< 2 Hou Olelesu 8 >

1 Soloumane da ode 20 amoga Debolo Diasu amola hina bagade diasu gagulalu, gagui dagoi ba: i.
Miaka ishirini ilipopita, ambayo katika hiyo Solomoni alilijenga Hekalu la Bwana na jumba lake mwenyewe la kifalme,
2 E da moilai bai bagade amo Haila: me igili i, amo bu buga: le gaguli, Isala: ili dunu amo ganodini fila masa: ne, asunasi.
Solomoni akajenga tena vijiji vile ambavyo Hiramu alikuwa amempa, naye akawapa Waisraeli waishi humo.
3 E da Ha: ima: de amola Souba soge sugui,
Kisha Solomoni akaenda Hamath-Soba na kuuteka.
4 amola hafoga: i sogega moilai amo Da: damo gagili sali. E da Ha: ima: de soge liligi ligisisu moilai huluane amo bu buga: le gagui.
Pia akajenga mji wa Tadmori katika jangwa na miji yote ya kuhifadhia vitu katika Hamathi.
5 Moilai bai bagade eno e bu buga: le gagui ilia dio da Gado Bede Houlane amola Gudu Bede Houlone. (Ela da gagili sali moilai bai bagade. Amola ilia da ela logo ouli ifaga noga: le ga: simusa: dawa: i.)
Akajenga tena Beth-Horoni ya Juu na Beth-Horoni ya Chini, miji yenye ngome, kuta, malango na makomeo.
6 Eno da Ba: ialade. Amo moilai bai bagade huluane ganodini, e da ea liligi lelegesu, amola ea hosi amola sa: liode dialoma: ne ilegei. E da hi hanaiga, diasu amola eno liligi, Yelusaleme amola Lebanone amola ea ouligisu soge huluane amo ganodini bagohame gagui.
Solomoni pia akajenga Baalathi na miji yake yote ya kuhifadhia vitu, na miji kwa ajili ya magari yake na kwa ajili ya farasi wake, chochote alichotaka kujenga katika Yerusalemu, katika Lebanoni na katika nchi yote aliyotawala.
7
Watu wote waliosalia kutoka kwa Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi na Wayebusi (haya mataifa hayakuwa Waisraeli),
8 Isala: ili dunu ilia da Ga: ina: ne dunu ilia soge gesowaloba, ilia da Ga: ina: ne dunu oda mogili hame medole legei galu. Amo dunu iligaga fi dunu amo Soloumane ea udigili hawa: hamoma: ne sesesu. Amo dunu fi da A: moulaide, Hidaide, Belisaide, Haifaide amola Yebiusaide. Amo iligaga fi da udigili hamonanu, amoganini wali amola, udigili hawa: hamonana.
yaani, wazao wao waliobakia katika nchi, ambao Waisraeli hawakuwa wamewaangamiza: hawa Solomoni akawalazimisha kuwa watumwa katika shokoa, kama ilivyo hadi leo.
9 Be Soloumane da Isala: ili dunudafa amo udigili hawa: hamoma: ne hame sesesu. E da ili huluane ea dadi gagui wa: i dunu amola eagene ouligisu dunu amola dadi gagui wa: i ouligisu dunu amola ‘sa: liode’ amola hosi fila heda: su dunu ili hamosu.
Lakini Solomoni hakuwafanya Waisraeli watumwa kwa ajili ya kazi yake, bali walikuwa wapiganaji, majemadari, maafisa wake, majemadari wa magari yake ya vita na waendesha magari ya vita.
10 Udigili hawa: hamosu dunu da Soloumane ea moilai amola diasu gagubi hawa: hamosu hamoi. Amola ouligisu dunu 250 agoane da ili ouligili sesesu.
Pia walikuwa maafisa wakuu wa Mfalme Solomoni, yaani, maafisa wakaguzi 250 waliosimamia watu.
11 Soloumane da idua (Idibidi hina bagade idiwi) Da: ibidi Moilai bai bagade yolesili, hina bagade diasu amo Soloumane da igili gagui, amoga oule asi. Soloumane da amane sia: i, “E da Isala: ili hina bagade Da: ibidi ea diasu ganodini esalumu da hamedei. Bai adi sogebi Gode Ea Gousa: su Sema Gagili da dialu ba: sea, da hadigi hamoi dagoi ba: sa.”
Solomoni akampandisha mke wake binti Farao kutoka Mji wa Daudi na kumleta jumba la kifalme alilokuwa amemjengea, kwa kuwa alisema, “Mke wangu hataishi katika jumba la kifalme la Daudi mfalme wa Israeli, kwa sababu mahali ambapo Sanduku la Bwana limefika ni patakatifu.”
12 Soloumane da Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu amola Hahawane Gilisili Olofole Iasu, amo oloda e da Hina Godema Debolo Diasu midadi gagui, amo da: iya gobele sali.
Mfalme Solomoni akamtolea Bwana dhabihu za kuteketezwa juu ya madhabahu ya Bwana ambayo alikuwa ameijenga mbele ya ukumbi,
13 E da Mousese Sema dedei defele, Wadela: i Hou Dabe Ima: ne gobele salasu amo hadigi eso huluane hamosu. Amo hadigi eso da Sa: bade eso, oubi amola ode huluane, Oubi Gaheabolo Lolo Nasu, amola Lolo Nasu udiana ode huluane hamoi, amo Agi Yisidi Hame Sali Lolo Nasu, Ha: i Manu Gaheabolo Fai Lolo Nasu amola Sogega Fasela Diasu Lolo Nasu.
kulingana na mahitaji ya kila siku kwa ajili ya sadaka zilizoamriwa na Mose kwa ajili ya Sabato, Mwezi Mwandamo na sikukuu nyingine tatu za mwaka, yaani, Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, Sikukuu ya Majuma na Sikukuu ya Vibanda.
14 E da ea ada Da: ibidi (Gode Ea hawa: hamosu dunu) ea hamoma: ne sia: i defele, gobele salasu dunu amola Lifai fi dunu amo da gobele salasu dunu ilia gesami hea: su fidi, amo ilia hawa: hamosu ilegei. Amola e da logo ga: su sosodo aligisu dunu ilia eso huluane hawa: hamosu ilegei.
Kwa kushika maagizo ya Daudi baba yake, aliweka migawanyo ya makuhani kwa ajili ya kazi zao, nao Walawi kuongoza kusifu na kusaidia makuhani kufuatana na mahitaji ya kila siku. Pia akaweka mabawabu katika migawanyo kwa ajili ya malango mbalimbali, kwa sababu hili ndilo Daudi mtu wa Mungu alilokuwa ameagiza.
15 Ilia da liligi ligisisu sesei hawa: hamosu amola hawa: hamosu eno huluane, amo hina bagade Da: ibidi ea hamoma: ne sia: i liligi huluanedafa didili hamosu.
Nao hawakuziacha amri za mfalme alizoamuru makuhani au Walawi katika jambo lolote, ikiwa ni pamoja na zile za hazina.
16 Amogalu, Soloumane ea hamonanu liligi da hamoi dagoi ba: i. Debolo Diasu bai mui asili Debolo Diasu gagui dagoloba, hawa: hamosu huluane da didili hamoi dagoi ba: i.
Kazi yote ya Mfalme Solomoni ilifanyika kuanzia siku msingi wa Hekalu la Bwana ulipowekwa mpaka kukamilika kwake. Kwa hiyo Hekalu la Bwana likamalizika kujengwa.
17 Amalalu, hina bagade Soloumane da Isionegiba moilai amola Ila: de moilaiga asi. Isionegiba amola Ila: de da Idome soge ganodini Agaba Gogomai bega: dialebe ba: i.
Ndipo Solomoni akaenda Esion-Geberi na Elathi katika pwani ya Edomu.
18 Hina bagade Haila: me da dusagai gilisi ema iasi. Amola e da bagade dawa: su dusagai hawa: hamosu dunu, amo Soloumane ea hawa: hamosu dunu fidimusa: , asunasi. Ilia amo dusagane gagai amo ganodini foga mini asili, Oufe sogega doaga: i. Amoga ilia da Soloumanema gouli defei 12 danese agoane gaguli misi.
Naye Hiramu alimpelekea meli zilizoongozwa na maafisa wake mwenyewe, watu waliokuwa na ujuzi wa baharini. Hawa watu pamoja na wale wa Solomoni wakasafiri kwa bahari mpaka Ofiri, wakaleta kutoka huko talanta 450 za dhahabu, ambazo walimkabidhi Mfalme Solomoni.

< 2 Hou Olelesu 8 >