< 2 Hina 15 >

1 Isala: ili hina bagade Yelouboua: me ea gona: su, amo ea ouligibi ode27amoga, Asaia (A: masaia egefe) da Yuda hina bagade hamoi.
Katika mwaka wa ishirini na saba wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Azaria mwana wa Amazia mfalme wa Yuda akaanza kutawala.
2 Asaia da lalelegele, ode 16 esalu, e da muni Yuda hina bagade hamoi, amola e da Yelusaleme moilai bai bagadega esala, ode52 agoanega Yuda fi ouligilalu. Ea ame da Yelusaleme uda, ea dio amo Yegoulaia.
Azaria alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala, na alitawala kwa mda wa miaka hamsini na mbili katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Yekolia, na alikuwa anatokea Yerusalemu.
3 E da ea ada ea hou defele, Hina Gode hahawane ba: ma: ne, molole hamoi.
Alifanya yaliyo mema machoni pa Yahwe, kama baba yake Amazia alivyofanya.
4 Be e da ogogosu ‘gode’ma nodone sia: ne gadosu sogebi amo hame wadela: lesi. Amola amogawi, Yuda dunu ilia da ohe amola gabusiga: manoma gobele salalusu.
Lakini, mahali pa juu hapakuwa pameondolewa. Watu wakaendelea kutoa sadaka na kufukiza ubani katika mahala pa juu.
5 Hina Gode da Asaiama lebolosi olo madelama: ne hamoi. Ea esalusu ganodini amo olo da mae uhini madelaiwane dialusu. E da hisu diasu enoga esalu. E da hina bagade ea hawa: hamosu amo hame hamosu. Be egefe Youda: me da Yuda soge ouligilalu.
Yhawe akampiga mfalme hivyo basi akawa na ukoma mpaka siku ya kifo chake na alikaa kwenye nyumba ya pekee. Yothamu, mtoto wa mfalme, alikuwa juu ya watu na kuwaongoza watu wa nchi.
6 Asaia ea hawa: hamosu eno huluane da “Yuda hina bagade Ilia Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
Kama kwa mambo mengine yanayomhusu Azaria, yote aliyoyafanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
7 Asaia da bogole, hina bagade bogoi uli dogosu sogebi Da: ibidi Moilai Bai Bagadega dogone sali. Egefe Youda: me da e bagia Yuda hina bagade hamoi.
Hivyo Azaria alilala pamoja na babu zake katika mji wa Daudi. Yothamu, mtoto wake, akawa mfalme katika mahala pake.
8 Yuda hina bagade Asaia ea ouligibi ode 38 amoga, Segalaia (Yelouboua: me ea gona: su egefe) e da Isala: ili hina bagade hamoi. E da Samelia moilai bai bagadega esala, oubi gafeyale fawane Isala: ili fi ouligilalu.
Katika mwaka wa thelathini na nane mwaka wa Azaria mfalme wa Yuda, Zekaria mwana wa Yeroboamu akatawala juu ya Israeli katika Samaria kwa miezi sita.
9 E da ema bisili hina bagade dunu defele, Hina Godema wadela: le hamoi. Hina bagade Yelouboua: me (Niba: de egefe) amo da Isala: ili fi wadela: le hamoma: ne oule asi. Segalaia da amo ea hou defele hamoi.
Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe, kama baba zake waliyoyafanya. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambaye alisababisha Israeli kuasi
10 Sia: lame (Ya: ibese egefe) da hina bagade Segalaia medomusa: wamo sia: dasu. Amola e da Ibilia: me moilai bai bagadega, Segalaia medole legei. Amalalu, Sia: lame da Segalaia bagia Isala: ili hina bagade hamoi.
Shalumu mwana wa Yabeshi akafanya njama dhidi ya Zekaria, akamshambulia katika Ibleamu, na kumuua. Kisha akawa mfalme katika mahala pake.
11 Segalaia ea hawa: hamosu eno da “Isala: ili hina bagade Ilia Hawa: Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Zekaria, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
12 Amaiba: le, Hina Gode Ea musa: hina bagade Yihiuma amane hamomusa: dafawane ilegele sia: da defele doaga: i. Hina Gode da ema amane sia: i galu, “Digaga fifi manebe biyadu amo ilia da Isala: ili hina bagade hamone gagamu.”
Hili ndilo lililokuwa neno la Yahwe ambalo aliongea na Yehu, kusema, “Kizazi chako kitakaa katika kiti cha Israeli mpaka kizazi cha nne.” Hiyo ikatokea.
13 Yuda hina bagade Asaia da Yuda fi ode 39 agoane ouligilalu, Isala: ili hina bagade Sia: lame (Ya: ibese egefe) da Isala: ili fi ilia hina bagade hamoi. Amogai esala oubi afae amoga Samelia moilai bai bagadega esala Isala: ili fi ouligilalu.
Shalumu mwana wa Yabeshi akaanza kutawala katika mwaka wa thelathini na tisa wa Azaria mfalme wa Yuda, na kutawala kwa mwezi mmoja tu katika Samaria.
14 Menaheme (Gaidai egefe) da Desa moilai fisili, Samelia moilai bai bagadega asili, Sia: lame medole legei. Amola e da Sia: lame bagia Isala: ili hina bagade hamoi.
Menahemu mwana wa Gadi akapanda kutoka Tirza kwenda Samaria. Akamshambulia Shalumu mwana wa Yabeshi hapo, katika Samria. Akamuua na kuwa mfalme katika mahali pake.
15 Sia: lame ea hawa: hamonanu eno huluane, amola ea Segalaia medomusa: sia: dasu, amo da “Isala: ili hina bagade Ilia Hawa: Hamonanu Meloa,” amo ganodini dedene legei.
Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Shalumu na njama aliyoifanya, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio cha wafle wa Israeli.
16 Menaheme da Desa moilai fisili logoa ahoanoba, e da Da: biua moilai amo ganodini esalebe fi dunu huluane gugunufinisi. Amola e da Da: biua sisiga: le fi amola soge amo huluane gugunufinisi. Bai e da amo moilai fi ilima gegeloba, ilia da hame goaya: ibale, e da ili gugunufinisi. E da abula agui uda amolawane ilia hagomo odahidale fasi.
Ndipo Menahemu akamshambulia Tifsa na wote waliokuwa pale, na mipaka yote kuzunguka Tizra, kwasababu hawakufungua kwenye mji. Hivyo akaushambulia, na akawapasua wanawake wajawazito wote katika hicho kijiji.
17 Yuda hina bagade Asaia da Yuda fi ode 39 agoane ouligilalu, Menaheme (Gaidai egefe) da Isala: ili hina bagade hamoi. E da Samelia moilai bai bagadega esala, ode nabuane agoanega Isala: ili fi ouligilalu.
Katika mwaka wa thelathini na tisa wa Ahazia mfalme wa Yuda, Menahemu mwana wa Gadi akaanza kutawala; alitawala kwa miaka kumi katika Samaria.
18 E da Hina Godema wadela: le bagade hamoi. E da mae fisili, hina bagade Yelouboua: me (e da Niba: de egefe amola e da Isala: ili fi wadela: le hamoma: ne oule asi) amo ea hou defele, amanemusu wadela: le hamonana bogoi.
Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe. Katika maisha yake yote, hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambaye alifanya Israeli kufanya dhambi.
19 Digala: de Bilisa (Asilia hina bagade) da Isala: ili doagala: le, Isala: ili soge golili sa: i. Menaheme da ema silifa dioi defei 30 ‘dane’ agoane ema i. Bai e da Digala: de Bilisa da ema gasa ima: ne fuli gala: musa: dawa: i.
Kisha Pulu mfalme wa Ashuru akaja kinyume cha nchi, na Menahemu akampatia Pulu talanta elfu moja za fedha, hivyo msaada wa Pulu ungeweza kuwa na yeye kuimarisha utawala wa Israeli katika nchi yake.
20 Menaheme da amo silifa lama: ne, Isala: ili bagade gagui dunu afae afae da silifa fage 50 agoane ima: ne logei. Amalalu, Digala: de Bilisa da Isala: ili soge fisili, hi sogega buhagi.
Menahemu akatoza hii pesa kutoka Israeli kwa kumtaka kila mtu tajiri alipe shekeli hamsini za fedha kwake kumpatia mfalme wa Ashura. Hivyo mfalme wa Ashuru akarudi na hakukaa pale katika ile nchi.
21 Menaheme ea hawa: hamosu eno huluane da “Isala: ili hina bagade Ilia Hamonanu Meloa’, amo ganodini dedene legei.
Kama kwa mabo mengine yanayomuhusu Menahemu, na yote aliyoyafanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya waflme wa Israeli?
22 Menaheme da bogole, uli dogone sali. Egefe Begahaia da e bagia, Isala: ili hina bagade hamoi.
Hivyo Menahemu akalala pamoja na babu zake, na Pekahia mtoto wake akawa mfalme katika mahala pake.
23 Yuda hina bagade Asaia da Yuda fi ode 50 agoanega ouligilalu, Begahaia (Menaheme egefe) da Isala: ili hina bagade hamoi. E da Samelia moilai bai bagadega esala, ode aduna Isala: ili fi ouligilalu.
Katika mwaka wa hamsini wa Azaria mfalme wa Yuda, Pekahia mwana wa Menahemu akaanza kutawala juu ya Israeli katika Samaria; alitawala kwa muda wa miaka miwili.
24 E amola da hina bagade Yelouboua: me (amo da Isala: ili fi wadela: le hamoma: ne oule asi) amo ea hou defele, Hina Godema wadela: le hamoi.
Alifanya yaliyo maovu usoni pa Yahwe. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambazo kwa hizo alisababisha Israeli kufanya dhambi.
25 Begahaia ea dadi gagui wa: i ouligisu dunu afae ea dio amo Biga (Lemalaia egefe) da dunu 50 agoane gilisili, Begahaia medomusa: sia: sa: i. Ilia da Samelia moilai bai bagadega hina bagade diasu ganodini gagili sali sesei, amo ganodini Begahaia medole legei. Amalalu, Biga da Begahaia bagia, Isala: ili hina bagade hamoi.
Pekahia alikuwa na afisa aliyekuwa anaitwa Peka mwana wa Remalia, ambaye alifanya njama dhidi yake. Pamoja na watu hamsini wa Gileadi, Peka akamuua Pekahia pamoja na Argobu na Arie katika Samaria, katika ngome ya nyumba ya mfalme. Peka akamuua alipomua Pekahia akawa mfalme katika mahala pake.
26 Begahaia ea hawa: hamosu eno huluane da “Isala: ili hina bagade Ilia Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Pekahia, yote aliyoyafanya, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
27 Yuda hina bagade Asaia da Yuda fi ode 52 agoane ouligilalu, Biga (Lemalaia egefe) da Isala: ili hina bagade hamoi. E da Samelia moilai bai bagadega esala, ode 20 agoanega Isala: ili fi ouligilalu.
Katika mwaka wa hamsini na mbili wa Azia mfalme wa Yuda, Peka mwana wa Remalia akaanza kutawala juu ya Israeli katika Samaria; alitawala miaka Ishirini.
28 E da hina bagade Yelouboua: me (e da Niba: de egefe amola e da Isala: ili fi wadela: le hamoma: ne oule asi) amo ea hou defele, Hina Godema wadela: le hamoi.
Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabati, ambaye alisababisha Israeli kufanya dhambi.
29 Biga da Isala: ili fi ouligilaloba, Digala: de Bilisa (Asilia hina bagade) da Aidione amola A: ibele Bede Ma: iaga, Yanoua, Gidese, amola Ha: iso moilai bai bagade gagai ili fedelai. Amola e da Gilia: de amola Ga: lili amola Na: fadalai soge ili fedelai. Amo sogega esalu dunu huluane, e da gagulaligili, Asilia sogega udigili hawa: hamomusa: mugululi asunasi.
Katika siku za Peka mfalme wa Israeli, Tiglath Pileseri mfalme wa Ashuru akaja na kuichukua Iyoni, Abel Beth Maaka, Yanoa, Kadeshi, Hazori, Gileadi, na nchi yote ya Naftali. Akawachukua hao watu hadi Ashuru.
30 Yuda hina bagade Youda: me (Asaia egefe) ea ouligibi ode 20 amoga, Hia (Ila egefe) da Isala: ili hina bagade Biga medomusa: wamo sia: sa: ili, e medole legei dagoi. Amalalu, e da Biga bagia Isala: ili hina bagade hamoi.
Hivyo Hoshea mwana wa Ela akafanya njama dhidi ya Peka mwana wa Remalia. Akaishambulia na kisha kumuua. Kisha akawa mfalme katika mahali pake, katika mwaka wa ishirini wa Yothamu mwana wa Uzia.
31 Biga ea hawa: hamosu eno huluane da “Isala: ili hina bagade Ilia Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Peka, yote aliyoyafanya, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
32 Isala: ili hina bagade Biga (Lemalaia egefe) da ode aduna Isala: ili fi ouligilalu, Youda: me (Asaia egefe) da Yuda fi ilia hina bagade hamoi.
Katika mwaka wa pili wa Peka mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli, Yothamu mwana wa Azaria, mfalme wa Yuda akaanza kutawala.
33 Youda: me da lalelegele ode 25 agoane esalu, e da muni Yuda fi ilia hina bagade hamoi. E da Yelusaleme moilai bai bagadega esala, Yuda fi amo ode 16 agoane ouligilalu. Ea ame da Yilusia (Sa: idoge ea idiwi).
Alikuwa na umri wa miaka ishirini alipoanza kutawala; alitawala kwa muda wa miaka kumi na sita katika Yerusalimu. Mama yake alikuwa anaitwa Yerusha; alikuwa binti ya Sadoki.
34 Youda: me da ea ada Asaia ea hou dawa: le, e defele, Hina Gode hahawane ba: ma: ne, molole hamoi.
Yotahmu alifanya yaliyo sahihi usoni pa Yahwe. Alifuata mfano wa yote baba yake Azaria aliyofanya.
35 Be e da ogogosu ‘gode’ma nodone sia: ne gadosu sogebi amo hame mugului. Amola amogawi, dunu ilia da ohe amola gabusiga: manoma gobele salalusu. Youda: me da Debolo Diasu Ga (North) Logo Ga: su gagui.
Ila, mahali pa juu hapakuchukuliwa. Watu walikuwa wakitio sadaka na kufukiza ubani katika mahali pa juu. Yothamu akajenga lango la juu la nyumba ya Yahwe.
36 Youda: me ea hawa: hamosu eno huluane da “Yuda hina bagade Ilia Hamonanu Meloa”, amo ganodini dedene legei.
Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Yothamu, na yote aliyoyafanya, je yameandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
37 E da Yuda fi ouligilaloba, Hina Gode da bisili Silia hina bagade Lisini amola Isala: ili hina bagade Biga elea Yuda doagala: ma: ne asunasi.
Katika zamani hizo Yahwe akaanza kumtuma dhidi ya Yuda Rezini mfalme wa Sahmu, na Peka mwana wa Remalia.
38 Youda: me da bogobeba: le, hina bagade uli dogosu sogebi Da: ibidi Moilai Bai Bagade amo ganodini uli dogone sali. Amalu eagofe A: iha: se da e bagia, Isala: ili hina bagade hamoi.
Yothamu akalala pamoja na babu zake na akazikwa pamoja na babu zake katika mji wa Daudi, babu yake. Kisha Ahazi, mtoto wake, akwa mfalme katika mhali pake.

< 2 Hina 15 >