< 2 Sa:miuele 10 >

1 Amogalu fa: no, A:mone soge hina bagade amo Na: iha: se da bogoi. Egefe Ha: inane da ea hina bagade sogebi lai.
Ikawa baadaye mfalme wa watu wa Amoni akafa, na Hanuni mwanaye akawa mfalme mahali pake.
2 Hina bagade Da: ibidi da amane sia: i, “Ha: inane ea ada Na: iha: se da nama asigi galu. Amaiba: le, na da ea mano ema asigimu da defea.” Amaiba: le, Da: ibidi da sia: adola ahoasu dunu, ili da ea asigi sia: sia: ma: ne, Ha: inanema asunasi.
Daudi akasema, “Nitaonesha fadhiri Hanuni mwana wa Nahashi, kwa kuwa baba yake alinifadhiri.” Hivyo Daudi akatuma watumishi wake kumfariji Hanuni kwa habari ya baba yake. Watumishi wake wakaingia katika nchi ya watu wa Amoni.
3 Ilia A: mone sogega doaga: loba, A:mone ouligisu dunu ilia da hina bagadema amane sia: i, “Di adi dawa: bela: ? Da: ibidi da dia adama nodone dawa: beba: le, amo dunu dima asigi sia: sia: ma: ne asunasibala: ? Hame mabu! Amo da desega ahoasu dunu amo Da: ibidi da nini hasalima: ne, ninia soge hou amo hogomusa: asunasi.”
Lakini viongozi wa watu wa Amoni wakamwambia Hanuni bwana wao, “Je unathani kwa hakika Daudi anamweshimu baba yako hata ametuma watu kukutia moyo? Daudi hajawatuma watumishi wake kwako ili kuuangalia mji, kuupeleleza, ili kuupindua?
4 Ha: inane da Da: ibidi ea sia: adola ahoasu dunu ili gagulaligili, ilia mayabo la: idi waga: ne, ilia abula mugagili damunisili, ili buhagima: ne asunasi.
Hivyo Hanuni akawachukuwa watumishi wa Daudi, akawanyoa nusu ya ndevu zao, akachana mavazi yao hadi kwenye matako, naye akawaacha waende zao.
5 Ilia da buhagimu bagadewane gogosia: i. Da: ibidi da amane hamoi nababeba: le, e da ilima amane sia: si, “Dilia Yeligou moilai bai bagadega ouesalu, dilia mayabo bu sa: i galea buhagima!”
Daudi alipoelezwa kuhusu hili, akatuma watu kwenda kuwalaki, kwa kuwa walikuwa wamefedheheshwa sana. Mfalme akawambia, “Kaeni Yeriko mpaka ndevu zenu zitakapoota, ndipo mrudi.”
6 A: mone dunu da ilia da Da: ibidi ilia ha lai hamoi dagoi dawa: i. Amaiba: le, ilia da Bedelihobe moilai amola Souba moilaiga Silia dadi gagui dunu 20,000 amola Dobe sogega dadi gagui dunu 12,000 agoane wele guda: i. Amola ilia da Ma: iga soge hina bagade amola ea dadi gagui 1,000 agoane wele guda: i.
Watu wa Amoni walipoona kwamba wamenuka kwa Daudi, wakatuma wajumbe na kuwaajiri Washami wa Bethi Rehobu na Soba, askari elfu ishirini waendao kwa mguu, na mfalme wa Maaka pamoja na watu elfu, na watu wa Tobu elfu kumi na mbili.
7 Da: ibidi da amo hou nababeba: le, e da Youa: be amola Isala: ili dadi gagui wa: i huluane ilima gegema: ne asunasi.
Daudi aliposikia, akamtuma Yoabu na jeshi lote la askari.
8 A: mone dadi gagui dunu da gadili mogodigili, ilia da La: ba (ilia moilai bai bagade) amo ea logo holei gadenene dadalei. Silia dadi gagui dunu amola Dobe amola Ma: iaga dunu ilia da sogebi genebagela asia, amogai dadalei.
Waamoni wakatoka na wakafanya mistari ya vita katika maingilio ya lango la mji wao, wakati Washami wa Soba na wale wa Rehobu, na watu wa Tobu na Maaka, wakasimama peke yao uwandani.
9 Youa: be da ba: loba, ea ha lai da midadi amola bagia ema doagala: mu ba: i. Amaiba: le, e da Isala: ili dadi gagui dunu baligili noga: idafa amo ilegele, ilia da Silia dadi gagui dunu ilima ba: le gusuli aligima: ne asunasi.
Yoabu alipoona mistari ya vita ikimkabili pote mbele na nyuma, alichagua baadhi ya waisraeli wajuao kupigana vizuri na akawapanga dhidi ya Washami.
10 E da ea eya Abisia: i amo Isala: ili dadi gagui dunu eno ouligima: ne sia: i. Abisia: i da sia: beba: le, amo Isala: ili dadi gagui da A: mone dunu ilima ba: le gusuli dadalei.
Na sehemu iliyosalia ya jeshi, akawaweka chini ya Abishai nduguye, naye akawaweka katika mistari ya vita dhidi ya jeshi la Amoni.
11 Youa: be da Abisia: i ema amane sia: i, “Di da Silia dunu na hasalimusa: heda: be ba: sea, na fidila misa. Amola na da A: mone dunu di hasalimusa: heda: be ba: sea, na da di fidila masunu.
Yoabu akasema, “ikiwa Washami watakuwa na nguvu zaidi juu yangu, kisha wewe, Abishai, lazima uniokoe. Lakini ikiwa jeshi la Amoni litakuwa na nguvu zaidi juu yako, nitakuja kukuokoa.
12 Di mae beda: ne gasa fima! Ninia fi dunu amola Gode Ea moilai bai bagade huluane gaga: musa: , gasa fili hamoma. Amola Hina Gode Ea hamomusa: ilegei, amo ba: mu da defea!”
Iweni na nguvu, nasi tujioneshe kuwa wenye nguvu kwa ajili ya watu wetu na miji ya Mungu wetu, kwa maana Yahwe atatenda yapendezayo kwa ajili ya kusudi lake.
13 Youa: be amola ea dunu da doagala: musa: gusuba: i manebeba: le, Silia dunu ilia da hobea: i.
Hivyo Yoabu na askari wa jeshi lake wakasonga mbele katika vita dhidi ya Washami, waliolazimika kukimbia mbele ya jeshi la Israeli.
14 A: mone dunu da Silia dunu hobealebe ba: lu, ilia da Abisia: i ema hobeale, moilai amo ganodini hehenane golili sa: i. Amalalu, Youa: be da A: mone dunuma gegenanu yolesili, Yelusaleme moilai bai bagadega buhagi.
Jeshi la Amoni lilipoona kwamba Washami wamekimbia, nao pia wakakimbia kutoka kwa Abishai wakarudi ndani ya mji. Ndipo Yoabu akarudi kutoka kwa watu wa Amoni na akarejea Yerusalemu.
15 Silia dunu da Isala: ili dunu da ili hasali dagoi amo dawa: loba, ilia da ilia dadi gagui dunu huluanedafa gilisima: ne wele sia: i.
Washami walipoona kwamba wameshindwa na Israeli, walijikusanya pamoja tena.
16 Hina bagade Ha: da: disa da Silia dunu huluane amo Iufala: idisi Hano gusudili esalu, amo ema misa: ne sia: si. Ilia da Hila: me sogega misi. Sioubage (Souba hina bagade Ha: da: disa, amo ea dadi gagui wa: i ouligisudafa dunu galu) da ili ouligisu.
Kisha Hadareza akatuma kuleta vikosi vya Washami ng'ambo ya Mto Frati. Wakaja Helamu pamoja na Shobaki, mkuu wa jeshi la Hadareza juu yao.
17 Da: ibidi da amo sia: nababeba: le, e da Isala: ili dadi gagui dunu gilisili, Yodane Hano degele, Hila: me sogega mogodigili asi. Amogawi, Silia dunu da ilima ba: le gusuli dadalele, gegesu da mui.
Daudi alipoambiwa, aliwakusanya Israeli wote pamoja, akavuka Yordani, na akafika Helamu. Washami wakajipanga katika mistari ya vita dhidi ya Daudi na wakapigana naye.
18 Isala: ili dunu da Silia dunuma gegesa fula se bobogei. Da: ibidi amola ea dunu da Silia sa: liode amoga fila heda: i dunu 700 agoane amola hosi da: iya fila heda: i dunu 40,000 agoane fane lelegei. Ilia da Sioubage (ilia ha lai ouligisudafa) amo fa: ginisili, e da gegesu sogebi amogawi bogoi.
Washami wakakimbia mbele ya Israeli. Daudi akaua askari mia saba wa magari na askari wa farasi elfu arobaini. Shobaki mkuu wa jeshi lao alijeruhiwa na akafa huko.
19 Hina bagade Ha: da: disa da eno hina bagade fonobahadi ouligisu. Ilia da Isala: ili dunu da ilima hasali dagoi ba: i. Amaiba: le, ilia da Isala: ili dunuma olofomusa: gousa: i. Amalalu, Isala: ili dunu da ili ouligilalu. Amola Silia dunu da beda: iba: le, bu A: mone dunu hame fidisu.
Wafalme wote waliokuwa watumishi wa Hadareza walipoona kuwa wameshindwa na Israeli, walifanya amani na Israeli na wakawa watumishi wao. Hivyo washami wakaogopa kuwasaidia watu wa Amoni tena.

< 2 Sa:miuele 10 >