< 1 Sa:miuele 9 >
1 A: ibiele ea mano Gisa da Bediamini egaga fi amoga galu. Gisa da mimogoa dunu galu. A: ibiele da Silo ea mano galu. Gisa ea sosogo fi da Bigoula: de amola fidafa da Afaia.
Basi kulikuwa na mtu mmoja kutoka Benyamini, mtu mashuhuri. Jina lake aliitwa Kishi mwana wa Abieli, mwana wa Zerori, mwana wa Bekorathi, mwana wa Afia, mwana wa Mbenyamini.
2 Gisa da dunu mano galu, ea dio da Solo. Solo da goi ayeligi galu. Amoga Isala: ili dunu, e amai defele da afae hame galu. Solo da dunu heda: le aligi amola ea da: da: loiwane ba: su da Isala: ili dunu eno huluane baligi.
Huyu alikuwa na mtoto wa kiume aliyeitwa Sauli, kijana mzuri wa uso. Hapakuwapo mwanaume mzuri wa uso kuliko huyu miongoni mwa watu wote wa Israeli. Kutoka mabegani kwenda juu alikuwa mrefu kuliko watu wengine.
3 Solo ea eda Gisa ea dougi da fisi ba: i. Amaiba: le, Gisa da Soloma amane sia: i, “Hawa: hamosu dunu afae lale, dougi fisi hogola masa.”
Na punda wa Kishi, baba yake na Sauli walipotea. hivyo Kishi akamwambia Sauli mwanawe, “Mchukue mmoja wa watumishi; uamke uende kuwatafuta punda,”
4 Ilia da agolo soge, Ifala: ime sogedili amola Sialaisia soge la: idili amo hohogola asi be dougi da hame ba: i. Amaiba: le, ilia da baligili Sia: ilime sogebi la: ididili hohogola asi, be dougi da amoga hame ba: i. Amalu ilia da Bediamini ea fifilasu sogebidili hohogola asi be hame ba: i.
Sauli akapita katika nchi ya vilima vilima ya Efraimu na akaenda akapita katika nchi ya Shalisha, lakini hawakuwaona. Kisha walipita katika nchi ya Shaalimu, lakini hawakuwa huko. Baadaye alipita katika nchi ya Wabenyamini, lakini hawakuwaona wale punda.
5 Ilia da hohogola misini, Safe ea fifilasua amoi doaga: loba, Solo da ea hawa: hamosu dunuma amane sia: i, “Ninia da nini fifilasua sinidigimu. Ada da dougi yoleiba: le dadawa: lu yolele, bu niniha dadawa: lala ganumu.”
Na walipofika nchi ya Sufu, Sauli alimwambia mtumishi wake aliyekuwa naye, “Njoo na turudi, pengine baba aweza kuacha kuchunga punda na kuanza kutuhofia sisi.”
6 Hawa: hamosu dunu da bu adole i, “Asa! Wele sia: gai moilai fi dunu afae da dunu ilia ema bagade nodosa amola ea sia: naba, bai ea sia: be liligi huluane defele didisa. Ninia da amo dunuma ahoa: di. Amasea e da dougi ea esalebe soge ninima olelemu.”
Lakini mtumishi akamwmbia, “Sikiliza, Yupo mtu wa Mungu katika mji huu. Naye ni mtu wa kuheshimiwa sana; kila asemalo huwa kweli. Hebu twende huko; labda anaweza kutuambia tupitie wapi katika safari yetu.”
7 Solo da amane adole ba: i, “Ninia da ema ahoasea, ninia da adi liligi igili ima: bela: ? Ninia da ha: i manu ninia esaga dialebe afae hamegala, amola ninia da igili imunu liligi afae hamewane.”
Ndipo Sauli akamwambia mtumish iwake, “Lakini kama tukienda kwake, twaweza kumpelekea nini? Maana hata mkate katika mfuko wetu umekwisha, na hakuna zawadi ya kumpelekea mtumishi wa Mungu. Tuna kitu gani?
8 Hawa: hamosu dunu da bu adole i, “Na da muni gasa fonobahadi afae gala. Na da amoane imunu, amalu e da dougi ea esalebe soge amo ninima olelemu.”
Huyo mtumishi akamjibu Sauli na kusema, “Hapa, ninayo robo ya shekeli ya fedha ambayo nitampa mtumishi wa Mungu, atuambie ni njia ipi yatupasa tuiendee.”
9 Solo da amane adole i, “Dia dawa: i go defeawane! Ninia ahoa: di.” Amalu ilia da hadigi dawa: su dunu ea esalebe soge amoga asi. Ilia da moilai fi amoga doaga: musa: agoloba: le heda: la, uda a: fini ilia hano dila mafiadalebe gousa: i. Ilia da uda a: fini ema adole ba: i. “Ba: la: lusu dunu da moilaiga esalabala?” (amo eso galu ilia da balofede dunuma ‘ba: la: lusu’ sia: su, amola nowa dunu da Godema adole ba: musa: dawa: sea, ilia da amane sia: su, “Ninia da ba: la: lusuma ahoa: di.”)
(Zamani katika Israeli, mtu alipotaka kujua neno kuhusu mapenzi ya Mungu, alisema, “Njoo, haya twende kwa mwonaji.” Kwa maana nabii wa leo, zamani aliitwa Mwonaji).
Ndipo Sauli akamwambia mtumishi wake, “Umesema vyema. Haya, njoo twende.” Basi wakaenda katika mji ambao mtu wa Mungu alikuwamo.
Walipopanda mlima kuelekea mjini, walikutana na wasichana wakienda kuteka maji; Sauli na mtumishi wake wakawauliza, “Mwonaji hupo hapa?”
Nao wakawajibu, na kusema, “Yupo; tazameni, yuko mbele yenu. Harakisheni, kwa maana anakuja mjini leo, sababu leo watu wanatoa dhabihu zao mahali pa juu.
13 Uda a: fini ilima adole i, “Ma! E da esala! Dafawane! E da dili ahoaba gogusu. Dilia da hedolo ahoasea, dilia da e ba: mu. Dilia da moilai ganodini dasea, dilia e ba: mu. E da wali moilaiga doaga: i, bai dunu ilia da oloda da: iya agolo damana gobele salimu. Amoga hiougi dunu da ha: i mae nane, e doaga: ma: ne ouesala. Bai ea hidadea gobele sala sia: ne gadomu. Dilia waha ahoasea, e da agoloa gado hame heda: i galeawane, dilia da e ba: mu.”
Mara tu mtakapoingia mjini mtamuona, kabla hajapanda mahali pa juu kla chakula. Watu hawatakula hata atakapokuja, kwa sababu ndiye ataibariki dhabihu; na baadaye wale ambao wamealikwa hula. Basi pandeni, mtamuona sasa hivi.”
14 Amaiba: le, Solo amola ea hawa: hamosu dunu ilia moilai ganodini sa: i. Ilia ganodini golili daha ba: loba, Sa: miuele da oloda da: iya gobele salimusa: ahoanebe ba: i.
Kwa hiyo walikwea kwenda mjini. Walipokuwa wakiingia mjini, walimuona Samweli akija mbele yao, akipanda kwenda mahali pa juu.
15 Be aya Hina Gode da Sa: miuelema amane sia: i galu,
Siku moja kabla Sauli hajafika, BWANA alikuwa amemfunulia Samweli:
16 “Aya wewaba Na da Bediamini ea sosogo fi amoga dunu afae dima asunasimu. E da Na dunu fi Isala: ili ouligima: ne ema ilegele amalu ea dialuma da: iya susuligi soga: sima. Amalu, e da Filisidini ilia Isala: ili dunuma osa: la hedasa: besa: le gaga: mu. Na da Isala: ili dunu ilia se nababe ba: i, amola Na da ilia se naba didigia: be amola Nama fidima: ne wele sia: su nabi.”
“Kesho wakati kama huu nitakutumia mtu kutoka nchi ya Benyamini, nawe utamtia mafuta awe mfalme juu ya watu wangu Israeli. Atawaokoa watu wangu kutoka mkono wa Wafilisti. Kwa kuwa nimewaonea huruma watu wangu na kilio cha kutaka msaada kimenifikia.”
17 Sa: miuele da Solo ba: loba, Hina Gode da ema agoane sia: i, “Dunu Na dima adolalu amo da goea! E da Na Isala: ili dunu ouligimu.”
Samweli alipomuona Sauli, BWANA akamwambia, “Huyu ndiye mtu niliyekwambia habari zake! Yeye ndiye atakayewatawala watu wangu.”
18 Sa: miuele da logo golili dasu gadenene leloba, Solo da e ba: le, ema heda: i, amalu adole ba: i, “Dia sia: ma! Ba: la: lusu dunu da habi esalabala?”
Ndipo Sauli akaja karibu na Samweli katika lango na kusema, “Niambie nyumba ya Mwonaji iko wapi?
19 Sa: miuele da bu adole i, “Ba: la: lusu dunu da na wea. Nodone sia: ne gadosu sogebiga gado ali hidadea bisili ahoanoma. Ali galu nini gilisili ha: i manu. Aya hahabe na da dia adole ba: i amo huluane na dima adodole ianu, na da ali da logoga masa: ne sia: mu.
Samweli akamjibu Sauli akisema, “Mimi ndiye mwonaji. Tangulia mbele hadi mahali pa juu, nami nitakueleza kila kitu kilichomoyoni mwako.
20 Be dougi eso udianaga yolei galu, amo da mae dawa: ma, amo da ba: i dagoi. Be Isala: ili dunu ilia hanai bagadedafa amo da adila: ? Amo da di. Di amola dia ada ea sosogo fi.”
Kama punda wenu waliopotea siku tatu zilizopita, msihofu kuhusu hao punda, kwa kuwa wamekwishapatikana. Na yote yaliyotamanika kwa ajili ya Israeli yanamwangukia nani? Siyo kwako na nyumba ya baba yako yote?”
21 Solo da adole i, “Na da Bediamini fi amogaga fi dunu. Amo fi da Isala: ili fi ganodini sosogo fi fonobahadidafa. Amola na fi ganodini, na sosogo fawane da mimogo hame. Abuliba: le di da nama agoane sia: bela: ?”
Sauli akamjibu na kusema, Siyo mimi Mbenyamini, kutoka kabila lililo dogo sana kwa makabila ya Israeli? Siyo ukoo wangu ulio mdogo sana kwa kabila la Benyamini? Kwa nini basi unaniambia kwa namna hii?”
22 Amalalu, Sa: miuele da Solo amola ea hawa: hamosu dunu oule, sesei bagade ganodini oule heda: i. Amalu fisu noga: idafa amo da: iya fima: ne adoi. Amola, sesei ganodini hiougi dunu misi da 30 agoane ba: i.
Hivyo Samweli akamchukua Sauli na mtumishi wake, akawaingiza ukumbini, akawakalisha mahali pa heshima pa wale walioalikwa, idadi yao takribani watu thelathini.
23 Sa: miuele da ha: i manu gobesu dunuma amane sia: i, “Gebo hu a: i na dima hamega ligisiagama: ne iasi, amo gaguli misa.”
Samweli akamwambia mpishi, “Lete sehemu niliyokupatia, sehemu ambayo nilikwambia hivi, “Itenge.”'
24 Amaiba: le ha: i manu gobesu dunu da masele dagai lale, gaguli misini, Solo baia soiyasi. Sa: miuele da amane sia: i “Ba: ma! Hu a: i na digili ligisi dialu amo da goea. Moma! Amo da na digili, dunu na hiougi amo masea amola moma: ne ligisi galu.” Amaiba: le, Solo da Sa: miuelela gilisili amo esoga ha: i mai.
Basi mpishi alichukua paja lililokuwa limeinuliwa katika dhabihu na kile kilichokuwa pamoja nalo, akaitenga mbele ya Sauli. Kisha Samweli akasema, “Angalia kile kilichokuwa kimetunzwa kwa ajili yako! Kula, kwa sababu kilitunzwa hadi wakati maalum ufike kwa ajili yako. Na kwa sasa waweza kusema, 'Nimewaalika watu.”' Kwa hiyo Sauli alikula pamoja na Samweli siku hiyo.
25 Ilia da gilisili sia: ne gadosu sogebia amoinini moilaiga gudu sa: ili, ilia da Solo golama: ne diasu figi da: iya wibi fofa: lesi,
Walipokuwa wamekwisha shuka chini kutoka sehemu ya juu na kuingia mjini, Samweli akazungumza na Sauli darini.
26 amalu Solo da amo gado golai. Hahabedafa, Sa: miuele da Solo diasu gadodili golai dialu, ema wele sia: i “Wa: legadoma! Amola na da di masa: ne asunasimu.” Solo da wa: legadole, e amola Sa: miuele ele galu logoga asi.
Na kulipopambazuka, Samweli alimwita Sauli darini na kusema, “Amka, kusudi nikusindikize uende zako,” Hivyo Sauli aliamka, na wote wawili, yeye na Samweli walitoka kwenda mtaani.
27 Ilia da asili moilai bega: doaga: beba: le, Sa: miuele da Soloma amane sia: i, “Dia hawa: hamosu dunu da fisili hidadea ahoanoma: ne adoma!” Amalalu hawa: hamosu dunu da hidadea ahoanoba, Sa: miuele da bu sia: i, “Waha wi fonobahadi aligima, na da Gode Ea sia: i amo dima adodole imunu.”
Walipokuwa wakienda nje ya viunga vya mji, Samweli akamwambia Sauli, “Mwambie mtumishi wako atanguliye mbele yetu(na alitangulia mbele), Lakini wewe sharti usubiri kidogo, nipate kukuambia ujumbe wa Mungu.”