< 2 Hina 10 >
1 Musa: Isala: ili hina bagade A: iha: be egaga fi misi dunu 70 agoane da Samelia ganodini esalebe ba: i. Yihiu da meloa dedene, amaiwane amo defele eno mogili hahamone, Samelia asigilai dunu amola moilai ouligisu dunu amola A: iha: be egaga fi misi dunu ilia ouligisu dunu, amo huluanema iasi. E dedei da amane dedei,
Basi Ahabu alikuwa na watoto sabini katika Samaria. Yehu akaandika barua na kuzituma kwenda Samaria, kwa watawala wa Yezreeli, pamoja na wazee na walinzi wa wana wa Ahabu akisema,
2 “Dilia da hina bagade A: iha: be egaga fifi misi dunu amo ouligisa. Dilia da ‘sa: liode’ amola hosi amola gegesu liligi gagui gala. Amaiba: le, amo meloa dedei da dilima doaga: sea,
“Wana wa bwana wako wako pamoja na wewe, na wewe pia una magari ya farasi na farasi na kuimarisha mji dhidi ya maadui na silaha. Hivyo basi, haraka iwezekanavyo barua hii ikufikiapo,
3 dilia hedolowane baligili dawa: su hina bagade egaga fi dunu afae, dilia hina bagade hamoma: ne ilegema. Amasea, e gaga: ma: ne, ninima gegema!”
mchagueni aliye bora na anayestahili miongoni mwa mtoto wa bwana wenu na kumuweka kwenye kiti cha kifalme cha baba yake, na kupigania ufalme wa bwana wenu.”
4 Samelia ouligisu dunu da bagadewane beda: gia: i. Ilia da amane sia: i, “Ninia da habodane Yihuma ha lale, gegema: bela: ? Hina bagade Youla: me amola hina bagade A: ihasaia da e hasalasimu hamedei ba: i.”
Lakini waliogopa na kusema miongoni mwao, “Tazama, wafalme wawili hawatasimama mbele ya Yehu. Hivyo tutasimamaje?”
5 Amaiba: le, hina bagade diasu ouligisu dunu amola moilai ouligisu dunu amola asigilai dunu amola A: iha: be egaga fi dunu ilia ouligisu dunu, ilia da Yihuma amane sia: si, “Ninia da dia hawa: hamosu dunu esala. Ninia da dia sia: be liligi defele hamomusa: momagele esala. Be ninia da hina bagade hame ilegemu. Dia adi hou da noga: i di dawa: sea, amo hamoma!”
Kisha yule mtu ambaye alikuwa kiongozi kwenye nyumba ya mfalme, na wale waliowalea watoto, wakatuma ujumbe kwa Yehu, kusema, “Sisi ni watumishi wako. Tutafanya chochote utakacho tuamuru. Hatutamfanya mtu yeyote kuwa mfalme. Fanya lile lililojema machoni pako.”
6 Yihiu da ilima meloa eno dedene iasi, “Dilia da namagai galea, amola na hamoma: ne sia: i amo hamomusa: momagele esalea, hina bagade A: iha: be egaga fi dunu huluane ilia dialuma amo aya wewaba, Yeseliele moilai bai bagadega nama gaguli misa: !” (Samelia asigilai dunu, ilia da hina bagade A: iha: be egaga fifi misi dunu ouligisu. Asigilai dunu da ili bugili ianu.)
Kisha Yehu akaandika barua mara ya pili, akisema, “Kama mko upande wangu, na kama mtasikiliza sauti yangu, mtachukua vichwa vya watu wa wana wa mabwana wenu, na mje kwangu Yezreeli kesho mda kama huu.” Ndipo wana wa wafalme, sabini kwa hesabu, waliokuwa watu muhimu huko mjini, ambao walikuwa wakiwaleta.
7 Yihiu ea meloa dedei da ilima doaga: loba, Samelia moilai bai bagade ouligisu dunu, ilia da A: iha: be egaga fi dunu 70 agoane huluane medole lelegele, ilia dialuma damuni fasili, daba ganodini salawene, Yeseliele moilai bai bagadega Yihuma iasi.
Hivyo barua ilipokuja kwao, waliwachukua wana wa wafalme na kisha kuwaua, watu sabini, wakaweka vichwa vyao kwenye vikapu, na kuivituma kwa Yehu katika Yezreeli.
8 Ilia da Yihuma, A:iha: be egaga fi dunu ilia dialuma da gaguli misi dagoi adobeba: le, e da amo dialuma gasa huluane mogili aduna ligiagale moilai gagoi logo holei gadenene ligisi, dialeawane hahabe hadigima: ne sia: i.
Mjumbe mmoja akaja kwa Yehu, akisema, “Wamevileta vile vichwa vya watoto wa wafalme.” Hivyo akasema, viwekeni kwenye mafungu mawili kwenye lango hadi asubuhi.”
9 Golale hahabe, e da logo holeiga asili, amoga gilisi dunu ilima amane sia: i, “Ni fawane da hina bagade medole legema: ne wamo ilegele, amola e dafawane medole legei. Dilia hame! Be amo dunu amo nowa da medole legebela: ?
Asubuhi Yehu akatoka nje na kusimama, na kusema kwa watu wote, “Ninyi hamna hatia. Tazameni, nimefanya fitina dhidi ya bwana wangu na kumuua, lakini ni nani aliyewaua hawa wote?
10 Hina Gode da Ea balofede dunu Ilaisiamadili, hou huluane amo da A: iha: be egaga fima misunu hou, olelei dagoi. Amola ilia huluane da medole legeiba: le, amo hou da dafawane doaga: i dagoi dawa: ma!”
Sasa hakika tafakarini kwamba hakuna sehemu ya neno la Yahwe, lile alilonena Yahwe kuhusu familia ya Ahabu, itaanguka kwenye aridhini, kwa kuwa Yahwe amefanya kile alichokiongea kupitia mtumishi wake Eliya.”
11 Amalalu, Yihiu da A: iha: be egaga sosogo fi huluane Yeseliele ganodini esala, amola ea eagene ouligisu dunu amola ea dogolegei amola ea gobele salasu dunu, ili huluanedafa, ea medole legei. Dunu afae esalebe da hamedafa ba: i.
Basi Yehu akawaua wote waliokuwa wamebakia wa familia ya Ahabu katika Yezreeli, na watu wake muhimu wote, marafiki zake wa karibu, na makuhani wake, hakuna hata mmoja wao alisalia.
12 Yihiu da Yeseliele fisili, Samelia amoma doaga: musa: asi. Logoga ahoanoba, e da sogebi ea dio amo “Sibi Ouligisu Fisisu” amoga,
Kisha Yehu akainuka na kuondoka; akaenda Samaria. Kadiri alivyokuwa akikaribia Bethi Ekedi ya wachungaji,
13 e da hina bagade A: ihasaia bogoi, amo ea sosogo fi oda ba: i. E da ilima amane adole ba: i, “Dili da nowala: ?” Ilia da bu adole i, “Nini da A: ihasaia ea sosogo fi dunu. Ninia da hina bagade uda Yesebele ea manolali amola hina bagade sosogo fi eno Yeselielega esala, ilima asigi sia: saimusa: masunu.”
akamlaki na ndugu wa Ahazia mfalme wa Yuda. Yehu akawaambia, “Ninyi ni akina nani?” Wakajibu, “Sisi ni ndugu zake na Ahazia, na tunashuka chini kuwasalimia watoto wa mfalme na watoto wa Malkia Yezebeli.”
14 Yihiu da ea dunuma amane hamoma: ne sia: i, “Ili mae medole, gagulaligima!” Ilia da ili huluane gagulaligili, Yihiu da uli dogoi amogai dialu, amo gadenene ili huluane medole legei. Ilia idi da 42 agoane, amola dunu afae esalebe hame ba: i.
Yehu akawaambia watu wake mwenyewe, “Wachukue wakiwa hai.” Hivyo wakawachukua wakiwa hai na kuwaua kwenye kisima cha Bethi Ekedi, watu wote arobaini na mbili. Hakumwacha hata mmoja wao akiwa hai.
15 Yihiu da bu logoga ahoanoba, Yonada: be (Liga: be egefe) yosia: i. Yihiu da ema hahawane sia: ne, amane sia: i, “Ania asigi dawa: su da defele diala. Di da na fuli gala: ma: bela: ?” Yonada: be da bu adole i, “Ma! Na da dimagai dialumu!” Yihiu da bu adole i, “Defea! Amaiba: le, gousa: la: di!” Ela da gousa: lu, Yihiu da Yonada: be ‘sa: liode’ da: iya fila heda: ma: ne, lobolele gadoi.
Baada ya Yehu kuondoka huko, akakutana na Yehonadabu mwana wa Rekabu anakuja kukutana naye. Yehu akamsalimia na kisha akamwambia, “Je moyo wako uko na mimi, kama moyo wangu ulivyo pamoja na wako?” Yehonadabu akajibu, Ndio.” Yehu akasema, “kama ni ndio, nipatie mkono wako.” Kisha Yehonadabu akampatia mkono wake, na Yehu akampandisha Yehonadabu juu kwenye magari ya farasi pamoja naye.
16 Yihiu da amane sia: i, “Ani ahoa: di! Di da na Hina Godema fawane fa: no bobogesu hou ba: mu!” Elea da ‘sa: liode’ da: iya fila heda: le, Samelia moilai bai bagadega doaga: le,
Yehu akasema, “Fuatana pamoja nami na uone wivu wangu kwa Yahwe.” Hivyo alikuwa na Yehonadabu akiendesha gari la farasi.
17 Yihiu da A: iha: be ea sosogo huluanedafa medole legei. E da dunu afae esaloma: ne hame yolesi. Amo hou Hina Gode da Ilaisiama olelei, amo defele doaga: i dagoi ba: i.
Wakati alipokuja Samaria, Yehu akawaua wote waliobakia kutoka uzao wa Ahabu katika Samaria, hata akawaangamiza ukoo wa kifalme wa Ahabu, kama walivyokuwa wameambiwa kabla ya neno la Yahwe, ambalo aliloambiwa Eliya.
18 Yihiu da Samelia fi dunu huluane gilisima: ne sia: ne, ilima amane sia: i, “Hina bagade A: iha: be da Ba: ilema fonobahadi hawa: hamonanu. Be na da Ba: ilema asigiba: le, baligiliwane ema hawa: hamomu.
Kisha Yehu akawakusanya watu wote akwaambia, “Ahabu alimtumikia Baali kidogo, lakini Yehu atamtumikia sana.
19 Dilia Ba: ile ea balofede dunu amola ema nodone sia: ne gadosu dunu amola ea gobele salasu dunu huluanedafa guiguda: gilisima: ne sia: ma. Afae mae yolesima. Na da Ba: ilema gobele salasu bagadedafa hamomu. Amola nowa da hame masea, ninia da amo dunu medole legemu.” (Yihiu da ogogoi. E da Ba: ilema nodone sia: ne gadosu dunu huluane medole legemusa: ilegeiba: le, ili gilisima: ne sia: i)
Basi niitieni manabii wote wa Baali, wote wamwabuduo, na makuhani wake wote. Asikosekane mtu hata mmoja, kwa kuwa nina dhabihu kubwa nataka kutoa kwa Baali. Yeyote atakayeshindwa kuja hataishi.” Lakini Yehu alifanya haya kwa udanganyifu, kwa dhamira ya kuwaua wanaomwabudu Baali.
20 Amalalu, Yihiu da amane hamoma: ne sia: i, “Ba: ilema nodoma: ne, nodone sia: ne gadomusa: eso bagadedafa ilegema!” Ilia da amo eso ilegei.
Yehu akasema, “Tengeni mda tuwe na mkutano kwa ajili ya Baali.” Hivyo wakalitangaza.
21 Amalu, Yihiu da Isala: ili soge huluane ganodini dunu huluane da amo nodone sia: ne gadosu amoga misa: ne sia: si. Ba: ilema nodone sia: ne gadosu dunu huluanedafa da misi. Ilia huluane da Ba: ile ea debolo diasu ganodini golili sa: ili, debolo diasu da nabaidafa ba: i.
Kisha Yehu akatuma Israeli yote na wamwabuduo Baali waje, hivyo basi hakuna mtu hata mmoja ambaye aliacha kuja. Walikuja kwenye hekalu la Baali, na ilijaa kutoka mwanzo hadi mwisho.
22 Amalalu, Yihiu da Ba: ile gobele salasu dunu amo da sema abula ouligi, amo sema abula lale, nodone sia: ne gadosu dunu iligili ima: ne sia: i.
Yehu akamwambia yule mtu aliyekuwa anatunza kabati la nguo za makuhani, “Uwatolee mavazi wote wamwabuduo Baali.” Basi yule mtu akawatolea nguo.
23 Amalalu, Yihiu hisu da Yonada: be (Liga: be egefe) oule, debolo diasu ganodini golili sa: ili, dunu amo ganodini gilisi dialu ilima amane sia: i, “Gilisisu ganodini hogoma! Ba: ilema nodone sia: ne gadosu dunu fawane esaloma: ne sia: ma. Hina Godema nodone sia: ne gadosu dunu da goegai mae esaloma: ne sia: ma.”
Basi Yehu akaingia pamoja na Yohonadabu mwana wa Rekabu kwenye nyumba ya Baali, na kisha akawaambia wanaomwabudu Baali, “Tafuteni na muhahakishe kwamba hakuna mtu hapa pamoja na ninyi kutoka watumishi wa Yahwe, lakini wamwabuduo Baali peke yao.”
24 Amalalu, e amola Yonada: be da Ba: ilema gobele salimusa: golili sa: i. E da musa: dunu 80 agoane debolo gadili hamega leloma: ne ilegele, ilima amane sia: i, “Dilia amo dunu huluane fane legema. Nowa da dunu afae esaloma: ne yolesisia, e da dabele, medole legei dagoi ba: mu!”
Kisha wakaenda kutoa dhabihu na sadaka ya kutekeza. Basi Yehu alichagua watu themanini ambao walikuwa wamesimama nje, na aliwaambia, Kama mtu yeyote miongoni mwa hawa watu ambao nimewaleta kwenye mikono yenu atoroke, yeyote atakayemwacha huyo mtu atoroke, maisha yake yatachukuliwa kwa ajili ya yule aliyeokoka.”
25 Yihiu da gobele salasu liligi ianu, sosodo aligisu dunu amola dadi gagui wa: i ouligisu dunu ilima amane sia: i, “Ganodini golili sa: ili, dunu huluanedafa medole legema! Afae da maedafa hobeama: ma!” Ilia da gegesu gobihei duga: le gadole, ganodini golili sa: ili, Ba: ilema nodone sia: ne gadosu dunu huluanedafa medole lelegele, ilia da: i hodo moiya gadili hiougili sasali.
Hivyo kisha baada ya mda mfupi Yehu alipomaliza kutoa sadaka ya kutekezwa, akamwambia mlinzi na manahodha, “Ingieni na muwaue. Msimwache mtu yeyote atoke.” Basi waliwaua kwa makali ya upanga, na mlinzi na manahodha wakawatupa nje na kwenda kwenye chumba cha ndani cha nyumba ya Baali.
26 Ilia da duni bugi ifa (amo da sema galu) amogai diala, amo gadili gaguli asili, laluga ulagili sali.
Wakazitoa nguzo za mawe ambazo zilikuwa kwenye nyumba ya Baali, na kisha kuzichoma.
27 Ilia da amaiwane sema ifa duni bugi amola debolo diasu amo wadela: lesi. Ilia da debolo ea hou afadenene bu iga giasu diasu hamoi. Amola amo da wali amaiwane diala. (Amo da eso dedei amoga amaiwane diala)
Kisha wakazivunja zile nguzo za Baali, na kuiharibu nyumba ya Baali na kuifanya choo, ambacho kipo hadi leo.
28 Yihiu da amanewane Isala: ili soge ganodini, Ba: ilema nodone sia: ne gadosu hou gugunufinisi dagoi.
Hivi ndivyo ambavyo Yehu alivyomharibu muabudu Baali kutoka Israeli.
29 Be e da hina bagade Yelouboua: me (amo da gouliga hamoi bulamagau gawali mano aduna Bedele moilai amola Da: ne moilai ligisiba: le, Isala: ili dunu fi wadela: le hamoma: ne oule asi) Yihiu da ea hou defele hamoi.
Lakini Yehu hakuacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambayo ilfanya Israeli kutenda dhambi-ambayo ni, kumwabudu ndama wa dhahabu katika Betheli na Dani.
30 Hina Gode da Yihuma amane sia: i, “Di da Na hamoma: ne hanai huluane A: iha: be egaga fima hamoi dagoi. Amaiba: le, Na da dima dafawane ilegele sia: sa. Digaga fifi misi biyadu amo, ilia da Isala: ili hina bagade hamomu.”
Hivyo Yahwe akamwambia Yehu, “Kwa kuwa umefanya vema kwa kufanya yaliyo sahihi kwenye macho yangu, na kumailiza kwenye nyumba ya Ahabu kulingana na yote yaliyokuwa kwenye moyo wangu, uzao wako utakaa kwenye kiti cha Israeli hadi kizazi cha nne.”
31 Be Yihiu da dafawanedafa nabasu hou hame hamoi. E da Isala: ili Hina Gode Ea Sema amo noga: le hame hamoi. Be amomane e da Yelouboua: me (amo da Isala: ili fi dunu wadela: le hamoma: ne, oule asi) amo ea hou defele hamoi.
Lakini Yehu hakujali kutembea kwenye sheria ya Yahwe, Mungu wa Israeli, kwa moyo wake wote. Hakugeuka kutoka kwenye dhambi za Yeroboamu, ambayo iliwafanya Israeli kutende dhambi.
32 Amogalu Hina Gode da muni Isala: ili soge fonoboma: ne hamoi. Silia hina bagade Ha: sa: iele da Isala: ili soge amo da Yodane Hano gusudili diala, ga (south) asili, Aloua moilai (Anone Hano bega: diala) amo huluane hasali. Amo soge ganodini, Gilia: de amola Ba: isia: ne soge dialebe ba: i. Amola amo ganodini, Ga: de fi amola Liubene fi amola Gusu Ma: na: se fi, ilia da amo soge ganodini esalebe ba: i.
Siku zile Yahwe akaanza kupunguza mikoa ya Israeli, na Hazaeli kuwashinda Waisraeli mipakani mwa Israeli,
kutoka Yordani upande wa mashariki, nchi yote ya Gileadi, Wagadi, na Wareubeni, na Wamanase, kutoka Aroeri, alipo karibu na bonde la Arnoni, kupita Geleadi hadi Bashani.
34 Yihiu ea hou eno huluane, amola ea nimi gesa: i hou da “Isala: ili hina bagade Ilia Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
Kama kwa mambo mengine yamhusuyo Yehu, na yote aliyoyafanya, na ushujaa wake, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
35 Yihiu da bogole, Samelia moilai bai bagadega uli dogone sali. Egefe Yihouaha: se, da e bagia Isala: ili hina bagade hamoi.
Yehu akalala na wazee wake, na walimzika katika Samaria. Kisha Yehoahazi mwanaye akawa mfalme katika sehemu yake.
36 Yihiu da Samelia moilai bai bagadega esala, ode 28 agoanega Isala: ili fi ouligilalu.
Mda ambao Yehu alitawala juu ya Israeli katika Samaria ulikuwa miaka ishini na nane.