< 2 Sa:miuele 15 >

1 Amogalu fa: no, A:basalome da `sa: liode’ amola hosi lai. Amola ema sosodo aligisu dunu 50agoane masa: ne ilegei.
Ikawa baada ya haya Absalomu akaandaa gari la farasi na farasi kwa ajili yake pamoja na watu hamsini wa kwenda mbele zake.
2 E da hou agoane hamonanusu. E da hahabedafa wa: legadole, asili, moilai holei bega: gadenene lelusu. Nowa da sia: ga gegeiba: le hina bagade ea hahamoma: ne manoba, A:basalome da ema misa: ne wele guda: le, e da habidili misibayale adole ba: su. Amalalu, dunu da ea fi amo sia: noba,
Absalomu alikuwa akiamka mapema na kusimama kando ya njia iliyoelekea katika lango la mji. Mtu yeyote aliyekuwa na shauri la kuja kwa mfalme kwa ajili ya hukumu, Absalomu alimwita na kumwuliza, “Unatoka mji upi?” Na mtu yule hujibu, Mtumishi wako anatoka mojawapo ya kabila za Israeli.”
3 A: basalome da ema agoane sia: su, “Defea! Sema ilegei da di fidimu gala. Be hina bagade ea alofele iasu dunu, dia se nabasu nabima: ne, da hame gala.”
Hivyo Absalomu umwambia, “Tazama, shitaka lako ni jema na la haki, lakini hakuna aliyepewa mamlaka na mfalme kusikiliza shitaka lako.
4 Amalalu, A:basalome da eno gilisili amane sia: su, “Hina bagade da na fofada: su dunu ilegemu da defea galu. Amai galea, nowa da sia: ga gegesu o fofada: mu ganiaba da nama misini, moloidafa fofada: su na lobo da: iya ba: la: loba.”
Absalomu uongeza, “Natamani kwamba ningefanywa mwamzi ndani ya nchi ili kwamba kila mtu aliye na shitaka angeweza kuja kwangu nami ningempa haki.
5 Agoai dunu da A: basalomema begudumusa: manoba, e da amo dunu sogoba: le guda: le nonogosu.
Hivyo ikawa kila mtu aliyekuja kumweshimu Absalomu yeye hunyosha mkono na kumshika na kumbusu.
6 A: basalome da amo hou amo Isala: ili dunu huluanedafa amo ili hina bagadema moloidafa hou lama: ne misi dunu, ilima amane hamosu. Amalalu, Isala: ili dunu da Da: ibidima fuligala: su hou fisili, bu A: basalome fuligala: i.
Absalomu alifanya hivi kwa Israeli wote waliokuja kwa mfalme kwa ajili ya hukumu. Hivyo Absalomu akaipotosha mioyo ya watu wa Israeli.
7 Ode biyaduyale da gidigili, A:basalome da hina bagade Da: ibidima amane sia: i, “Ada! Na da Hibalone amoga asili, na Hina Godema ilegei amo hamomusa: masa: ne, dia na logo doasima.
Ikawa mwishoni mwa miaka minne Absalomu akamwambia mfalme, “Tafadhari niruhusu niende ili nitimize nadhiri niliyoiweka kwa Yahwe huko Hebroni.
8 Na da Gisie soge (Silia soge bagade amo ganodini) amogawi esalea, na da Hina Gode da na Yelusaleme moilai bai bagadega oule ahoabeba: le, na da Hibalone moilai bai bagadega Ema nodone sia: ne gadoma: ne ilegei.”
Kwa maana mtumishi wako aliweka nadhiri alipokuwako Geshuri katika Shamu akisema, 'Ikiwa Yahwe kweli atanirejesha Yerusalemu, ndipo nitamwabudu yeye.”
9 Hina bagade da amane sia: i, “Olofole masa!” Amaiba: le, A:basalome da Hibalone moilai bai bagadega asi.
Hivyo mfalme akamwambia, “Nenda kwa amani”. Absalomu akainuka na kwenda Hebroni.
10 Be amogawi e da sia: adola ahoasu dunu Isala: ili fi huluane ilima agoane sisia: i lama: ne asunasi, “Dilia dalabede ilia fulabobe nabasea, amane wele sia: ma, `A: basalome da Hibalone moilai bai bagadega, Isala: ili ilia hina bagade hamoi dagoi.’”
Kisha Absalomu akatuma wapelelezi katika jamaa zote za Israeli, kusema, “Mara msikiapo sauti ya tarumbeta semeni, 'Absalomu anatawala katika Hebroni.”
11 Dunu 200 agoane da A: basalome ili hiougiba: le, Yelusaleme moilai bai bagade fisili, Hibalone moilai bai bagadega asi ba: i. Ilia da A: basalome ea odoga: su ilegei amo hamedafa dawa: i galu, amola e hame fuligala: i.
Watu mia mbili waliokuwa wamearikwa kutoka Yerusalemu wakaenda na Absalomu. Wakaenda katika ujinga wao bila kujua Absalomu alichokipanga. Wakati
12 Amola A: basalome da gobele salasu hamonanoba, e da Gailou moilaiga Ahidoufele (hina bagade Da: ibidi ea fada: i sia: ne iasu dunu afae) amo ema misa: ne sia: si. Hina bagade Da: ibidi amo fadegama: ne ilegesu dunu da heda: le amola A: basalome ea fa: no bobogesu dunu ili idi amolawane da heda: lalebe ba: i.
Absalomu akitoa dhabihu, alituma watu kwa Ahithofeli katika mji wake huko Gilo. Yeye alikuwa mshauri wa Daudi. Uaini wa Absalomu ukawa na nguvu kwa kuwa watu waliomfuata waliendelea kuongezeka.
13 Sia: adola ahoasu dunu da Da: ibidima amane sia: i, “Isala: ili dunu da A: basalome amo fuligala: musa: ilegelala.”
Mjumbe akaja kwa Daudi na kusema, “Mioyo ya watu wa Israeli inaambatana na Absalomu.”
14 Amaiba: le, Da: ibidi da ea eagene ouligisu dunu amo da e fidisa Yelusaleme moilai bai bagadega esalu, ilima amane sia: i, “Ninia wahadafa A: basalomeba: le hobeala: di. Hadiga! E da hedolo misini, nini hasalalu amola dunu huluane moilaiga esalebe fane legesa: besa: le, ninia hedolodafa hobeale ahoa: di.”
Hivyo Daudi akawambia watumishi wake waliokuwa pamoja naye huko Yerusalemu, “Haya na tuinuke na kukimbia kwani hakuna hata mmoja atakayesalimika kwa Absalomu. Jiandaeni kuondoka mara moja asije akatupata mara hata akasababisha madhara juu yetu na kuushambulia mji kwa makali ya upanga.”
15 Ilia da bu adole i, “Defea! Hina noga: idafa! Ninia da dia sia: i defele hamomusa: momagei dagoi.”
Watumishi wa mfalme wakamwambia, “Tazama, watumishi wako wapo tiyari kufanya lolote bwana wetu mfalme atakaloamua.
16 Amaiba: le, hina bagade amola ea sosogo fi huluane amola ea eagene ouligisu dunu huluane da fisili asi. Be e da ea gidisedagi uda nabuane gala, hina bagade ea diasu ouligima: ne yolesi.
Mfalme akaondoka na familia yake yote pamoja naye, lakini mfalme akawaacha wanawake kumi waliokuwa masuria wa mfalme ili walitunze kasri.
17 Hina bagade amola ea dunu da moilai fisili ahoanoba, ilia da diasu fa: nogadafa amogawi aliligi.
Baada ya mfalme kwenda na watu wote pamoja naye, wakasimama katika nyumba ya mwisho.
18 Ea eagene ouligisu dunu huluane ili dadafulili lelefulu. Amola hina bagade ea da: i sosodo aligisu dunu da ea midadi baligili asi. Dadi gagui dunu600 agoane (amo da musa: Ga: de soge fisili, Da: ibidima fa: no bobogei) ilia amola Da: ibidi midadi baligili asi.
Jeshi lake lote likaenda pamoja naye na mbele yake wakaenda Wakerethi na Wapelethi, na Wagiti mia sita wote waliokuwa wamemfuata kutoka Gathi.
19 Hina bagade da ilia ouligisu dunu amo Ida: iai ema amane sia: i, “Di da abuliba: le ani ahoabela: ? Buhagili, amalu gaheabolo hina bagade ali aligima! Di da ga fi dunu, amola dia sogedafa fisili guiguda: mugululi misi dunu agoai esala.
Kisha mfalme akamwambia Itai Mgiti, “Kwa nini wewe pia uende nasi? Rudi na ukae na mfalme Absalomu kwa kuwa wewe ni mgeni tena mfungwa. Rudi mahali pako mwenyewe.
20 Di da eso bagahame guiguda: esalu. Amaiba: le, di da ani udigili ahoanumu da hamedei. Na da na doaga: mu sogebi hamedafa dawa: Buhagima! Amola dia fi dunu amola bu oule masa! Amola Hina Gode da di mae fisili, dima asigilalumu da defea.”
Kwani ni jana tu umeondoka, kwa nini nikufanye uzunguke nasi popote? Hata sijui niendako. Hivyo rudi pamoja na wenzako. Utiifu na uaminifu viambatane nawe.”
21 Be Ida: iai da bu adole i, “Hina noga: idafa! Na da Hina Gode Ea Dioba: le dafawane ilegesa. Na da di adi sogega ahoasea, ani masunu. Di da bogosea, ani galu bogomu. Be na da di hamedafa yolesimu.”
Lakini Itai akamjibu mfalme na kusema, “Kama Yahwe aishivyo na kama bwana wangu mfalme aishivyo, kwa hakika mahali popote bwana wangu mfalme aendako, mtumishi wako pia ndipo atakapokwenda, kwamba ni maisha au kifo.”
22 Da: ibidi da amane adole i, “Defea! Mogodigili masa!” Amaiba: le, Ida: iai amola ea dunu amola ilia sosogo da bu ahoanu.
Hivyo Daudi akamwambia Itai, haya tangulia uende pamoja nasi.” Hivyo Itai Mgiti akaenda pamoja na mfalme, pamoja na watu wake wote na familia zao zote.
23 Da: ibidi ea fa: no bobogesu dunu da ga ahoanoba, dunu huluane da ha: giwane dinanu. Hina bagade da ea dunu bisili, Gidalone hano fonobahadi degele, ilia gilisili hafoga: i sogega ahoanebe ba: i.
Nchi yote ikalia kwa sauti kadili watu walivyokuwa wakivuka Bonde la Kidroni, mfalme naye pia akavuka. Watu wote wakasafiri kuelekea nyikani.
24 Gobele salasu dunu amo Sa: idoge amola Lifai fi dunu amo Gousa: su Sema Gagili gaguli ahoanebe ba: i. Ilia amo ligisili, dunu huluanedafa da moilai yolesi dagoi ba: loba fawane bu gaguia gadoi. Gobele salasu dunu Abaia: da amola da amogawi esalebe ba: i.
Walikuwepo pia Sadoki pamoja na Walawi wote wamebeba sanduku la Mungu la agano. Wakaliweka sanduku la Mungu chini na kisha Abiathari akaungana nao. Wakasubiri mpaka watu wote walioondoka mjini walipokwisha kupita.
25 Amalalu, hina bagade da Sa: idogema amane sia: i, “Gousa: su Sema Gagili amo moilai bai bagadega bu gaguli masa. Hina Gode da nama hahawane galea, E da na Gousa: su Sema Gagili amola amo ea ilegei sogebi amo ba: la masa: ne logo doasimu.
Mfalme akamwambia Sadoki, “Ulirudishe sanduku la Mungu mjini. Ikiwa nitaona neema machoni pa Yahwe atanirudisha na kunionesha tena sanduku na mahali likaapo.
26 Be E da nama hahawane hame galea - defea - E da nama Ea hanaiga hamomu da defea.”
Lakini ikiwa atasema, sipendezwi nawe,' tazama mimi nipo hapa, na anitendee yaliyo mema machoni pake.”
27 Amola Da: ibidi da Sa: idogema eno amane sia: i, “Di da ba: la: lusu dunula: ? Diagofe Ahima: ia: se amola Abaia: da egefe amo Yonada: ne amo lalalu, olofole moilai bai bagadega buhagima.
Pia mfalme akamwambia Sadoki kuhani, “Je wewe siyo mwonaji? Rudi mjini kwa amani na wanao wawili, Ahimaazi mwanao na Yonathani mwana wa Abiathari.
28 Amogalu, na da hafoga: i soge ganodini, hano degesu gadenene sogebi amogawi dilia sia: nabimusa: ouesalumu.”
Tazama nitasubiri katika vivuko vya Araba mpaka nitakapo pata neno kutoka kwenu kunitaarifu.”
29 Amaiba: le, Sa: idoge amola Abaia: da da Gousa: su Sema Gagili amo Yelusaleme moilai bai bagadega gaguli asili, amogawi ouesalu.
Hivyo Sadoki na Abiathari wakalirudish sanduku la Mungu Yerusalemu nao wakakaa humo.
30 Da: ibidi da digini asili, Olife Goumiba: le heda: i. E da ea emo salasu mae salawane amola ea da: i dioi olelema: ne, ea dialuma dedeboiwane asi. Amola dunu huluane ema fa: no bobogebe da ilia dialuma hulu dedebole digini afia: lebe ba: i.
Lakini Daudi akaenda bila viatu huku akilia hata Mlima wa Mizeituni, naye alikuwa amefunika kichwa chake. Kila mtu miongoni mwao waliokuwa pamoja naye akafunika kichwa chake, nao wakaenda huku wakilia.
31 Ilia da Da: ibidima amane olelei, “Ahidoufele da A: basalome ea odoga: su hou amoga gilisi.” Amalalu, Da: ibidi da amane sia: ne gadoi, “Hina Gode! Dia Ahidoufele ea fada: i sia: ne iasu sia: amo afadenene, gagaoui dunu ea sia: agoane hamoma: ma.”
Mtu mmoja akamwambia Daudi kusema, Ahithofeli ni miongoni mwa waaini walio pamoja na Absalomu.” Hivyo Daudi akaomba, “Ee Yahwe, tafadhari badili ushauri wa Ahithofeli kuwa upumbavu.”
32 Olife Goumi da: iya gado da nodone sia: ne gadosu sogebi dialebe ba: i. Da: ibidi da amogawi doaga: loba, ea samadafa amo Agaide dunu ea dio amo Hiusiai da ema misi. Ea da abula gagadelale ga: ne, amola ea dialuma da: iya osobo uli ba: i.
Ikawa Daudi alipofika juu njiani mahala Mungu alipokuwa akiabudiwa, Hushai Mwarki akaja kumlaki vazi lake limeraruliwa na mavumbi kichwani pake.
33 Da: ibidi da ema amane sia: i, “Di da ani ahoasea, na hame fidimu.
Daudi akamwambia, “Ikiwa utaenda nami utakuwa mzigo kwangu.
34 Be dia na fidimusa: dawa: sea, agoane hamoma. Di Yelusaleme moilai bai bagadega buhagili, A:basalomema amane olelema, `Na da diada mae yolesili, fuligala: iwane hawa: hamonanu, amo defele na da di fidimu.’ amane sia: ma. Amasea, Ahidoufele da A: basalomema fada: i sia: sia: sea, di da ema amo sia: ga mae fa: no bobogema: ne sia: ma.
Lakini ukirudi mjini na kumwambia Absalomu, 'Nitakuwa mtumishi wa mfalme kama nilivokuwa mtumishi wa baba yako, ndivyo nitakavyokuwa mtumishi wako,' ndipo utayageuza mashauri ya Ahithofeli kwa ajili yangu.
35 Di da gobele salasu dunu Sa: idoge amola Abaia: da amogawi esalebe ba: mu. Sia: huluane di da hina bagade diasua nababe, amo elama olelema.
Je haunao pamoja nawe Sadoki na Abiathari makuhani? Hivyo chochote ukisikiacho katika kasri, uwaambie Sadoki na Abiathari makuhani.
36 Elea egefela amo Ahima: ia: se amola Yonada: ne amo da ili galu esala. Amaiba: le, di da hina bagade diasua fada: i sia: nabasea, ela da amo nama adomusa: , asunasima.”
Tazama wanao pamoja nao wana wao wawili, Ahimaasi, mwana wa Sadoki, na Yonathani mwana wa Abiathari. Mniletee habari juu ya kila mnachokisikia.”
37 Amaiba: le, Da: ibidi ea sama Hiusiai da Yelusaleme moilai bai bagadega buhagi. E doaga: be amo galu, A:basalome doaga: lebe ba: i.
Hivyo Hushai, rafiki wa Daudi, akaja mjini wakati Absalomu anafika na kuingia Yerusalemu.

< 2 Sa:miuele 15 >