< 2 Yone 1 >
1 Na da Asigilai Dunu. Na da dogolegei Uda amola ea manolali, dilima meloa dedene iaha. Na dilima bagadewane asigisa, be na fawane hame. Dunu huluane amo da dafawane hou lalegagui, ili amola da dilima bagadewane asigisa.
Kutoka kwa mzee kwenda kwa mwanamke mteule na watoto wake, ambao niwapendao katika kweli na si mimi tu, bali na wote wale wanao ifahamu kweli,
2 Bai dafawanedafa hou da ninia dogo ganodini diala amola mae fisili eso huluane dialumu. (aiōn )
kwa sababu ya kweli iliyomo ndani yetu na itakayodumu pamoja nasi milele. (aiōn )
3 Ada Gode amola Ada Egefe amo Yesu Gelesu da hahawane dogolegele iasu, gogolema: ne olofosu amola olofosudafa ninima imunu da defea. Amo hou da dafawane hou amola asigi hou amo ganodini ninia dogo ganodini aligila sa: i dagoi ba: mu da defea.
Neema, rehema, amani zitakuwa nasi kutoka kwa Mungu Baba na kutoka kwa Yesu Kristo, Mwana wa Baba, katika kweli na pendo.
4 Na da dilia fi mogili da dafawane hou (Adadafa ninia hamoma: ne sia: i dagoi liligi amo defele), amo ganodini esala nababeba: le, hahawane ba: i.
Ninafurahi sana kwamba nimegundua baadhi ya watoto wanaenenda katika kweli, kama vile tu tulivyoipokea amri hii kutoka kwa Baba.
5 Amaiba: le, dogolegei Uda, na dima edegesa. Ninia gilisili enoma enoma asigimu da defea. Amo sia: na dima dedesa da gaheabolo hamoma: ne sia: i hame. Ninia da amo hamoma: ne sia: i degabo nabi eso amogainini wali nabala.
Na sasa nakusihi wewe, mwanamke, siyo kwamba nakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tokea mwanzo, kwamba tunapaswa kupendana sisi kwa sisi. Na huu ndiyo upendo, tunaopaswa kuenenda, kulingana na amri yake.
6 Na waha asigili sia: sa hou bai da agoane diala. Asigidafa hou lalegaguiba: le, ninia Gode Ea hamoma: ne sia: i huluane nabawane hamomu da defea. Gode Ea hamoma: ne sia: i liligi amo dilia lalegagui eso amoga nabi da amane. E da dili huluane asigidafa hou amo ganodini esaloma: ne sia: i.
Hii ndiyo ile amri, kama mlivyoisikia tokea mwanzo, kwamba mnapaswa kuenenda katika hiyo.
7 Ogogosu dunu bagohame da osobo bagade bega: bega: ogogole olelemusa: asi. Ilia da Yesu Gelesu osobo bagade dunu da: i hodo laiwane osobo bagadega misi da dafawane hame ogogole sia: sa. Agoaiwane dunu da ogogosu. E da Gelesuma ha lai.
Kwa kuwa wadanganyifu wengi wamesambaa katika ulimwengu, na hawakiri kwamba Yesu Kristo alikuja katika mwili. Huyu ndiye mdanganyifu na mpinga Kristo.
8 Amaiba: le, dilia da hawa: hamobeba: le bidi huluane lamu amo fisisa: besa: le, dawa: ma!
Jiangalieni wenyewe kwamba hampotezi mambo yale tuliyokwisha fanyia kazi, lakini ili kwamba mweze kuipokea tuzo kamili.
9 Nowa dunu da Yesu Gelesu Ea olelei amo mae dawa: le, amo olelesu baligisia, e da Godema hame madelagi. Be nowa da Yesu Gelesu Ea olelesu amo defele olelesa, amo dunu da Adadafa amola Egefedafa, Ema madelagi dagoi.
Yeyote aendeleae mbele na hadumu katika fundisho la Kristo, hana Mungu. Yeye adumuye katika fundisho anaye Baba na Mwana pia.
10 Amaiba: le, dunu eno da sia: eno olelemusa: masea, defea, dilia amo dunu dilia diasuga mae yosia: ma! Amola ema ‘Olofosu dima dialoma!’ mae sia: ma.
Kama mtu anakuja kwenu na haleti fundisho hili, msimkaribishe katika nyumba zenu na msimsalimie.
11 Bai nowa dunu da ogogosu dunuma ‘Olofosu dialoma!’ sia: sa, e da amo dunu ea wadela: i hamobe amoma gilisisa.
Kwa kuwa amsalimuye hushiriki katika matendo yake maovu.
12 Na da dilima adomu bagade gala. Be amo meloa ganodini dedemu hamedei agoane ba: sa. Be na da dilima misini dilia odagia sia: musa: dawa: lala. Amasea, ninia gilisili hahawane ba: mu.
Ninayo mambo mengi ya kukuandikia, na sikutaka kuyaandika kwa karatasi na wino. Lakini natumaini kuja kwenu na kuongea uso kwa uso, kwamba furaha yetu ipate kufanywa kamili.
13 Dilia dogolegei Dalusi ea mano da dilima asigi sia: adosisa Sia: Ama Dagoi
Watoto wa dada yenu mteule wanawasalimia.