< 2 Hou Olelesu 24 >
1 Youa: sie da lalelegele, ea ode fesu gidigili, Yuda hina bagade hamoi. E da Yelusaleme moilai bai bagade ganodini esala, ode 40 agoanega Yuda fi ouligilalu. Ea ame da Biasiba moilai uda galu, ea dio amo Sibia.
Yoashi alikuwa na umri wa miaka saba alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka arobaini. Mama yake aliitwa Sibia aliyekuwa ametoka Beer-Sheba.
2 Yihoida ea esalusu huluane amo ganodini, Youa: sie da Hina Gode hahawane ba: ma: ne hou hamonanusu. Bai gobele salasu dunu Yihoida da hou noga: idafa ema olelei.
Yoashi akafanya yaliyo mema machoni pa Bwana miaka yote ya Yehoyada kuhani.
3 Yihoiada da hina bagade Youa: sie idua aduna ilegei. Elama dunu manolali amola uda manolali da lalelegei.
Yehoyada akamwoza wake wawili, akazaa watoto wa kiume na wa kike.
4 Amogalu fa: no, Youa: sie da Debolo Diasu dodoa: musa: dawa: i.
Baada ya muda, Yoashi akaamua kukarabati Hekalu la Bwana.
5 Youa: sie da gobele salasu dunu amola Lifai fi dunu ili ema misa: ne sia: ne, ilia da Yuda moilai huluane amoga asili, muni amo Debolo Diasu dodoa: musa: lama: ne sia: i. E da ilima hedolo masa: ne sia: i. Be ilia hedolo hame asi.
Akawaita pamoja makuhani na Walawi akawaambia, “Nendeni katika miji ya Yuda mkakusanye fedha wanazopaswa kulipa kila mwaka kutoka kwa Israeli wote, ili kukarabati Hekalu la Mungu wenu. Fanyeni hivyo sasa.” Lakini Walawi hawakufanya upesi.
6 Amaiba: le, Youa: sie da ilia ouligisu dunu Yihoida ema misa: ne sia: ne, amola ema amane adole ba: i, “Na da Lifai dunuma, ilia da su lasu (da: gisi) amo Hina Gode ea hawa: hamosu dunu Mousese da Hina Gode Ea Abula Diasu ouligima: ne ilegei, amo Yuda amola Yelusaleme fima lama: ne masa: ne sia: i. Ilia hame lala asiba: le, di da abuliba: le amo hou hame ouligibala: ?”
Kwa hiyo mfalme akamwita Yehoyada kuhani mkuu na kumwambia, “Kwa nini hukuwaambia Walawi walete kutoka Yuda na Yerusalemu kodi iliyowekwa na Mose mtumishi wa Bwana pamoja na kusanyiko la Israeli kwa ajili ya Hema ya Ushuhuda?”
7 (Wadela: idafa uda A: dalaia ea fa: no bobogesu dunu da Debolo Diasu wadela: lesi. Ilia da hadigi liligi mogili amo ogogosu ‘gode’ Ba: ilema nodone sia: ne gadomusa: lai.)
Kwa kuwa wana wa yule mwanamke mwovu Athalia, walikuwa wamevunja na kuingia katika Hekalu la Mungu, nao wakawa wamevitumia hata vile vitu vilivyowekwa wakfu kwa Bwana kwa mabaali.
8 Amalalu, Yihoida da hamoma: ne sia: beba: le, Lifai fi dunu da gagili hamone, Debolo Diasu logo holeiga ligisi.
Kwa amri ya mfalme, likatengenezwa kasha, nalo likawekwa nje kwenye lango la Hekalu la Bwana.
9 Ilia Yelusaleme amola Yuda fi dunu huluanema, ilia da muni amo da Gode Ea hawa: hamosu dunu Mousese da bisili hafoga: i sogega lidili amola lama: ne ilegei, amo defele Hina Godema iamisa: ne sia: si.
Tangazo likatolewa katika Yuda na Yerusalemu kwamba inapasa wamletee Bwana kodi ile ambayo Mose, mtumishi wa Bwana alikuwa amewaagiza Israeli huko jangwani.
10 Dunu amola ilia ouligisu dunu da amo hou hahawane ba: i. Ilia da ilia su (‘da: gisi’) muni gaguli misini, gagili nabalesi.
Maafisa wote na watu wote wakaleta michango yao kwa furaha, wakaweka kwenye kasha mpaka likajaa.
11 Eso huluane, Lifai dunu da amo gagili ouligisu dunuma gaguli asi. Ilia da amo gagili ganodini muni bagade ba: loba, hina bagade ea sia: dedesu dunu amola Gobele Salasu Hina dunu ea ilegei dunu, ela da misini, muni lidilalu, gagili ea sogebiga bu ligisisu. Amaiba: le, ilia da muni bagade gagadoi.
Ikawa kila wakati kasha lilipoletwa ndani na Walawi kwa maafisa wa mfalme na kuona kwamba kuna kiasi kikubwa cha fedha, mwandishi wa mfalme na afisa wa kuhani mkuu walikuwa wanakuja na kumimina, kisha kulirudisha mahali pake. Walifanya hivi mara kwa mara, nao wakakusanya fedha nyingi sana.
12 Amalalu, hina bagade amola Yihoiada da amo muni Debolo Diasu hawa: hamosu ouligisu dunu ilima iasu. Amo dunu ilia da diasu gagusu dunu, gele goudasu dunu amola gele dadamusu dunu, ilima iasu. Amola ilia da ifa gaga: i, amola gele gadelale sa: i, amo bu hahamoma: ne, amola eno hawa: hamoma: ne, amo dabe iasu.
Mfalme na Yehoyada wakawapa wale watu waliofanya kazi iliyotakiwa katika Hekalu la Bwana. Wakawaajiri waashi na maseremala ili kutengeneza Hekalu la Bwana, pia wafanyakazi za chuma na shaba ili kukarabati Hekalu la Bwana.
13 Ilia huluane gasa fili, hawa: hamone, Debolo Diasu da bu hahamoi dagoi ba: i. Debolo Diasu da ea musa: gasa bagade gagui hou bu ba: i.
Watu walioshughulika na kazi walikuwa wenye bidii, nayo kazi ya kukarabati ikaendelea vizuri mikononi mwao. Wakalitengeneza upya Hekalu la Bwana likarudi katika hali yake ya awali na kuliimarisha.
14 Debolo Diasu dodoa: su da hamoi dagoloba, muni dialu ilia da hina bagade amola Yihoiada elama i. Amo muniga ela da silifa ofodo, dalabede, gamali gesosu liligi, amola eno silifa o gouli liligi huluane, amo hahamomusa: ilegei. Yihoiada da esaloba, ilia da Debolo Diasuga gobele salasu hou gebewane hamonanu.
Walipokamilisha kazi hiyo ya kukarabati, wakaleta fedha zilizobaki wakampa mfalme na Yehoyada, nao kwa hizo wakatengeneza vyombo kwa ajili ya Hekalu la Bwana: Vyombo kwa ajili ya huduma na kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, pia mabakuli na vitu vingine vya dhahabu na fedha. Wakati wote Yehoyada alipokuwa hai, sadaka za kuteketezwa zilitolewa wakati wote katika Hekalu la Bwana.
15 E da da: idafa hamone, ode 130 agoane gidigiloba, e da bogoi.
Basi Yehoyada alikuwa mzee aliyeshiba siku wakati alipofariki. Alikufa akiwa na umri wa miaka 130.
16 E da Isala: ili dunu fi amola Debolo Diasu hou noga: le fidi amola Gode Ea hawa: hamosu noga: le hamoi. Amo dawa: le, ilia da ea da: i hodo amo hina bagade gele gelabo Da: ibidi Moilai bai bagadega, amo ganodini sali.
Wakamzika pamoja na wafalme katika Mji wa Daudi, kwa sababu ya mema aliyokuwa ametenda katika Israeli kwa ajili ya Mungu na Hekalu lake.
17 Be Yihoiada da bogoloba, amogalu Yuda ouligisu dunu da Youa: sie ilia fada: i sia: fa: no bobogemusa: fuligala: i.
Baada ya kifo cha Yehoyada, wakuu wa Yuda walikuja kumpa mfalme heshima, naye akawasikiliza.
18 Amaiba: le, Yuda dunu da Debolo Diasu ganodini, ilia aowalalia Hina Godema nodone sia: ne gadosu hou fisiagale, ogogosu loboga hamoi ‘gode’ amola wadela: i uda ‘gode’ Asila agoai loboga hamoi liligi ilima muni nodone sia: ne gadosu hou hamosu. Ilia da amo wadela: i hou hamobeba: le, Hina Gode Ea ougi hou da Yuda amola Yelusaleme fi ilima doaga: i.
Wakaacha Hekalu la Bwana, Mungu wa baba zao, wakaabudu nguzo za maashera na sanamu. Kwa sababu ya hatia yao, hasira ya Mungu ikawajia Yuda na Yerusalemu.
19 Hina Gode da ilima balofede dunu, ili Ema sinidigima: ne sisasu ima: ne asunasi. Be ilia da amo sisasu hame nabi.
Ingawa Bwana aliwatuma manabii wawarudishe watu kwake na ingawa waliwaonya, hawakuwasikiliza.
20 Amalalu, Hina Gode Ea A: silibu Hadigidafa da Segalaia (gobele salasu dunu Yihoiada egefe) amoga aligila sa: i. E da dunu huluane ilia midadi lelu, amane sia: i, “Hina Gode da amane sia: sa, ‘Dilia abuliba: le Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i hame naba? Dilia da didili hame hamomu. Dilia da Hina Gode fisiagaiba: le, E amola da dili fisiagai dagoi.’”
Ndipo Roho wa Bwana akaja juu ya Zekaria mwana wa Yehoyada kuhani. Akasimama mbele ya watu akasema, “Hili ndilo asemalo Mungu, ‘Kwa nini mnakataa kuzitii amri za Bwana? Hamtafanikiwa kwa kuwa mmemwacha Bwana, yeye naye amewaacha ninyi.’”
21 Hina bagade Youa: sie da eno dunu gilisili, Segalaia fane legemusa: ilegei. Hina bagade da sia: beba: le, Yuda fi dunu da Hina Gode Ea Debolo Diasu gagoi ganodini, Segalaia igiga gala: le, medole legei dagoi.
Lakini wakafanya shauri baya juu yake na kwa amri ya mfalme wakampiga kwa mawe mpaka akafa katika ukumbi wa Hekalu la Bwana.
22 Youa: sie da Segalaia eda Yihoiada ema mae fisili noga: le hawa: hamoi amo gogolei. Amola ea sia: beba: le, ilia Segalaia medole legei. Segalaia da bogolaloba, e amane wele sia: i, “Hina Gode da dia hamobe ba: ma: mu amola dima se iasu imunu da defea!”
Mfalme Yoashi hakukumbuka wema aliotendewa na Yehoyada baba yake Zekaria ila alimuua mwanawe, ambaye alisema wakati akiwa amelala akingojea kufa, “Bwana na alione hili na alipize kisasi.”
23 Amo ode dogoa, Silia dadi gagui wa: i da Yuda amola Yelusaleme fi doagala: i. Ilia da ouligisu dunu huluane medole legei amola liligi bagohamedafa susuguli, Dama: sagase moilai bai bagadega gaguli asi.
Mwishoni mwa ule mwaka, jeshi la Waaramu likaja dhidi ya Yoashi, likavamia Yuda na Yerusalemu na kuwaua viongozi wote wa watu. Wakapeleka nyara zao zote kwa mfalme wao huko Dameski.
24 Silia dadi gagui wa: i da fonobahadi fawane, be Hina Gode da ili fidibiba: le, ilia da Yuda fi dadi gagui wa: i bagadedafa amo hasali dagoi. Bai Yuda fi dunu da ilia aowalalia Hina Gode fisiagai dagoi. Hina bagade Youa: sie da agoane se iasu lai.
Ingawa jeshi la Waaramu lilikuwa limekuja na watu wachache tu, Bwana akatia mikononi mwao jeshi kubwa kuliko lao. Kwa sababu Yuda walikuwa wamemwacha Bwana, Mungu wa baba zao, hukumu ilitekelezwa juu ya Yoashi.
25 E da bagade fafa: ginisi ba: i. Amola ha lai dunu da ilia sogega bu ahoanoba, eagene ouligisu dunu aduna da ilegele, ea debea da: iya esala, e medole legei. Ela da gobele salasu dunu Yihoiada ea mano fasu dabe ima: ne e fane legei. Ilia da ea da: i hodo amo Da: ibidi Moilai bai bagadega ulidogone sali. Be hina bagade ilia bogoi gele gelabo ganodini hame sali.
Waaramu walipoondoka, walimwacha Yoashi akiwa mgonjwa sana. Maafisa wake wakafanya hila dhidi yake kwa sababu alikuwa amemuua mwana wa Kuhani Yehoyada, nao wakamuulia kitandani mwake. Hivyo akafa na wakamzika katika Mji wa Daudi, lakini si katika makaburi ya wafalme.
26 (Dunu amo da ilegele e medole legei, elea dio da Sa: iba: de amola Yihosaba: de. Sa: iba: de da A: mone fi uda ea dio amo Simia: de amo egefe galu, amola Yihosaba: de da Moua: be fi uda ea dio amo Similidi amo egefe galu.)
Wale waliofanya hila mbaya dhidi yake walikuwa Zabadi, mwana wa Shimeathi mwanamke Mwamoni, Yehozabadi, mwana wa Shimrithi mwanamke Mmoabu.
27 Youa: sie egefelalia hou, amola balofede dunu ema gagabosu ba: la: lusu, amola ea Debolo Diasu dodoa: su hou, amo huluane da “Hina bagade buga Dedei ea Bai Olelesu Meloa” amo ganodini dedene legei. Youa: sie egefe A: masaia da e bagia Yuda hina bagade hamoi.
Kwa habari za wanawe, unabii mwingi kumhusu na kumbukumbu za kutengenezwa upya kwa Hekalu la Mungu, zimeandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme. Amazia mwanawe akawa mfalme baada yake.