< 2 Hina 5 >

1 Na: ima: ne da Silia dadi gagui wa: i ouligisudafa esalu. Silia hina bagade da Na: ima: ne ea houba: le, bagadewane nodone dawa: i. Bai Hina Gode da fidibiba: le, Na: ima: ne ea dadi gagui wa: i da ilima ha lai huluanema hasasali. E da dadi gagui dunu noga: idafa. Be amomane e da lebolosi aiya madelai.
Wakati huu, Naamani alikuwa jemadari wa jeshi la mfalme wa Aramu. Alikuwa mtu mkuu mbele ya bwana wake na aliyeheshimiwa sana, kwa sababu kupitia kwake, Bwana alikuwa amewapa Aramu ushindi. Alikuwa askari shujaa, lakini alikuwa na ukoma.
2 Eso afaega, Silia dunu da Isala: ili fi doagala: loba, ilia da Isala: ili uda mano fonobahadi amo gagulaligili, Silia sogega oule asi. Silia soge ganodini, amo uda mano da Na: ima: ne idua ea hawa: hamosu.
Siku hizo vikosi kutoka Aramu vilikuwa vimekwenda na vikawa vimemteka msichana kutoka Israeli, naye akamtumikia mkewe Naamani.
3 Eso afaega e da ea hina (Na: ima: ne idua) ema amane sia: i, “Na hanai da na ouligisu dunu Na: ima: ne da Samelia sogega esalebe balofede dunu Ilaisia, amo ba: la masunu da defea. E da ea oloi uhinisimu dawa:”
Akamwambia bibi yake, “Kama bwana wangu angelimwona nabii aliyeko Samaria! Angemponya ukoma wake.”
4 Na: ima: ne da amo uda mano ea sia: be nababeba: le, e da Silia hina bagadema asili, amo uda mano ea sia: i amo ema olelei.
Naamani akaenda kwa bwana wake na kumwambia alichosema yule msichana kutoka Israeli.
5 Silia hina bagade da ema amane sia: i, “Di Isala: ili hina bagadema asili, na meloa dedei amo ema ima!” Amaiba: le, Na: ima: ne da asi. E da silifa fage 30,000 agoane amola gouli fage 6,000 agoane, amola ga: su abula noga: idafa nabuane agoane gaguli asi.
Mfalme wa Aramu akamjibu, “Hakika, nenda. Nitatuma barua kwa mfalme wa Israeli.” Kwa hiyo Naamani akaondoka, akiwa amechukua talanta kumi za fedha, shekeli 6,000 za dhahabu, na mivao kumi ya mavazi.
6 Meloa dedei ea gaguli asi amoga da amane dedei dialebe ba: i, “Na dadi gagui wa: i ouligisu dunu Na: ima: ne da amo meloa dedei gaguli misi. Na hanai da ea oloi, dia uhinisima: mu!”
Barua aliyopelekea mfalme wa Israeli iliandikwa hivi: “Pamoja na barua hii ninamtuma mtumishi wangu, Naamani, kwako ili uweze kumponya ukoma wake.”
7 Isala: ili hina bagade da amo meloa idilalu, e da da: i dione fofogadigili, ea abula gadelale, amane sia: i, “Abuliba: le, Silia hina bagade da nama na da amo dunu ea oloi uhinisima: ne sia: sala: ? E da na Godeyale dawa: bela: ? Na da bogoi dunu bu uhinisimu dawa: bela: ? Na da Gode hame! Na dawa: loba, e da nama gegemusa: logo hogolala.”
Mara mfalme wa Israeli alipomaliza kuisoma ile barua, akararua mavazi yake na kusema, “Je, mimi ni Mungu? Je, mimi naweza kuua na kufufua tena? Kwa nini huyu mtu anamtuma mtu ili mimi nipate kumponya ukoma wake? Tazama jinsi anavyotafuta kuanzisha ugomvi nami!”
8 Balofede dunu Ilaisia da amo hou nababeba: le, e da Isala: ili hina bagadema amane sia: si, “Di da abuliba: le fofogadigili da: i diobela: ? Amo dunu nama asunasima! Na da ema, balofede dunu da Isala: ili soge ganodini esala, amo ema olelemu.”
Elisha mtu wa Mungu aliposikia kwamba mfalme wa Israeli alikuwa amerarua mavazi yake, akamtumia ujumbe huu: “Kwa nini umerarua mavazi yako? Mwamuru mtu huyo aje kwangu, naye atajua ya kuwa yuko nabii katika Israeli.”
9 Amaiba: le, Na: ima: ne amola ea hosi amola ‘sa: liode’ da asili, Ilaisia ea diasu logo holei gadenene aligi.
Kwa hiyo Naamani akaenda, akiwa na farasi zake na magari yake, na kusimama mlangoni mwa nyumba ya Elisha.
10 Ilaisia da hawa: hamosu dunu afae, Na: ima: nema amane adola masa: ne asunasi, “Di da asili, Yodane Hano amoga fesuale agoane ulima! Amasea, dia oloi da uhi dagoi ba: mu.”
Elisha akamtuma mjumbe kumwambia, “Nenda uoge katika Yordani mara saba, na nyama ya mwili wako itapona, nawe utatakasika.”
11 Be Na: ima: ne da amo sia: nabalu, ougi bagadeba: le, asi. E amane sia: i, “Na da agoane dawa: i! Ilaisia hisu da gadili, nama misini, ea Hina Godema sia: ne gadolalu, ea lobo na oloi da: iya gadodili sisiga: lu, na oloi uhinisimu da defea galu.
Lakini Naamani akaondoka akiwa amekasirika, akasema, “Hakika nilidhani kwamba angetoka nje, asimame na kuliitia jina la Bwana Mungu wake, na kuweka mkono wake juu ya mahali pagonjwa, aniponye ukoma wangu.
12 Aba: na Hano amola Faba Hano amo ilia da ninia Silia soge moilai bai bagade Dama: saga: se amoga, Isala: ili hano huluane ilia hou baligisa! Na da amo ganodini ulalu, uhi ba: mu da defea galu!”
Je, Abana na Farpari, mito ya Dameski, si bora zaidi kuliko mito yoyote ya Israeli? Je, nisingeweza kuoga ndani ya hiyo mito na kutakasika?” Basi akageuka na kuondoka kwa hasira kuu.
13 Na: ima: ne ea hawa: hamosu dunu da ema asili, amane sia: i, “Hina! Balofede dunu da dima gasa bagade liligi hamoma: ne sia: noba, di da amo hamona: noba! Amaiba: le, asaboi liligi ea sia: i, amo defele hano ulima, amo hamonanu, uhinisi ba: mu da defea.”
Watumishi wa Naamani wakamwendea na kumwambia, “Baba yangu, kama huyo nabii angekuambia kufanya jambo lililo kubwa, je, usingelifanya? Je, si zaidi sana basi, anapokuambia, ‘Oga na utakasike!’”
14 Amaiba: le, Na: ima: ne da Ilaisia ea hamoma: ne sia: i defele, Yodane Hanoa asili, fesuale agoane ulalu, ea oloi da uhi dagoi ba: i. Ea da: i da noga: idafa amola bobonomane, mano fonobahadi ea da: i defele bai.
Hivyo akashuka na kujizamisha ndani ya Yordani mara saba, kama vile huyo mtu wa Mungu alivyokuwa amemwambia, nayo nyama ya mwili wake ikapona na kutakasika kama ya mwili wa mvulana mdogo.
15 Na: ima: ne amola ea dunu huluane da Ilaisiama buhagili, e da Ilaisia: ma amane sia: i, “Na da wali dawa: , Godedafa da Isala: ili fi ilia Gode fawane! Eno da hame gala! Amaiba: le, hina! Na da hahawane iasu dima imunu!”
Kisha Naamani na wahudumu wake wote wakarudi kwa yule mtu wa Mungu. Akasimama mbele yake na kusema, “Sasa najua kwamba hakuna Mungu katika ulimwengu wote isipokuwa katika Israeli. Tafadhali sasa upokee zawadi kutoka kwa mtumishi wako.”
16 Ilaisia da bu adole i, “Na da Hina Gode, Ea hawa: hamosu hamonana. Amo Ea Dioba: le na da dafawane ilegele sia: sa. Na da dia hahawane iabe liligi amo hamedafa lamu.” Na: ima: ne da ea iabe lama: ne ouwalei, be Ilaisia da hamedafa lamu sia: i.
Nabii akajibu, “Hakika kama Bwana aishivyo, ambaye ninamtumikia, sitapokea kitu hata kimoja.” Ingawa Naamani alimsihi sana, yeye alikataa.
17 Amaiba: le, Na: ima: ne da amane sia: i, “Defea! Di da na hahawane iasu amo hame labeba: le, na da miule aduna amo da: iya ligisimu defele, osobo lale, na sogega bu gaguli masunu da defeala: ? Bai wali winini, na da eno ‘gode’ma gobele salasu hou hamedafa hamomu. Na da Hina Godedafa, Ema fawane gobele salimu.
Naamani akasema, “Ikiwa hutapokea, tafadhali mtumishi wako na apewe udongo kiasi cha mzigo wa kuweza kubebwa na punda wawili, kwa sababu mtumishi wako hatatoa tena sadaka ya kuteketezwa na dhabihu kwa mungu mwingine isipokuwa Bwana.
18 Amola, na da agoane hanai gala. Na hina (Silia hina bagade) ani da Limone (Silia ‘gode’) amo ea debolo diasuga, ema nodone sia: ne gadomusa: ahoasea, Hina Gode da amo hou gogolema: ne olofomu na da hanai. Amabela: ? E da amo hou gogolema: ne olofoma: bela: ?”
Lakini Bwana na amsamehe mtumishi wake kwa kitu hiki kimoja: Wakati bwana wangu atakapoingia kwenye hekalu la Rimoni ili kusujudu, naye akiwa anauegemea mkono wangu, nami nikasujudu huko pia, wakati nitakaposujudu ndani ya hekalu la Rimoni, Bwana na amsamehe mtumishi wako kwa ajili ya jambo hili.”
19 Ilaisia da amane sia: i, “Di hahawane olofole masa!” Amalu, Na: ima: ne da fisili, asi. E da logoga asi mae sedagiliwane ahoanoba,
Elisha akamwambia, “Nenda kwa amani.” Baada ya Naamani kusafiri umbali fulani,
20 Ilaisia ea hawa: hamosu dunu Gihaisai, da hisu asigi dawa: su ganodini amane dawa: i, “Na hina e da Na: ima: ne ea ema bidi amo mae iawane, udigili masa: ne, logo doasi dagoi. E da Na: ima: ne ea imunusa: sia: i amo lamu da defea galu. Na da Hina Gode Esala Ea Dioba: le agoane ilegesa. Na da ema fa: no bobogele, bidi ea gaguli buhagilalebe, amo na lamu.”
Gehazi, mtumishi wa Elisha mtu wa Mungu, akajiambia mwenyewe, “Bwana wangu amemwachia kirahisi sana Naamani, huyu Mwaramu, kwa kutokupokea kutoka kwake vile alivyovileta. Hakika kama Bwana aishivyo, nitamkimbilia na kupata kitu kutoka kwake.”
21 Amaiba: le, e da Na: ima: ne asi fa: no bobogei. Na: ima: ne da dunu ema hehenaia fa: no bobogelalebe ba: loba, e da e gousa: musa: ea ‘sa: liode’ da: iya esalu, amo gudu aliaguduli, ema amane adole ba: i, “Adi giadofabela: ?”
Hivyo Gehazi akaharakisha kumfuatilia Naamani. Naamani alipomwona akikimbia kumwelekea, akashuka chini kutoka kwenye gari lake na kwenda kumlaki. Akauliza, “Je, mambo yote ni sawa?”
22 Gihaisai da bu adole i, “Giadofai hame! Be na hina da dima amane sia: sima: ne, na asunasi. ‘Ifala: ime agolo soge amogai, balofede gilisisu amoga, balofede dunu aduna da wahawane doaga: i dagoi. E da dia amo dunuma silifa fage 3,000 agoane amola ga: su abula noga: idafa aduna, elama ima: ne sia: sa.”
Gehazi akajibu, “Mambo yote ni sawa. Bwana wangu amenituma nikuambie, ‘Vijana wawili kutoka kwa wana wa manabii wamenijia kutoka nchi ya vilima ya Efraimu. Tafadhali wape talanta ya fedha na mivao miwili ya mavazi.’”
23 Na: ima: ne da bu adole i, “Defeadafa! Be di silifa fage 6,000 agoane lama!” E da amo lama: ne ouwalei. Na: ima: ne da silifa fage esa aduna ganodini sanawene lala: gi. Amola e da esa amola ga: su abula noga: idafa aduna amo ea hawa: hamosu dunu aduna elama ianu, ela Gihaisai bisili masa: ne asunasi.
Naamani akasema, “Hakika, chukua talanta mbili za fedha.” Akamsihi Gehazi azipokee, kisha akafunga talanta mbili za fedha katika mifuko miwili pamoja na mivao miwili ya mavazi. Akawapa watumishi wake wawili mizigo hiyo, nao wakaibeba wakitangulia mbele ya Gehazi.
24 Ilia da agolo amoga Ilaisia da esalu, amoga doaga: loba, Gihaisai da esa aduna elama lale, hi diasu ganodini gaguli asili, ligisi. Amalalu, e da Na: ima: ne ea hawa: hamosu dunu buhagima: ne asunasi.
Gehazi alipofika kwenye kilima, akavichukua vile vitu kutoka kwa wale watumishi na kuvificha ndani ya nyumba. Akawaaga wale watu, nao wakaondoka.
25 Gihaisai da diasua buhagilaloba, Ilaisia da ema amane adole ba: i, “Di da habidili asibala: ?” E bu adole i, “Hina! Na da enodini hame asi!”
Kisha akaingia ndani na kusimama mbele ya Elisha bwana wake. Elisha akamuuliza, “Gehazi, ulikuwa wapi?” Gehazi akajibu, “Mtumishi wako hakwenda popote.”
26 Be Ilaisia da amane sia: i, “Na: ima: ne da ea ‘sa: liode’ fila heda: lu, di gousa: musa: gudu aliagudusia, na a: silibu da amogawi esalebeba: le, hou huluane ba: i dagoi. Wewaba amo muni amola abula amola olife sagai, waini sagai, sibi, bulamagau amola hawa: hamosu dunu bidi agoane lamu da defea hame gala.
Lakini Elisha akamwambia, “Je, roho yangu haikuwa pamoja nawe wakati yule mtu aliposhuka kutoka kwenye gari lake ili kukulaki? Je, huu ni wakati wa kupokea fedha au kupokea nguo, mashamba ya mizeituni, mashamba ya mizabibu, makundi ya kondoo na mbuzi, makundi ya ngʼombe, au watumishi wa kiume na wa kike?
27 Wali, Na: ima: ne ea oloi da dima madelamu. Amola di amola digaga fi da eso huluane amo olo madelale esalumu.” Gihaisai da fisili asili, Na: ima: ne ea musa: lebelosi olo amo madelai dagoi ba: i. Ea da: i gadofo da anegagi ofo defele, ahea: iyaidafa ba: i.
Ukoma wa Naamani utakushika wewe na wazao wako milele.” Kisha Gehazi akaondoka mbele ya Elisha, mwenye ukoma, mweupe kama theluji.

< 2 Hina 5 >