< 2 Hina 3 >

1 Yuda hina bagade Yihosiafa: de da ode18 ouligilalu, Youla: me (A: iha: be egefe) da Isala: ili hina bagade hamoi. E da Samelia moilai bai bagade amo ganodini esala, ode fagoyale agoane Isala: ili ouligi.
Yehoramu mwana wa Ahabu akawa mfalme wa Israeli katika Samaria mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Yehoshafati mfalme wa Yuda, naye akatawala kwa miaka kumi na miwili.
2 E da Hina Godema wadela: le hamoi, be ea ada amola eme Yesebele, elea wadela: i hou hamoi amo defeledafa hame hamoi. E da Ba: ilema nodone sia: ne gadosu ‘gode’ agoaila, amo eda ea hamoi, amo mugululi sali.
Akafanya maovu machoni pa Bwana, lakini sio kama baba yake na mama yake walivyokuwa wamefanya. Akaondoa nguzo ya ibada ya Baali ambayo baba yake alikuwa ameitengeneza.
3 Be amomane, hina bagade Yelouboua: me (Niba: de egefe) amo ea hou defele, e da Isala: ili fi wadela: le hamoma: ne oule asili, amola amo hou fisimusa: hame dawa: i.
Hata hivyo akashikamana na dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambazo alisababisha Israeli kuzitenda, wala hakuziacha.
4 Moua: be hina bagade Misia da sibi fofole ouligi. Ode huluane, e da ea lasu su dabe iasu, 100,000 sibi mano amola 100,000 sibi ilia hinabo goloi, amo Isala: ili hina bagade ema iasu.
Basi Mesha mfalme wa Moabu akafuga kondoo, naye akawa ampatie mfalme wa Israeli wana-kondoo 100,000 pamoja na sufu ya kondoo dume 100,000.
5 Be Isala: ili hina bagade A: iha: be da bogobeba: le, Misia da Isala: ili fi ilima odoga: i.
Lakini baada ya Ahabu kufa, mfalme wa Moabu aliasi dhidi ya mfalme wa Israeli.
6 Isala: ili hina bagade da hedolowane Samelia yolesili, ea dadi gagui dunu gagadoi.
Kwa hiyo wakati ule Mfalme Yehoramu akaondoka kutoka Samaria na kukusanya Israeli yote tayari kwenda vitani.
7 E da Yuda hina bagade Yihosiafa: dema sia: amane adosi, “Moua: be hina bagade da nama odoga: sa. Di da nama madelale ema gegema: bela: ?” Hina bagade Yihosiafa: de da amane bu adole i, “Ma! Amamuda! Na amola na dunu amola na fila heda: le gegesu hosi da dia hanai defele hamomu.
Akapeleka pia ujumbe ufuatao kwa Yehoshafati mfalme wa Yuda: “Mfalme wa Moabu ameasi dhidi yangu. Je, utakwenda pamoja nami kupigana dhidi ya Moabu?” Akajibu, “Nitakwenda pamoja nawe. Mimi ni kama wewe, watu wangu ni kama watu wako, farasi wangu ni kama farasi wako.”
8 Ninia da logo habidili asili, doagala: ma: bela: ?” Youla: me da bu adole i, “Ninia da logo sedade, Idome hafoga: i sogedili masunu!”
Akauliza, “Je, tutashambulia kupitia njia gani?” Akajibu, “Kupitia Jangwa la Edomu.”
9 Amaiba: le, hina bagade Youla: me amola Yuda hina bagade amola Idome hina bagade da wa: le asi. Eso fesuale agoane mogodigili ahoanoba, hano di da ebeleiba: le, dunu amola ohe da hano manu hame ba: i.
Hivyo mfalme wa Israeli akaondoka akiwa pamoja na mfalme wa Yuda na mfalme wa Edomu. Baada ya kuzunguka kwa siku saba, jeshi likawa limeishiwa maji kwa matumizi yao na kwa ajili ya wanyama waliokuwa nao.
10 Hina bagade Yelouboua: me da amane sia: i, “Waiye! Ninimone masunu hamedei! Hina Gode da hina bagade dunu udiana ninima, nini Moua: be hina bagade nini hasalasimusa: gegedolesibala: !”
Mfalme wa Israeli akamaka, “Nini! Je, Bwana ametuita sisi wafalme watatu ili tu kututia mikononi mwa Moabu?”
11 Hina bagade Yihosiafa: de da amane adole ba: i, “Goegai balofede dunu afae, ea da Hina Godema adole ba: mu ganabela: ?” Hina bagade Youla: me ea dadi gagui ouligisu dunu afae da amane adole i, “Ilaisia (Sia: ifa: de egefe) da goegai lela. E da Ilaidia ea afoha hawa: hamosu dunu galu.”
Lakini Yehoshafati akauliza, “Je, hayuko nabii wa Bwana hapa, ili tuweze kumuuliza Bwana kupitia kwake?” Afisa mmoja wa mfalme wa Israeli akajibu, “Elisha mwana wa Shafati yuko hapa. Ndiye alikuwa akimimina maji juu ya mikono ya Eliya.”
12 Yihosiafa: de da amane sia: i, “E da dafawane balofede dunudafa!” Amalalu, hina bagade dunu udiana da Ilaisiama afia: i.
Yehoshafati akasema, “Neno la Bwana liko pamoja naye.” Kwa hiyo mfalme wa Israeli na Yehoshafati pamoja na mfalme wa Edomu wakamwendea.
13 Ilaisia da Isala: ili hina bagadema amane sia: i, “Abuliba: le na da di fidima: bela: ? Di da asili, dia ada amola ame ilia balofede eno ilima adole ba: i. Ilima adole ba: la masa.” Youla: me da amane adole i, “Hame mabu! Hina Gode Hi fawane da nini hina bagade udiana amo Moua: be hina bagade nini hasalasimusa: asunasi.”
Elisha akamwambia mfalme wa Israeli, “Nina nini mimi nawe? Nenda kwa manabii wa baba yako na manabii wa mama yako.” Mfalme wa Israeli akajibu, “La hasha, kwa sababu ni Bwana ambaye ametuita pamoja sisi wafalme watatu ili atutie mikononi mwa Moabu.”
14 Ilaisia da bu adole i, “Na da Hina Gode Esalebe Ea hawa: hamosa. Amo Ea Dioba: le, na da amane ilegele sia: sa. Na da dia fidisu dunu, Yuda hina bagade Yihosiafa: de, ema asigiba: le fawane, di fidimu.
Elisha akasema, “Hakika, kama Bwana Mwenye Nguvu Zote aishivyo ambaye ninamtumikia, kama si kuheshimu Yehoshafati mfalme wa Yuda, nisingekutazama wala hata kukutupia jicho.
15 Wali, sani baidama dusu dunu, nama oule misa!” Sani baidama dusu dunu da ea sani baidama dunanoba, Hina Gode da Ilaisiama Ea gasa i.
Lakini sasa, nileteeni mpiga kinubi.” Mpiga kinubi alipokuwa akipiga, mkono wa Bwana ukaja juu ya Elisha,
16 E amane sia: i, “Hina Gode da amane sia: sa, ‘Amo hano logo hafogai ganodini, hano ogai bagohame ogane gagama!
naye akasema, “Hivi ndivyo asemavyo Bwana, ‘Chimbeni bonde hili lijae mahandaki.’
17 Dilia da gibu amola fo afae hamedafa ba: mu. Be amo hafogai hano logo da hanoga nabai ba: mu. Amola di, amola dia ohe wa: i, amola liligi gaguli ahoasu ohe, ilia da hano manu gilisi ba: mu.”
Kwa kuwa hivi ndivyo asemavyo Bwana: Hamtaona upepo wala mvua, lakini bonde hili litajaa maji, nanyi pamoja na ngʼombe wenu na wanyama wenu wengine mtakunywa.
18 Ilaisia da eno amane sia: i, “Be amo hou hamomu da Hina Godema da asaboi gala. Amolawane, e da dilima Moua: bema hasalasisu hou imunu.
Hili ni jambo rahisi machoni pa Bwana. Pia ataitia Moabu mikononi mwenu.
19 Dilia da ilia gagili sanawene moilai noga: idafa huluane amo hasalasilalu, samogene lamu. Dilia da ilia ifa dulu faili nasu huluane abusa: le salimu. Dilia da ilia hano nasu huluane lelesimu. Amola ilia nasegagi ha: i bugili nasu soge huluane gelega dedebole, gugunufinisimu.”
Mtaushinda kila mji wenye ngome na kila mji mkubwa. Mtakata kila mti ulio mzuri, mtaziba chemchemi zote, na kuharibu kila shamba zuri kwa mawe.”
20 Golale hahabe, hahabe gobele salalusu eso defele, hano da Idome sogeganini a: imisini, osobo dedeboi.
Kesho yake asubuhi, karibu na wakati wa kutoa dhabihu ya asubuhi, tazama, maji yakawa yanatiririka kutoka upande wa Edomu! Nayo nchi ikajaa maji.
21 Moua: be dunu da hina bagade udiana ili doagala: musa: misi dagoi nababeba: le, ilia dunu huluane amo da gegesu liligi gaguli ahoasu dawa: , amo ilima misa: ne sia: nu, Isala: ili soge alalo amoga dadalema: ne sia: i.
Basi Wamoabu wote walikuwa wamesikia kuwa wale wafalme wamekuja kupigana dhidi yao. Hivyo kila mtu, kijana na mzee, ambaye angeweza kushika silaha akaitwa na kuwekwa mpakani.
22 Ilia da hahabe galu wa: legadole, eso da hano da: iya digagala: i amo da ma: ga: me agoai ba: i.
Walipoamka asubuhi na mapema, jua likawa linamulika juu ya maji. Wamoabu waliokuwa upande wa pili wakaona maji ni mekundu, kama damu.
23 Moua: be dunu da amane sia: i, “Amo da maga: me! Ha lai wa: i udiana ilia da ili gobele gegeiba: le, huluane medole legei ba: sa. Ninia da ilia ha wa: i fisisuga liligi samogemusa: ahoa: di!”
Wamoabu wakasema, “Ile ni damu! Lazima hao wafalme wamepigana na kuchinjana wao kwa wao. Sasa Moabu, twendeni tukateke nyara!”
24 Be ilia da Isala: ili ha wa: i fisisua doaga: loba, Isala: ili dunu da ilima doagala: le, ili misibudili se bobogei. Ilia da ili se bobogele, Moua: be fi dunu medole lelegele,
Lakini Wamoabu walipofika kwenye kambi ya Israeli, Waisraeli wakainuka na kuwapiga mpaka wakakimbia. Nao Waisraeli wakaivamia nchi na kuwachinja Wamoabu.
25 amola ilia moilai gugunufinisi. Ilia da nasegagi sogebi amo baligilala, Isala: ili dunu huluane afae afae da amoga gelega gaga: lala, nasegagi ha: i manu bugili nasu soge huluane da gelega dedeboi ba: i. Amola ilia da hano bubuga: su huluane lelesisili amola ifa dulu faili nasu huluane abusa: le sali. Amalalu, fa: nodafa, Moua: be soge moilai bai bagade Ge Helese amo fawane dialebe ba: i. Isala: ili ga: muga: dadi gagui dunu da amo moilai sisiga: le, doagala: i.
Wakaiharibu miji, kila mtu akatupa jiwe juu ya kila shamba zuri mpaka likafunikwa. Wakaziba chemchemi zote na kukata kila mti mzuri. Kir-Haresethi peke yake ndio uliobaki na mawe yake yakiwa mahali pake. Lakini hata hivyo watu waliokuwa na makombeo wakauzunguka na kuushambulia vilevile.
26 Moua: be hina bagade da gegesu amoga e da hasalabe ba: beba: le, e da gegesu gobihei gagui dunu 7,000 agoane oule asili, ha wa: i dadalei amodili Silia hina bagade ema hobeale masusa: dawa: i. Be hamedei ba: i.
Mfalme wa Moabu alipoona kuwa vita vimekuwa vikali dhidi yake, akachukua watu 700 wenye panga ili kuingia kwa mfalme wa Edomu, lakini wakashindwa.
27 Amaiba: le, e da ea magobo mano lale (amo da e bagia hina bagade hamomu galu) amo medole legele, Moua: be ogogole ‘gode’ma, moilai gagoi da: iya gobele sali. Isala: ili dunu da amo ba: beba: le, bagade beda: igia: i. Amaiba: le, ilia da moilai fisili, ilia sogedafa buhagi.
Ndipo akamchukua mwanawe mzaliwa wake wa kwanza, ambaye angekuwa mfalme baada yake, akamtoa kama dhabihu ya kuteketezwa juu ya ukuta wa mji. Ghadhabu ikawa kubwa dhidi ya Israeli; wakajiondoa kwake na kurudi katika nchi yao wenyewe.

< 2 Hina 3 >