< 1 Sa:miuele 8 >

1 Sa: miuele da da: i hamobeba: le, e da egefela Isala: ili fi ilima fofada: su dunu ilegei.
Samweli alipokuwa mzee, akaweka wanawe kuwa waamuzi wa Israeli.
2 Ea magobo mano ea dio da Youele amola amo baligia mano ea dio da Abaidia. Youele amola Abaidia ela da Biasiba moilai amo ganodini bisisu dunu esalu.
Mzaliwa wa kwanza alikuwa Yoeli, na la wa pili lilikuwa Abiya, nao wakatumika huko Beer-Sheba.
3 Be elea da eda ea hamoma: ne adodigi amane hame hamosu. Elea da munima fawane bagade hanai galu. Amaiba: le ela ogogole hano sulugili amalu fofada: nanu molole dafawaneyale hame hawa: hamoi.
Lakini wanawe hawakuenenda katika njia zake. Waliziacha wakageukia faida za udanganyifu nao wakapokea rushwa na kupotosha haki.
4 Amalu, Isala: ili ouligisu hina ilia da gilisilalu, Sa: miuelema afia: i, La: ima moilaiga.
Basi wazee wote wa Israeli wakakusanyika pamoja na kumjia Samweli huko Rama.
5 Amalu ema amane sia: i, “Ba: ma! Di da da: i hamosa, amola dia mano ilia da dia hamobe amo defele hame hamosa. Amaiba: le, hina bagade dunu afae nini ouligilaloma: ne dia ilegema. Amasea sogebi eno ilia hina bagade galebe, amo defele ninia da hina bagade esaloma: ne.”
Wakamwambia, “Wewe umekuwa mzee, nao wanao hawaenendi katika njia zako, sasa tuteulie mfalme wa kutuongoza, kama ilivyo kwa mataifa mengine yote.”
6 Sa: miuele da ilia hina bagade eno lamusa: adole ba: beba: le, da: i dione ougi. Amaiba: le, e da Godema sia: ne gadoi.
Lakini wao waliposema, “Tupe mfalme wa kutuongoza,” hili lilimchukiza Samweli, hivyo akamwomba Bwana.
7 Amola Hina Gode da amane sia: i, “Dunu ilia dima sia: be huluane noga: le nabima. Ilia da dima hame higa: i. Be ilia Hina Bagade da Na. Amaiba: le ilia da Nama higasa.
Naye Bwana akamwambia: “Sikiliza yale yote watu wanakuambia. Si wewe ambaye wamekukataa, bali wamenikataa mimi kuwa mfalme wao.
8 Musa: ganini, Na da ilia Idibidi sogega esalu amo fadegalesiliba, ilia da nama baligifa: le, ogogosu ‘gode’ ilima sia: ne gadosu. Amola musa: ilia da nama agoane hamosu, amo defele ilia da wali dima hamosa.
Kama vile walivyofanya tangu siku nilipowapandisha kutoka Misri mpaka siku hii ya leo; wakiniacha mimi na kutumikia miungu mingine, ndivyo wanavyokufanyia wewe.
9 Amaiba: le ilia sia: nabima. Be ilia nabima: ne, gasa bagade sisasu ilima sia: ma. Amola ilia hina bagade ea ilima hamomu hou noga: le olelema.”
Sasa wasikilize, lakini waonye kwa makini na uwafahamishe yale watakayotendewa na mfalme atakayewatawala.”
10 Sa: miuele da dunu ema hina bagade eno lamusa: adola masu, ilima Gode Ea ema sia: i liligi huluane alofele i.
Samweli akawaambia wale watu waliokuwa wakiomba wapewe mfalme maneno yote ya Bwana.
11 “Dilia hina bagade ilegemu da dilima agoane hamomu,” Sa: miuele da dili i. “E da dilia mano ili ea dadi gagui dunu hamoma: mu amola oda da ea gegesu sa: liode ouligisu dunu ba: mu, amola oda ea gegesu hosiga fila heda: i dunu ba: mu. Amola oda da ea sa: liode bisili heda: le hehenasu dunu ba: mu.
Akasema, “Hivi ndivyo atakavyowatendea mfalme atakayewatawala. Atawachukua wana wenu na kuwafanya watumike kwa magari yake ya vita na farasi, nao watakimbia mbele ya magari yake.
12 E da dunu oda ouligisu hamomusa: ilegelesili, amoea dunu 1,000 agoane ouligima: mu, amola oda da dunu 50 amo ouligima: mu. E da dunu oda ea moi gidinasuga dogoma: mu amola ea ha: i manu sagai faima: mu. E da dunu oda ea gegesu dadi debema: mu amola sa: liode hamoma: mu.
Baadhi yao atawaweka kuwa majemadari wa jeshi wa maelfu na majemadari wa jeshi wa hamsini, wengine kulima mashamba yake na kuvuna mavuno yake, pia na wengine kutengeneza silaha za vita na vifaa kwa ajili ya magari yake.
13 Dilia uda mano ilia da gabusiga: na manoma hahamomu amola Ea ha: i manu gobele iasu hamomu amola ha: i manu momagelalumu amo ilegemu.
Atawachukua binti zenu kuwa watengeneza manukato, wapishi na waokaji.
14 E da dilia osobo noga: idafa, efe bugi amola olife bugi amo lale, ea eagene ouligisu dunu ilima imunu.
Atayachukua mashamba yenu yaliyo mazuri, mashamba ya mizabibu na mashamba yenu ya mizeituni na kuwapa watumishi wake.
15 E da dilia gagoma amola waini fage amo nabuane fifili, afadafa lale dilia fofada: su ouligisu, amola eno ouligisu dunu iligili imunu.
Ataichukua sehemu ya kumi ya nafaka yenu na ya zabibu zenu na kuwapa maafisa wake na watumishi wake.
16 E da dilia hawa: hamosu dunu amola dilia hanaidafa bulamagau amola dougi lale, ea hawa: hamosu hamoma: ne lamu.
Atawachukua watumishi wenu wa kiume na wa kike, na ngʼombe wenu walio wazuri sana na punda kwa matumizi yake mwenyewe.
17 E da dilia ohe fofoi nabuane momogili afadafa udigili lamu. Amola dilia da bu ea hawa: hamosu dunu esaloma: mu.
Atachukua sehemu ya kumi ya makundi yenu ya kondoo na mbuzi, na ninyi wenyewe mtakuwa watumwa wake.
18 Amo eso da doaga: sea dilia da da: i dione egagia: mu amo da hina bagade dunu dilia hanaiga labe amo ia baiga, be Gode da dilia egabe hame nabimu.”
Siku ile itakapowadia, mtalia kwa kutaka msaada kutokana na mfalme mliyemchagua, naye Bwana hatawajibu.”
19 Be Isala: ili dunu ilia da Sa: miuelema nabasu hou hame hamoi, be amane sia: i, “Hame! Ninia da hina bagade lamu hanai.
Lakini watu wakakataa kumsikiliza Samweli wakasema, “Hapana! Tunataka mfalme wa kututawala.
20 Amasea ninia da sogebi eno ili agoai defele ba: mu, ninia hina bagade hi fawane da nini ouligili, amola hifawane bisili gegena afufumu.”
Kisha tutakuwa kama mataifa mengine yote, tukiwa na mfalme wa kutuongoza na kwenda mbele yetu na kutupigania vita vyetu.”
21 Sa: miuele da ilia sia: huluanedafa noga: le nabalu bu asili Hina Godema alofele i.
Samweli aliposikia yote watu waliyosema, akarudia kuyasema mbele za Bwana.
22 Hina Gode da amane sia: i, “Ili sia: i defele ilima hina bagade ima.” Amalu Sa: miuele da dunu huluane da ili fifilasua afia: ma: ne adoi.
Bwana akamjibu, “Wasikilize na uwape mfalme.” Kisha Samweli akawaambia watu wa Israeli, “Kila mmoja arudi mjini kwake.”

< 1 Sa:miuele 8 >