagi.
Watu wa Absalomu walipofika kwa huyo mwanamke, wakamuuliza, “Wako wapi Ahimaasi na Yonathani?” Huyo mwanamke akawajibu, “Walivuka kijito.” Watu wa Absalomu wakapekua lakini hawakuwaona hata mmoja, hivyo wakarudi Yerusalemu.
21 Ilia da yolesilalu, Ahima: ia: se amola Yonada: ne da uli dogoia gudunini heda: le, hina bagade Da: ibidima sia: musa: asi. Ela da Ahidoufele ea A: basalomema hamoma: ne ilegei Da: ibidima olelelalu, amane sia: i, “Hadiga! Hano degema!”
Baada ya watu hao kuondoka, wale watu wawili yaani Yonathani na Ahimaasi wakapanda kutoka mle kisimani na kwenda kumpasha Mfalme Daudi habari. Wakamwambia, “Ondoka, uvuke haya maji haraka. Ahithofeli ameshauri kadha wa kadha dhidi yako.”
22 Amaiba: le, Da: ibidi amola ea dunu da muni Yoda: ne Hano degelalu, hadigibi galu degele asi dagoi ba: i.
Kwa hiyo Daudi na watu wote aliokuwa nao waliondoka na kuvuka Yordani. Kufika wakati wa mapambazuko, hapakuwa na mtu hata mmoja ambaye alikuwa hajavuka Mto Yordani.
23 Ahidoufele da A: basalome amola ea dunu da ea fada: i sia: amoga hame fa: no bobogei ba: loba, e da ea dougi da: iya fisu legele, amoga fila heda: le, hi moilaidafa amoga buhagi. Amalalu, e da ea liligi huluane hahamonanu, hi gobele galogoaga gomene hegoa: nesili, bogoi dagoi. Ilia da ea da: i hodo amo ea sosogo fi ilia uli dogoiga sali.
Ahithofeli alipoona kwamba shauri lake halikufuatwa, akatandika punda wake, akaondoka kwenda nyumbani kwake kwenye mji wake. Akaiweka nyumba yake katika utaratibu, kisha akajinyonga mwenyewe. Hivyo akafa na akazikwa katika kaburi la baba yake.
24 A: basalome amola Isala: ili dunu da Yoda: ne Hano degei dagoloba, Da: ibidi da Ma: ihana: ime sogega doaga: i dagoi ba: i.
Daudi akaenda Mahanaimu, naye Absalomu akavuka Yordani pamoja na watu wote wa Israeli.
25 (A: basalome da Ama: isa amo Youa: be ea dadi gagui wa: i ouligisu sogebi lama: ne ilegei dagoi. Ama: isa da Isiama: ile fi dunu Yidie egefe. Ea ame da A: biga: ile, Na: iha: se ea idiwi amola Youa: be ea ame Selouaia amo ea hobe).
Absalomu alikuwa amemweka Amasa juu ya jeshi badala ya Yoabu. Amasa alikuwa mwana wa mtu mmoja aliyeitwa Yetheri, Mwisraeli, ambaye alikuwa amemwoa Abigaili binti Nahashi, dada yake Seruya mamaye Yoabu.
26 A: basalome amola ea dunu da Gilia: de soge ganodini awali wa: i fi dialu.
Waisraeli na Absalomu wakapiga kambi huko nchi ya Gileadi.
27 Da: ibidi da Ma: ihana: ime amoga doaga: loba, Sioubai (Na: iha: se egefe. E da La: ba moilai bai bagade A: mone sogega gala amoga misi) amola Ma: ige (Loudiba dunu A: miele egefe) amola Basila: iai (e da Lougilimi moilai Gilia: de sogega misi) ilia da Da: ibidi yosia: musa: misi.
Daudi alipofika Mahanaimu, Shobi mwana wa Nahashi kutoka Raba ya Waamoni, Makiri mwana wa Amieli kutoka Lo-Debari, na Barzilai Mgileadi kutoka Rogelimu
wakaleta matandiko ya kitandani, mabakuli na vyombo vya mfinyanzi. Walileta pia ngano na shayiri, unga na bisi, maharagwe na kunde,
29 Ilia da yaeya amola osoboga hamoi ofodo amola golasu liligi amola ha: i manu, amo Da: ibidi amola ea dunuma ima: ne gaguli misi. Ilia da widi amola bali, falaua, gagoma gobei, da: iyene, da: iyene eno, agime hano, gou, dodo maga: me sefe, amola sibi gaguli misi. Bai Da: ibidi amola ea dunu da hafoga: i sogega ahoanebeba: le, ha: i amola hano hanai amola helei galu, amo ilia da dawa: i.
asali na maziwa yaliyoganda, kondoo na jibini kutoka kwenye maziwa ya ngʼombe kwa ajili ya Daudi na watu wake ili wale. Kwa maana walisema, “Watu wameona njaa, tena wamechoka na wamepata kiu huko jangwani.”

< 2 Sa:miuele 17 >