< 2 Hina 7 >

1 Ilaisia da bu adole i, “Hina Gode Ea sia: nabima! ‘Aya wewaba, di da Samelia ganodini widi noga: idafa dioi defei5 gilo o bali dioi defei 10 gilo amo silifa fage afaega lamu.’”
Elisha akasema, “Sikiliza neno la Yahwe. Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kesho mda kama huu kipimo cha unga mzuri kitauzwa kwa shekeli, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli, kwenye lango la Samaria.””
2 Isala: ili hina bagade ea hisu hawa: hamosu dunu da Ilaisiama amane sia: i. “Amane hamomu da hamedei! Hina Gode Hisu fawane da gala: ine hedolodafa iasea, amolawane hame ba: mu!” Ilaisia da amane sia: i, “Di da amo hou doaga: be ba: mu, amasea, di da amo ha: i manu amoga hamedafa manu.”
Basi yule nahodha ambaye alikuwa akitegemea mkono wake amemjibu mtu wa Mungu, na kusema, “Ona, hata kama Yahwe ataweka madirisha mbinguni, je jambo hili linawezekana?” Elisha akajibu, “Ona, utaona ikitokea kwa macho yako mwenyewe, lakini hutakula chochote katika hilo.”
3 Dunu biyaduyale gala, ilia da lebolosi olo da madelaiba: le, se nabawane, ilia da Samelia logo holei gadili esafulubi ba: i. Ilia da ilisu amane sia: sa: i, “Ninia abuliba: le goegai ouesafula, bogoma: bela: ?
Basi, kulikuwa na watu wanne wenye ukoma upande wa nje wa lango la mji. Wakaambizana kila mmoja, “Kwa nini tukae hapa hadi hapo tutakapokufa?
4 Ninia da moilai bai bagade ganodini masunu da hamedei. Bai amogawi, ninia da ha: ga bogomu. Ninia da gui esalea amolawane bogogia: mu. Amaiba: le, ninia da Silia ha wa: i fisisua ahoa: di. Amabela: ? Ilia nini medole legema: bela: ? Be amomane ilia da ninima asigili, hame medole legema: bela: ?”
Kama tukisema kwamba tutaenda kwenye ule mji, maana mjini kuna njaa, na tutakufa hapo. Lakini kama tukiendelea kukaa hapa, bado tutakufa. Sawa, njoni, twendeni kwenye lile jeshi la Washami. Kama wakitupa uhai, tutakuwa hai, na kama wakituua, tutakufa tu.”
5 Amaiba: le, soge gasibi galu, ilia da Silia wa: i fisisua asili, doaga: loba, dunu esalebe afae hame ba: i.
Hivyo wakaamka asubuhi kabla giza halijaisha kwenda kwenye kambi ya Washami; Wakati walipofika sehemu ya mwanzo wa kambi, hapakuwa na mtu hapo.
6 Hina Gode da hamobeba: le, Silia dadi gagui dunu da dadi gagui wa: i bagadedafa amola ‘sa: liode’ amola hosi ilia gusuba: i ahoana gugudabe defele nabi dagoi. Ilia da agoane dawa: i, amo Isala: ili hina bagade da Hidaide amola Idibidi hina bagade ilia dadi gagui wa: i, amo Silia fi ilima doagala: musa: , bidi ianu gegemusa: hiougi.
Kwa kuwa Bwana alikuwa ameunda jeshi la Washami kusikia sauti ya magari ya farasi, na sauti za farasi-sauti za jeshi jingine kubwa, ndipo wakaambizana kila mmoja wao, “Yule mfalme wa Israeli amekodisha wafalme wa Wahiti na Wamisri waje wapigane dhidi yetu.”
7 Amaiba: le, amo daeya Silia dunu da ilia esalusu gaga: ma: ne, hobea: i dagoi. Ilia da ilia abula diasu, hosi amola dougi amo huluane yolesisili, hobea: i dagoi. Ilia fisisu da udigili dialebe ba: i.
Hivyo wale maaskari wakaondoka kungali giza; waliacha mahema yao, punda zao, na kambi kama ilivyokuwa, na kukimbia kwa ajili ya maisha yao.
8 Lebolosi oloi dunu biyaduyale, ilia fisisu bega: doaga: loba, ilia da abula diasu afae amo ganodini golili sa: ili, ha: i manu amola waini hano dialebe amo nanu, silifa amola gouli amola abula ilia ba: i amo huluane gagaguli, wamolegela asi. Amalalu, ilia abula diasu enoga golili sa: ili, amanewane hamoi.
Wakati wale watu wenye ukoma walipokuja sehemu ya mwisho wa kambi, wakaenda kwenye hema moja na kula na kunywa, na kubeba fedha na dhahabu na nguo, na kwenda na kuzificha. Wakarudi na kuingia kwenye hema nyingine na kubeba kutoka pale pia, na kwenda kuvificha.
9 Be amalu ilia ilisu amane sia: sa: i, “Ninia agoane hamomu da defea hame gala! Ninia da sia: noga: i nababeba: le, ninisu fawane amo dawa: mu da defea hame. Ninia mae adole hahabe adosea, ninia dafawanedafa se iasu ba: mu. Ninia da wahadafa asili, hina bagade diasu ganodini esalebe dunuma olelela ahoa: di!”
Basi, wakaambizana kila mmoja, “Hatufanyi sahihi. Siku hii ni siku ya habari njema, lakini tunanyamaza kimya kuhusu hili. Kama tukisubiri mpaka kutakapopambazuka, adhabu itakuwa juu yetu. Basi, njoni, twendeni na kuwaambia nyumba ya mfalme.”
10 Amaiba: le, ilia Silia ha wa: i fisisu fisili, bu Samelia moilai bai bagadega asi. Doaga: le, ilia da logo ga: sua sosodo aligisu dunu ilima amane wele sia: i, “Ninia da Silia wa: i fisu asili, be dunu afae hame ba: i, amola sia: hame nabi. Hosi amola dougi da gomenesisi dialebe ba: i. Amola abula diasu huluane da udigili dialebe ba: i.
Kwa hiyo wakaenda na kuwaita mabawabu wa mji. Wakawaambia, wakisema, “Tumeenda kambi ya Washami, lakini hapakuwa na mtu pale, hakuna sauti ya mtu yeyote, lakini kulikuwa na farasi wamefungwa, na punda wamefungwa, na zile hema kama zilivyokuwa.”
11 Sosodo aligisu dunu da amo sia: sisia: i labeba: le, amo sia: da hina bagade ea diasu ganodini sia: legei.
Ndipo mabawabu wakatoa habari, ndipo wakaambiwa ndani ya nyumba ya mfalme.
12 Gasi da dialobawane, hina bagade da ea diaheda: su da: iyanini wa: legadole, ea eagene ouligisu dunuma amane sia: i. “Na da Silia dunu ilia ninima hamomusa: ilegelalebe amo adomu! Ilia da waha goega: i ha: i amo dawa: i dagoi. Amaiba: le, ilia da ha wa: i fisisu yolesili, sogega wamo ouligimusa: afia: i. Ilia agoane dawa: sa. Ninia da moilai yolesili, ha: i manu hogola ahoanea, ilia nini gagulaligili, ninia moilai gesowale lamu. Ilia da amane ilegei.”
Basi yule mfalme akainuka usiku nakusema kwa watumishi wake, “Nitawaambia sasa kile ambacho Washami walichotufanyia. Wanajua kwamba tunanjaa, hivyo wameondoka kwenye kambi kwenda kujificha kwenye mashamba. Wanasema, 'Wakati watakapotoka mjini, tutawakamata wakiwa hai, na kuingia mjini.”
13 Ea eagene ouligisu dunu afae da amane sia: i, “Ninia da udigili esalea, dunu huluane moilaiga esalebe, ilia da dunu da bogoi dagoi defele, gugunufinisisu fawane ba: mu. Amaiba: le, ninia da dunu oda amola hosi hame bogoi esala, amo biyale, amo hou ea bai hogomusa: , asunasimu da defea.”
Mmoja wa wale watumishi wa mfalme akajibu na kusema, “Nakuomba, ngoja baadhi ya watu wachukue farasi watano wale waliosalia, ambao wamebaki kwenye mji. Wako kama mkutano wote wa Israeli waliobaki-wengi wamekufa; ngoja tuwatume na tuone.”
14 Ilia da dunu oda ilegele, hina bagade da ili ‘sa: liode’ ganodini fila heda: iwane amo Silia dunu ilia fisisu mugului hou bai hogoma: ne asunasi.
Hivyo wakachukua magari mawili ya farasi pamoja na farasi, na mfalme akawatuma baada ya jeshi la Washami, akisema, “Enendeni mkaone.”
15 Dunu da Yodane Hanoga hogola asi. Ilia da Silia dadi gagui dunu ilia da hobea: iba: le ilia abula amola gegesu liligi fisi, amo logo bega: udigili dialebe ba: i. Amalalu, ilia da buhagili, Isala: ili hina bagadema, ilia ba: i liligi amo adodoi.
Wakawafuata kwenda Yordani, na barabara zote zilikuwa zimejaa na vifaa ambavyo Washami walivitupa wapate kukimbia haraka. Kwa hiyo wale wajumbe wakarudi na kumwambia mfalme.
16 Samelia fi dunu da gadili hehenaia asili, Silia ha wa: i fisisu liligi huluane fefedele lai. Amola Hina Gode Ea sia: i defele, widi noga: idafa dioi defei 5 gilo o bali dioi defei 10 gilo agoane da silifa fage afaega lasu.
Wale watu wakatoka nje na wakaziteka nyara zile kambi za Washami. Hivyo kipimo cha unga mzuri uliuzwa kwa shekeli moja, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli moja, kama vile ambavyo neno la Yahwe lilivyosema.
17 Isala: ili hina bagade da moilai logo ga: su ouligima: ne, ea hisu hawa: hamosu dunu ilegei. Musa: hina bagade da Ilaisia ea sia: nabimusa: asi. Amola amo hisu ouligisu dunu da Ilaisia ea sia: i defele, dunuga osa: le heda: iba: le, bogoi ba: i.
Naye mfalme alimwagiza yule nahodha ambaye alitegemea mkono wake kuwa mkuu wa lango, na watu wakamkanyaga chini langoni. Alikufa kama mtu wa Mungu alivyosema, ambaye ameongea wakati yule mfalme alipomshukia.
18 Ilaisia da hina bagadema amane adoi galu, amo eso aya wewaba, e da Samelia ganodini widi noga: idafa dioi defei 5 gilo o bali dioi defei10 gilo da, silifa fage afae amaiga lasu ba: ma: ne sia: i.
Basi ikatokea kama yule mtu wa Mungu alivyosema kwa mfalme akisema, “Mda kama huu kwenye lango la Samaria, vipimo viwili vya shayiri vitapatikana kwa shekeli, na kipimo cha unga mzuri kwa shekeli.”
19 Be ouligisu dunu da musa: amoga bu adole i, “Amane hamomu da hamedei. Hina Gode Hisu fawane da gibu hedolodafa iasea, dia waha adoi hou da hame ba: mu.”
Yule nahodha alimjibu yule mtu wa Mungu na kusema, “Tazama, hata kama Yahwe angefanya madirisha mbinguni, je hiki kitu kingeweza kutokea” Elisha akasema, “Tazama, utaona kikitokea kwa macho yako mwenyewe, lakini hutakula chochote katika hicho.”
20 Amola amo hou da dafawane ema doaga: i dagoi. E da logo ga: su gadenene, dunu gilisi amolalia hasalasi dagoiba: le, bogoidafa ba: i. Bai e da dafane, dunu eno da e da: iya ososa: gilisi.
Hivyo ndivyo haswa kilichompata, kwa kuwa watu wakamkanyaga kwenye lango, na kufa.

< 2 Hina 7 >