< 2 Hou Olelesu 22 >
1 A: la: be fi dunu mogili da eno dunu Yuda fi doagala: musa: oule asili, hina bagade Yihoula: me egefe huluane medole legei. Be afae fawane hame medole legei, amo Yihoula: me ea ufi mano A: ihasaia. Amaiba: le, Yelusaleme fi dunu da Yihoula: me bagia, A:ihasaia hina bagade ilegei.
Wakaaji wa Yersusalemu wakamfanya Ahazia, mwana mdodgo wa Yehoramu, mfalme katika nafasi yake, kwa maana kundi la watu ambalo lilikuja na Waarabu katika ngome lilikuwa limewauwa wanaye wakubwa wote. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akawa mfalme.
Ahazia alikuwa na umri wa mika arobaini na mbili alipoanza kutawala; alitawala kwa mwaka mmoja katika Yerusalemu. Jina la mama yake aliitwa Athalia; alikuwa binti Omri.
3 E da lalelegele ode 22 agoane esalu, Yuda hina bagade hamoi. E da Yelusaleme moilai bai bagadega esala, ode afae fawane Yuda fi ouligilalu. Ea: me da A: dalaia (Isala: ili hina bagade A: iha: be idiwi amola Isala: ili hina bagade Omeli amo ea aowa). A: ihasaia ea ame da hina bagade A: iha: be idiwiba: le, e da A: iha: be ea sosogo fi defele, Hina Godema wadela: le hamoi. Bai A: dalaia amola Omeli da e wadela: i hou hamoma: ne, ema fada: i sia: ne i.
Pia Ahazia alitembea katika njia za nyumba ya Ahabu kwa maana mama yake alikuwa mshauri katika kufanya mamabo maovu.
4 E da Hina Godema wadela: le hamoi. Bai ea ada bogolalu, hina bagade A: iha: be ea fi dunu eno da ea fada: i sia: su dunu hamoi. Amola e da ilia fada: i sia: amoma fa: no bobegeiba: le, dafai dagoi.
Ahazia alifanya yaliyokuwa maovu katika macho ya Yahwe, kama nyumba ya Ahabu walivyokuwa wakifanya, kwa maana walikuwa washauri wake baada ya kifo cha baba yake, hadi kuangamia kwake.
5 A: ihasaia da ilia fada: i sia: fa: no bobogeiba: le, e amola Isala: ili hina bagade Youla: me ela da gilisili, Silia hina bagade Ha: sa: ielema gegei. Ilia dadi gagui wa: i da La: imode moilai, Gilia: de soge ganodini, amogai migagadenene gegei. Youla: me da amogai gegenana, gala: i ba: i.
Pia aliufuata ushauri wao; akaenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, kwa ajili ya kupigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Aramu, huko Ramothi-gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu.
6 E da e gala: i fa: gi bahoma: ne, Yeseliele moilai bai bagadega buhagi. Amola A: ihasaia da amoga e ba: la asi.
Yoramu akaraudi Yezreeli kwa ajili ya kuponywa majeraha ambayo walipa huko Rama, alipopigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Aramu. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akaenda chini Yezreeli ili kumuona Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu Yoramu alikuwa amejeruhiwa.
7 Gode da amo sofe mabe ganodini, A:ihasaia ea dafamu ilegei. A: ihasaia da amogawi esaloba, dunu ea dio amo Yihiu (Nimisiai egefe) da Youla: me doagala: i. Hina Gode da Yihiu amo A: iha: be ea wadela: i hina bagade fi gugunufinisimusa: ilegei dagoi.
Sasa uharibifu wa Ahazia ulikuwa umeletwa na Mungu kupitia kutembelewa na Yoramu. Alipokuwa amewasiri, alienda pamoja na Yeharamu ili kumvamia Yehu mwana wa Nimshi, ambaye Yahwe alikuwa amemchagua kwa ajili ya kuingamiza nyumba ya Ahabu.
8 Yihiu da Gode ema ilegei hawa: hamosu hamonanoba, e da Yuda fi ouligisu dunu amola A: ihasaia ea ayama mogili ba: i dagoi. Ilia da A: ihasaia sigi misi. Yihiu da ili huluane medole legei.
Ikawa kwamba, Yehu alikuwa akichukua hukumu ya Mungu juu ya nyumba ya Ahabu, kwamba aliwakuta viongozi wa Yuda na wana wa ndugu zake Ahazia wakimtumikia Ahazia. Yehu akawauwa.
9 Yihiu ea fidisu dunu da A: ihasaia ea esalebe sogebi hogole, e Samelia soge ganodini wamoaligili esalebe ba: i. Ilia e Yihiuma hiouginana asili, amola e medole legei. Be ilia da ea da: i hodo ulidogonesi. Bai ilia da ea aowa Yihosiafa: de da hanaiwane Hina Gode Ea hawa: hamonanu, amo ilia bu dawa: i galu. A: ihasaia ea fi dunu afae amo Yuda fi ouligimu da hamedafa ba: i.
Yehu akamtafuta Ahazia; Wakamkamata akiwa amejificha katika Samaraia, wakamleta kwa Yehu, na wakamuuwa. Kisha wakamzika, kwa maana walisema, “Ni mwana wa Yehoshafati, ambaye alimtafuta Yahwe kwa moyo wake wote.” Kwa hiyo nyumba ya Ahazia haikuwa na nguvu zaidi kwa ajili ya kuutawala ule ufalme.
10 Hina bagade A: ihasaia ea ame A: dalaia da egefe da medole legei nababeba: le, e da hina bagade ea sosogo fi dunu huluane medole legema: ne sia: si.
Sasa Athalia, mama wa Ahazia, akaoana kwamba mwanaye alikuwa amekufa, akaianuka na kuwauwa watoto wote wa kifalme katika nyumba ya Yehu.
11 A: ihasaia egefe Youa: sie e fawane da hame medole legei ba: i. Ilia da e amola eno sosogo fi dunu fane legemusa: misini, ea awa Yihosiba (hina bagade Yihoula: me idiwi amola A: ihasaia ea dalusi) e da Youa: sie gei. E da Youa: sie amola ea ouligisu uda amo dia ahoasu sesei Debolo ganodini amoga oule asili, amola A: dalaia ea mae ba: ma: ne, ela wamolegei. Amalalu, ilia da Youa: sie hame medole legei.
Lakini Yehoshaba, binti wa mfalme, akamchukua Yoashi, mwana wa Ahazia, na akamvutia mbali kutoka miongoni mwa wana wa mfalme ambao waliuawa. Akamuweka yeye na mlezi wake katika chumba cha kulala. Kwa hiyo Yehoshaba, binti wa mfalme Yehoramu, mke wa Yehoiada kuhani (kwa maana alikuwa dada yake Ahazia), akamficha asimuone Athalia, kwa hiyo Athalia hakumuuwa.
12 Yihosiba da ode gafeyale agoanega Youa: sie ouligi. A: dalaia da Yuda fi ouligilaloba, Youa: sie da Debolo diasu ganodini wamoaligili esalebe ba: i, amola Yihosiba da e ouligi.
Alikuwa pamoja nao, wakiwa wamejificha katika nyumba ya Mungu kwa miaka sita, Athalia alipotawala juu ya Yuda.