< 2 Hou Olelesu 14 >

1 Hina bagade Abaidia da bogoloba, ilia da e Da: ibidi ea Moilai bai bagadega hina bagade ilia bogoi salimusa: gele gelabo dogonesi dialu, amoga sanasi. Abaidia da bogoloba, ea mano A: isa da hina bagade hamobeba: le, Yuda dunu ilia ode nabuane agoane hahawane olofoiwane esalu.
Naye Abiya akalala na baba zake, akazikwa katika Mji wa Daudi. Asa mwanawe akawa mfalme baada yake. Katika siku zake, nchi ikawa na amani kwa miaka kumi.
2 A: isa da Hina Gode, ea Godedafa amo e hahawane ba: ma: ne, hou moloi amola noga: le hamosu.
Asa akatenda yaliyo mema na haki machoni pa Bwana Mungu wake.
3 A: isa da ga fi dunu ilia gobele salasu fafai amola ogogosu ‘gode’ma sia: ne gadosu sogebi amola ilia sema duni bugi amo huluane mugululi fofasi. Amola ogogole ‘gode’ Asila agoaila loboga hamoi, amo huluane abusa: le sasali.
Akaziondoa madhabahu za kigeni na mahali pa juu pa kuabudia miungu, akayavunja yale mawe ya kuabudiwa na kuzikatakata nguzo za Maashera.
4 A: isa e da Yuda dunuma, ilia Hina Gode, Ea hou defele hamoma: ne, fada: i sia: su. Ilia aowalalia Gode Ea olelei amola hamoma: ne sia: i defele, nabawane hamoma: ne fada: i sia: nanasu.
Akawaamuru Yuda kumtafuta Bwana, Mungu wa baba zao na kutii sheria zake na amri zake.
5 Bai e da moilai bagade ganodini ogogole ‘gode’ma sia: ne gadosu sogebi amola gobele salasu fafai amo Yuda soge ganodini dialu, huluane mugululi fasi dagoiba: le, ea oule fi da hahawane bagade galu.
Akaondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu na madhabahu za kufukizia uvumba kwenye kila mji katika Yuda, nao ufalme ulikuwa na amani katika utawala wake.
6 E da Yuda moilai bai bagade gagili sali. Amola e esalebe galu, Yuda moilai bai bagade huluane amo ganodini noga: le gagole gagai dagoiba: le, ode bagohame halasu mae ba: le hahawane esalusu, amola Hina Gode da ema hahawane olofosu hou i.
Akajenga miji yenye ngome katika Yuda, wakati nchi ikiwa na amani. Hakuna mtu yeyote aliyepigana vita naye katika miaka hiyo, kwa kuwa Bwana alimstarehesha.
7 E da Yuda fi dunu ilima amane sia: i, “Niniamone moilai bagade huluane noga: le gagagola heda: le logo agenesisi amo ga: sisili banenesisila: di. Ninia da Hina Gode Ea sia: nabawane hamobeba: le, hahawane fi esala. Ea da nini noga: le ouligili noga: le gagagulasa.” Amola ilia noga: le moi lale, diasu gaguli, didili fifi ahoanu.
Mfalme akawaambia Yuda, “Tuijenge hii miji na tuizungushie kuta, pamoja na minara, malango na makomeo. Nchi bado ni yetu, kwa sababu tumemtafuta Bwana Mungu wetu, tulimtafuta naye ametupa raha kila upande.” Hivyo wakajenga na wakafanikiwa.
8 Hina bagade A: isa ea dadi gagui wa: i da Yuda fi 300,000 agoane amola Bediamini fi dunu 280,000 agoane. Yuda fi dunu ilia da da: igene ga: su bagade amola goge agei gagui. Bediamini fi dunu da da: igene ga: su fonobahadi amola oulali gagui galu. Amo dunu huluanedafa da medenegini dadawa: su, amola noga: le adoba: i dunu galu.
Asa alikuwa na jeshi la watu 300,000 kutoka Yuda, wenye ngao kubwa na mikuki na jeshi la watu 280,000 kutoka Benyamini, wenye ngao ndogo na pinde. Watu hawa wote walikuwa wapiganaji mashujaa.
9 Idioubia dunu ea dio amo Sila ea dadi gagui idimu hamedei dunu amola ‘saliode’ 300 agoane ilia Yuda fi ilima doagala: la misi. Ilia da gusuba: i mogodigili, Malisia moilai bai bagadega doaga: i.
Zera Mkushi akatoka kupigana dhidi yao akiwa na jeshi la watu maelfu ya maelfu na magari ya vita 300, nao wakaja mpaka Maresha.
10 A: isa da dabe gegena asi, amola gegesu sogebi Sefada Fago, Malisia moilai bai bagade gadenene amogawi wa: i fi dialu.
Asa akatoka kumkabili, nao wakapanga vita katika Bonde la Sefatha karibu na Maresha.
11 Hina Bagade A: isa ea Godema amane sia: ne gadoi, “Hina Bagade! Di da gasa hamedei dadi gagui dunu amo gasa bagade dadi gagui defele ili gasa lama: ne hamosu dawa: Hina Gode! Waha Dia nini fidima! Bai ninia da Dima fawane dafawaneyale dawa: beba: le, amola Dia Dioba: le, amo dadi gagui bagohame ilima gegemusa: misi. Hina Bagade, Di da ninia Godedafa. Dunu afaega Di hasalasimu hamedei.”
Kisha Asa akamlilia Bwana Mungu wake na kusema, “Ee Bwana, hakuna yeyote aliye kama wewe wa kuwasaidia wasio na nguvu dhidi ya wenye nguvu. Utusaidie, Ee Bwana, wewe ndiwe Mungu wetu, kwa kuwa tunakutumainia wewe, nasi kwa jina lako tumekuja dhidi ya jeshi hili kubwa. Ee Bwana, wewe ndiwe Mungu wetu, usiwaache wanadamu wakushinde wewe.”
12 A: isa ea dadi gagui dunu da Idioubia dadi gagui dunuma doagala: beba: le, Hina Gode da Idioubia dadi gagui hasalasi.
Bwana akawapiga Wakushi mbele ya Asa na Yuda. Wakushi wakakimbia,
13 Idioubia dunu da hobea: iba: le, A:isa ea dadi gagui dunu da ili se bobogele, Gila moilai bai bagadega doaga: i. Amaiba: le, Idioubia dadi gagui dunu bagohame medole legeiba: le, sagisimu hamedei ba: i. Hina Gode amola Ea dadi gagui wa: i da ilia hasali dagoi. Amola dadi gagui dunu da liligi bagohame susugui.
naye Asa na jeshi lake wakawafuatia mpaka Gerari. Idadi kubwa ya Wakushi ilianguka hata wasiweze kuinuka tena, wakapondapondwa mbele za Bwana na majeshi yake.
14 Amalalu, A:isa ea dadi gagui dunu ilia da moilai amo da Gila gadenene dialu, amo huluane gugunufinisi. Bai dunu huluane da Hina Godeba: le bagadewane beda: i. Ilia da moilai huluane mugululi, liligi bagohame susugui.
Watu wa Yuda wakachukua nyara nyingi sana, wakaangamiza vijiji vyote vinavyoizunguka Gerari, kwa kuwa hofu ya Bwana ilikuwa imewaangukia. Wakateka nyara vijiji hivi vyote, kwani kulikuwepo nyara nyingi huko.
15 Ilia da ohe oule fi dunu amo huluane doagala: le, amola sibi amola ga: mele bagohame susugulalu, Yelusaleme moilai bai bagadega buhagi.
Pia wakashambulia kambi za wachunga makundi ya wanyama wakachukua na kuyaswaga makundi ya kondoo, mbuzi na ngamia. Kisha wakarudi Yerusalemu.

< 2 Hou Olelesu 14 >