< 2 Hou Olelesu 34 >

1 Yousaia da lalelegele, ode godoane esalu, e da bai muni Yuda hina bagade hamoi. E da Yelusaleme moilai bai bagadega esala, ode 31 agoanega Yuda fi ouligilalu.
Yosia alikuwa na umri wa miaka kumi na nane alipoanza kutawala; alitawala miaka thelathini na moja katika Yerusalemu.
2 Yousaia da Hina Gode hahawane ba: ma: ne hamoi. E da ea musa: aowa hina bagade Da: ibidi ea hou defele, Gode Ea hamoma: ne sia: i huluane nabawane hamosu.
Alifanya yaliyohaki katika macho ya Yahwe, na alitembea katiaka njia za Daudi babu yake, ha hakugeuka mbali iwe kulia au kushoto.
3 Hina bagade ayeligi Yousaia ea ouligisu ode godoanega, e da muni ea aowa hina bagade Da: ibidi ea Godema nodone sia: ne gadosu hou hamosu. Ode biyaduyale eno da gidigili, e da bai muni ogogosu ‘gode’ma nodone sia: ne gadosu sogebi amola wadela: i uda ‘gode’ Asila agoai loboga hamoi liligi amola eno wadela: i loboga hamoi ‘gode’ huluane bai muni gugunufinisisu.
Kwa maana ndani ya miaka minane ya ya utawala wake, alipokuwa bado kijana, alianza kumtafuta Mungu wa Daudi, babu yake. Katika miaka ishirini, alianza kuisafisha Yuda na Yerusalemu kutoka sehemu za juu, vituo vya Maashera, na sanamu za kuchonga na sanamu za chuma ya kuyeyushwa.
4 Ea sia: beba: le, ilia da oloda amoga dunu da Ba: ilema nodone sia: ne gadosu, amola eno gadenene gabusiga: manoma gobele salasu oloda, amo gagoudane fasi. Ilia da Asila agoai liligi amola loboga hamoi ‘gode’ huluane gagagoudane fasili, gulu agoane hamone, amola dunu da ilima sia: ne gadosu, ilia ulidogone sali da: iya dudulisi.
Watu wakazivunja madhabahu za Baali katika uwepo wake; akazibomoa nguzo za Maashera na na zile sanamu za kuchonga, na sanamu za chuma ya kuyeyushwa katika vipande hadi zikawa mavumbi. Akayasamabaza mavumbi juu ya makaburi ya wale ambao walizitolea sadaka.
5 E da ogogosu gobele salasu dunu ilia gasa amo oloda amoga ilia da musa: nodone sia: ne gadosu, amo da: iya gobele sali. Amo hamobeba: le, e da Yuda amola Yelusaleme fi ilia nigima: fadegamusa: dodofei.
Akaichoma mifupa ya makuhani wao juu ya madhabahu zao. Katika namna hii, akaisafisha Yuda na Yerusalemu.
6 Amo hou defele, e da moilai bai bagade amola gugunufinisi soge amo da Ma: na: se, Ifala: ime, Simione amola soge asili ga (north) Na: fadalaiga doaga: sa, amo soge huluane ganodini hamosu.
Alifanya hivyo hivyo katika miji ya Manase, Efraimu, na Simeoni, sehemu zote hadi Neftali, na katika maeneo yaliyoizunguka.
7 E da ga (north) fi (Isala: ili) ilia soge ganodini, oloda amola ogogosu uda ‘gode’ agoai loboga hamoi liligi, amo huluane gagagoudane fasili, gulu agoane hamoi. E da gabusiga: manoma gobele salimusa: hamoi oloda huluane gagagoudane fasi. Amalu, e da Yelusalemega buhagi.
Alizivunja madhabahu, akayapiga Maashera, na sanamu za kuchonga kuwa unga, na kuzisambaratisha madhabahu zote za uvumba katika nchi yote ya Israeli; kisha akarudi Yerusalemu.
8 Yuda hina bagade Yousaia ea ouligibi ode 18 amoga, e da wadela: i ogogosu ‘gode’ma nodone sia: ne gadosu hou huluane fadegaiba: le, Debolo Diasu amola Yuda soge da nigima: dodofei dagoi ba: i. Amogalu, hina bagade Yousaia da dunu udiana amo Debolo Diasu dodoa: ma: ne asunasi. Ilia dio da Sia: ifa: ne (A: salaia egefe), Ma: iasia (Yelusaleme bisili ouligisu dunu) amola Youa (Youaha: se egefe. E da eagene bisilua dunu).
Sasa katika kipindi cha miaka ishirini ya utawala wake, baada ya Yosia kuisafisha nchi na hekalu, alimtuma Shafani mwana wa Azali, Manaseya, akida wa mji, na Yoa mwana wa Yoahazi katibu, kuikarabati nyumba ya Yahwe Mungu wake.
9 Muni amo Lifai dunu da Debolo Diasu ganodini lidi, ilia da gobele salasu ouligisudafa Hiligaiama ianusu. (Amo muni ilia da Ifala: ime fi, Ma: na: se fi amola Ga (north) Fi dunu eno, Yuda fi, Bediamini fi amola Yelusaleme esalebe fi, ilima lidi.)
Wakaenda kwa Hilkia, kuhani mkuu, na wakakabidhi kwake fedha ambazo zilikuwa zimeletwa kwenye nyumbaa ya Mungu, ambazo Walawi, walinzi wa milingo, walikuwa wamekusanya kutoka Manase na Efraimu, kutoka kwa masalia wote wa Israeli, kutoka Yuda yote na Benyamini, na kutoka kwa wakaaji wa Yerusalemu.
10 Ilia da amo muni lidi, amo dunu udiana da Debolo Diasu amo bu buga: le gagusu ouligisu, ilima iasu.
Wakaikabidhi ile fedha kwa watu waliosimamia kazi ya hekalu la Yahwe. Watu wale wakawalipa wafanya kazi walioilikarabati na kulijenga tena hekalu.
11 Ouligisu dunu ilia da amo muni mogili diasu gagusu dunu amola gelega hahamosu dunu ilima iasu. Amola muni mogili amoga ilia da ifa da: fe amola gele amo Debolo bu buga: le gagumusa: , bidi lama: ne sia: i. Bai Yuda hina bagade ilia da noga: le hame ouligibiba: le, Debolo da dasai ba: i.
Wakawalipa maseremala na wajenzi kwa ajili ya kununulia mawe ya kuchonga na mbao kwa ajili ya kuungia, na kutengeneza boriti za nyumba amabazo baadha ya wafalme wa Yuda waliziacha zikachakaa.
12 Amo hawa: hamosu ouligisu dunu da moloidafa dunu. Ilima ouligisu dunu da Lifai fi dunu biyaduyale gala. Ilia dio da Ya: iha: de amola Oubadaia (ela da Milalai sosogo fi dunu) amola Segalaia amola Misiala: me (ela da Gouha: de sosogo fi dunu). Lifai fi dunu huluane da medenegi gesami hea: lala dusu dunu ba: i.
Watu waliifanya kazi kwa uaminifu. Wasimamizi wao Yahathi na Obadia, Walawi, wa wana wa Merari; na Zekaria na Meshulamu, kutoka kwa wana wa Wakohathi. Walawi wengine, wote kati ya wale waliokuwa wanamziki wazuri sana, kwa ukaribu waliwaelekeza watendakazi.
13 Lifai fi dunu eno ilia da liligi gaguli ahoasu hawa: hamosu ouligisu, amola oda da eno hawa: hamosu ouligisu.
Walawi hawa walikuwa viongoziz wa wale waliobeba vifaa vya ujenzi na watu wengine wote waliofanya kazi kwa namna yoyote ile. Pia palikuwa na Walawi ambao walikuwa makatibu, watawala na walinda lango.
14 Ilia da muni ea sesei amoga lidili ahoana, Hiligaia da Hina Gode Ea Sema Dedei Meloa (Sema amo Gode da musa: Mousesema i) amo ba: i dagoi.
Walipoileta fedha ambayo ilikuwa imeletwa kwenye nyumba ya Yahwe, Hilkia yule kuhani akakiokota kitabu cha sheri ya Yahwe ambacho kilikuwa kimetolewa kupitia Musa.
15 Hiligaia da Sia: ifa: nema amane sia: i, “Na da ‘Gode Ea Sema Dedei Meloa’ amo Debolo ganodini dialebe ba: i dagoi.” E da amo meloa Sia: ifa: nema I.
Hilkia akamwambia Shafani yule mwandishi, “Nimekiokota kitabu cha sheria katika nyumba ya Yahwe”. Hilikia akakileta kitabu kwa Shefani.
16 Sia: ifa: ne da amo meloa hina bagadema gaguli asili, ema amane sia: i, “Ninia da dia hamoma: ne sia: i defele hamoi dagoi.
Shefani akakipelek kitabu kwa mfalme, na pia akatoa taarifa kwake, akisema, “Watumishi wako wanafanya kila kitu walichokabidhiwa.
17 Ninia da muni amo da Debolo Diasu ganodini dialu, amo lale, bu buga: le gagusu dunu amola ilia ouligisu dunu ilima i dagoi.”
Waliitoa feedha yote amabayo ilionekana katika nyumba ya Yahwe, na waliikabidhi katika mikono ya wasimamizi na watendakazi.”
18 Amalalu, e da eno amane sia: i, “Na da meloa amo Hiligaia da nama i gagui diala.” Amola e da amo meloa hina bagade nabima: ne idi.
Shefani mwandishi akamwambia mfalme.” Hilkia kuhani amenipa kitabu.” Kisha Shefani akamsomea mfalme katika hicho kitabu.
19 Hina bagade da meloa idibi nababeba: le, bagadewane fofogadigili, da: i dione, ea abula gadelale fasi.
Ikawa kwamba mfalme alipokuwa ameyasikia maneno ya sheria, aliyararua mavazi yake.
20 Amola e da gobele salasu dunu Hiligaia amola Ahaiga: me (Sia: ifa: ne egefe) amola A: gabo (Maiga: ia egefe) amola sia: dedesu dunu Sia: ifa: ne amola hina bagade hina: hawa: hamosu dunu A: sahaia, ilima amane hamoma: ne sia: i,
Mflme akawaamuru Hilkia, Ahikamu mwana wa Shafani, Abdoni mwana wa Mika, Shafani mwaandishi, na Asaya, mtumishi wake, akisema,
21 “Dilia asili, amo meloa ea olelesu bai dawa: ma: ne, Hina Gode Ea fada: i sia: hogolalu, nama amola dunu huluane amo da Isala: ili amola Yuda soge ganodini hame mugului esala, ninima adoma. Ninia aowalali da amo meloa ea hamoma: ne sia: i amo nabawane hame hamobeba: le, Hina Gode da ninima ougisa.”
“Nendeni mkaulize mapenzi ya Yahwe kwa ajili yangu, na kwa wale waliobaki katika Israeli na Yuda, kwa sababu ya maneno ya kitabu ambacho kimeokotwa. Kwa maani ni kikuu, kwa sababu babu zetu hawakuyasikiliza maneno ya kitabu hiki ili kuyatii yote yaliyokuwa yameandikwa ndani yake”. (Badala ya “ambayo yamemiminwa juu yetu”, baadhi ya matoleo yanasema “ambayo yamemulikwa zidi yetu”).
22 Hiligaia amola Ahaiga: me, A:gabo, Sia: ifa: ne, amola A: sahaia, ilia da balofede uda amo da Yelusaleme moilai bai bagade la: idi gaheabolo gagui amo ganodini esalu, ea dio amo Halada amo ea fada: i sia: nabimusa: asi. (Halada egoa Sia: lamee da Debolo Diasu hadigi abula amo ouligisu). Ilia da Haladama amo meloa da ba: i dagoi olelei.
Kwa hiyo Hilkia, na wale ambao mfalme alikuwa amewaamuru, wakaenda kwa Hulda nabii wa kike, mke wa Shalumu mwana wa Tohathi mwana wa Hasra, mtunza mavazi (aliishi katika Yerusalemu katika wilaya ya pili), na walizungumza naye katika namna hii.
23 Halada da ilima amane sia: i, “Dilia hina bagadema buhagili, Hina Gode Ea sia: si ema amane sia: ma,
Akasema kwao, “Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema: Mwambie mtu aliyewatuma kwangu,
24 “Na da meloa amo hina bagade da idi, amoga gagabusu aligima: ne dedei defele, Na da Yelusaleme moilai bai bagade amola Yelusaleme fi dunu ilima se dabe imunu.
Hivi ndivyo Yahwe anasema: Ona, niko karibu kuleta maafa juu ya sehemu hii na wakaaaji wake, laana zote zilizoandikwa katika kitabu walichokisoma mbele ya mfalme wa Yuda.
25 Ilia da Na higale, eno ogogosu ‘gode’ma gobele salasu hamobeba: le, Na ougima: ne hamoi dagoi. Na da Yelusaleme fi ilima Na ougi da gia: iwane heda: i dagoi, amola bu gumimu da hamedei.”
Kwa sababu wamenisahau na wametoa sadaka za uvumba kwa miungu mingine, ili kwamba waniweke katika hasira kwa matendo yote waliyofanya — kwa hiyo hasira yangu itamiminwa juu ya hii sehemu, na haitazimishwa. (Badala ya “ambayo yamemiminwa juu yetu”, baadhi ya matoleo yana “amabyo yamemlikwa zidi yetu”.)
26 Be hina bagadema Na, Isala: ili fi ilia Hina Gode, da amane sia: sa, ‘Di da meloa ganodini dedei liligi nabi dagoi.
Lakini kwa mfalme wa Yuda, aliyewatuma kumuuliza Yahwe alichopaswa kufanya, hivi ndivyo mtakavyosema kwake, 'Yahwe, Mungu wa Israeli anasema hivi: Kuhusu maneno uliyosika,
27 Amola di da Na ba: ma: ne, sinidigili, dia hou fonobone, dia abula gadelale, dinanu. Bai di da Na sia: amo Na da Yelusaleme moilai bai bagade amola amoga fi dunu ilima se dabe imunu, amola Yelusaleme gugunufinisi dagoiba: le, dunu ilia da amo beda: ne fofogadigili ba: mu, amola Yelusaleme dio amoga gagabusu aligima: ne sia: mu, amo sia: nababeba: le, di da dia hou fonoboi. Na da dia sia: ne gadosu nabi dagoi.
kwa sababu moyo wako ulipondeka, na ulijinyenyekeza mbele yangu ulipoyasikia maneno yake zidi ya sehemu hii na wakaaji wake, na kwa sababu umejinyenyekeza mwenyewe mbele zangu, pia nimekusikiliza —hili ni azimio la Yahwe—
28 Amola se dabe iasu amo Na da Yelusaleme fi ilima iasimu, amo da di amogai esalea, dia hame ba: mu. Na da di fa: no olofole bogoma: ne, logo doasimu.’” Sia: adola ahoasu dunu, ilia da amo sia: ne iasu hina bagade Yousaiama adomusa: , ema buhagi.
ona, nitakukusanya kwa mababu zako. Utakusanywa katika kaburi lako kwa amani, na macho yako hayataona maafa yoyoye nitakayoleta juu ya sehemu hii na wakaaji wake”. Wale watu wakarudisha ujumbe huu kwa mfalme.
29 Yuda hina bagade Yousaia da Yuda soge fi amola Yelusaleme fi ilia ouligisu dunu amo huluane gagadole,
Mfalme akatuma wajumbe na kuwakusanya wazee wote wa Yuda na Yerusalemu.
30 ili amola gobele salasu dunu huluane, amola balofede dunu huluane amola fi dunu huluanedafa (bagade gagui dunu amola hame gagui dunu) ilia da Debolo Diasuga gilisili asi. Ilia si da: iya, hina bagade Yousaia da Gousa: su Meloa amo ilia da Debolo Diasu ba: i, amo ganodini dedei huluane ilima idili i.
Kisha mfalme akaenda kwenye nyumba ya Yahwe, na watu wote wa Yuda wakaaji wa Yerusalemu, na makuhani, Walawi, na watu wote, kuanzia wakubwa hadi wadogo. Kisha akasoma mbele zao maneno yote ya kitabu cha Agano kilichokuwa kimeokotwa katika nyumba ya Yahwe.
31 E da hina bagade duni bugi amo dafulili lelu, e da Hina Gode Ea sia: nabawane hamomusa: , dafawane ilegele sia: i. E da mae fisili, ea dogo amola asigi dawa: su huluane amoga, e da Hina Gode Ea sema amola hamoma: ne sia: i, amoma fa: no bobogemusa: , dafawane ilegele sia: i. Amo hamoma: ne sia: i amo da Gousa: su Meloa amo ganodini dedei, e da amo huluane nabawane hamomusa: , dafawane ilegele sia: i.
Mfalme aksimama katika sehemu yake na kufanya aganao mbele za Yahwe, kutembea mbele za Yahwe, na kuzishika amri zake, taratibu zake, na sheria zake, kwa moyo wake wote na roho yake yote, kuyatii maneno ya agano yaliyokuwa yameandikwa katika agano ambayo yalikuwa yameandikwa katika kitabu hiki.
32 Amola e da Bediamini fi amola dunu huluane Yelusalemega esalu, amo defele hamomusa: , dafawane ilegele sia: musa: lologei. Amaiba: le, Yelusaleme fi dunu da Gousa: su amo ilia aowalalia Gode da ilima hamoi, amo hamoma: ne sia: i nabawane hamomusa: sia: i.
Aliwasababisha wote walioonekana katika Yerusalemu na Benyamini kusimama kwa agano. Wakaaji wa Yerusalemu wakatembea kwa agano la Mungu, Mungu wa babu zao.
33 Amalalu, Yousaia da wadela: idafa loboga hamoi ogogosu ‘gode’ liligi huluane Isala: ili soge ganodini dialu, amo huluane gugunufinisisu. Amo ea esalusu eso huluane ganodini, e da ea fi dunu ilia aowalalia Hina Gode amo Ea hawa: hamosu hamoma: ne sesei.
Yosia akapeleka mbali mambo yote ya machukizo kutoka kwenye nchi iliyomilikiw na watu wa Israeli. Akamfanya kila mtu katika Israeli amwabudu Yahwe, Mungu wao. Kwa maisha siku zake zote, hawakugeka mbali kwa kutomfuata Yahwe, Mungu wa mababu zao.

< 2 Hou Olelesu 34 >