< 2 Hina 24 >

1 Yihoiagimi da Yuda fi ouligilaloba, Ba: bilone hina bagade Nebiugedenese da Yuda soge doagala: le, golili sa: ili, hasali. Ode udianaga, Yihoiagime da Nebiuga: denese ea ouligibi hagudu esalu. Be ode udiana da gidigili, Yihoiagimi da odoga: i.
Katika siku za Yehoyakimu, Nebukadreza mfalme wa Babeli akaiteka Yuda; Yehoyakimu akawa mtumishi kwa muda wa miaka mitatu. Kisha Yehoyakimu akarudi na kuasi dhidi ya Nebukadreza.
2 Hina Gode da gegesu liligi gagui dunu gilisisu amo Yudama doagala: musa: amola gugunufinisimusa: asunasi. Amo gegesu dunu da Ba: bilone, Silia, Moua: be, A:mone amo sogega misi dunu. Amo hou doaga: i, Hina Gode da musa: Ea balofede dunu ilimadili hamomusa: sia: i dagoi.
Yahwe akatuma vikosi vya Wakaldayo dhidi ya Yehoyakimu, Washami, Wamoabu, na Waamoni; akawatuma dhidi ya Yuda kuiharibu. Hii ilikuwa ni kuthibitisha pamoja na neno la Yahwe ambalo aliloliongea kupitia watumishi wake manabii.
3
Ilikuwa baada ya mda mfupi kwenye kinywa cha Yahwe kwamba hili likaja juu ya Yuda, kuwaondoa usoni mwa uso wake, kwa sabau ya dhambi za Manase, yote aliyoyafanya,
4 Hina Gode da amane hamoma: ne sia: beba: le, ha lai dunu da Yuda fi gugunufinisimusa: misi. Yuda hina bagade Ma: na: se da Hina Godema wadela: le hamoiba: le, amola e da molole hamosu dunu bagohame medole legeiba: le, Hina Gode da Yuda fi dunu huluane Ea bu mae ba: ma: ne, mugululi gadili sefasi. E da Ma: na: se ea baligili bagade wadela: i hou hamobeba: le, Hina Gode da amo gogolema: ne olofomu hamedei ba: i.
na pia kwa sababu ya damu isiyokuwa na hatia aliyoimwaga, kwa kuijaza Yerusalemu kwa damu isiyokuwa na hatia. Yahwe hakuwa tayari kusamehe hilo.
5 Yihoiagimi ea hamonanu huluane da “Yuda hina bagade Ilia Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Yehoyakimu, na yote aliyoyafanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
6 Yihoiagimi da bogole, egefe Yihoiagini da e bagia Yuda hina bagade hamoi.
Yehoyakimu akalala pamoja na wazee wake, na Yekonia mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.
7 Idibidi hina bagade amola ea dadi gagui dunu wa: i da Idibidi sogedili bu gegemusa: mogodigili gadili hame asi. Bai amo esoha, Ba: bilone hina bagade da soge huluane amo Idibidi da musa: gagui, e da amo soge hasalalu, ouligi. Amo soge alalo da Iufala: idisi Hano amogainini asili Idibidi soge ga (north) alalo amoga doaga: i.
Mfalme wa Misri hakushambulia tena nje ya nchi yake, kwa sababu mfalme wa Babeli alakuwa amezishinda nchi zote ambazo zilikuwa zikitawaliwa na mfalme wa Misri, kutoka kwenye kitabu cha Misri mpaka Mto wa Frati.
8 Yihoiagini da lalelegele, ode 18 agoane esalu, e da muni Yuda hina bagade hamoi. E da Yelusalemega esala, oubi udiana agoane Yuda fi ouligilalu. Ea ame da Nihasiada (Elena: ida: ne ea idiwi. E da Yelusaleme uda.).
Yekonia alikuwa na umri wa miaka kumi na nane alipoanza kutawala; alitawala Yerusalemu miezi mitatu. Mama yake alikuwa anaitwa Nehushta; alikuwa binti wa Elnathani wa Yerusalemu.
9 Yihoiagini da ea ada ea hamoi defele, Hina Godema wadela: le hamoi.
Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe; alifanya yale yote ambayo baba yake aliyafanya.
10 E da Yuda fi ouligilaloba, Ba: bilone dadi gagui dunu wa: i (hina bagade Nebiuga: denese ea eagene ouligisu dunu ilia da Ba: bilone dadi gagui wa: i ouligisu) ilia da Yelusaleme doagala: musa: mogodigili asili, Yelusaleme eale disi.
Katika kipindi hicho jeshi la Nebukadreza mfalme wa Babeli liliishambulia Yerusalemu na kuuzunguka mji.
11 Ilia da eale disi doagala: loba, Nebiuga: denese da hisu Yelusalemega misi.
Nebukadreza mfalme wa Babeli akaja kwenye mji wakati maaskari wake walipokuwa wameuzunguka,
12 Amalalu, hina bagade Yihoiagini amola ea ame, egefe, ea dadi gagui ouligisu dunu amola ea hina bagade diasu ouligisu dunu, ilia da goaya: iba: le Ba: bilone dunuma gilisi. Nebiuga: denese da Ba: bilone fi ode godoane ouligilalu, e da Yihoiagini gagulaligi.
na Yekonia mfalme wa Yuda akatoka nje kwenda kwa mfalme wa Babeli, yeye, mama yake, watumishi wake, watoto wake, na maafisa wake. Mfalme wa Babeli akamteka katika mwaka wa nane wa utawala wake.
13 E da noga: idafa liligi huluane Debolo Diasu amola hina bagade diasu ganodini galu, amo huluane lale, Ba: bilone sogega gaguli asi. Hina Gode Ea musa: sia: i defele, Nebiuga: denese da Debolo Diasu gouliga hamoi hawa: hamosu liligi amo hina bagade Soloumane ea hamoi, amo huluane fifili, gaguli asi.
Nebukadreza akachukua kutoka pale vitu vyote vya thamani katika nyumba ya Yahwe, na walio katika nyumba ya kifalme. Akavikata vipande vipande vitu vyote vya dhahabu ambavyo Suleimani mfalme wa Israeli alivitengeneza katika hekalu la Yahwe, kama alivyokuwa amesema ingetokea.
14 Nebiuga: denese da Yelusaleme fi dunu, hina bagade ea mano, ouligisudafa dunu, ouli hahamosu dunu, amola bagade dawa: su hawa: hamosu dunu, amo huluane da 10,000 agoane amo ili huluane e da gagulaligili, mugululi, Ba: bilone sogega oule asi. E da hamedafa gagui dunu fawane, Yuda sogega bu esaloma: ne, yolesi.
Akawachukua wote utumwani Yerusalemu, viongozi wote, na wapiganaji wote, mateka elfu kumi, na mafundi wote, na wafua vyuma. hakuna aliyekuwa amesalia isipokuwa watu maskini katika nchi.
15 Nebiuga: denese da Yihoiagini amola ea ame, ea udalali, ea eagene ouligisu dunu ili, amola Yuda fi mimogo dunu huluane, amo Ba: bilone sogega udigili hawa: hamoma: ne hiouginana asi.
Nebukadreza akamchukua Yekonia utumwani Babeli, pia na mama yake na mfalme, wake, maafisa, na wakuu wa nchi. Akawachukua kwenda utumwani kutoka Yerusalemu mpaka Babeli.
16 Nebiuga: denese da Yuda fi mimogo dunu huluane, (huluane da 7,000 agoane) amola bagade dawa: su hawa: hamosu dunu amola ouli hahamosu dunu (huluane da 1,000 agoane) amo huluane mugululi, Ba: bilone sogega oule asi. Ilia huluane da gasalai dunu, amola dadi gaguli gegemu defele ba: i.
Wapiganaji wote, elfu saba kwa hesabu, na mafundi elfu moja na wafua vyuma, wote wanaostahili kumpiga- mfalme wa Babeli aliwaleta hawa watu kwenye utumwa Babeli.
17 Nebiuga: denese da Yihoiagini ea adabi Ma: danaia amo Yuda fi ilia hina bagade hamoi. E da Ma: danaia ea dio afadenene, bu Sedegaia dio ema asuli.
Mfalme wa Babeli akamfanya Matania, kaka yake na baba yake na Yehokimu, mfalme katika sehemu yake, na kubadilisha jina lake kuwa Sedekia.
18 Sedegaia da lalelegele, ode 21 agoane esalu, e da muni Yuda hina bagade hamoi. E da Yelusalemega esalu, ode gidayale agoane Yuda fi ouligilalu. Ea ame da Hamiudale (Yelemaia ea idiwi. E da Libina uda misi.)
Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na moja wakati alipoanza kutawala; alitawala miaka kumi na moja katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Hamutali; alikuwa binti wa Yeremia kutoka Libna.
19 Hina bagade Sedegaia da hina bagade Yihoiagini ea hamoi defele, Hina Godema wadela: le hamoi.
Alifanya yaliyo maovu machoni mwa Yahwe; aliyafanya yale yote ambayo Yehokimu aliyoyafanya.
20 Hina Gode da Yelusaleme fi amola Yuda fi ilima ougi bagade heda: beba: le, E da ili ba: mu hihini mugululi, gadili sefasi.
Kupitia hasira ya Yahwe, haya matukio yote yalitokea Yerusalemu na Yuda, hadi alipowaondoa kwenye uso wake. Kisha Sedekia akaasi dhidi ya mfalme wa Babeli.

< 2 Hina 24 >