< 2 Hou Olelesu 8 >

1 Soloumane da ode 20 amoga Debolo Diasu amola hina bagade diasu gagulalu, gagui dagoi ba: i.
Ikawa karibu ya mwisho wa miaka ishirini, kipindi ambacho Selemani alikuwa ameijenga nyumba ya Yahwe na ya kwake mwenye,
2 E da moilai bai bagade amo Haila: me igili i, amo bu buga: le gaguli, Isala: ili dunu amo ganodini fila masa: ne, asunasi.
kwamba Selemani akaiajenga miji ambayo Hiramu alikuwa amempa, na ndani yake akawaweka watu wa Israeli.
3 E da Ha: ima: de amola Souba soge sugui,
Selemani akauavamia Hamathzoba, akaushinda.
4 amola hafoga: i sogega moilai amo Da: damo gagili sali. E da Ha: ima: de soge liligi ligisisu moilai huluane amo bu buga: le gagui.
Akaijenga Tadmori katika nyika, na miji yote ya hazina, ambayo aliijenga katika Hamathi.
5 Moilai bai bagade eno e bu buga: le gagui ilia dio da Gado Bede Houlane amola Gudu Bede Houlone. (Ela da gagili sali moilai bai bagade. Amola ilia da ela logo ouli ifaga noga: le ga: simusa: dawa: i.)
Pia akaujenga Beth-horoni wa juu, na Beth-horoni wa chini, miji iliyozungushiwa kwa ukuta, malango, na makomeo.
6 Eno da Ba: ialade. Amo moilai bai bagade huluane ganodini, e da ea liligi lelegesu, amola ea hosi amola sa: liode dialoma: ne ilegei. E da hi hanaiga, diasu amola eno liligi, Yelusaleme amola Lebanone amola ea ouligisu soge huluane amo ganodini bagohame gagui.
Akaujenga Baalathi na miji yote ya hazina aliyoimiliki, na miji yote kwa ajili ya magari yake na miji kwa ajili ya wapanda farasi wake, na chochote alichotamani kujenga kwa ajili ya starehe zake katika Yerusalemu, katika Lebanoni, na katika nchi zote zilizokuwa chini ya utawala wake.
7
Kuhusu watu wengine wote ambao walikuwa wamesalia wa Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi, Wayebusi, ambao hawakuwa wa Israeli,
8 Isala: ili dunu ilia da Ga: ina: ne dunu ilia soge gesowaloba, ilia da Ga: ina: ne dunu oda mogili hame medole legei galu. Amo dunu iligaga fi dunu amo Soloumane ea udigili hawa: hamoma: ne sesesu. Amo dunu fi da A: moulaide, Hidaide, Belisaide, Haifaide amola Yebiusaide. Amo iligaga fi da udigili hamonanu, amoganini wali amola, udigili hawa: hamonana.
watoto wao ambao waliachwa baada yao katika nchi, ambaoa watu wa Israeli hawakuwaangamiza—Selemani akawafanyisha kazi kwa nguvu, ndivyo walivyo hata leo.
9 Be Soloumane da Isala: ili dunudafa amo udigili hawa: hamoma: ne hame sesesu. E da ili huluane ea dadi gagui wa: i dunu amola eagene ouligisu dunu amola dadi gagui wa: i ouligisu dunu amola ‘sa: liode’ amola hosi fila heda: su dunu ili hamosu.
Vile vile, Selemani hakuwafanyisha kazi kwa nguvu watu wa Israeli. Badala yake, wakawa wanajeshsi wake, maakida wake, wakuu wake, na maakida wa magari ya majeshi yake na wapanda farasi wake.
10 Udigili hawa: hamosu dunu da Soloumane ea moilai amola diasu gagubi hawa: hamosu hamoi. Amola ouligisu dunu 250 agoane da ili ouligili sesesu.
Pia hawa walikuwa wakuu wa wakuu wakisimamia wasimamizi waliokuwa wa mfalme Selemani, walikuwa 250, waliowasimamia watu walioifanya kazi.
11 Soloumane da idua (Idibidi hina bagade idiwi) Da: ibidi Moilai bai bagade yolesili, hina bagade diasu amo Soloumane da igili gagui, amoga oule asi. Soloumane da amane sia: i, “E da Isala: ili hina bagade Da: ibidi ea diasu ganodini esalumu da hamedei. Bai adi sogebi Gode Ea Gousa: su Sema Gagili da dialu ba: sea, da hadigi hamoi dagoi ba: sa.”
Selemani akamleta binti Farao nje ya mji wa Daudi kwenye nyumba aaliyokuwa amemjengea, kwa maana alisema, “Mke wangu lazima asiishi kataika nyumba ya Daudi mfalme wa Israeli, kwa sababu kila linapokuja sanduku la Yahwe ni takatifu”.
12 Soloumane da Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu amola Hahawane Gilisili Olofole Iasu, amo oloda e da Hina Godema Debolo Diasu midadi gagui, amo da: iya gobele sali.
Kisha Selemani akatoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu yake ambayo alikuwa ametengeza mbele ya ukumbi.
13 E da Mousese Sema dedei defele, Wadela: i Hou Dabe Ima: ne gobele salasu amo hadigi eso huluane hamosu. Amo hadigi eso da Sa: bade eso, oubi amola ode huluane, Oubi Gaheabolo Lolo Nasu, amola Lolo Nasu udiana ode huluane hamoi, amo Agi Yisidi Hame Sali Lolo Nasu, Ha: i Manu Gaheabolo Fai Lolo Nasu amola Sogega Fasela Diasu Lolo Nasu.
Akatoa sadaka kama ilivyohitaka katika ratiba ya kila siku; akazitoa, kwa kufuata maelekezo yaliyokuwa katika amari ya Musa, katika siku za Sabato, miezi mipya, na katika siku zilizopangwa mara tatu kila mwaka: Sikukuu ya mikate isiyochachwa, sikukuu ya majuma, na sikuku ya vibanda.
14 E da ea ada Da: ibidi (Gode Ea hawa: hamosu dunu) ea hamoma: ne sia: i defele, gobele salasu dunu amola Lifai fi dunu amo da gobele salasu dunu ilia gesami hea: su fidi, amo ilia hawa: hamosu ilegei. Amola e da logo ga: su sosodo aligisu dunu ilia eso huluane hawa: hamosu ilegei.
Katika kuyatunza maagizo ya baba yake Daudi, Selemani akayapanga makundi ya makuhani kwenye kazi yao, na Walawi kwenye nafasi zao, ili kumsisfu Mungu na kuhudumu mbele za makuhani, kama ilivyotakiwa katika ratiba ya kila siku. Pia akawateua walinda lango kwa zamu zao kwa kila lango, kwa maana Daudi, mtu wa Mungu, alikuwa ameagiza hivyo pia.
15 Ilia da liligi ligisisu sesei hawa: hamosu amola hawa: hamosu eno huluane, amo hina bagade Da: ibidi ea hamoma: ne sia: i liligi huluanedafa didili hamosu.
Watu hawa hawakupotea kutoka kwenye amri ya mfalme kwa makuhani na Walawi kuhusu jambo lolote, au kuhusu vyumba vya hazina.
16 Amogalu, Soloumane ea hamonanu liligi da hamoi dagoi ba: i. Debolo Diasu bai mui asili Debolo Diasu gagui dagoloba, hawa: hamosu huluane da didili hamoi dagoi ba: i.
Kazi yote aliyoagizwa na Selemani ikakamilika, kutoka siku msingi wa nyumba ya Yahwe ulipowekwa hadi ilipokamilika. Nyumba ya Yahwe ikamalizika.
17 Amalalu, hina bagade Soloumane da Isionegiba moilai amola Ila: de moilaiga asi. Isionegiba amola Ila: de da Idome soge ganodini Agaba Gogomai bega: dialebe ba: i.
Kisha Selemani akaenda Esion geberi, na Elothi, juu ya pwani katika nchi ya Edomu.
18 Hina bagade Haila: me da dusagai gilisi ema iasi. Amola e da bagade dawa: su dusagai hawa: hamosu dunu, amo Soloumane ea hawa: hamosu dunu fidimusa: , asunasi. Ilia amo dusagane gagai amo ganodini foga mini asili, Oufe sogega doaga: i. Amoga ilia da Soloumanema gouli defei 12 danese agoane gaguli misi.
Hiramu akatuma meli zake kupitia watumishi wake ambao walikuwa wana maji wenye uzoefu. Wakasafiri na Selemani na watumishi wa Semani hadi Ofiri. Wakachukua kutoka huko talanta 450 za dhahabu ambazo walimletea Selemani.

< 2 Hou Olelesu 8 >