< 2 Hina 9 >
1 Amogaluwane, balofede dunu Ilaisia da ayeligi balofede dunu afae wele guda: le, ema amane sia: i, “Di da momagele, La: imode moilai bai bagade, Gilia: de soge ganodini, amoga masa. Amo osoboga hamoi ofodo olife susuligi di nabai, amo gaguli masa.
Nabii Elisha akamwita mmoja wa watoto wa manabii na kumwambia, “Vaa kwa kwa safari, halafu chukua hii chupa ndogo ya mafuta kwenye mikono yako na uende Romoth Geliadi.
2 Di da amoga doaga: sea, Yihiu (Yihosiafa: de egefe amola Nimisa: i ea aowa) hogoma. Dunu ili asi amo esafulia, efa oule, enoga hame heda: su sesei amoga oule heda: ma.
Wakati utakapofika, mtafute Yehu mwana wa Yehoshafati mwana wa Nimshi, na uende ukaingie na kumfanya ainuke kutoka miongoni mwa rafiki zake, na ukampeleke katika chumba cha ndani.
3 Amogai, di da olife susuligi, Yihiu ea dialuma da: iya sogagala: le, amane sia: ma, ‘Hina Gode da amane sia: sa, Na da di Na fi Isala: ili ilia hina bagade ilegesa.’ Amasea, amo sogebi hedolowane fisili masa.”
Kisha chukua ile chupa ya mafuta na imiminie kwenye kichwa chake na kusema, 'Yahwe anasema hivi: “Nimekumiminia mafuta uwe mfalme juu ya Israeli. “Halafu fungua mlango, na kukimbia; usichelewe.”
4 Amaiba: le, ayeligi balofede dunu da La: imode moilai bai bagadega asi.
Basi yule kijana, yule nabii kijana, akaenda Romoth Geliadi.
5 Amogai, e da dadi gagui wa: i ouligisu dunu, ilia da sia: sia: sa: imusa: gilisibi ba: i. E amane sia: i, “Hina! Na da dima sia: sia: mu gala!” Yihiu da amane adole ba: i, “Di da niniga afae nowama sia: mu gala?” E bu adole i, “Hina! Dimafa sia: mu gala.”
Wakati alipofika, kumbe, wale manahodha wa lile jeshi walikuwa wamekaa. Hivyo yule nabii kijana akasema, “Nimekuja mara moja naneno kwako, nahodha.” Yehu akajibu, “kwa yupi katika sisi?” Yule nabii kijana akajibu, “Kwako nahodha.”
6 Amalalu, ele galu diasu ganodini golili sa: ili, amola ayeligi balofede dunu da Yihiu ea dialuma da: iya olife susuligi sogagala: le, ema amane sia: i, “Isala: ili fi ilia Hina Gode da amane sia: sa, ‘Na da di Na fi Isala: ili ilia hina bagade ilegesa.
Basi Yehu akainuka na kwenda kwenye nyumba, na yule nabii akammiminia mafuta kwenye kichwa chake na kumwambia Yehu, “Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: 'Nimekumiminia mafuta uwe mfalme juu ya watu wa Yahwe, juu ya Isaraeli.
7 Di da dia hina (Isala: ili hina bagade, A:iha: be ea egefe) amo medole legema. Bai Na da Yesebele, e da Na balofede dunu amola Na eno hawa: hamosu dunu medole lelegeiba: le, Na da ema se dabe imunu.
Wewe lazima uiue familia ya Ahabu bwana wako, ili niweze kulipiza kisasi cha damu ya watumishi wangu manabii, na damu ya watumishi wote wa Yahwe, ambao waliokuwa wameuawa kwa mkono wa Yezebeli.
8 A: iha: be ea sosogo fi amola egaga fi huluane da bogosu ba: mu. Na da ea sosogo fi dunumusu huluanedafa, goi amola da: i hamoi amo huluane ebelelesimu.
Kwa kuwa nyumba yote ya Ahabu itaangamia, na nitamkatilia mbali kila mtoto wa kiume wa Ahabu, yeyote awe mtumwa au mtu huru.
9 Na da Isala: ili fi hina bagade Yelouboua: me amola Isala: ili hina bagade Ba: iasia ela sosogo fima hamoi defele, A:iha: be ea sosogo fima hamomu.
Nitaifanya nyumba ya Ahabu kama nyumba ya Yerobohamu mwana wa Nebati na kama nyumba ya Baasha mwana wa Ahiya.
10 Yesebele ea da: i hodo da mae dogone sanawene, Yeseliele sogega wa: mega na dagoi ba: mu,’” Amo sia: nanu, ayeligi balofede dunu da sesei yolesili, hobea: i.
Mbwa watamla Yezebeli katika Yezreeli, na hakutakuwa na mtu wa kumzika.” Kisha nabii akafungua mlango na kukimbia.
11 Yihiu da ea na: iyado dadi gagui ouligisu dunu ilima bu asili, ilia da ema amane adole ba: i, “Liligi huluane da defeala: ? Amo gagaoui dunu da dima adi hamosala: ?” Yihiu da bu adole i, “Ea hamomusa: hanai amo dilia dawa:”
Kisha Yehu akatoka kwenda kwa watumishi wa bwana wake, na mmoja akamwambia, “Je kila kitu kiko sawa? Kwa nini huyu mwenda wazimu amekuja kwako?” Yehu akawajibu, “Mnamjua huyo mtu na mambo asemayo.”
12 Ilia amane sia: i, “Hae! Ninia hame dawa: Ea sia: i amo ninima adole ima!” Yihiu da amane sia: i, “E da nama amane sia: i, ‘Hina Gode da amane ilegesa, Na da di Isala: ili ilia hina bagade hamoma: ne susuligi sogagala: le ilegesa!’”
Wakasema, “Huo ni uongo. Tuambie.” Yehu akajibu, “Alisema hivi na vile juu yangu, na pia akasema, 'hivi ndivyo Yahwe asemavyo: Nimekumiminia mafuta kama mfalme juu ya Israeli.””
13 Hedolodafa, Yihiu ea na: iyado dadi gagui ouligisu dunu, ilia da ilia abula fa: gu da: iya gado, Yihiu amo da: iya aligima: ne, fa: sisili, dalabede fulabole, amola ha: giwane amane wele sisia: i, “Yihiu da hina bagade hamoi dagoi.”
Kisha kila mmoja wao akachukua vazi haraka na kuweka chini ya Yehu juu ya madaraja. Wakapiga baragumu na kusema, “Yehu ni mfalme.”
14 Amalalu, Yihiu da Isala: ili hina bagade Youla: me amo fane legemusa: , hohonosu wamo sia: hamoi. Hina bagade Youla: me da La: imode sogega, Silia hina bagade Ha: sa: ilelema gegenana gala: i. Amo bahoma: ne, e da Yeseliele moilai bai bagadega asili, esalu. Amaiba: le, Yihiu da ea na: iyado dadi gagui ouligisu dunuma amane sia: i, “Dilia da namagai galea, dunu mogili da La: imode fisili, Yeseliele fima sisane sia: sa: besa: le, logo huluane noga: le sosodo aligima.”
Katika njia hii Yehu mwana wa Yehoshafati mwana wa Nimshi akafanya njama juu ya Yoramu. Basi Yoramu alikuwa akiilinda Ramothi Gileadi, yeye na Israeli yote, kwa sababu ya Hazaeli mfalme wa Shamu,
lakini mfalme Yoramu alikuwa amesharudi kwa Yezreeli ili kuponywa yale majeraha aliyokuwa ameyapewa na Washami, wakati akiwa anapigana dhidi ya Hazaeli mfalme wa Shamu. Yehu akawaambia watumishi wa Yoramu, “kama hili ndilo wazo lako, kisha usimwache mtu aondoke na kwenda nje ya mji, ili aende kupeleka habari hii Yezreeli.”
16 Amalalu, Yihiu da ea ‘sa: liode’ da: iya fila heda: le, Yeseliele moilai bai bagadega doaga: musa: asi. Youla: me e gala: i da hame bahoi, amola Yuda hina bagade A: ihasaia da ema ba: la misini, amogawi esalebe ba: i.
Basi Yehu akaendesha gari la farasi mpaka Yezreeli; kwa kuwa Yoramu alikuwa amelala huko. Basi Ahazi mfalme wa Yuda alikuwa ameshuka chini kuonana na Yoramu.
17 Sosodo ouligisu dunu afae, Yeseliele gagagula heda: i diasu gadodili esala, da Yihiu amola ea dunu manebe ba: i. E da amane wele sia: i, “Na ba: loba dunu da hosi da: iya fili heda: fia: lebe ba: sa.” Youla: me da bu adole i, “Amo ilia da ha lai dunuyale o ninimagai dunuyale, amo ba: ma: ne, hosiga fila heda: i dunu asunasima.”
Mlinzi alikuwa amesimama juu ya mnara katika Yezreeli, akaliona lile kundi la Yehu alipokuwa akija kwa mbali kidogo; akasema, “Naona kundi la watu wanakuja.” Yoramu akasema, “Chukua mwendesha farasi, na umtume akakutane nao; mwambie aseme, “Je mnakuja kwa amani?””
18 Sia: adole ahoasu dunu da hosi da: iya fila heda: le asili, Yihuma doaga: le, ema amane sia: i, “Hina bagade da di da ninimagai o ninima ha lai dunuyale dawa: musa: , amo adole ba: ma: ne na asunasi.” Yihiu da bu adole i, “Amo da dia liligi hame. Na baligia aligili, nama fa: no bobogema!” Sosodo ouligisu dunu gagagula heda: i diasu gadodili esalu, da adola ahoasu dunu da Yihiu ea gilisisu doaga: le, bu hame maha, amane sia: legei.
Hivyo mwendesha farasi akatoka kumlaki; akasema, “Mfalme asema hivi: Je mnakuja kwa amani?”' Basi Yehu akasema, “Wewe una nini na amani? Geuka na unifuate nyuma.” Kisha yule mlinzi akamwambia mfalme, Yule mjumbe ameshaonana nao, lakini anarudi.”
19 Youla: me da sia: adola ahoasu dunu eno asunasili, e da Yihuma musa: adole ba: i defele, adole ba: i. Amola Yihiu da bu amane sia: i, “Amo da dia liligi hame. Na baligia aligili, nama fa: no bobogema!”
Kisha akapeleka mpanda farasi wa pili, ambaye alikuja kwao na kusema, “Mfalme asema hivi: 'Je mnakuja na amani?”' Yehu akajibu, “Wewe una nini na amani? Geuka na kunifuata nyuma.
20 Sosodo ouligisu dunu da enowane sia: adola ahoasu da Yihiu ea gilisisu doaga: le, hame buhagi, amo sia: legei. Amola e eno amane sia: i, “Gilisisu bisili ahoabe dunu da ea ‘sa: liode’ fila heda: le amo dadousa dunu agoane ha: gi ahoa. E da Yihiu ea hou defele hamosa.”
Tena yule mlinzi akatoa taarifa, “Amekwisha kuonana nao, lakini hatorudi. Kwa kuwa hilo gari la farasi limekuwa likiendeshwa ndivyo ambavyo Yehu mwana wa Nimshi aendeshavyo; anaendesha kwa kasi.”
21 Isala: ili hina bagade Youla: me da amane hamoma: ne sia: i, “Na ‘sa: liode’ momagema!” Ilia da amane hamoi. Youla: me amola Yuda hina bagade A: ihasaia, ela da elela: ‘sa: liode’ da: iya fila heda: le, Yihuma doaga: musa: , gadili asi. Ilia da sogebi amo musa: Na: ibode gagui, amoga Yihuma doaga: i.
Hivyo Yoramu akasema, “Andaa gari langu la farasi liwe tayari.” Wakaandaa gari lake la farasi, na Yoramu mfalme wa Israeli na Ahazi mfalme wa Yuda akaendesha, kila mmoja kwenye gari lake la farasi, kumlaki Yehu. Wakamkuta kwenye mali ya Nabothi Myezreeli.
22 Youla: me da ema amane adole ba: i, “Di da olofoiwane manabela: ?” Yihiu da bu adole i, “Olofosu hamomu da hamedei. Bai wamuni dawa: su hou amola ogogole loboga hamoi ‘gode’ma nodone sia: ne gadosu hou amo dia ame Yesebele ea bai muni hamoi, amo huluane dialebe ba: sa.”
Wakati Yoramu alipomuona Yehu, alisema, “Je unakuja katika hali ya amani, Yehu?” Akajibu, “Amani gani hapo, wakati uzinzi wa ukahaba hufanywa na uchawi wa mama yako Yezebeli umejaa tele?”
23 Youla: me da ha: giwane wele sia: i, “A: ihasaia! Hohonosu hou da doaga: i dagoi!” E da ea ‘sa: liode’ delegima: ne hosi efega hiougia guda: i.
Basi Yoramu akarudisha magari yake ya farasi na kukimbia na kumwambia Ahazia, “Kuna udanganyifu, Ahazia.
24 Yihiu da ea gasa defele oulali dili, souga gala: i. Sou da asili, Youla: me ea baligia ludili, ea dogo badofai. Youla: me da ea ‘sa: liode’ ganodini, gala: la sa: ili, bogoi dagoi.
Ndipo Yehu akauvuta upinde wake kwa nguvu zake zote na kumpiga Yoramu kati ya mabega yake; mshale ukaenda kwenye moyo wake, akaanguka chini kwenye gari lake la farasi.
25 Yihiu da ea fidisu dunu Bidigama amane sia: i, “Ea da: i hodo lale, Na: ibode ea musa: gagui sogega galagama! Di bu dawa: ma! Musa: ania da hosi da: iya fila heda: le, hina bagade Youla: me ea ada A: iha: be ea baligia ahoanoba, Hina Gode da A: iha: bema amane sia: i,
Ndipo Yehu akamwambia Bidkari nahodha wake, “Mchukue na mtupie kwenye shamba la Nabothi Myezreeni. Fikiria kuhusu vile ambavyo wewe na mimi tulivyoendesha pamoja baada ya Ahabu baba yake, Yahwe aliuweka juu unabii dhidi yake:
26 ‘Na da aya Na: ibode amola egefelali medole legei ba: i. Amola Na da amane dafawane hamoma: ne ilegele sia: sa, Na da ilia medole legei sogebi amoga, dima se dabe imunu.’” Yihiu da ea fidisu dunuma eno amane sia: i, “Amaiba: le, Youla: me ea da: i hodo lale, Hina Gode Ea ilegei sia: dafawane hamoma: ne, Na: ibode ea musa: gagui sogebi amoga galagama.”
Jana niliona damu ya Nabothi na damu ya watoto wake - asema Yahwe - na nitahakikisha unalipia hili shamba - asema Yahwe. Sasa basi, mchukue na mtupe kwenye hili shamba, sawa sawa na neno la Yahwe.”
27 Yuda hina bagade A: ihasaia da amo hou ba: beba: le, e da ea ‘sa: liode’ ganodini, Bede Ha: iga: nega doaga: musa: hobea: i. Yihiu da e baligia se bobogei. Yihiu da ea dunuma amane sia: i, “E amolawane medole legema!” A: ihasaia da ea ‘sa: liode’ ganodini, logo amo da Ge moilai (Ibia: me moilai gadenene) amoga asili, Yihiu ea dunu da e gala: i. Be e da bu asili, Migidou moilai bai bagadega doaga: le, bogoi.
Wakati Ahazi yule mfalme wa Yuda alipoliona hili, akakimbia kwa njia ya Bethi Hagani. Lakini Yehu akamfuata, na kusema, “Muulie humo kwenye gari la farasi,” na wakampiga mahali pa kupandia Guri, karibu na Ebleamu. Ahazi akakimbilia Megido na kufia pale.
28 A: ihasaia ea eagene ouligisu dunu da ea bogoi da: i hodo lale, ‘sa: liode’ da: iya ligisili, Yelusaleme moilai bai bagadega gaguli asili, hina bagade bogoi uli dogosu sogebi, Da: ibidi Moilai Bai Bagade ganodini, uli dogone sali.
Watumishi wake wakaubeba mwili wake kwa magari ya farasi kwenda Yerusalemu na kumzika kwenye kaburi lake pamoja na baba zake katika mji wa Daudi.
29 Isala: ili hina bagade Youla: me (A: iha: be egefe) amo ea ouligibi ode gidayale ganodini, A:ihasaia da Yuda hina bagade hamoi.
Basi ilikuwa mwaka wa kumi na moja wa Yoramu mwana wa Ahabu huyo Ahazia akaanza kutawala juu ya Yuda.
30 Yihiu da Yeseliele moilai bai bagadega doaga: i. Yesebele da hou doaga: i nababeba: le, ea si widasilale, ea dialuma hinabo nina: hahamone, fo misa: ne agenesidili lela, logoa gudu ba: le gudui.
Wakati Yahu alipokuja kwa Yezebeli, Yezebeli akasikia juu ya hilo, akapaka wanja kwenye macho yake, akatengeneza nywele zake vizuri, na kuchungulia kwenye dirisha.
31 Yihiu da moilai logo holeiga golili manoba, Yesebele da amane wele sia: i, “Di Similai! Fane legesu dunu di! Abuliba: le guiguda: misi?”
Kadiri Yehu alipokuwa akiingia kwenye lango, akamwambia, “Je unakuja kwa amani, wewe Zimri, muuaji wa bwana wako?”
32 Yihiu da ba: le gadole, amane wele sia: i, “Namagai da nowala: ?” Hina bagade diasu ouligisu dunu aduna o udiana da fo misa: ne agenesidili ema gudu ba: le gudui.
Yehu akatazama juu ya dirisha na kusema, “Ni nani yuko upande wangu? Nani?” Matowashi wawili au watatu wakachungulia nje.
33 Yihiu da ilima amane sia: i, “Amo uda galaguduma!” Ilia da Yesebele amo ouga: ne galagudui. Ea maga: me da dobea fei damana, amola hosi damana siagagala: i. Yihiu da ea ‘sa: liode’ da: iya fila heda: le amo uda ososa: gi.
Basi Yehu aksema, “Mtupeni chini.” Hivyo wakamtupa Yezebeli chini, na damu yake nyingine ikamwagika kwenye ukuta na farasi, na Yehu akamkanyaga kanyaga chini ya miguu.
34 Amalalu, Yihiu da hina bagade diasuga golili sa: ili, ha: i mai. Amogalu fawane, e da amane sia: i, “Amo gagabui aligi uda, uli dogone sanasima. Bai e da hina bagade idiwi.”
Basi Yehu akaingia hiyo sehemu, akala na kunywa. Kisha akasema, “Mtazamani sasa huyu mwanamke aliyelaaniwa na kumzika, kwa kuwa ni binti wa mfalme.”
35 Be dunu da e uli dogomusa: asili, ea dialuma gasa amola ea lobo gasa amola emo gasa amo fawane diafulubi ba: i.
Wakaenda kumzika, lakini hawakumkuta ila fuvu, miguu, na viganga vya mikono yake.
36 Ilia da amo Yihuma sia: legebeba: le, e da amane sia: i, “Hina Gode da ea hawa: hamosu dunu Ilaidiamadili sia: i defele, amo hou da doaga: i. Hina Gode da amane sia: i, ‘Yesebele ea da: i hodo da Yeseliele soge ganodini, wa: mega mai dagoi ba: mu.
Basi wakarudi na kumwambia Yehu. Akasema, “Hili ndilo neno la Yahwe ambalo ameliongea kupitia Eliya Mtishbi, likisema, 'Katika nchi Yezreeli mbwa ataula mwili wa Yezebeli,
37 Ea da: i hodo oda dialebe da iga safasi agoai ba: mu. Amasea, dunu afae da amo da Yesebele ea da: i hodo hamedafa dawa: mu,’”
na mwili wa Yezebeli utakuwa kama kinyesi juu ya uso wa mashamba katika nchi ya Yezreeli, kwa hiyo basi hakuna atakayeweza kusema, “Huyu ni Yezebeli.””