< 2 Golidia 4 >

1 Gode da ninima asigiba: le, Ea hawa: hamosu ninima olelei. Amaiba: le, ninia da hame da: i dioi.
Kwa hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii kwa rehema za Mungu, hatukati tamaa.
2 Wamolegei gogosiasu hawa: hamosu huluane ninia yolesi dagoi. Ogogosu ninia hame dawa: Ninia Gode Ea Sia: ogogole hame olelesa. Ninia dawa: iwane logo hogole, Gode ba: ma: ne hou huluane hamosa. Moloidafa dunu da ninima nodoma: ne, ninia da hamosa.
Tumekataa mambo ya siri na ya aibu, wala hatufuati njia za udanganyifu, tukichanganya Neno la Mungu na uongo. Kinyume cha hayo, tunadhihirisha kweli waziwazi na kujitambulisha wenyewe kwenye dhamiri ya kila mtu mbele za Mungu.
3 Be Gode Sia: Ida: iwane Gala amo ninia olelesu da dunu mogili ilima wamolegei gala. Be amo sia: da dunu ilia Helo sogega doaga: musa: ahoa, ilima fawane wamolegei.
Hata nayo Injili yetu kama imetiwa utaji, ni kwa wale tu wanaopotea.
4 Wadela: i osobo bagade ‘gode’ (Sa: ida: ne) da ilia asigi dawa: su gasi agoane hamoiba: le, ilia dafawaneyale hame dawa: be. Hadigi ilima mabe, amo hadigi da Gode Sia: Ida: iwane gala. Gode Sia: da Yesu Gelesu E da Gode defele esala amo olelesa. Be wadela: i osobo bagade ‘gode’ da amo hadigi logo damusa: (aiōn g165)
Kwa habari yao, mungu wa dunia hii amepofusha akili za wasioamini, ili wasione nuru ya Injili ya utukufu wa Kristo, aliye sura ya Mungu. (aiōn g165)
5 Ninisu ninia hou hame olelesa. Ninia da Yesu Gelesu da Hina Godedafa, amola ninia Yesuma asigiba: le, dilima hawa: hamosu dunu agoane esalumu hanai, amo fawane ninia olelesa.
Kwa maana hatujihubiri sisi wenyewe ila tunamhubiri Yesu Kristo kuwa ni Bwana na sisi ni watumishi wenu kwa ajili ya Yesu.
6 Gode da musa: sia: i, “Hadigi da gasi ganodini hadigimu!” Amo Gode da ninia dogo ganodini, Ea hadigidafa Yesu Gelesu Ea odagi amo ganodini diala amo noga: le dawa: ma: ne, E da ninia dogo ganodini hadigi hamoi.
Kwa kuwa Mungu, yeye aliyesema, “Nuru na ingʼae gizani,” ameifanya nuru yake ingʼae mioyoni mwetu ili kutupatia nuru ya maarifa ya utukufu wa Mungu katika uso wa Kristo.
7 Ninia da amo A: silibu Hadigidafa hou lalegagui dagoi. Be ninia da fedege agoane, laga osoboga hamoi ofodo agoane diala. Bai ninia hame, be Gode Hi fawane da gasadafa gagusa, amola Ea gasa da nini osoboga hamoi ofodo (ninia da: i hodo) amo ganodini gala.
Lakini tunayo hazina hii katika vyombo vya udongo, ili ijulikane wazi kwamba uwezo huu wa ajabu unatoka kwa Mungu wala si kwetu.
8 Eso bagohame ninia se naba. Be amo se nabasu da ninia hou hame banenesisa. Eso enoga ninia da beda: i, be ninia da hame hasalasi.
Twataabika kila upande lakini hatuangamizwi; twaona wasiwasi lakini hatukati tamaa;
9 Ninima ha lai dunu bagohame esalebe ba: sa. Be ninia na: iyado dunu amolawane, ninia da eso huluane ba: sa. Ninia se naba, be ninia da: i hodo gugunufinisi hame ba: sa.
twateswa lakini hatuachwi; twatupwa chini lakini hatupondwi.
10 Ninia da: i hodo amo ganodini ninia Yesu Gelesu Ea esalusu olelema: ne, Ea bogosu dawa: digima: ne olelesu agoane gaguli ahoa.
Siku zote twachukua katika mwili kufa kwake Yesu ili kwamba uzima wa Yesu uweze kudhihirika katika miili yetu.
11 Yesu Gelesu Ea esalusu olelema: ne, ninia da eso huluane gadenenewane bogomusa: agoane esala.
Kwa maana sisi tulio hai siku zote tumetolewa tufe kwa ajili ya Yesu, ili kwamba uzima wake upate kudhihirishwa katika mwili wetu upatikanao na mauti.
12 Ninia da: i hodo amo ganodini bogosu da hawa: hamonana. Be esalusu da dilia da: i hodo ganodini hawa: hamonana.
Hivyo basi, mauti inatenda kazi ndani yetu, bali uzima unatenda kazi ndani yenu.
13 Gode Sia: da amane dedei diala, “Na da dafawaneyale dawa: beba: le sia: i dagoi.” Amo defele, ninia dafawaneyale dawa: beba: le sia: sa.
Imeandikwa, “Niliamini, kwa hiyo nimesema.” Kwa roho yule yule wa imani pia tuliamini na hivyo tunasema,
14 Gode da Hina Yesu Gelesu bu esaloma: ne wa: legadolesi. Amo defele, E da nini amola dili, gilisili Yesu Gelesu Ea midadi esaloma: ne, wa: legadolesimu.
kwa sababu tunajua kwamba yeye aliyemfufua Bwana Yesu kutoka kwa wafu, atatufufua sisi pia pamoja na Yesu na kutuleta sisi pamoja nanyi mbele zake.
15 Gode da dili fidima: ne, amo hou huluane hamoi. Amola Gode Ea hahawane dogolegele iasu hou da dunu eno bagohame ilima doaga: sea, ilia da Gode Ea hadigi amoma nodoma: ne, sia: ne gadolalumu.
Haya yote ni kwa faida yenu, ili kwamba neema ile inavyowafikia watu wengi zaidi na zaidi, ipate kusababisha shukrani nyingi kwa utukufu wa Mungu.
16 Amaiba: le, ninia da: i dioi hou hamedafa dawa: Eso huluane ninia da: i hodo da bogoma: ne da: i hamonana. Be ninia a: silibu da eso huluane bu gaheabolo agoane asigilala.
Kwa hiyo, hatukati tamaa. Ingawa utu wetu wa nje unachakaa, utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku.
17 Ninia waha se nabasu da fonobahadi amola waha fawane. Hobea amo houba: le, ninia bidi amo waha hou bagadewane baligi, eso huluane hame dasasu liligi lamu. (aiōnios g166)
Kwa maana dhiki yetu nyepesi iliyo ya kitambo inatutayarisha kwa ajili ya utukufu wa milele unaozidi kuwa mwingi kupita kiasi, (aiōnios g166)
18 Bai ninia da ba: su liligi mae dawa: le, hame ba: su liligi dawa: beba: le, bidi lamu. Siga ba: su liligi da eso bagahame ba: lalu, fisimu. Be hame ba: su liligi da eso huluane mae fisili dialalalumu. (aiōnios g166)
kwa sababu hatuangalii yale yanayoweza kuonekana bali yale yasiyoweza kuonekana. Kwa maana yale yanayoweza kuonekana ni ya kitambo tu, bali yale yasiyoweza kuonekana ni ya milele. (aiōnios g166)

< 2 Golidia 4 >