< 2 Hina 18 >

1 Isala: ili hina bagade Housia (Ila egefe) amo ea ouligibi ode osoda amoga, Hesegaia (A: iha: se egefe) e da Yuda hina bagade hamoi.
Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Hoshea mwana wa Ela mfalme wa Israeli, Hezekia mwana wa Ahazi mfalme wa Yuda alianza kutawala.
2 Hesegaia da lalelegele ode 25 esalu, e da muni Yuda hina bagade hamoi, amola e da Yelusaleme moilai bai bagadega esala, Isala: ili fi ode 29 agoanega ouligilalu. Ea ame da Abaidia, Segalaia ea idiwi.
Alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka ishirini na tisa. Mama yake aliitwa Abiya binti Zekaria.
3 E da ea musa: aowa, hina bagade Da: ibidi ea hou defele, Hina Gode hahawane ba: ma: ne, moloi hou hamoi.
Akafanya yaliyo mema machoni pa Bwana, kama Daudi baba yake alivyofanya.
4 E da ogogosu ‘gode’ma nodone sia: ne gadosu sogebi huluane wadela: lesi. E da wadela: i gele golasu ifa, amo fili sasali. Amola e da wadela: i uda ‘gode’ Asila agoaila loboga hamoi ‘gode’ huluane damuni fasi. Amola e da balasega hamoi sania (amo musa: Mousese hamoi amola amoma ilia da Nehasiada: ne dio asuli) amo e da goudane fasi. Bai musa: amoganini, Isala: ili dunu da giadofale amo liligima nodone sia: ne gadoma: ne, gabusiga: manoma gobele salasu.
Akapaondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu, akazivunja sanamu, akakatakata nguzo za Ashera. Akavunja vipande vipande ile nyoka ya shaba Mose aliyotengeneza, kwa kuwa hadi siku hizo wana wa Israeli walikuwa wanaifukizia uvumba (ilikuwa ikiitwa Nehushtani).
5 Hesegaia da Isala: ili fi ilia Hina Gode Ea hou dafawaneyale dawa: beba: le, lalegagui dagoi. Yuda soge ganodini, hina bagade e agoai da hame ba: su, amola fa: no e agoai hame ba: i.
Hezekia aliweka tumaini lake kwa Bwana, Mungu wa Israeli. Hapakuwepo na mfalme mwingine wa kufanana naye miongoni mwa wafalme wa Yuda, kabla yake au baada yake.
6 E da Hina Gode mae yolesili, hame nabasu hou hamedafa hamoi. E da molole dawa: iwane amo hamoma: ne sia: i huluane Hina Gode da Mousesema sia: i, amoma fa: no bobogei.
Alishikamana na Bwana kwa bidii wala hakuacha kumfuata; alishika amri ambazo Bwana alikuwa amempa Mose.
7 Amaiba: le, Hina Gode da e fuligala: beba: le, ea hamobe huluane da didili hamoi ba: i. E da Asilia hina bagade ema odoga: ne, amola ea hamoma: ne sia: i hame hamosu.
Naye Bwana alikuwa pamoja naye, akafanikiwa katika kila alichokifanya. Aliasi dhidi ya mfalme wa Ashuru, wala hakumtumikia.
8 E da Filisidini fi dunu hasali. E da ilia moilai (fonobahadi amola bagade, amola Ga: isa moilai bai bagade amola soge amoga sisiga: le dialu) amo huluane e da doagala: i.
Kuanzia mnara wa ulinzi hadi kwenye mji wenye ngome, aliwashinda Wafilisti, hadi kufikia Gaza na himaya yake yote.
9 Hesegaia ea ouligibi ode biyadu amoga (amo ode da Isala: ili hina bagade Housia ea ouligibi ode fesuale), amo odega Asilia hina bagade Sia: lama: nisa da Isala: ili doagala: le, Samelia moilai bai bagade eale disi.
Mwaka wa nne wa Mfalme Hezekia, ambao ulikuwa mwaka wa saba wa Hoshea mwana wa Ela kutawala Israeli, Shalmanesa mfalme wa Ashuru alikwenda kuishambulia Samaria na kuuzunguka kwa majeshi.
10 Sia: lama: nisa da Samelia doagala: le, eale disili, ode udianaga hasali. Amo ode da Hesegaia ea ouligibi ode gafeyale amola Housia ea ouligibi ode sesegeyale, amogalu agoane hamosu.
Baada ya miaka mitatu Waashuru wakautwaa. Kwa hiyo Samaria ulitekwa katika mwaka wa sita wa utawala wa Mfalme Hezekia, ambao ulikuwa mwaka wa tisa wa utawala wa Hoshea mfalme wa Israeli.
11 Asilia hina bagade da Isala: ili dunu mugululi, udigili hawa: hamomusa: , Asilia sogega oule asi. E da amo dunu mogili Hala moilaiga, mogili Gousa: ne soge (Ha: ibo Hano gadenene) amola mogili Midia soge moilai, amolaliga fima: ne asunasisi.
Mfalme wa Ashuru akawahamishia Waisraeli huko Ashuru na akawaweka Hala, na Gozani karibu na Mto Habori, na katika miji ya Wamedi.
12 Samelia fi dafai ea bai da, ilia da Isala: ili Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i hame nabasu. Ilia Gousa: su amo E da ilima hahamoi amo fi dagoi. Amola ilia da sema huluane amo Hina Gode Ea hawa: hamosu dunu Mousesemadili i, amo hame nabi. Ilia da amo huluane hame nabi, amola nabasu hou hame hamosu.
Hili lilitokea kwa sababu hawakumtii Bwana Mungu wao, lakini walikuwa wamevunja agano lake, yale yote ambayo Mose mtumishi wa Bwana aliwaamuru. Hawakuzisikiliza amri wala kuzitimiza.
13 Yuda hina bagade Hesegaia ea ouligibi ode 14 amoga, Asilia hina bagade Sena: gelibi da Yuda soge gagili sali moilai ilima doagala: le, hasali.
Katika mwaka wa kumi na nne wa utawala wa Mfalme Hezekia, Senakeribu mfalme wa Ashuru akaishambulia miji yote ya Yuda yenye ngome na kuiteka.
14 Hesegaia da Sena: gelibi, La: igisi moilai bai bagade ganodini esala, ema amane sia: si, “Na da giadofale hamoi! Dia doagala: lalu yolesima! Amasea, bidi dia ima: ne sia: be defele, na da dima imunu.” Asilia hina bagade da bu dabe sia: si, “Silifa 10,000 gilo defei amola gouli 1,000 defei, amo nama iasima!”
Basi Hezekia mfalme wa Yuda akamtumia ujumbe mfalme wa Ashuru huko Lakishi akisema: “Nimefanya makosa. Ondoka katika nchi yangu, nami nitakulipa chochote unachokitaka kwangu.” Mfalme wa Ashuru akamtoza Hezekia mfalme wa Yuda talanta 300 za fedha, na talanta thelathini za dhahabu.
15 Hesegaia da silifa huluane amo da Debolo diasu amola hina bagade diasu noga: i liligi ligisisu sesei ganodini dialu, amo huluane ema iasi.
Basi Hezekia akampa fedha yote iliyopatikana ndani ya Hekalu la Bwana na katika hazina ya jumba la mfalme.
16 Amola e da gouli amo da Debolo logo ga: su legei, amola gouli amogamusu logo ga: su golasu ifa dedeboi, amo huluane hosoga: le, Sena: gelibi ema iasi.
Wakati huu Hezekia mfalme wa Yuda akabandua dhahabu yote iliyokuwa imefunika milango na miimo ya Hekalu la Bwana, akampa mfalme wa Ashuru.
17 Asilia hina bagade da La: igisi amoga dadi gagui dunu wa: i bagade, Yelusaleme doagala: ma: ne asunasi. Ea baligili bagade eagene ouligisu dunu udiana da amo dadi gagui dunu wa: i ouligi. Ilia da Yelusaleme moilai bai bagadega doaga: le, ilia da abula hahamosu dunu ilia hawa: hamosu sogebi logoga (hano amo da gadodili hano wayaboga fugala: le ha: ina dasu, amo logo gadenene dialu) amo sogebiga ilia da fi dialu.
Mfalme wa Ashuru akamtuma jemadari wake mkuu, na afisa wake mkuu, na jemadari wa jeshi, pamoja na jeshi kubwa kutoka Lakishi hadi kwa Mfalme Hezekia huko Yerusalemu. Wakaja Yerusalemu na kusimama kwenye mfereji wa Bwawa la Juu, lililojengwa katika barabara iendayo kwenye Uwanja wa Dobi.
18 Amalalu, ilia da hina bagade Hesegaia misa: ne sia: i. Hesegaia ea eagene ouligisu dunu udiana da gadili asi. Ilia da Ilaiagime (e da Hiligaia egefe. E da hina bagade diasu ouligi), Siebena (hina bagade diasu esalebe fi sia: dedesu dunu) amola Youa (A: isa: fe egefe. E da Hamonanu Meloa dedesu dunu).
Wakaagiza mfalme aitwe. Eliakimu mwana wa Hilkia aliyekuwa msimamizi wa jumba la mfalme, Shebna aliyekuwa katibu, na Yoa mwana wa Asafu mwandishi wakawaendea.
19 Asilia ouligisu dunu afae da ilima amane adole ba: i, “Hina bagade Hesegaia da abuliba: le ninia da e hame hasalimu dawa: sala: ?
Yule jemadari wa jeshi akawaambia, “Mwambieni Hezekia: “‘Hili ndilo asemalo mfalme mkuu, mfalme wa Ashuru: Ni wapi unapoweka hili tumaini lako?
20 Dilia adi dawa: bela: ? Lafidili sia: fawane da gasa bagade dadi gagui wa: i amola gegesu bagade dawa: su hou amo hasalasima: bela: ? Dilia da Asilia hina bagadema odoga: beba: le, nowa da dili fidima: bela: ?
Unasema mnayo mikakati na nguvu za kijeshi, lakini unasema maneno matupu tu. Je, wewe unamtegemea nani, hata ukaniasi mimi?
21 Dilia da Idibidi fi ilia dili fidima: ne dawa: lala! Be amo da fedege agoane dilia da saga: amoga galiamo hamosu defele. Amo da gasa hame galea da fili gala: le, dia lobo somu. Dunu ilia da Idibidi hina bagade ea fidisu lamu dawa: sea, e da amo defele ba: sa.”
Tazama sasa, unaitegemea Misri, fimbo ile ya mwanzi uliopasuka, ambayo huuchoma na kuujeruhi mkono wa mtu akiiegemea! Hivyo ndivyo alivyo Farao mfalme wa Misri, kwa wote wanaomtegemea.
22 Asilia ouligisu dunu da hidale eno amane sia: i, “Dilia da nama, dilia Hina Gode Ea fidisu lamu, amo sia: ma: bela: ? Hesegaia da Yuda fi dunu amola Yelusaleme dunu amo Yelusalemega fawane nodone sia: ne gadoma: ne olelesa. Be e da Hina Gode Ea oloda amola nodone sia: ne gadosu sogebi huluane gugunufinisi dagoi.
Nawe kama ukiniambia, “Tunamtumainia Bwana Mungu wetu”: je, siyo yeye ambaye Hezekia aliondoa mahali pake pa juu pa kuabudia miungu na madhabahu zake, akiwaambia Yuda na Yerusalemu, “Ni lazima mwabudu mbele ya madhabahu haya katika Yerusalemu”?
23 Na da Asilia hina bagade ea dioba: le, agoane bidi lasu ilegele sia: sa. Dilia da hosi da: iya fila heda: su dawa: dunu 2,000 agoane hogole ba: sea, na da dilima hosi 2,000 agoane imunu.
“‘Njooni sasa, fanyeni mapatano na bwana wangu, mfalme wa Ashuru: Nitakupa farasi elfu mbili, kama unaweza kuwapandisha waendesha farasi juu yao!
24 Fonobahadidafa Asilia ouligisu dunu ea hou da dilia hou bagade baligisa. Amaiba: le, dilia abuliba: le, Idibidi dunu da dilima ‘sa: liode’ amola hosi da: iya fila heda: su dadi gagui dunu, amo dilima asunasima: ne dawa: sala: ?
Utawezaje kumzuia hata afisa mmoja aliye mdogo kati ya maafisa wa bwana wangu, ijapo unategemea Misri kwa magari ya vita na wapanda farasi?
25 Dilia adi dawa: bela: ? Na da udigili, Hina Gode na mae fidiliwane, dilia soge doagala: bela: ? Hame mabu! Hina Gode Hisu da na Yuda doagala: le, amo gugunufinisima: ne sia: i dagoi.
Zaidi ya hayo, je, nimekuja kushambulia na kuangamiza mahali hapa pasipo neno kutoka kwa Bwana? Bwana mwenyewe ndiye aliniambia niishambulie nchi hii na kuiangamiza.’”
26 Amalalu, Ilaiagime, Siebena, amola Youa da Asilia ouligisu dunuma amane sia: i, “Hina! A: lama: iege sia: ga ninima sia: ma! Ninia amo sia: dawa: Hibulu sia: ga mae sia: ma! Bai Yelusaleme dunu huluane gagoi da: iya fi dialebe, ilia da amo sia: ga: sia: be nabala.”
Ndipo Eliakimu mwana wa Hilkia, Shebna na Yoa wakamwambia yule jemadari wa jeshi, “Tafadhali zungumza na watumishi wako kwa lugha ya Kiaramu, kwa kuwa tunaifahamu. Usiseme nasi kwa Kiebrania watu walioko juu ya ukuta wakiwa wanasikia.”
27 Be Asilia ouligisu dunu da bu adole i, “Dilia da Asilia hina bagade da dili amola Yuda hina bagade dilima fawane asunasi dawa: sala: ? Hame mabu! Na amolawane da dunu gagoi da: iya fi diala, ilima sia: sa. Bai dili defele, ilila: iga amola baeya nanebe ba: mu.”
Lakini yule jemadari wa jeshi akajibu, “Je, bwana wangu amenituma kutoa ujumbe huu kwa bwana wenu na kwenu tu? Je, hakunituma pia kwa watu walioketi ukutani, ambao, kama ninyi, itawabidi kula mavi yao na kunywa mikojo yao wenyewe?”
28 Amalalu, Asilia ouligisu dunu da wa: legadole, Hibulu sia: ga amane wele sia: i, “Asilia hina bagade ea dilima sia: be nabima!
Kisha yule jemadari wa jeshi akasimama na kuita kwa lugha ya Kiebrania, akasema: “Sikieni neno la mfalme mkuu, mfalme wa Ashuru!
29 E da dilima amane sisane sia: sa, ‘Hesegaia da dilima ogogosu sia: mae nabima! Hesegaia da dili gaga: mu hame dawa: !
Hili ndilo asemalo mfalme: Msikubali Hezekia awadanganye. Hawezi kuwaokoa mkononi mwangu.
30 Amola e da dilima, Hina Gode Ea gaga: su hou dafawaneyale dawa: ma: ne sia: sea, ea sia: mae nabima! Hina Gode da dili gaga: le amola Asilia dadi gagui wa: i dilia moilai mae hasalima: ne logo ga: mu, amo mae dawa: ma! Hina Gode da dili fidimusa: hame dawa: !
Msikubali Hezekia awashawishi kumtumaini Bwana kwa kuwaambia, ‘Hakika Bwana atatuokoa. Mji huu hautaangukia mikononi mwa mfalme wa Ashuru.’
31 Hesegaia ea sia: mae nabima! Asilia hina bagade da dilima amane hamoma: ne sia: sa, Dilia moilai fisili gadili ahoasea, dilia da goaya: ma! E da dili huluane dilisu waini sagaiga waini fage moma: ne amola figi sagaiga figi fage moma: ne amola si hanoga hano moma: ne, amo logo doasimu.
“Msimsikilize Hezekia. Hili ndilo mfalme wa Ashuru asemalo: Fanyeni amani nami na mje kwangu. Kisha kila mmoja wenu atakula kutoka kwa mzabibu wake na mtini wake mwenyewe, na kunywa maji kutoka kisima chake mwenyewe,
32 Amasea, Asilia hina bagade da dili mugululi, oule asili, dili soge, dilia soge agoai amo ganodini ha: ini fima: ne, oule masunu. Amogawi, dilia da waini hano moma: ne waini sagai amola agi ga: gi hamoma: ne gala: ine amola olife ifa sagai amola olife susuligi amola agime hano huluane dialebe ba: mu. Dilia da ea hamoma: ne sia: i nabawane hamosea, dilia da mae bogole, esalumu. Hesegaia, ea ogogosu sia: amoga da Hina Gode da dilia gaga: ma: bela: le mae dawa: ma!
mpaka nije nikawapeleke katika nchi iliyo kama nchi yenu wenyewe, nchi ya nafaka na divai mpya, nchi ya mkate na mashamba ya mizabibu, nchi ya mizeituni na asali. Chagueni uzima, sio mauti! “Msimsikilize Hezekia, kwa kuwa anawapotosha asemapo, ‘Bwana atatuokoa.’
33 Fifi asi gala oda ilia ‘gode’, ilia da Asilia hina bagade da ili mae hasalima: ne, gaga: bela: ? Hame mabu!
Je, yuko mungu wa taifa lolote aliyewahi kuokoa nchi yake kutoka mkononi mwa mfalme wa Ashuru?
34 Amo ‘gode’ huluane wali da habila: ? Ha: ima: de fi ilia ‘gode’ amola Aba: de, Sefafa: ime, Hina, Ifai amo soge huluane ilia ‘gode’ huluane da habila: ? Nowa da Samelia gaga: bela: ?
Iko wapi miungu ya Hamathi na ya Arpadi? Iko wapi miungu ya Sefarvaimu, Hena na Iva? Je, imeokoa Samaria kutoka mkononi mwangu?
35 Amo soge huluane ilia ‘gode’ ilia da ninia Asilia hina bagade mae hasalima: ne habogala gaga: bela: ? Ili gaga: mu da hamedei ba: i. Amaiba: le, dilia abuliba: le Hina Gode da Yelusaleme gaga: mu defele esala, dawa: sala: ?”
Ni yupi miongoni mwa miungu yote ya nchi hizi ameweza kuokoa nchi yake mkononi mwangu? Inawezekanaje basi Bwana aiokoe Yerusalemu mkononi mwangu?”
36 Yuda hina bagade Hesegaia ea sia: i defele, Yelusaleme fi dunu da ouiya: le esalu. Dunu afae da hame sia: baoui.
Lakini wale watu wakakaa kimya, wala hawakujibu lolote, kwa kuwa mfalme alikuwa amewaamuru, “Msimjibu lolote.”
37 Amalalu, Ilaiagime amola Siebena amola Youa da da: i dioiba: le, ilia abula gadelale sali. Ilia da Yuda hina bagadema asili, Asilia ouligisu dunu ea sia: si, ema olelei.
Kisha Eliakimu mwana wa Hilkia msimamizi wa jumba la kifalme, Shebna katibu, na Yoa mwana wa Asafu, mwandishi wakamwendea Hezekia, nguo zao zikiwa zimeraruliwa, na kumwambia yale jemadari wa jeshi aliyoyasema.

< 2 Hina 18 >