< 2 Sa:miuele 11 >
1 Woufo misini, fa: no odemaha, amogalu hina bagade ilia da gegena ahoasu, Da: ibidi da Youa: be amola ea dadi gagui ouligisu dunu amola Isala: ili dadi gagui wa: i, amo gadili asunasi. Ilia da A: mone dunu hasali amola La: ba moilai bai bagadega doagala: lalu. Be Da: ibidi hi da Yelusaleme amoga ouesalu.
Katika mwanzo wa mwaka mpya, wakati wafalme watokapo kwenda vitani, Daudi akamtuma Yoabu pamoja na watu wa mfalme na jeshi lote la Israeli. Wakawaangamiza Waamoni na kuuzunguka kwa jeshi mji wa Raba. Lakini Daudi akabaki Yerusalemu.
2 Eso afaega, daeya agoane, Da: ibidi da golai dialu wa: legadole, hina bagade diasu gadodili fa: i da: iya heda: i. E da amo da: iya ahoanoba, e da uda amo hano ulalebe ba: i. Amo uda da isisima: goi ba: i.
Ikawa siku moja wakati wa jioni Daudi aliinuka kitandani mwake na kutembeatembea juu ya paa la jumba lake la kifalme. Kutokea kule kwenye paa, akamwona mwanamke akioga. Mwanamke huyo alikuwa mzuri sana wa sura,
3 Amaiba: le, e da amo uda da nowayale hogomusa: , adola ahoasu dunu asunasi. Amo ea hogole ba: loba, amo uda da Ba: desiba, amo Ilaia: me ea idiwi amola Hidaide dunu Iulaia ea idua, e da nabi.
naye Daudi akatuma mtu mmoja kuuliza habari za huyo mwanamke. Huyo mtu akamwambia Daudi, “Je, huyu si Bathsheba binti Eliamu, naye ni mke wa Uria, Mhiti?”
4 Da: ibidi da adola ahoasu dunu ilima amo uda ema oule misa: ne asunasi. Ilia da ema oule misini, ela da gilisili golai. (Amo uda da oubiga wamo fisu dagoiba: le, e da sema dodofesu defele hamoi dagoi ba: i). Amalalu, amo uda da hi diasua buhagi.
Ndipo Daudi akatuma wajumbe kumleta. Huyo mwanamke akaja kwa Daudi, Daudi akakutana naye kimwili. (Huyo mwanamke ndipo tu alikuwa amejitakasa kutoka siku zake za hedhi.) Kisha akarudi nyumbani kwake.
5 Amogalu fa: no, Ba: desiba hi ba: loba, e da abula agui ba: i. E da Da: ibidima, e amane hamoi amo adola masa: ne sia: si.
Huyo mwanamke akapata mimba akampelekea Daudi ujumbe, kusema, “Mimi ni mjamzito.”
6 Amalalu, Da: ibidi da Youa: bema amane sia: sia: si, “Hidaide dunu Iulaia amo nama misa: ne asunasima!” Amaiba: le, Youa: be da Iulaia amo Da: ibidima masa: ne adola asi.
Ndipo Daudi akapeleka ujumbe kwa Yoabu, “Unipelekee Uria, Mhiti.” Naye Yoabu akamtuma Uria kwa Daudi.
7 Iulaia da doaga: loba, Da: ibidi da ema Youa: be amola Isala: ili dadi gagui ilia da habodane esalabeyale, amola gegesu da habodane hamonanebeyale adole ba: i.
Uria alipofika, Daudi akamuuliza habari za Yoabu, hali za askari na vita kwamba inaendeleaje.
8 Amalalu, Da: ibidi da Iulaia ema amane sia: i, “Di diasua fonobahadi helefimusa: masa!” Iulaia da fisili asili, Da: ibidi da udigili iasu amo ea diasuga iasi.
Kisha Daudi akamwambia Uria, “Teremka nyumbani kwako ukanawe miguu yako.” Basi Uria akaondoka kutoka kwenye jumba la kifalme, tena zawadi zikamfuata kutoka kwa mfalme.
9 Be Iulaia da hi diasua hame asi. E da hina bagade diasu logo holeiga, hina bagade ea sosodo aligisu dunu ili gilisili golai.
Lakini Uria akalala kwenye ingilio la jumba la kifalme pamoja na watumishi wote wa bwana wake, na hakuteremka kwenda nyumbani kwake.
10 Da: ibidi da Iulaia e hi diasu hame asi amo nababeba: le, e da ema amane adole ba: i, “Di da eso bagohame ga esalu buhagi. Abuliba: le di da di diasua hame asibala: ?”
Daudi alipoambiwa kwamba, “Uria hakwenda nyumbani,” Daudi akamuuliza, “Je, si ndiyo tu umefika kutoka safari ya mbali? Kwa nini hukwenda nyumbani?”
11 Iulaia da bu adole i, “Isala: ili dunu amola Yuda dunu da ga gegesa esala. Amola Gousa: su Sema Gagili da ili diala. Na ouligisudafa dunu Youa: be amola ea afoha ouligisu dunu ilia da udigili sogega golasa. Na da habodane na diasu ha: i amola hano naha amola na uda ani gilisili golama: ne masa: ne sia: ma: bela: ? Sema legei amo huluane amoga na da ilegesa! Na da agoaiwane hamomu hamedei ba: sa!”
Uria akamwambia Daudi, “Sanduku la Mungu, na Israeli na Yuda wanakaa kwenye mahema, naye bwana wangu Yoabu na watu wa bwana wangu wamepiga kambi mahali pa wazi. Ningewezaje kwenda nyumbani kwangu ili nile, ninywe na kukutana na mke wangu? Hakika kama uishivyo sitafanya jambo la namna hiyo!”
12 Amaiba: le, Da: ibidi da amane sia: i, “Amai galea, wali eso guiguda: ouesalu, amola na da aya di bu asunasimu.” Amaiba: le, Iulaia da amo esohaga amola aya esoha Yelusaleme moilai bai bagadega esalu.
Ndipo Daudi akamwambia, “Kaa hapa siku moja zaidi, nami kesho nitakutuma urudi.” Kwa hiyo Uria akakaa Yerusalemu siku ile na siku iliyofuata.
13 Da: ibidi da ela gilisili ha: i manusa: hiougi. E da ema adini bagade iabeba: le, Iulaia da feloai. Be amo gasia amola, Iulaia da hi diasua mae asili, hina bagade sosodo aligisu dunu ilia sesei amo ganodini hina: abula sosone diasu amo da: iya golai.
Kwa ukaribisho wa Daudi, Uria akala na kunywa pamoja naye, Daudi akamlevya. Lakini jioni Uria alitoka kwenda kulala juu ya mkeka wake miongoni mwa watumishi wa bwana wake, hakwenda nyumbani.
14 Golale, hahabe, Da: ibidi da Youa: bema meloa dedei amo, Iulaia ema iasi.
Asubuhi yake Daudi akamwandikia Yoabu barua, akamtuma Uria kuipeleka.
15 E amane dedene i, “Di Iulaia amo gegesu bisili dadaleia amogusu asunasima. Amasea, ha lai dunu ilia e fane legema: ne, adodigilisima.”
Ndani ya barua aliandika, “Mweke Uria mstari wa mbele mahali ambapo mapigano ni makali sana. Kisha wewe uondoke ili Uria aangushwe chini na kuuawa.”
16 Amaiba: le, Youa: be da La: ba moilai bai bagadega doagala: lalu, e da Iulaia e sogebi amo ganodini ha lai dunu da gasa bagade gegebe hi dawa: amoga asunasi.
Hivyo Yoabu alipokuwa ameuzingira mji kwa jeshi, akamweka Uria mahali ambapo alijua kuwa ulinzi wa adui ulikuwa imara sana.
17 Ha lai dunu da moilaiga gadili asili, Youa: be ea dadi gagui wa: i doagala: i. Da: ibidi ea dadi gagui dunu ouligisu dunu mogili da fane legei dagoi ba: i. Amola Iulaia da fane legei dagoi ba: i.
Wakati watu wa mjini walipotoka kwenda kupigana dhidi ya Yoabu, baadhi ya watu katika jeshi la Daudi wakauawa, zaidi ya hayo, Uria, Mhiti, akafa.
18 Amalalu, Youa: be da gegesu ea hou olelema: ne, Da: ibidima sia: sia: si.
Yoabu akampelekea Daudi maelezo yote ya vita.
19 E da sia: adola ahoasu dunuma amane sia: i, “Di da hina bagade ema gegesu ahoabe hou olelelalu,
Akamwagiza mjumbe hivi, “Utakapokuwa umemaliza kumpa mfalme maelezo ya vita,
20 amabela: , e da ougili dima amane adole ba: ma: bela: , `Dilia da abuliba: le moilai gadenene gegemusa: asi. Ilia da dilima dobea amodili gala: mu, amo dilia da hame dawa: bela: ?
hasira ya mfalme yaweza kuwaka, naye aweza kukuuliza, ‘Kwa nini mlisogea karibu hivyo na mji kupigana? Hamkujua kuwa wangeweza kuwapiga mishale kutoka ukutani?
21 Abimelege (Gidione egefe) amo ea fane legei hou bu dawa: ma! Dibese moilaiga uda afae dobea da: iya esalu da widi goudasu gele galaguduli e fane legei. Amaiba: le, dilia da abuliba: le dobea gadenene asibala: ?’ Hina bagade da dima agoane adole ba: sea, ema amane adoma, `Dia dadi gagui ouligisu dunu Iulaia, amola da fane legei dagoi ba: i.’”
Ni nani aliyemuua Abimeleki mwana wa Yerub-Besheth? Je, mwanamke hakutupa juu yake jiwe la juu la kusagia kutoka ukutani, kwa hiyo akafa huko Thebesi? Kwa nini mlisogea hivyo karibu ya ukuta?’ Ikiwa atakuuliza hivi, ndipo umwambie, ‘Pia mtumishi wako Uria, Mhiti, amekufa.’”
22 Amaiba: le, sia: adola ahoasu dunu da Da: ibidima asili, Youa: be ea sia: i defele ema olelei.
Mjumbe akaondoka. Alipowasili akamwambia Daudi kila kitu alichokuwa ametumwa na Yoabu kusema.
23 E amane sia: i, “Ha lai dunu ilia gasa da ninia gasa baligi. Ilia da moilai fisili, ninima gegemusa: misi. Be ninia da ili fula ilila: moilai logo holei gelaba gano sese sa: i.
Mjumbe akamwambia Daudi, “Watu walituzidi nguvu wakatoka nje ya mji dhidi yetu kwenye eneo la wazi, lakini tuliwarudisha nyuma mpaka kwenye ingilio la mji.
24 Amalalu, ilia da moilai dobea amodili nini dadiga gagala: i. Amola, hina noga: i! Dia dadi gagui ouligisu mogili da fane legei ba: i. Amola dia ouligisu Iulaia amola da fane legei dagoi ba: i.”
Ndipo wapiga upinde walitupa mishale kwa watumishi wako kutoka ukutani, na baadhi ya watu wa mfalme wakafa. Zaidi ya hayo, Uria, Mhiti, mtumishi wako amekufa.”
25 Da: ibidi da sia: adola ahoasu dunuma amane sia: i, “Di Youa: be ea dogo denesima: ma. E mae da: i dioma: ne sia: ma. Bai nowa da gegesu ganodini fane legei dagoi ba: mu, amo ninia dawa: mu da hamedei. E da moilai amo bu gasa bagade doagala: le, hasalima: ne ema sia: ma.”
Daudi akamwambia mjumbe, “Ukamwambie Yoabu hivi, ‘Jambo hili lisikutie wasiwasi, upanga hula huyu sawa na ulavyo mwingine. Zidisha mashambulizi dhidi ya mji na uangamize.’ Mwambie Yoabu hivi ili kumtia moyo.”
26 Bedesiba da egoa fane legei dagoi sia: amo nababeba: le, heawini disa esalu.
Mke wa Uria aliposikia kwamba mumewe amekufa, akamwombolezea.
27 Heawini dinana eso da dagoloba, Da: ibidi da Ba: desiba amo hina bagade diasuga misa: ne sia: si. E da Ba: desiba lai, amola ela dunu mano lalelegei. Be Hina Gode da Da: ibidi ea hamoi amo higale ba: i.
Baada ya muda wa maombolezo kwisha, Daudi akamtaka aletwe nyumbani kwake, naye akawa mkewe, na akamzalia mwana. Lakini jambo alilokuwa amefanya Daudi lilimchukiza Bwana.