< 2 Hou Olelesu 32 >

1 Hina bagade Hesigaia da Hina Godema molole fa: no bobogei. Be amogalu, Asilia hina bagade Sena: galibi da Yuda fi doagala: i. E da gagili sali moilai bai bagade huluane eale disili, ea dadi gagui dunu ilia gagili sali dobea muguluma: ne sia: i.
Baada ya yale yote aliyokuwa amefanya Hezekia kwa uaminifu mkubwa, Senakeribu mfalme wa Ashuru akaja na kuvamia Yuda. Akaizunguka miji yenye ngome kwa jeshi, akifikiri kuiteka iwe yake.
2 Amola Sena: gelibi da Yelusaleme doagala: ma: ne ilegei. Hina bagade Hesigaia da amo hou dawa: loba,
Hezekia alipoona kuwa Senakeribu amekuja na kwamba alikusudia kufanya vita juu ya Yerusalemu,
3
akafanya shauri na maafisa wake na mashujaa wake juu ya kuzuia maji kutoka chemchemi zilizo nje ya mji, nao wakamsaidia.
4 e amola eagene ouligisu dunu da Asilia dunu ilia da Yelusaleme gadenene doaga: lalu, hano mae moma: ne logo hedofama: ne, hano logo Yelusaleme gadili galu, amo hedofamusa: dawa: i. Eagene ouligisu dunu da Yelusaleme fi dunu bagohame gadili oule asili, gu hano logo huluane hedofai.
Umati mkubwa wa watu ukakusanyika na kuzuia chemchemi zote na vijito vilivyotiririka katika nchi yote, wakisema: “Kwa nini wafalme wa Ashuru waje na kukuta maji tele?”
5 Hina bagade da Yelusaleme bu gasawane gagili salima: ne, gagili sali dobea dodoa: i, amola amo da: iya diasu gado gagagula heda: su gaguli gagai. Amola e da gagoi gadili, eno dobea gagui. Amola e da gagili sali liligi amo da Yelusaleme musa: gagui gusudili dialu, be wali osobo gasa: le da: iya ligisi, amo dodoa: i. Amola e sia: beba: le, ilia da goge agei amola da: igene ga: su bagohame hamoi.
Hezekia akafanya kazi kwa bidii kukarabati sehemu zote zilizokuwa zimebomoka za ukuta na kujenga minara juu yake. Akajenga ukuta mwingine nje ya ule uliokuwepo na kuimarisha Milo katika Mji wa Daudi. Akatengeneza pia silaha nyingi na ngao.
6 E da dadi gagui ouligisu dunu, ilia Yelusaleme fi dunu huluane ouligima: ne ilegei, amola ilia huluane sogebi amo da Yelusaleme logo ga: su gadenene dialu, amogawi gilisima: ne sia: i.
Akaweka maafisa wa jeshi juu ya watu, wakawakutanisha mbele yake katika uwanja kwenye lango la mji, naye akawatia moyo kwa maneno haya:
7 E da ilima amane sia: i, “Dilia gasa fili, amola Asilia hina bagade amola ea dadi gagui wa: i ilima mae beda: ma! Ninima gai gasa bagade hou da ema gai gasa hou, bagadewane baligisa.
“Kuweni hodari na wenye moyo mkuu. Msiogope, msifadhaike wala msikate tamaa kwa sababu ya mfalme wa Ashuru na hili jeshi kubwa lililo pamoja naye, kwa kuwa aliye pamoja nasi ni mkuu kuliko aliye pamoja naye.
8 Ea gasa da osobo bagade dunu ea gasa fawane. Be ninia Hina Gode da ninima gai esala. Amola E da nini fidimu amola ninima gale gegemu.” Dunu huluane da ilia hina bagade ea sia: nababeba: le, dogo denesi.
Kwake uko mkono wa mwili tu, bali kwetu yuko Bwana Mungu wetu kutusaidia na kutupigania vita vyetu.” Nao watu wakatiwa moyo kutokana na maneno aliyowaambia Hezekia mfalme wa Yuda.
9 Amalu, fa: no, Sena: gelibi amola ea dadi gagui wa: i da La: igisi moilai bai bagadega esaloba, e da Hesigaia amola Yuda fi dunu ili gilisili Yelusalemega esalu, ilima amane sia: si,
Hatimaye Senakeribu mfalme wa Ashuru na majeshi yake yote walipokuwa wameuzunguka Lakishi, akawatuma maafisa wake kwenda Yerusalemu wakiwa na ujumbe huu kwa Hezekia mfalme wa Yuda, na kwa watu wote wa Yuda waliokuwako humo, kusema:
10 “Na da Asilia hina bagade Sena: gelibi! Na da dilima adole ba: sa. Na da Yelusaleme eale disi dagoi. Dilia abuliba: le hame beda: sala: ?
“Hili ndilo asemalo Senakeribu mfalme wa Ashuru: Je, mmeweka tumaini lenu wapi, hata mnaendelea kukaa katika Yerusalemu, hali mmezungukwa na jeshi?
11 Hesigaia da dilima, dilia Hina Gode da nini dilima mae hasalasima: ne, dili gaga: mu sia: sa. Be Hesigaia da dilima ogogosa. E da dili ha: ga amola hano hanaga bogoma: ne, logo doasisa.
Hezekia asemapo, ‘Bwana Mungu wetu atatuokoa kutokana na mkono wa mfalme wa Ashuru,’ anawapotosha ninyi, naye atawaacha mfe kwa njaa na kiu.
12 Hesigaia hisu da Hina Godema nodone sia: ne gadosu sogebi amola oloda huluane gugunufinisili, Yuda fi dunu amola Yelusaleme fi dunu ilima oloda afae fawane amoga nodone sia: ne gadoma: ne amola gabusiga: manoma gobele salima: ne sia: i.
Je, si Hezekia mwenyewe aliyeondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu pamoja na madhabahu zake, akiwaambia Yuda wa Yerusalemu, ‘Ni lazima mwabudu mbele ya madhabahu moja na kuteketeza dhabihu juu yake’?
13 Dilia na aowalali, ilia eno fifi asi ilima hamosu amo dawa: sala: ? Eno fifi asi gala dunu ilia ‘gode’ da Asilia hina bagade ili mae hasalima: ne, gaga: bela: ? Hame mabu!
“Je, hamjui yale mimi na baba zangu tuliyoyafanya kwa mataifa yote ya nchi zingine? Je, miungu ya mataifa hayo iliweza kuokoa nchi zao kutoka mkononi mwangu?
14 Amo fifi asi gala huluane ilia ‘gode’ da ninia ili mae hasalima: ne, hamedafa gaga: i. Amaiba: le, dilia abuliba: le dilia Gode da dili gaga: ma: ne dawa: sala: ?
Ni yupi miongoni mwa miungu yote ya mataifa haya ambayo baba zangu waliyaangamiza ameweza kuwaokoa watu wake mkononi mwangu? Inawezekanaje basi Mungu wenu kuwaokoa mkononi mwangu?
15 Hesigaia da dilima ogogosa. Ea sia: dafawaneyale mae dawa: ma. Fifi asi gala huluane ilia ‘gode’ da Asilia hina bagade ili mae hasalima: ne gaga: mu da hamedei ba: i. Amaiba: le, dilia Gode da dili gaga: mu hamedeidafa ba: mu.”
Sasa basi, msikubali Hezekia awadanganye na kuwapotosha namna hii. Msimwamini, kwa kuwa hakuna mungu wa taifa lolote wala wa ufalme wowote aliyeweza kuwaokoa watu wake kutoka mkononi mwangu au mkononi mwa baba zangu. Sembuse huyo mungu wenu atawaokoaje kutoka mkononi mwangu!”
16 Asilia eagene ouligisu dunu ilia da baligili Hina Gode amola Hina Gode ea hawa: hamosu dunu Hesigaia elea hou lasogole sia: i.
Maafisa wa Senakeribu wakaendelea kunena dhidi ya Bwana aliye Mungu na dhidi ya mtumishi wake Hezekia.
17 Amola meloa amo Asilia hina bagade ea dedei, amo ganodini Isala: ili Hina Godema odoga: su sia: bagade ba: i, “Fifi asi gala huluane ilia ‘gode’ da na gasaga ili hasalima: ne hame gaga: i. Amola Hesigaia ea Gode da dili na mae hasalima: ne, hamedafa gaga: mu.”
Mfalme pia aliandika barua akimtukana Bwana, Mungu wa Israeli na kusema haya dhidi yake: “Kama vile miungu ya mataifa ya nchi nyingine ilivyoshindwa kuwaokoa watu wao mkononi mwangu, vivyo hivyo Mungu wa Hezekia hataweza kuwaokoa watu wake kutoka mkononi mwangu.”
18 Sena: gelibi eagene ouligisu dunu da amo sia: Hibulu sia: ga wele sia: i. Bai ilia da Yelusaleme fi dunu dobea da: iya esalu, amo ili beda: ma: ne amola da: i dioma: ne hamomusa: dawa: i galu. Amalalu, ilia da hedolowane moilai sugumusa: dawa: i.
Kisha wakawaita kwa Kiebrania watu wa Yerusalemu waliokuwa juu ya ukuta ili kuwatisha na kuwatia hofu ili waweze kuuteka mji.
19 Ilia da Yelusaleme hadigi Godedafa, amo da fifi asi gala eno ilia udigili ogogosu ‘gode’, amo ili defele dawa: iwane sia: dasu.
Wakanena juu ya Mungu wa Yerusalemu kama vile walivyonena juu ya miungu ya mataifa mengine ya dunia ambayo ni kazi ya mikono ya wanadamu.
20 Amalalu, hina bagade Hesigaia amola balofede dunu Aisaia (A: imose egefe), ela da Godema sia: ne gadoi amola Godea ili fidima: ne Ema digini wele sia: i.
Mfalme Hezekia na nabii Isaya mwana wa Amozi wakalilia mbingu katika maombi kuhusu jambo hili.
21 Hina Gode da a: igele dunu asunasili, e da Asilia dadi gagui dunu amola ilia ouligisu dunu medole legei. Amaiba: le, Asilia hina bagade da gogosiane, Asilia sogega buhagi. Eso afaega, e da ea ogogosu ‘gode’ ea debolo diasua esaloba, egefelali mogili da gegesu gobiheiga, e medole legei.
Naye Bwana akamtuma malaika ambaye aliangamiza wanajeshi wote, na viongozi na maafisa katika kambi ya mfalme wa Ashuru. Kwa hiyo, mfalme wa Ashuru akarudi nchini mwake kwa aibu. Naye alipokwenda katika hekalu la mungu wake, baadhi ya watoto wake wakamuua kwa upanga.
22 Hina Gode da agoane hina bagade Hesigaia amola Yelusaleme fi dunu huluane amo Asilia hina bagade Sena: gelibi amola Yuda fi ha lai dunu eno, ili mae hasalima: ne gaga: i dagoi.
Hivyo Bwana akamwokoa Hezekia na watu wa Yerusalemu kutoka mkononi mwa Senakeribu mfalme wa Ashuru na kutoka mikononi mwa wengine wote. Bwana akawastarehesha kila upande.
23 Dunu bagohame da Yelusalemega, Hina Godema gobele salimusa: amola Hesigaiama hahawane dogolegele iasu liligi imunusa: misi. Ha amogainini, fifi asi gala dunu huluane da Hesigaiama nodone dawa: i.
Watu wengi wakaleta sadaka Yerusalemu kwa ajili ya Bwana na zawadi za thamani kwa ajili ya Hezekia mfalme wa Yuda. Tangu hapo na kuendelea, Hezekia aliheshimiwa sana na mataifa yote.
24 Amo galu, hina bagade Hesigaia da olole, bogomuwane galu. E Godema sia: ne gadoiba: le, Hina Gode da e uhinisima: ne, ema dawa: digima: ne olelesu i.
Katika siku hizo, Hezekia akaugua, naye akawa karibu kufa. Akamwomba Bwana, ambaye alimjibu na kumpa ishara.
25 Be Hesigaia da gasa fili, Hina Gode Ea uhinisisu hou ba: beba: le, Godema hame nodoi. Amaiba: le, Yuda fi amola Yelusaleme fi da se nabi.
Lakini moyo wa Hezekia ukajaa majivuno na hakuonyesha itikio kwa wema aliotendewa, kwa hiyo ghadhabu ya Bwana ikawa juu yake na juu ya Yuda na Yerusalemu.
26 Be fa: nowane, Hesigaia amola Yelusaleme fi da ilia hou fofonoboi. Amaiba: le, Hesigaia esalebe galu, ilima se hame i.
Ndipo Hezekia akatubu kwa ajili ya kiburi cha moyo wake, kama walivyofanya watu wa Yerusalemu, kwa hiyo ghadhabu ya Bwana haikuja juu yao katika siku za Hezekia.
27 Hina bagade Hesigaia da liligi bagade gaguiwane hamoi. Dunu huluane da ema nodosu. Ea sia: beba: le, ilia da liligi ligisisu sesei gaguia gagai. Amo ganodini, ilia da ea gouli, silifa, igi noga: idafa, ha: i manu fodole nasu, da: igene ga: su amola eno noga: idafa liligi, ligisisu.
Hezekia alikuwa na utajiri mwingi sana na heshima, naye akajifanyia hazina kwa ajili ya fedha yake na dhahabu na kwa ajili ya vito vyake vya thamani, vikolezi, ngao na aina zote za vyombo vya thamani.
28 Amola ea sia: beba: le, ilia da liligi ligisisu diasu gaguia gagai. Amo ganodini, ilia da ea gala: ine, waini hano amola olife susuligi ligisisu. Amola ilia da ea bulamagau diasu gaguia gagai, amola sibi gagole gagai.
Akajenga pia maghala ya kuhifadhi mavuno ya nafaka, divai mpya na mafuta. Akatengeneza mabanda kwa ajili ya aina mbalimbali za mifugo, na mazizi kwa ajili ya kondoo na mbuzi.
29 Eno amolawane, Gode da ema bulamagau amola sibi amola liligi bagohamedafa iabeba: le, e da moilai bai bagade eno bagohame gaguia gagai.
Akajenga vijiji na kujipatia idadi kubwa ya kondoo na mbuzi, pamoja na ngʼombe kwa kuwa Mungu alikuwa amempa utajiri mwingi sana.
30 Hina bagade Hesigaia da Gihone Gu hano hihiga: le, ea hano logo eno hamegadili ogane, osobo hagududili, Yelusaleme gagoi ganodini doafasi. Hesigaia da ea hamosu defele huluane didili hamoi.
Ilikuwa ni Hezekia aliyeziba njia za kutolea maji za chemchemi za juu za Gihoni na kuyaelekeza maji kutiririkia upande wa magharibi wa Mji wa Daudi. Akafanikiwa katika kila kitu alichofanya.
31 Amola Ba: bilone alofele iasu dunu da musa: hame ba: su hou amo abedela manoba, (2 Hina 20:7-19), Gode da Hesigaia hi hanaiga hamoma: ne yolesi. Bai E da ea hou adoba: musa: dawa: i.
Lakini wakati wajumbe walipotumwa na watawala wa Babeli kumuuliza juu ya ishara ambayo ilitokea katika nchi, Mungu alimwacha ili kumjaribu na kujua kila kitu kilichokuwa moyoni mwake.
32 Hesigaia ea hamonanu eno, amola ea Hina Godema asigidafa hou, amo huluane da “Balofede Dunu Aisaia (A: imose egefe) ea Esala Ba: su Meloa” amola “Yuda amola Isala: ili hina bagade Ilia Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
Matukio mengine ya utawala wa Hezekia na matendo yake ya kujitoa kwa moyo yameandikwa katika maono ya nabii Isaya mwana wa Amozi kwenye kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
33 Hesigaia da bogole amola ilia ea da: i hodo gadodili sogebiga, hina bagade ilia gele gelabo ganodini sali. Yuda fi amola Yelusaleme fi dunu huluane da ema asigiba: le, ema nodomusa: gegedole fi. Egefe Ma: na: se da e bagia hina bagade hamoi.
Hezekia akalala na baba zake na akazikwa kwenye kilima mahali yalipo makaburi ya wazao wa Daudi. Yuda wote na watu wa Yerusalemu wakamheshimu alipofariki. Naye Manase mwanawe akawa mfalme baada yake.

< 2 Hou Olelesu 32 >