< 2 Hina 13 >
1 Yuda hina bagade Youa: se (A: ihasaia egefe) da Yuda fi ode23 ouligilalu, Yihouaha: se (Yihiu egefe) da Isala: ili fi ilia hina bagade hamoi. E da Samelia moilai bai bagadega esala, ode 17 agoanega Isala: ili fi ouligilalu.
Katika mwaka wa ishirini na tatu wa Yoashi mwana wa Ahazia mfalme wa Yuda, Yehoazi mwana wa Yehu alianza kutawala juu ya Israeli katika Samaria; alitawala miaka kumi na saba.
2 Yihouaha: se da musa: hina bagade Yelouboua: me defele, Hina Godema wadela: le hamoi, amola Isala: ili fi dunu ilia wadela: le hamoma: ne oule asi. E da ea wadela: i hou hamedafa yolesi.
Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe na kufuata dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambaye alisababisha Israeli kuasi; na Yehoazi hakurudi kutoka kwao
3 Amaiba: le, Hina Gode da Isala: ili fi ilima ougi galu. Hina Gode da logo doasiba: le, Silia hina bagade Ha: sa: iele amola eagofe Beneha: ida: de da eso bagohame Isala: ili fi hasalalusu.
Hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli, na akaendelea kuwakabidhi kwenye mikono ya Hazaeli mfalme wa Shamu na kwenye mikono ya Ben Hadadi mwana wa Hazaeli.
4 Amalalu, Yihouaha: se da Hina Godema sia: ne gadoi. Amola Hina Gode da Silia hina bagade da Isala: ili fima gasa fili, ilima se bagade iabe, amo dawa: beba: le, ea sia: ne gadosu nabi dagoi.
Hivyo Yehoazi akamsihi Yahwe, na Yahwe akamsikiliza kwa sababu aliona mateso ya Israeli, vile mfalme wa Shamu alivyokuwa akiwatesa.
5 Hina Gode da Isala: ili fima gaga: su dunu asunasi. Silia fi da Isala: ili fima gasa fili hamoi, be amo gaga: su dunu da Isala: ili fi amo geiba: le, ilia da bu olofole esalebe ba: i.
Basi Yahwe akawapa Israeli ulinzi, na wakakimbia kutoka kwenye mikono ya Washami, na watu wa Israeli wakaanza kuishi kwenye nyumba zao kama walivyokuwa kabla.
6 Be Isala: ili fi dunu da wadela: i hou amo hina bagade Yelouboua: me da musa: ilia hamoma: ne oule asi, amo da mae yolesili, bu hamonanu. Amola wadela: i uda ogogosu ‘gode’ Asila amo ea loboga hamoi agoaila, da Samelia soge ganodini dialebe ba: i.
Hata hivyo, hawakuziacha dhambi za nyumba ya Yeroboamu, ambaye alisabisha Israeli kuasi, na wakaendelea katika hayo; na huyo Ashera akabaki hivyo katika Samaria.
7 Yihouaha: se ea dadi gagui wa: i da wadela: lesi dagoi ba: i. Hosiga fila heda: i dadi gagui 50 agoane amola ‘sa: liode’ nabuyane amola emoga ahoasu dadi gagui dunu 10,000 agoane fawane esalebe ba: i. Bai eno huluane, amo Silia hina bagade da gugunufinisi dagoi. E da ilima hasalasili, osa: gili, ili ba: le osobo gulu defele ba: i.
Washami wakamuacha Yehoazi pamoja na waendesha farasi hamsini tu, magari ya farasi kumi, na watembea kwa miguu elfu kumi, kwa ajili ya mfalme wa Shamu alikuwa ameiharibu na kuwafanya kama makapi yaliyopurwa.
8 Yihouaha: se ea hawa: hamosu eno amola ea gesa: i hamoi amo huluane da “Isala: ili hina bagade Ilia Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
Kama mambo mengine yanayomuhusu Yehoazi, na yote aliyoyafanya na nguvu zake, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
9 Yihouaha: se da bogole, Samelia sogega uli dogone sali. Egefe Yihoua: se da e bagia, Isala: ili hina bagade hamoi.
Basi Yehoyazi akalala na mababu zake, na wakamzika katika samaria. Yohoashi mwanaye akawa mfalme katika sehemu yake.
10 Yuda hina bagade Youa: se ea ouligibi ode37 amoga, Yihoua: se (Yihouaha: se egefe) da Isala: ili hina bagade hamoi. E da Samelia moilai bai bagadega esala, ode 16 agoanega Isala: ili fi ouligilalu.
Katika mwaka wa thelathini na saba wa Yoashi mfalme wa Yuda, utawala wa Yehoashi mwana wa Yehoazi ulianza juu ya Israeli katika Samaria; alitawala miaka kumi na sita.
11 E amolawane da Hina Godema wadela: le hamoi. E da hina bagade Yelouboua: me amo da Isala: ili fi wadela: le hamoma: ne oule asi, amo ea hou defele hamosu.
Akafanya yaliyo maovu kwenye uso wa Yahwe. Hakuacha nyuma dhambi zozote za Yeroboamu mwana wa Nebati, kwa kuwa aliwafanya Israeli kuasi, lakini alitembea pamoja nao.
12 Yihoua: se ea hawa: hamosu eno, amola Isala: ili da Yuda hina bagade A: masaiama gegenoba, ea gesa: i hou, amo huluane da “Isala: ili hina bagade Ilia Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Yehoashi, na yote aliyoyafanya, na shujaa wake ambaye aliyepigana dhidi ya Amazia mfalme wa Yuda, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
13 Yihoua: se da bogole, hina bagade bogoi uli dogosu sogebi Samelia soge ganodini, amoga uli dogone sali. Egefe Yelouboua: me ea gona: su da e bagia, hina bagade hamoi.
Yehoashi akalala na mababu zake, na Yeroboamu akakalia kiti chake cha enzi cha kifalme. Yehoashi akazikwa katika Samaria pamoja na wafalme wa Israeli.
14 Balofede dunu Ilaisia da hame uhini bogosu olo madelai. E da bogomusa: dialoba, Isala: ili hina bagade Yihoua: se da e ba: la asi. E da disa amane sia: i, “Na ada! Na ada! Di da Isala: ili fi ilia gaga: sudafa dunu galu!”
Basi Elisha akaugua ugonjwa ambao baadae ulimuua, hivyo Yehoashi yule mfalme wa Israeli akashuka chini kwake na kumlilia juu yake. Akasema, “Baba yangu, baba yangu, haya magari ya farasi ya Israeli na hawa waendesha farasi wanakuchukua!”
15 Ilaisia da ema amane hamoma: ne sia: i, “Dia dadi lama!” Yihoua: se da dadi lai.
Elisha akamwambia, “Chukua upinde na mishale,” basi Yoashi akachukua upinde na mishale.
16 Ilaisia da ema amane sia: i, “Di amoga gala: musa: momagema!” Yihoua: se da amane hamobeba: le, Ilaisia da hina: lobo amo hina bagade ea lobo aduna da: iya ligisi.
Elisha akamwambia mfalme wa Israeli, “Weka mkono wako kwenye upinde,” basi akaweka mkono wake kwenye huo. Kisha Elisha akalaza mikono yake kwenye mikono ya mfalme.
17 Amalalu, Ilaisia da amane hamoma: ne sia: beba: le, hina bagade da fo misa: ne agenesi amo da Silia sogedili ba: le gai, amo doasi. Ilaisia da amane sia: i, “Dadiga gala: ma!” Hina bagade da gala: i dagoloba, balofede Ilaisia da amane sia: i, “Di da Hina Gode Ea dadi gala! E da amo dadiga, Silia hasalimu! Di da A: ifege moilaiga Silia fi doagala: le, gegenanu, ili hasalimu.”
Elisha akasema, “Fungua dirisha upande wa mashariki,” basi akalifungua. Kisha Elisha akasema, “Funga”, na akafunga. Elisha akasema, “Huu ndiyo mshale wa ushindi wa Yahwe, huu mshale wa ushindi juu ya Shamu, kwa kuwa utawapiga Washami katika Afeki hadi utakapowaangamiza.”
18 Amalalu, Ilaisia da hina bagadema amane sia: i, “Sou doboi eno lale, amoga osobo da: iya fama!” Hina bagade da udiana agoane osoba fane, yolesi.
Kisha Elisha aksema, “Chukua mishale,” basi Yoashi akaichukua. Akamwambia mfalme wa Israeli, “Piga chini pamoja nao,” na akapiga chini mara tatu, kisha akaacha.
19 Amo ba: beba: le, Ilaisia da ougi ba: i. E da Yihoua: sema amane sia: i, “Di da osoba gafeyale o fesuale agoane famu da defea galu. Amai ganiaba, di da Silia dunu dafawanedafa hasalala: loba. Be wali di da gegesu udiana fawane, amoga ili hasalimu.”
Lakini mtu wa Mungu alikuwa na hasira naye na akasema, “Ungelipiga chini mara tano au mara sita. Ndipo ungeipiga Shamu hadi kuiangamiza, lakini sasa utaipiga Shamu mara tatu tu.”
20 Ilaisia da bogole, uli dogone sali. Ode huluane amoga, Moua: be dunu gilisi ilia da Isala: ili sogega doagala: musa: golili dasu.
Kisha Elisha akafa, na wakamzika. Sasa vikundi vya Wamoabi wakaingia kwenye nchi mwanzoni mwa mwaka.
21 Eso afaega, Isala: ili dunu oda da dunu bogoi uli dogone salaloba, ilia da Moua: be dunu ilima gegemusa: manebe ba: beba: le, ilia da bogoi da: i hodo Ilaisia ea bogoi uli dogoi gelaba gudu galagudulalu, hobea: i. Bogoi da: i hodo da Ilaisia ea gasa digibiba: le, bogoi dunu da bu uhini wa: legadoi.
Ikawa walipokuwa wakimzika huyo mtu, wakaona kundi la Wamoabi, hivyo wakautupia ule mwili kwenye kaburi la Elisha. Mara yule mtu alipoigusa mifupa ya Elisha, alifufuka na kusimama kwa miguu yake.
22 Silia hina bagade Ha: sa: iele da Yihouaha: se ea ouligibi ode huluane amoga, Isala: ili fi doagala: le, ili banenesisu.
Hazaeli mfalme wa Shamu akawatesa Israeli siku zote za Yehoazi.
23 Be Hina Gode da Isala: ili fima asigiba: le, Ha: sa: iele da ili dafawanedafa hame gugunufinisisu. Hina Gode da Isala: ili fi fidisu. Bai E da Ea Gousa: su E da A: ibalaha: me amola Aisage amola Ya: igobe ilima hamoi, E da dawa: i galu. E da Ea fidifa hame gogolei.
Lakini Yahwe aliwahurumia Israeli, na alikuwa na huruma juu yao na kushuhulika kwa ajili yao, kwa sababu ya agano lake na Ibrahimu, Isaka, na Yakobo. Hivyo Yahwe hakuwaangamiza, na bado hakuwatupa kutoka kwenye uwepo wake.
24 Silia hina bagade da bogobeba: le, egefe Beneha: ida: de da e bagia, Silia hina bagade hamoi.
Hazaeli mfalme wa Shamu akafa, na Ben Hadadi mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.
25 Amalalu, Isala: ili hina bagade Yihoua: se da udiana agoane Beneha: ida: de hasasali. Amola, e da moilai amo Beneha: ida: de da Yihouaha: se (Yihoua: se eda) amo ea ouligilaloba fefedelai, Yihoua: se da amo moilai huluane bu samogei.
Yehoashi mwana wa Yehoazi akairudisha kutoka kwa Ben Hadadi mwana wa Hazaeli miji ambayo aliichukua kutoka Yehoazi baba yake kwa vita. Yehoashi akamshambulia mara tatu, na akaipata miji ya Israeli.