< 2 Hina 23 >

1 Yuda hina bagade Yousaia da Yuda soge fi amola Yelusaleme fi ilia ouligisu dunu amo huluane gagadole,
Kisha mfalme akawaita pamoja wazee wote wa Yuda na Yerusalemu.
2 ili amola gobele salasu dunu huluane, amola balofede dunu huluane amola fi dunu huluanedafa (bagade gagui dunu amola hame gagui dunu) ilia da Debolo Diasuga gilisili asi. Ilia si da: iya, hina bagade Yousaia da Gousa: su Meloa amo ilia da Debolo Diasu ba: i, amo ganodini dedei huluane ilima idili i.
Akapanda kwenda hekaluni mwa Bwana pamoja na watu wa Yuda, watu wa Yerusalemu, makuhani na manabii, watu wote wakubwa kwa wadogo. Akasoma wakiwa wanasikia maneno yote ya Kitabu cha Agano, ambacho kilikuwa kimepatikana katika Hekalu la Bwana.
3 E da hina bagade duni bugi amo dafulili lelu, e da Hina Gode Ea sia: nabawane hamomusa: , dafawane ilegele sia: i. E da mae fisili, ea dogo amola asigi dawa: su huluane amoga, e da Hina Gode Ea sema amola hamoma: ne sia: i, amoma fa: no bobogemusa: , dafawane ilegele sia: i. Amo hamoma: ne sia: i amo da Gousa: su Meloa amo ganodini dedei, e da amo huluane nabawane hamomusa: , dafawane ilegele sia: i. Amola dunu huluane da amo defele hamomusa: , dafawane ilegele sia: i.
Mfalme akasimama karibu na nguzo, na kufanya upya agano mbele za Bwana: yaani kumfuata Bwana na kuzishika amri zake, maagizo na sheria kwa moyo wake wote na kwa roho yake yote, hivyo kuyathibitisha maneno ya agano yaliyoandikwa katika kitabu hiki. Kisha watu wote wakajifunga wenyewe kwa kiapo katika agano.
4 Amalalu, Yousaia da gobele salasu ouligisudafa Hiligaia amola ea afoha gobele salasu dunu ili, amola Debolo logo holeiga sosodo aligisu dunu ili, ilia da loboga hamoi liligi Debolo ganodini dialu, amoga dunu da Ba: ile amola uda ‘gode’ Asila amola gasumuni ilima nodone sia: ne gadosu, amo liligi huluane gadili gaguli masa: ne sia: i. Yuda hina bagade da amo liligi huluane moilai hamega Gidalone Fago gadenene, amo laluga gobele salalu, nasubu amo Bedele moilaiga gaguli masa: ne sia: i.
Mfalme akamwamuru Hilkia kuhani mkuu, makuhani waliomfuata kwa cheo, na mabawabu kuondoa kutoka kwenye Hekalu la Bwana vyombo vyote vilivyofanywa kwa ajili ya Baali na Ashera na jeshi lote la mianga ya angani! Akavichoma nje ya Yerusalemu katika mashamba ya Bonde la Kidroni, na kuyachukua hayo majivu mpaka Betheli.
5 E da gobele salasu dunu, amo musa: Yuda hina bagade ilia da Yuda soge ganodini moilale gagai amola Yelusaleme gadenene dialu, amo ganodini ogogosu ‘gode’ oloda da: iya gobele salasu hamoma: ne ilegei, - gobele salasu dunu amo da Ba: ile amola eso amola oubi, amola gasumuni ilima gobele salalusu, amo huluane Yousaia da mugululi fasi.
Akawafukuza makuhani wa kipagani waliokuwa wameteuliwa na wafalme wa Yuda kufukiza uvumba katika mahali pa juu pa kuabudia miungu katika miji ya Yuda na ile iliyozunguka Yerusalemu, yaani wale waliofukiza uvumba kwa Baali, kwa jua na mwezi, kwa makundi ya nyota, na jeshi lote la angani.
6 E da wadela: i uda ‘gode’ Asila agoaila loboga hamoi amo Debolo ganodini dialu, amo gadili gaguli asili, moilai hamega Gidalone Fago gadenene laluga gobele, ea gasa ganumu amo huluane nasubu su agoane hamoma: ne dadabilalu, dunudafa ilia bogoi uli dogosu sogebi amo da: iya dudulisisi.
Akaiondoa nguzo ya Ashera kutoka kwenye Hekalu la Bwana, na kuipeleka kwenye Bonde la Kidroni nje ya Yerusalemu, akaiteketeza huko. Akaisaga hadi ikawa unga na kusambaza hilo vumbi juu ya makaburi ya watu wa kawaida.
7 E da Debolo ganodini sesei dialu, amogawi hina: da: i bidi lasu uda amola dunu amogai esafulu, amo huluane wadela: lesi. (Amogawi, uda ilia da ogogole ‘gode’ Asilama nodoma: ne sia: ne gadomusa: , abula loboga amunasu.)
Akabomoa pia nyumba za mahanithi wa mahali pa ibada za miungu, zilizokuwa ndani ya Hekalu la Bwana na mahali wanawake walipofuma kwa ajili ya Ashera.
8 E da gobele salasu dunu amo da Yuda moilai hisu hisu ganodini esalu, amo huluane Yelusalemega oule misi. Amola Yuda soge huluane ganodini, e da oloda amo da: iya ilia gobele salalusu, amo huluane wadela: lesi. Amola e da oloda huluane amo da goudi wadela: i a: silibu amoma nodone sia: ne gadomusa: gagui, amo huluane Yousaia da gagoudane sasali. Amo oloda ilia da logo holei amo Yosiua (moilai ouligisu dunu) ea gagui, amo gadenene ba: i. Amola amo logo holei da moilai mimogo logo holei amo ea fofadidi dialebe ba: i.
Yosia akawaleta makuhani wote wa Bwana kutoka miji yote ya Yuda, na kunajisi mahali pa juu pa kuabudia miungu, kuanzia Geba hadi Beer-Sheba, mahali pote ambapo hao makuhani wa miungu walifukiza uvumba. Akabomoa mahali pa kuwekea vitu vya ibada za miungu palipokuwa katika malango, kwenye ingilio la Lango la Yoshua, mtawala wa mji, lililoko upande wa kushoto wa lango la mji.
9 Gobele salasu dunu moilai hisu hisu amoga esalu, amo e da mugululi fasilalu, amo gobele salasu dunu da Yelusalemega oule misini, ilia da Debolo ganodini mae hawa: hamoma: ne sia: i. Be ilia da yisidi hame sali agi, amo da ilia na: iyado gobele salasu hawa: hamosu dunu, ilima i, amo fawane da ilia moma: ne sia: i.
Ingawa makuhani wa mahali pa juu pa kuabudia miungu hawakuhudumu katika madhabahu ya Bwana katika Yerusalemu, walikula mikate isiyotiwa chachu miongoni mwa ndugu zao.
10 Hina bagade Yousaia amolawane da ogogosu ‘gode’ma nodone sia: ne gadosu sogebi Hinome Fago ganodini diala, ea dio amo Doubede Sogebi, amo wadela: lesi. Bai amogawi musa: dunu ilia da ilia dunu mano o uda mano amo ogogosu ‘gode’ Moulegema gobele sasalalusu.
Kisha mfalme akanajisi Tofethi, palipokuwa katika Bonde la Ben-Hinomu, ili mtu yeyote asiweze kupatumia kumtoa kafara mwanawe au binti yake katika moto kwa mungu Moleki.
11 Yousaia da hosi amolawane Yuda hina bagade ilia da esoma nodone sia: ne gadomusa: ilegei, amo huluane enodini asunasiagai. Amola esoma nodone sia: ne gadosu ‘sa: liode’, e da amo laluga gobele sali. (Amo ‘sa: liode’ ilia da Debolo gagoi ganodini, logo holei amola Na: ida: ne Milege (eagene ouligisu dunu bagade) ea diasu gadenene ouligi.)
Akaondoa kutoka kwenye ingilio la Hekalu la Bwana wale farasi ambao wafalme wa Yuda walikuwa wamewaweka wakfu kwa ajili ya jua. Walikuwa kwenye ua karibu na chumba cha afisa aliyeitwa Nathan-Meleki. Basi Yosia akayachoma moto yale magari yaliyokuwa yamewekwa wakfu kwa jua.
12 Hina bagade Yousaia da oloda huluane amo Yuda hina bagade ilia da hina bagade diasu figisu da: iya, hina bagade A: iha: se ea sesei amo gadodili gagui, amola oloda huluane amo hina bagade Ma: na: se da Debolo gagoi aduna ganodini gagui, amo huluane e da gagoudane fasili, amola Gidalone Fagoa galagugudui.
Alizivunja madhabahu ambazo wafalme wa Yuda walikuwa wamezijenga kwenye paa la ghorofa ya Ahazi, pia madhabahu alizokuwa amezijenga Manase katika nyua mbili za Hekalu la Bwana. Akaziondoa huko, akazivunja vipande vipande, na kutupa hicho kifusi katika Bonde la Kidroni.
13 Amola oloda huluane amo hina bagade Soloumane da Yelusalemega gusudili amola Olife Goumia gadili (south) amo wadela: idafa ogogosu loboga hamoi ‘gode’ (Saidone fi ilia uda ‘gode’ A: siadalode, Moua: be fi ilia ‘gode’ Gimosie, A:mone fi ilia ‘gode’ Moulege) ilima nodone sia: ne gadomusa: gagui, amo huluane Yousaia da wadela: lesi.
Mfalme pia akanajisi mahali pa juu pa kuabudia miungu, palipokuwa mashariki ya Yerusalemu upande wa kusini wa Kilima cha Uharibifu, pale ambapo Solomoni mfalme wa Israeli alikuwa amejenga kwa ajili ya Ashtorethi mungu mke chukizo la Wasidoni, kwa ajili ya Kemoshi mungu chukizo la Wamoabu, na kwa ajili ya Moleki mungu chukizo la watu wa Amoni.
14 Hina bagade Yousaia da gelega hamoi momogoi huluane gagoudane sali, amola wadela: i uda ‘gode’ Asila ea loboga hamoi agoaila huluane abusa: le fasi. Ilia bugisisi osobo amo Yousaia da dunu gasaga dedebolesi.
Yosia akapasua yale mawe ya kuabudiwa na kuzikatakata nguzo za Ashera. Kisha akafunika hayo maeneo kwa mifupa ya wanadamu.
15 Yousaia amolawane, e da ogogosu ‘godema’ nodone sia: ne gadosu sogebi amo hina bagade Yelouboua: me (Niba: de egefe. E da Isala: ili fi wadela: le hamoma: ne oule asi) ea gagui liligi amo Yousaia da mugululi sali. Yousaia da oloda mugululi salalu, ilia gele gagoudane, su hamosu. Amola e da Asila e agoaila gobele sali.
Hata madhabahu yaliyokuwa huko Betheli, mahali pa juu pa kuabudia miungu palipokuwa pamejengwa na Yeroboamu mwana wa Nebati, ambaye aliwafanya Israeli watende dhambi, alibomoa hata hayo madhabahu na mahali pa juu pa kuabudia miungu. Alipateketeza kwa moto hapo mahali pa juu pa kuabudia miungu na kupasaga hadi pakawa vumbi, na kuichoma hiyo nguzo ya Ashera pia.
16 Amalu Yousaia da agolo damana lela ba: legagaloba, dunu bogoi amo ilia gasa da gele gelaboga diafulubi ba: i. Ea sia: ga ilia da amo gasa gadili gaguli asili, oloda da: iya gobele sali. Yousaia da amo oloda agoane wadela: lesisi. Musa: , balofede dunu afae da lolo nabe amoga, hina bagade Yelouboua: me da amo oloda bega: dafulili lelebeba: le, amo hou huluane didili doaga: i. Hina bagade Yousaia da ba: le gagale, balofede dunu amo da musa: hou ba: la: lu, amo ea bogoi gele gelabo amo ba: i.
Kisha Yosia akatazama huku na huko, naye alipoona makaburi yaliyokuwa huko kwenye kilima, akaamuru mifupa itolewe humo na akaichoma juu ya madhabahu ya Betheli ili kupanajisi. Hili lilitokea kulingana na neno la Bwana lililosemwa na mtu wa Mungu ambaye alitangulia kusema mambo haya.
17 E amane adole ba: i, “Amo bogoi gele gelabo da nowa eala: ? Bedele fi dunu da bu adole i, “Amo da balofede dunu, e da Yuda sogega misi amola dia wali olodaga hamobe amo ba: la: lu, amo balofede dunu bogoi amo ea: bogoi gele gelabo.”
Mfalme akauliza, “Lile kaburi lenye mnara wa ukumbusho ninaloliona ni kwa ajili gani?” Watu wa mji wakasema, “Hii ni alama ya kaburi la mtu wa Mungu aliyekuja kutoka Yuda, naye akanena dhidi ya hii madhabahu ya Betheli mambo yale yale uliyoifanyia leo.”
18 Yousaia da amane sia: i, “Amanewane yolesima! Ea gasa mae muguluma!” Amaiba: le, ilia amo balofede ea gasa hame mugululi, amola balofede dunu eno amo da Samelia sogega misi, ea gasa amolawane hame mugului.
Akasema, “Liacheni, msiliguse. Msimruhusu mtu yeyote kuiondoa mifupa yake.” Basi wakaiacha mifupa yake pamoja na ile ya yule nabii ambaye alikuwa amekuja kutoka Samaria.
19 E da Samelia soge moilai huluane amo ganodini, ogogosu ‘gode’ma nodone sia: ne gadosu sogebi amo Isala: ili hina bagade ilia da hamobeba: le, Hina Gode da ougi bagade ba: i, Yousaia da Bedele moilaiga oloda hamoi mugululi fasi amo defele, amo oloda mugululi fasi.
Kama alivyokuwa amefanya huko Betheli, Yosia akabomoa na kunajisi mahali pa kuabudia miungu kwenye mahali pa juu ambapo wafalme wa Israeli walikuwa wamejenga ndani ya miji ya Samaria, ambayo ilikuwa imemghadhibisha Bwana.
20 Wadela: i gobele salasu dunu huluane, e da ilila: hawa: hamosu oloda da: iya medole legei. Amola oloda huluane amo wadela: ma: ne, e da amo da: iya dunu gasa udigili gobele sali. Amalu, e da Yelusalemega buhagi.
Yosia akawachinja makuhani wote wa mahali pa juu pa kuabudia miungu katika madhabahu zao wenyewe, na kuchoma mifupa ya wanadamu juu yake. Kisha akarudi Yerusalemu.
21 Hina bagade Yousaia da Yuda fima, ilia da Hina Godema nodoma: ne, Baligisu Lolo Nasu amo Gousa: su Meloa ganodini dedei defele, amo hamoma: ne sia: i.
Mfalme akatoa agizo hili kwa watu wote: “Adhimisheni Pasaka kwa Bwana Mungu wenu, kama ilivyoandikwa katika Kitabu hiki cha Agano.”
22 Musa: bisisu dunu da Isala: ili ouligilalu amoganini amo esoha, amoga Isala: ili amola Yuda hina bagade ilia da Baligisu Lolo Nasu hamosu amo defele hame hamosu.
Hapakuwahi kuwepo na adhimisho lingine la Pasaka kama hilo tangu nyakati za Waamuzi walioongoza Israeli, wala katika nyakati zote za wafalme wa Israeli na wafalme wa Yuda.
23 Be wali, Yousaia ea ouligibi ode18 amoga, ilia da Yelusalemega Baligisu Lolo Nasu hamoi.
Lakini katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Mfalme Yosia, Pasaka hii iliadhimishwa kwa Bwana huko Yerusalemu.
24 Hina bagade Yousaia da Meloa amo da gobele salasu Ouligisudafa Hiligaia Debolo Diasu ganodini ba: i, amo sema huluane meloa ganodini dedei, amoga molole fa: no bobogemusa: dawa: i. Amaiba: le, e da gesami dasu dunu amola wadela: i ba: la: lusu dunu amola diasua ogogosu ‘gode’ liligi, amola loboga hamoi ‘gode’, amola ogogosu ‘gode’ma nodone sia: ne gadosu liligi huluanedafa mugululi fasi.
Zaidi ya hayo, Yosia akawaondoa waaguzi, wanaoabudu mizimu, sanamu za kuagulia, sanamu za kuabudiwa, na vitu vingine vyote vya machukizo vilivyoonekana huko Yuda na Yerusalemu. Aliyafanya haya ili kutimiza matakwa ya sheria iliyoandikwa ndani ya kile kitabu ambacho Hilkia kuhani alikipata ndani ya Hekalu la Bwana.
25 Hina bagade e agoai da musa: hame ba: i. E da ea dogoga amola ea asigi dawa: suga amola ea gasa huluanedafa, amoga e da Hina Gode Ea hawa: hamosu hamonanu. E da Mousese ea sema huluane nabawane hamosu. Amola e fa: no, hina bagade, e agoai hame ba: i.
Kabla wala baada ya Mfalme Yosia hapakuwepo na mfalme mwingine yeyote ambaye alimpenda Bwana kwa moyo wake wote, kwa roho yake yote, na kwa nguvu zake zote, sawasawa na Sheria yote ya Mose.
26 Be hina bagade Ma: na: se da musa: wadela: i hou bagade hamobeba: le, Hina Gode da Yuda fima ougi bagade heda: i, amola waha amolawane Ea ougi da hame gumi.
Hata hivyo, Bwana hakuacha ghadhabu yake iliyowaka dhidi ya Yuda kwa sababu ya yale yote ambayo Manase alikuwa amefanya kumghadhibisha.
27 Hina Gode da amane sia: i, “Na da Isala: ili fima hamoi amo defele Na da Yuda fima hamomu. Na da Yuda dunu bu mae ba: ma: ne, mugululi fasimu. Amola Na da Yelusaleme amola Debolo Diasu, Na fi dunu da amogawi Nama nodone sia: ne gadomusa: ilegei dagoi. Be wali Na da Yelusaleme amola Debolo diasu amo higale, fisiagamu.”
Hivyo Bwana akasema, “Nitamwondoa Yuda mbele zangu kama nilivyomwondoa Israeli, nami nitaukataa Yerusalemu, mji niliouchagua, na Hekalu hili, ambalo nilisema, ‘Jina langu litakaa humo.’”
28 Yuda hina bagade Yousaia ea hawa: hamonanu eno huluane da “Yuda hina bagade Ilia Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
Matukio mengine ya utawala wa Yosia na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?
29 Yousaia da Yuda fi ouligilaloba, Idibidi hina bagade Nigou da Asilia hina bagade fidima: ne, ea dadi gagui wa: i amo Iufala: idisi Hanoga oule asi. Hina bagade Yousaia da Migidou moilai bai bagadega Idibidi dadi gagui wa: i ilia gusuba: i ahoasu amo hedofamusa: dawa: i, be amo gegesuga, e da medole legei dagoi ba: i.
Yosia alipokuwa mfalme, Farao Neko mfalme wa Misri akapanda mpaka Mto Frati kumsaidia mfalme wa Ashuru. Mfalme Yosia akatoka kwenda kupigana naye, lakini Neko akamkabili na kumuua huko Megido.
30 Ea dadi gagui wa: i ouligisu dunu ilia da ea bogoi da: i hodo amo ‘sa: liode’ da: iya ligisili, Yelusalemega bu gaguli misi. Amogawi, ilia da ea da: i hodo amo hina bagade bogoi uli dogosu sogebi amo ganodini uli dogone sali. Yuda fi dunu da Yousaia egefe Youaha: se amo hina bagade hamoma: ne, susuligi sogala: le ilegei dagoi.
Watumishi wa Yosia wakauleta mwili wake katika gari la vita kutoka Megido hadi Yerusalemu, wakamzika kwenye kaburi lake mwenyewe. Nao watu wa nchi wakamchukua Yehoahazi mwana wa Yosia, wakamtia mafuta na kumfanya mfalme mahali pa baba yake.
31 Youaha: se da lalelegele, ode 23 esalu, e da muni Yuda hina bagade hamoi. E da Yelusalemega esala, oubi osodayale agoane Yuda fi ouligilalu. Ea ame da Hamiudale (Yelemaia ea idiwi. E da Libina moilai bai bagadega misi.)
Yehoahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitatu alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miezi mitatu. Jina la mama yake aliitwa Hamutali binti Yeremia kutoka Libna.
32 E da ea aowalali ilia hou defele, Hina Godema wadela: le hamoi.
Akafanya maovu machoni mwa Bwana, kama baba zake walivyofanya.
33 Idibidi hina bagade Nigou da Libila moilai bai bagadega (Ha: ima: de soge ganodini) amogawi Youaha: se gagulaligili, e da Yuda dunu ema silifa defei 3,000 gilo amola gouli 30 gilo dabe ema ima: ne sia: i.
Farao Neko akamfunga kwa minyororo huko Ribla katika nchi ya Hamathi ili asiweze kutawala huko Yerusalemu, naye akatoza kodi ya talanta mia moja za fedha, na talanta moja ya dhahabu katika Yuda.
34 Hina bagade Nigou da Yousaia egefe eno Ilaiagime, amo Yousaia bagia Yuda hina bagade hamoi. E da Ilaiagime ea dio afadenene, bu Yihoiagimi dio ema asuli. Hina bagade Nigou da Youaha: se amo Idibidi sogega oule asili, e da amogawi bogoi.
Farao Neko akamfanya Eliakimu mwana wa Yosia kuwa mfalme mahali pa baba yake Yosia, na kulibadilisha jina la Eliakimu kuwa Yehoyakimu. Lakini akamchukua Yehoahazi na kumpeleka Misri, naye akafia huko.
35 Idibidi hina bagade da Yuda fi ilia ema su dabe ima: ne sia: i. Amo dabe hamomusa: , Yuda hina bagade Yihoiagimi da Yuda fi dunuma, liligi ilia gagui amo defele su dabe ima: ne sia: i.
Yehoyakimu akamlipa Farao Neko ile fedha na dhahabu aliyodai. Ili kuweza kufanya hivyo, Yehoyakimu akatoza nchi kodi na kulipiza fedha na dhahabu kutoka kwa watu wa nchi kulingana na makadrio ya mapato yao.
36 Yihoiagimi da lalelegele, ode 25 esalu, e da muni Yuda hina bagade hamoi. E da Yelusalemega esala, ode gidayale agoane Yuda fi ouligilalu. Ea ame da Sibiuda (Bida: ia ea idiwi. E da Luma moilaiga misi.)
Yehoyakimu alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na mmoja. Jina la mama yake aliitwa Zebida binti Pedaya kutoka Ruma.
37 Yihoiagimi da ea aowalali fi defele, Hina Godema wadela: le hamoi.
Naye akafanya maovu machoni mwa Bwana, kama baba zake walivyokuwa wamefanya.

< 2 Hina 23 >